#EXCLUSIVE
Ойын-сауық
#EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 274
Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.
Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤
Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah
@venancshirima9103
7 ай бұрын
❤
Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako
Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.
Bravo mentor other women to do any work around the globe
Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada
Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤
MashaAllah gd job❤ sweet
Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷
Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza
@donvanpierre4369
10 ай бұрын
shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana
Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake
Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana
@cleophacephelician6739
Жыл бұрын
Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri
Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.
Mashaallah❤
Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪
Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏
Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana
Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati
Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working
mungu hawabarik
MUNGU akutunze nice, utafika mbali
Good heart
Masha allah
Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana
@user-tv9vt4qx2n
10 ай бұрын
Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni
Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya
Hongera Sana mwanangu
She is too beautiful aiseee God bless her
Nakubali sana mrwmbo wetu wa Moshi🤙🥳 sema nini umetisha afu wa nyumbani🤗🤗
Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤
Wow she is so cute....i love her😘
Hongera kwake boss JOHN kwa kumjali huyo bint
Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza
Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah
@MussaMohammad-ku5bt
10 ай бұрын
kweli kabisa.
@samiraaindi
7 ай бұрын
Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.
Hongera dada angu❤❤
Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤
@Allykoroshotv
Жыл бұрын
Fact
@juniorjohn2233
Жыл бұрын
Mungu akutangulie zaid
Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤
@user-gg2jq8mp9d
10 ай бұрын
Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂
@hidayaswai3119
10 ай бұрын
Tilisho service. Welcome usafiri na sisi
Ooh Dada uko sawa.From Samburu.
❤❤❤❤❤❤❤❤ mdogo wangu go and God bless you bbysisy
❤❤❤❤
Mungu akulinde dd ❤
Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr
@yannicknicah133
10 ай бұрын
Sema kweli
Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.
Mashaallah
MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu
@stellakasimba9375
Жыл бұрын
Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
Amiina
Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.
@elisifaaron5662
11 ай бұрын
Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar
@abelmumamwamba8990
11 ай бұрын
Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri
❤❤❤❤❤❤
mashaailah mungu akulinde dada
Wanawake tunaweza
Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs
Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa
Kazur asee
Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako
👍
So beautiful
@RichardNoel-by1cc
11 ай бұрын
Muowerh
Wachag salute
Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda
Very systematic....🎉🎉🎉🎉🎉
This is my name to location 🤝
Nawapenda tilisho
❤❤❤❤❤
Good Mungu azidi kukupigania
MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia
Jmn kaongezeeni mshahara
Hakika Ni mrembo natural. Nmempenda
Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto
@samwelimoshi5614
10 ай бұрын
Umejisikiaje kuongea ujinga km huo
@hezronjoseph405
10 ай бұрын
@@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke
Mambo naomba Namba yako dada
Nice ibebe Rombo mama
Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏
Mzuri had raha
Jaman jamani niungenamimi mdada uko
Karembo kanaxaut nzur xan
Mbona kasema ana miaka 21
❤❤❤❤❤❤❤❤ NAKUPENDA BURE KIPENZI
Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku
Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20
Mmmh,ulivomtaja chiku kwakweli huyu chiku sikupenda ushauri wake,yaan yeye niwakuniambia eti usimfate mume wako maana unaeza kuta yupo na mwanamke, Adui wa mwanamke nimwanamke jaman uwiiiiii😂
Ndiyo
Ndio anajiamin sana
hongera sana
Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante
@jonijomk3107
10 ай бұрын
ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??
@QueenMishy
10 ай бұрын
C umchangie kma hela unazo😂😂
@jonijomk3107
10 ай бұрын
@@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii Kali sasa
Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
😂😂😂😂tutajie ilo kabila
@emariusrush3285
Жыл бұрын
wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!
@joycenicodemus.2232
Жыл бұрын
@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣
@nancyg8664
Жыл бұрын
@@emariusrush3285 shenzi😆😆
Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo
Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight
Kweli kabisa
dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata
@abdallahukwaju4473
11 ай бұрын
Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya
Kwel kabisa
Hawa wapo wasichana wengi kwenye hiyo campun maana wote wapare na wachaga wanapeana kazi tu ofice yao ipo Mbezi kwa Yusuph
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Okay kwahiyo ukenda wa BUZA KWA MPARANGE utakaa pembeni km si Rchuga
@Official83640
Жыл бұрын
@@AshaMakame-zg9xi Umereaply nn sijaelewa
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
@@AshaMakame-zg9xi😂😂😂😂😂
@elyaikastanley6390
11 ай бұрын
Ni kawaida kila tajiri mwenye magari asilimia 90 ameajiri watu wa Kanda yake
Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa
Pambana my dear kaz ni kaz
Nice fanya namba sasa usiniambie una boy friend
Naomba no ya sm
Nimekupenda Sana nataka namba yako nipo Moçambique na mke wangu amekupenda
🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌻🌷🥀
@user-ep9rv7yk8e
10 ай бұрын
Good 👍 sana dada ang, napenda sana 🙏 unavyomake hela. Naomba bas namba ya WhatsApp au group la mabas kampun yeyote
Anahudumia vizur sana Nancy yupo vzur
Kazuri
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
Mashallah❤
precious air aeroplane host huyu apa kazi kwenu