#EXCLUSIVE

Ойын-сауық

#EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 274

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын

    Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Жыл бұрын

    Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Жыл бұрын

    Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤

  • @ibumajaamillah3195
    @ibumajaamillah3195 Жыл бұрын

    Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah

  • @venancshirima9103

    @venancshirima9103

    7 ай бұрын

  • @user-uf5ry6tx2r
    @user-uf5ry6tx2r27 күн бұрын

    Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander117011 ай бұрын

    Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.

  • @mbaichris8772
    @mbaichris8772 Жыл бұрын

    Bravo mentor other women to do any work around the globe

  • @annemakaka210
    @annemakaka210 Жыл бұрын

    Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k10 ай бұрын

    Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤

  • @user-kh3hr8si2j
    @user-kh3hr8si2j Жыл бұрын

    MashaAllah gd job❤ sweet

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar509410 ай бұрын

    Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷

  • @user-sw6cc8yv7s
    @user-sw6cc8yv7s Жыл бұрын

    Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza

  • @donvanpierre4369

    @donvanpierre4369

    10 ай бұрын

    shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana

  • @geminamulima3180
    @geminamulima3180 Жыл бұрын

    Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake

  • @hafsasaid9666
    @hafsasaid9666 Жыл бұрын

    Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana

  • @cleophacephelician6739

    @cleophacephelician6739

    Жыл бұрын

    Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri

  • @gracesitta8586
    @gracesitta858610 ай бұрын

    Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.

  • @user-xe9fk7jm4l
    @user-xe9fk7jm4l11 ай бұрын

    Mashaallah❤

  • @graceknight7498
    @graceknight7498 Жыл бұрын

    Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪

  • @vero57
    @vero5710 ай бұрын

    Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын

    Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana

  • @elisifaaron5662
    @elisifaaron566211 ай бұрын

    Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati

  • @LeticiaRichard-zm7co
    @LeticiaRichard-zm7co10 ай бұрын

    Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working

  • @Shadrack-oz1bh
    @Shadrack-oz1bh10 ай бұрын

    mungu hawabarik

  • @raummoshi4372
    @raummoshi437211 ай бұрын

    MUNGU akutunze nice, utafika mbali

  • @omariddi8073
    @omariddi8073 Жыл бұрын

    Good heart

  • @AmisseShezume-wk5ee
    @AmisseShezume-wk5ee10 ай бұрын

    Masha allah

  • @mako331
    @mako331 Жыл бұрын

    Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana

  • @user-tv9vt4qx2n

    @user-tv9vt4qx2n

    10 ай бұрын

    Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 Жыл бұрын

    Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 Жыл бұрын

    Hongera Sana mwanangu

  • @michaelemanuel2528
    @michaelemanuel25288 ай бұрын

    She is too beautiful aiseee God bless her

  • @noelyprinceprince8951
    @noelyprinceprince895110 ай бұрын

    Nakubali sana mrwmbo wetu wa Moshi🤙🥳 sema nini umetisha afu wa nyumbani🤗🤗

  • @rockeygarcia5865
    @rockeygarcia586511 ай бұрын

    Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n9 ай бұрын

    Wow she is so cute....i love her😘

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Жыл бұрын

    Hongera kwake boss JOHN kwa kumjali huyo bint

  • @AshaMakame-zg9xi
    @AshaMakame-zg9xi Жыл бұрын

    Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza

  • @salamaali4726
    @salamaali472610 ай бұрын

    Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah

  • @MussaMohammad-ku5bt

    @MussaMohammad-ku5bt

    10 ай бұрын

    kweli kabisa.

  • @samiraaindi

    @samiraaindi

    7 ай бұрын

    Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.

  • @user-gb8nv6jy7z
    @user-gb8nv6jy7z11 ай бұрын

    Hongera dada angu❤❤

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Жыл бұрын

    Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤

  • @Allykoroshotv

    @Allykoroshotv

    Жыл бұрын

    Fact

  • @juniorjohn2233

    @juniorjohn2233

    Жыл бұрын

    Mungu akutangulie zaid

  • @user-lm7nc2ff2x
    @user-lm7nc2ff2x10 ай бұрын

    Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤

  • @user-gg2jq8mp9d

    @user-gg2jq8mp9d

    10 ай бұрын

    Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂

  • @hidayaswai3119

    @hidayaswai3119

    10 ай бұрын

    Tilisho service. Welcome usafiri na sisi

  • @LempurukSamwel
    @LempurukSamwel10 ай бұрын

    Ooh Dada uko sawa.From Samburu.

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge68188 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ mdogo wangu go and God bless you bbysisy

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd Жыл бұрын

    ❤❤❤❤

  • @ZenaMakongolo-tk9si
    @ZenaMakongolo-tk9si10 ай бұрын

    Mungu akulinde dd ❤

  • @AnetDaniel-vx2sd
    @AnetDaniel-vx2sd11 ай бұрын

    Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr

  • @yannicknicah133

    @yannicknicah133

    10 ай бұрын

    Sema kweli

  • @CatherineKimoso
    @CatherineKimoso8 ай бұрын

    Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.

  • @mlawatvonline3720
    @mlawatvonline37207 ай бұрын

    Mashaallah

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 Жыл бұрын

    MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu

  • @stellakasimba9375

    @stellakasimba9375

    Жыл бұрын

    Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    Жыл бұрын

    Amiina

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.

  • @elisifaaron5662

    @elisifaaron5662

    11 ай бұрын

    Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar

  • @abelmumamwamba8990

    @abelmumamwamba8990

    11 ай бұрын

    Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri

  • @user-ps8og2dg8o
    @user-ps8og2dg8o11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi276511 ай бұрын

    mashaailah mungu akulinde dada

  • @user-vk8ok3ow1m
    @user-vk8ok3ow1m7 ай бұрын

    Wanawake tunaweza

  • @user-rd6zz5rq9s
    @user-rd6zz5rq9s6 ай бұрын

    Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 Жыл бұрын

    Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Жыл бұрын

    Kazur asee

  • @user-pl1wn1xd4n
    @user-pl1wn1xd4n10 ай бұрын

    Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako

  • @user-ep9rv7yk8e
    @user-ep9rv7yk8e10 ай бұрын

    👍

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын

    So beautiful

  • @RichardNoel-by1cc

    @RichardNoel-by1cc

    11 ай бұрын

    Muowerh

  • @rosemmary6802
    @rosemmary6802 Жыл бұрын

    Wachag salute

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Жыл бұрын

    Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda

  • @kassimourio6879
    @kassimourio68794 ай бұрын

    Very systematic....🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SHADRICKSHABANI
    @SHADRICKSHABANI3 ай бұрын

    This is my name to location 🤝

  • @user-rd6mo1zb6g
    @user-rd6mo1zb6g10 ай бұрын

    Nawapenda tilisho

  • @user-gs3hx3kd3r
    @user-gs3hx3kd3r6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @SuzyMongi-ov8wk
    @SuzyMongi-ov8wk10 ай бұрын

    Good Mungu azidi kukupigania

  • @mercypeter162
    @mercypeter1629 ай бұрын

    MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia

  • @bakarimakame4694
    @bakarimakame4694 Жыл бұрын

    Jmn kaongezeeni mshahara

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Жыл бұрын

    Hakika Ni mrembo natural. Nmempenda

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Жыл бұрын

    Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    10 ай бұрын

    Umejisikiaje kuongea ujinga km huo

  • @hezronjoseph405

    @hezronjoseph405

    10 ай бұрын

    @@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke

  • @EliasheaZadock
    @EliasheaZadockАй бұрын

    Mambo naomba Namba yako dada

  • @msakanotiofficial5523
    @msakanotiofficial552310 ай бұрын

    Nice ibebe Rombo mama

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma33798 ай бұрын

    Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏

  • @glorychambi6559
    @glorychambi655911 ай бұрын

    Mzuri had raha

  • @FaudhiaUshaky-if8fs
    @FaudhiaUshaky-if8fs11 ай бұрын

    Jaman jamani niungenamimi mdada uko

  • @user-dk7dy4ds8g
    @user-dk7dy4ds8g8 ай бұрын

    Karembo kanaxaut nzur xan

  • @sharifahamis6924
    @sharifahamis6924 Жыл бұрын

    Mbona kasema ana miaka 21

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika199610 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ NAKUPENDA BURE KIPENZI

  • @isangasamatini217
    @isangasamatini21710 ай бұрын

    Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku

  • @NgelejaLukanda
    @NgelejaLukanda2 ай бұрын

    Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20

  • @Neema-fh1wp
    @Neema-fh1wp10 ай бұрын

    Mmmh,ulivomtaja chiku kwakweli huyu chiku sikupenda ushauri wake,yaan yeye niwakuniambia eti usimfate mume wako maana unaeza kuta yupo na mwanamke, Adui wa mwanamke nimwanamke jaman uwiiiiii😂

  • @musashalangwa3780
    @musashalangwa378011 ай бұрын

    Ndiyo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Жыл бұрын

    Ndio anajiamin sana

  • @user-cm8dg4zy7p
    @user-cm8dg4zy7p10 ай бұрын

    hongera sana

  • @makrinamgombela1138
    @makrinamgombela1138 Жыл бұрын

    Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante

  • @jonijomk3107

    @jonijomk3107

    10 ай бұрын

    ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??

  • @QueenMishy

    @QueenMishy

    10 ай бұрын

    C umchangie kma hela unazo😂😂

  • @jonijomk3107

    @jonijomk3107

    10 ай бұрын

    @@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EliaMbise-el7hl
    @EliaMbise-el7hl10 ай бұрын

    Hii Kali sasa

  • @gervas58
    @gervas58 Жыл бұрын

    Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia

  • @monicambuya-sq9ms

    @monicambuya-sq9ms

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂tutajie ilo kabila

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    Жыл бұрын

    wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    Жыл бұрын

    ​@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Жыл бұрын

    @@emariusrush3285 shenzi😆😆

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Жыл бұрын

    Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail257810 ай бұрын

    Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight

  • @user-yt7nn1fs1p
    @user-yt7nn1fs1p10 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 Жыл бұрын

    dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata

  • @abdallahukwaju4473

    @abdallahukwaju4473

    11 ай бұрын

    Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya

  • @hussensaidi1451
    @hussensaidi145111 ай бұрын

    Kwel kabisa

  • @Official83640
    @Official83640 Жыл бұрын

    Hawa wapo wasichana wengi kwenye hiyo campun maana wote wapare na wachaga wanapeana kazi tu ofice yao ipo Mbezi kwa Yusuph

  • @AshaMakame-zg9xi

    @AshaMakame-zg9xi

    Жыл бұрын

    Okay kwahiyo ukenda wa BUZA KWA MPARANGE utakaa pembeni km si Rchuga

  • @Official83640

    @Official83640

    Жыл бұрын

    @@AshaMakame-zg9xi Umereaply nn sijaelewa

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    Жыл бұрын

    ​@@AshaMakame-zg9xi😂😂😂😂😂

  • @elyaikastanley6390

    @elyaikastanley6390

    11 ай бұрын

    Ni kawaida kila tajiri mwenye magari asilimia 90 ameajiri watu wa Kanda yake

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Жыл бұрын

    Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa

  • @SylviaAthuman
    @SylviaAthuman11 ай бұрын

    Pambana my dear kaz ni kaz

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta415911 ай бұрын

    Nice fanya namba sasa usiniambie una boy friend

  • @HanifaHashilu-mv6lv
    @HanifaHashilu-mv6lv2 ай бұрын

    Naomba no ya sm

  • @ernestotadeunete3337
    @ernestotadeunete333710 ай бұрын

    Nimekupenda Sana nataka namba yako nipo Moçambique na mke wangu amekupenda

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Жыл бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌻🌷🥀

  • @user-ep9rv7yk8e

    @user-ep9rv7yk8e

    10 ай бұрын

    Good 👍 sana dada ang, napenda sana 🙏 unavyomake hela. Naomba bas namba ya WhatsApp au group la mabas kampun yeyote

  • @maimunaabdallah3211
    @maimunaabdallah3211 Жыл бұрын

    Anahudumia vizur sana Nancy yupo vzur

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j9747 Жыл бұрын

    Kazuri

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    Жыл бұрын

    Mashallah❤

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu714610 ай бұрын

    precious air aeroplane host huyu apa kazi kwenu

Келесі