#Exclusive

Спорт

Пікірлер: 26

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np24 күн бұрын

    Simama katika haki mamelod wenyew walionesha dhahili kumtaka kama Belous dady walipokea 4 bila hivo ni lazima walitaka kuibomoa Yanga

  • @emmanuelkimotoli1939

    @emmanuelkimotoli1939

    23 күн бұрын

    hhh😮hhh𝓵𝓳😮𝓷 😊𝓳 0:17 😮

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi399124 күн бұрын

    Upo vizuri sana kwa uchambuzi wako

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford357224 күн бұрын

    Aisee katika wachambuzi wa nchi ii wewe ni one nomber

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175524 күн бұрын

    Mie nimeelewa kuwa Yanga SC wamekua hatari zaidi kulingana na maelezo ya huyu coach

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga24 күн бұрын

    Ila jamaa linajua kuchambua vikosi.

  • @alexmosses3608
    @alexmosses360824 күн бұрын

    Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana

  • @brownmasai774
    @brownmasai77424 күн бұрын

    Well done, Eng. Hersi! Engineering always depends on Facts and Figures. Do it right, and the first time - guess work - (TQM).

  • @NicksonAlphacapitalGroup
    @NicksonAlphacapitalGroup24 күн бұрын

    Zuberi hongera sana tunahitaji wachambuzi kama wewe 🌹🌹

  • @prince783
    @prince78324 күн бұрын

    Sawa umeelekweka mkuu. Sisi kikubwa kabaki

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn21 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏. Haswaaaa pokea 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MasanjaMasanja-mz3ll
    @MasanjaMasanja-mz3ll24 күн бұрын

    Tanzania yupo fabrizio romano ni hans rafael

  • @leonardluhende1103

    @leonardluhende1103

    21 күн бұрын

    Na domick salamba yupo vzr sana

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546224 күн бұрын

    Uko vizuri kaka huna mbambamba

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala656924 күн бұрын

    Mnaongea sasa kwa kuwa amesaini

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v24 күн бұрын

    GOLI 21 YA TIMU

  • @williamchamriho8786
    @williamchamriho878624 күн бұрын

    Jamani tukiacha propaganda za ushabiki wa uyanga na usmba yanga wako sawa kabisa kuanzia usajiri mpaka wachezaji yanga nawapa ubingwa wa 2024-2025.

  • @RojaGonga
    @RojaGonga23 күн бұрын

    Safi sana umeongea shule sana

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h24 күн бұрын

    Ila m hambuzi uliwahukumu Yanga kuwa wamefukuzwa Avic town kwa vile wanadaiwa, sikuipenda ile clip yako, ulidanganya, Yanga wapo ssna Avictown, unaikumbuka ile clip yako?.

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    24 күн бұрын

    Alikuwa amelala fofo

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    23 күн бұрын

    Walikuwa wanasubiri za wadhamini ili walipe...baada ya kupokea mabilioni yao...mambo yameisha

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    @@josephlorri431 mangungu 🤣 amethibitisha ?? Au umejiropokea tuu ??

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    23 күн бұрын

    @@mwanangusana ukiona picha story unatengeneza mwenyewe

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    @@josephlorri431 🤣🤣🤣 apo sawa kk

  • @halfankipande9903
    @halfankipande990324 күн бұрын

    Nimependa hii diwani

  • @alexmosses3608
    @alexmosses360824 күн бұрын

    Mchambuzi mzuri lakini anaangushwa na redio aliyopo...namkubali sana

Келесі