#EXCLUSIVE
Спорт
#EXCLUSIVE: NYANDU TOZY KUGEUKIA UBONDIA?, Afunguka JUMA CHOKI ATAKAVYOMCHAKAZA NASSIB RAMADHAN..
MWANAMUZIKI Nyandu Tozy a.k.a 26 amewaomba mashabiki wa mabondia Juma Choki na Said Bwanga kujitokeza kwa wingi katika pambano la 'DAR BOXING DERBY' litakalopigwa Juni 29, 2024 jijini Dar es Salaam.
Пікірлер: 4
Nyandu uyo mwanaum sio mtu wa tantalila💪
#26🏁
26
Nasib ni pacman ila kwa choki lazima akae