EXCLUSIVE : DULLA MBABE AKITOLEA UFAFANUZI KIFINYO ALICHOCHEZEA UINGEREZA | AANIKA JANJAJANJA....
Спорт
Bondia Mtanzania Dulla Mbabe atolea ufafanuzi na maelezo ya ndani kuhusiana na kifinyo matata "KO ya uso kukutana na ngumi'' alichochezea nchini Uingereza Machi 31,2024, Ambapo bondia huyo alikalishwa kwa KO nzito na kulamba ulingo...
Stori zikasambaa ndani ya mitandao ya kijamii na kushika kasi kwenye kurasa mbalimbali za michezo nchini Tanzania ikiwemo huku kila mtu akisema lake.
Dulla ana nini cha kujibu dhidi ya kichapo hicho, huyu hapa kwenye LEO TENA anajibu yote kwa ufafanuzi maelezo..
Пікірлер: 152
Africa kuna wapiganaji wazuri sana sema tatizo wanatumia madawa
Kiukweli Dula nivigum kumuaminisha kila mtu uhalisia wamtu ulionao mm nakupa hongera kupamabna ongeza mazoezi ila fitina zipo sana ktk mapambano ya Michezo
ukisoma comments unajua tu vile wabongo hatupendani... roho mbaya tu
Pole mwamba mimi nimekuelewa sana
Anacho kiongea Dulla ni kweli wazungu wanahizi Mambo sana
Ngumi za wageni kushinda kwa point hapa Duniani zipo Tanzania tu.kwengine kote Duniani unapigishwa tu
Pius ni bondia mzur sana 🎉❤❤
Kazana ndugu yangu! Onyesha kiwango cha mabadiliko japo n kwl tunajua age imeshakata na kiwango kimeshuka.
....you are better be smart !? Au you better be smart !? Msomaji sms au mwandishi !? Au ndio ada zenyewe !?
Uyo muongo sms wametumiana na watu wa kule kule uingeleza watanzania wanaoishi kule cc tumsikilize tuuu ishakuwa mbaya
Huyo hlo dude la juu habadirishagi aisee
Daa wabongo huwa wakiamua kuchagua upande wao hata uwathibitishie vipi hawakubali comments zimejaa chuki za kujenga ni chache! Next time dullah uwe tu makini ujifunze kupitia makosa
Bora Ungebaki Na Siri Yko Dulla Wabongo Hawawez Kkuelewa Kwa Ilo Jambo Endelea Kupambana
Mwongo sana huyu Dulla,mswahili sana
pole sana niliiona ilee match Ndıo mchezooo mm kama mwanasports s shangaii !!
Dula tunakukubali sana lakin yule bondia yupo vizur umuwez
Jose mara umezingua
Round zote dullah umepigwa bhn sema unatka tupost round ipi?ambyo unahc ww umempiga mshikaji?sema ww umepigwa
@rashididunia9814
2 ай бұрын
amin baba kapigwa kwel
Acha uongo kilasiku unapigwa acha ngumi bro
Ujumbe siyo sahihi.kubali ulipigwa na uwaombe radhi shabiki wako.
Waandishi hao mabondia ni waongo,wakipigwa wanacngizia kubebwa wakishnda maneno mengi na kujigamba kwingi,huyo kapigwa,twaha kapigwa,kidunda kapigwa na mwakinyo chmpz katuzuga vicbgizio kibao
Dullard huo ni Uwongo
Tatizo dula ajaaga ivyo kakosa baraka zetu🏃🏃🤣🤣🤣 kakurupuka
Si kweli, acha kutufanya sisi makolo. Umepigwa kinyama kubali tu.
Sema nilipigwa ila round tatu nilisavaivu vizuli
Usikate Tamaa dulla
Wewe umepigwa vizuli Sana
HAMNA KITU ACHA UTEJA BROTHER CHEKI DOMO LIMELEGEA 😂😂
Umedundwaa kubali Wacha ngonjera nyingi
Hiyo SMS inaweza kuwa ya kutengeneza, Uingereza wanatujia Euro au Pounds siyo dolla
Lazima tuwe wazalendo na inchi yetu, mabondia njee ya inchi wananyanyasika sn
Shauri yako we sema UONGO, Wazungu WATAKUSHITAKI!
MAKASIRIKO
hiyo message mngeiweka hapo kwenye screen tuione, na tuone na hiyo number - si mmeamua kufunguka, wekeni vitu hadharani tuone wenyewe
Muacheni dula akapumzike anaumwa jama anajua kukanda umekandwa sana pole muigeni pius mpenda anamkanda mtu kwao mpaka wanakubali
Yaan wabongo mnazingua Sana,mkishinda hamsemi km mumefanyiwa hujuma,Ila mkipigwa 7bu km zote,pambano aloshinda bondia kw k0 hamkusema mumependelewa lkn mlipopigwa na kuuza pambno mnacngzia viatu,
Hamna bondia hapo
Kama ni hivyo si Bora unbeatable hilo pambano kabisa na kuwajulisha wahusika pumbavu ww
Ameuza match
Nikwel kabisah mzee me nimeona mechi uliopigana na katompa na ngumi ulizo pigwa na rounds zikaisha angekuwa bondia mwingine kisha viacha wewe ni bondia mgumu sijawah kuona Tanzania 🫡🫡🫡
Umepigwa kubali acha kunawa mzee
Aiseeee
One hundred thousand...sio dollar elf1 be smart unayoyasoma na unavyo translate ni tofauti.
Dulla una uso mgumu ujavimba jicho😂
Mbona hela ndogo 1000$😅😅😅
Dullah muongo,yaan issue km hiyo ya rushwa wakutumie msg?msg ambayo ni ushahid inayoweza kuwaharibia,nakataa
@uwezokinahi7870
2 ай бұрын
Kazingua sana Huyu Jamaa..Alitakiwa akaushe tu
Mabondia wa Tz acheni usenge msifanye watu wajinga kama nyinyi kwanini usikubali umepigwa unaongea sababu Zakijinga yule wa Tanga alisema Beg lake Lili potea Airport umeenda kupigana UK wanao taka kukupa pesa ili uwachie pambano wapo UK lkn waliongea na mtu kutoka Ghana akupigie Sim ili ukubali kuachia pambano hii sijaiyelewa bado
@ayoubabdul6152
2 ай бұрын
Huyu apumzike tu ngumi hanakitu chakutuambia
Huyu atakuwa na matatizo akili akachekiwe
Kaka dulla hapo unatupanga , wewe kiwango chako na yule mpinzani wako tofauti kabisa.Hata marudiano ifanyike tanzania knockout inakuhusu, wewe umepata pesa yako ya kula basi tulia.Wadau wangumi tunajuwa haunakiwango cha kumshinda mpinzani wako
Dulla mbabe😂😂😂unajitetea kinyongeee!!!???ila we ni mwamba utabaki kuwa nembo ya taifa katika boxing.
Dula umelala kwa raha za pale sio njamaa
Mbona tuliona raundi zote 4 dullar mbabe?nn kipo hapo.
Inaweza ikawa kweli ila sisi tutaaminije, tutajuaaajeeee!!!
Ww muongo kubal tu umechezea kichapo
Dula ni bondia mzuri sana ,lkn Kwa hili la juzi aseme ukweli tu .amekalishwa na sii Kwa njma.hamuwezi yule jamaa maana jamaa yule alimzidi Kwa kila kitu
Huyu kapigwa round zote 4 alizocheza analeta sababu za kipuuzi tu halafu hawezi kuongea ki professional bora angekaa kimya!!!
Unachokisema wanamichezo wanakuelewa vizuri
Kwanini usijigharamie Hotel na Second Wako Mwenyewe, Acha Lawama
Uyu ni mweu
Sound truck ina bore kweny interview zenu
@glassamo3847
2 ай бұрын
Sounds track ni identity ya kipindi 🎉
Acha ujinga ww afdhali angeanda pius mpenda
Hajui Ngumi chizi wewe😅😅😅😅
Kama walikutumia message kama hiyo ingest takı kWa kamisaa wa mchezo kabla ya pambano
Jamaa liongo kinoma,, linaunga unga sabab lakn hazikai
We toka toka, toka bwana,usituletee ngonjera Anza kuimba taarabu
Dulla opted to talk falsehoods out of the 7,139 languages spoken in the world.
Yule bondia ulikuwa humuezi kabisa yani wazungumza urongo kujitetea .bro kubali tu ulishindwa. Ulikuwa wajitahidi lkn bondia uliepatana nae ni bondia mwenye akili skils yuko faster kukuliko. So bro watu walikuona unavyo jitahidi lkn humuezi hata mukiregelea fight atakueka chini
Yule shoga alisema viatu vimembana uyu nae changing room alilala anataka kutuaminisha walipulizia dawa
Uwezo wako mdog sana kwa yule mchiz
kwanini mkubali kwenda ivyo wakati mnayajua hayo mambo yapo au ndo tuseme njaaaa
One hundred thousand ni dola laki moja sio dola elfu moja
Age go
Kama ulilala shida iko wapi sasa😅
Yani huyu n bondia WA hovyo limepgwa afu analeta sababu za kifara acha ujinga Wewe hujui ngumi mibangi misigara unanataka kuleta ufara😅😅😅😅
mwishoni hapo alianza kupanick
Kubali tu jamaaa kakuzidi uwezo, mbn hata bongo ulipigwa mala mbili na katompa au napo ulifanyiwa figisu?
Kama unaushaihidi wa mpaka message kwanini usiwashitaki katika shirikisho la ngumi duniani
Njau alikuwepo ,? Unasingizia upendo njau ,,,visingizio Kama vyote
Dullah ashachoka
Mzungu yuko fiti atatuulia mzaramo wetu😂😂😂
Dulla pumzika uttauliwa ulingoni
Wanazingua ana hata aibu kwahyo ametia aibu nchi kisaela😮
@user-bs1jg5rh4r
2 ай бұрын
Wewe dula muongo Kwenda huko😅😅😅😅
Swala ni kwamba umekandwa haijalishi umekandwa vip 😂😂😂😂😂 kwaiyo usimlaumu mtu yeyote aliepost umekandwa
Muongo dula, maneno yako yanakusuta
Hapa kwetu usanii kweli kweli uongo malakibao
Kwanini hao watu usiwataje hayo mambo ya kuna mtu ni uongo mtupu mnaposhindwa mnaanza upumbavu mtupu.
Pumbavu zko.
Alienda kuangalia uingreza palivo
Hamuna lolote .wee umepingwa vinzuri .na yure bondia humuwezi
Toka acha uwongo
Kwel Mmezd Unafki Watangazaj Wa-Tanzania
Muongo angeshinda asingesema yote
Wewe dull muongo
Hao wanahabari wasikuumize kichwa.
Unatafuta sababu
Watamuua mzalamo wetu😂
Muongo kichizi!
kashaanza kalala yaani dullah, kulala c uchovu au ndio ulimwagiwa dawa?
nmekuzarau sana chifu. huna thaman Tena ww ni bureee na ushalipwa
Mwongo😂😂. Mchezo upo kwenye you tube 😂😂😂. Ulikuwa kama mandonga da. Jamaa alikewa anakuchapa mpaka huruma😂😂😂😂