Elizabeth Michael - CHAPATI ZA MAJI PISHI LA LULU

Ойын-сауық

Elizabeth Michael - PISHI LA LULU Episode 2 CHAPATI ZA MAJI
© 2020 - EM
Karibu EM Kitchen, karibu jikoni kutazama PISHI LA LULU.
AZANIA UNGA WA NGANO WA UHAKIKA..!!
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
KZread: / elizabethmichaelofficial
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmichaelofficial
#ElizabethMichael #PishiLaLULU #EMKitchen

Пікірлер: 164

  • @racheladah9001
    @racheladah90014 жыл бұрын

    Can you list the ingredients you use in the comment section ? And also translate in english? You have a wide audience not only tanzania

  • @wardaally7644
    @wardaally76444 жыл бұрын

    Mh raha ya chapat za maji ziwe brown mm zikiwa nyeupe hivyoo siwez kula naona kama hazijaivaa

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    4 жыл бұрын

    wapemba cc ndo raha ya mikate ya maji iwe Brown haswaa ukila na asaliiii unajickia

  • @salamakindee4839

    @salamakindee4839

    4 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @winfridaphilemon8165
    @winfridaphilemon81654 жыл бұрын

    🍐🍏🍇🍉🍍🍎🍓🍒 mwenyewe ndani ya jikoni 💝💖

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47244 жыл бұрын

    Uyo mziki nao wapasuwa mackio mashaallah ongera kwa upishi

  • @neveragainneveragain1880
    @neveragainneveragain18804 жыл бұрын

    Lulu unaweza💖💖💖Heiwewe unaweza ingia jikoni na unawashajiko Wewe sio Slayqween

  • @oliverjohn2987
    @oliverjohn29874 жыл бұрын

    Nicer!!

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Hongera Sana,

  • @deborahbedola1142
    @deborahbedola11424 жыл бұрын

    Napenda sana mapishi yako alakini tafadhali saana uwe na andika viungo chini ita tusahidiya saana.Mercii beaucoup

  • @stellaamma8769
    @stellaamma87694 жыл бұрын

    Waooow..looks yummy

  • @mwanahamisihussein4935
    @mwanahamisihussein49354 жыл бұрын

    Bado sana unajifunza

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70394 жыл бұрын

    Kipndi kifup hakichoshi nmependa.lulu NAKUPENDAGA 🥰@hasa mwanngu anakupenda sana🥰

  • @jamilapaulo7238
    @jamilapaulo72384 жыл бұрын

    Sikwachapati hizo

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly92614 жыл бұрын

    Mmmm jamani kwa kweli mchele mmoja wapishi mbalimbali hongera kwa kipaji tu cha kujiamini.Ila!!!!

  • @brendaokumu8518
    @brendaokumu85184 жыл бұрын

    Go baby girl

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam9824 жыл бұрын

    Mbona umeweka sukari, hiliki halafu zipo nyeupe jaman hapana,, ungeweka karot, pilipili boga, na Yai tu

  • @isabellamethod1842

    @isabellamethod1842

    4 жыл бұрын

    Kila mtu naupishi wake wew huo niupishi wako nayeye huo niupishi wke

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18124 жыл бұрын

    Mapishi matam san😘

  • @rehemasalum2531
    @rehemasalum25314 жыл бұрын

    Jitahidi uwe unatuwekea ingredients kwenye video na description box pia iwe na vipimo sahihi ulivyotumia

  • @goodteam7890
    @goodteam78904 жыл бұрын

    Kaigize tu mapishi waachie wengine hahahaaaaa

  • @johndieme6402
    @johndieme64024 жыл бұрын

    Unajuwanivire mungu amusaidiye corona ipite unaweza

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed40024 жыл бұрын

    umewah kuzitoa zko nyeupe sanaa

  • @rehmaramadhani5147
    @rehmaramadhani51474 жыл бұрын

    Good

  • @khaashfarfarid4221
    @khaashfarfarid42214 жыл бұрын

    Sjuw sjaona uzur au vp hvi chapati zamaji kaweka hamira ahaa Dadaangu kama hujuwi Sema ufundishe unatutia aibu wanawake wenzio 😏

  • @siamosha5688

    @siamosha5688

    4 жыл бұрын

    Sio hamira ni hiliki na wewe

  • @queenkaiza2880
    @queenkaiza28804 жыл бұрын

    Kupika ney lulu

  • @grethasabuni
    @grethasabuni4 жыл бұрын

    pancakes, love it 😋😘😘

  • @moosala5702

    @moosala5702

    4 жыл бұрын

    Kama wataka fundishwa sema

  • @tatuomary7973
    @tatuomary79734 жыл бұрын

    mashaAllah hongera Ila usipende kutumia mkono bkatika kushikashika chapat ni harar kwa Afya because mikono huwa Ina backteria

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool42354 жыл бұрын

    Naona umepata tenda. Ya Unga WA azaniaa

  • @angeltwipa4387
    @angeltwipa43874 жыл бұрын

    Yummy 😋😘

  • @tumabhay8576
    @tumabhay85764 жыл бұрын

    Ama kweli mapishi kila mtu na utaalam wake.. Kila m1 anpika kwa stail yake.. Hivyo ulivyo pika ww lulu ni kwa utashi wako ila wengine ni tofauti.. But ww mwenyewe unaona uko sahihi sio shida hio mikate muhimu kutia kitunguu maji ukipenda hata Thom inaleta harufu nzuri ukipenda karot pili pili boga chunvi na mikate inanoga htr kupita maelezo alafu inakua na rangi flani ivi ya kupendezaa na sio meupe iyo kwa mm lakini. MAPISHI NI KUNGA.

  • @khadjakombo1587

    @khadjakombo1587

    4 жыл бұрын

    Alichokosea ni rangi lkn kuweka viungo ivyo Akati katia sukar haiwezkn alitakiwa awake na irik bas

  • @rosemusunga2000

    @rosemusunga2000

    4 жыл бұрын

    Na ile nyeupe nini aliyoweka baada ya kutia sukari kuacha hiliki.

  • @mariamkakere7853

    @mariamkakere7853

    4 жыл бұрын

    Ameweka sukari, kisha iliki then nyeupe ni chumvi

  • @rosemusunga2000

    @rosemusunga2000

    4 жыл бұрын

    @@mariamkakere7853 Ok

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33034 жыл бұрын

    mmmnh sisi wa kule visiwani chapati za huweki sukari bali ukila tunakula ukipenda na asali likes km wewe chapati za maji A.K.A MAGOLE

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana46124 жыл бұрын

    Itapendeza sana ikihongeya

  • @jazziesvlogs7840
    @jazziesvlogs78404 жыл бұрын

    You belong in acting please

  • @thequeen5985
    @thequeen59854 жыл бұрын

    Awww baby you such a nice cooker lulu i love you so much girl😘😘😘❤❤❤❤😍

  • @dinakabengele8336
    @dinakabengele83364 жыл бұрын

    😘😘😘😘😘

  • @aminafonga2267
    @aminafonga22674 жыл бұрын

    Leo nimewahi

  • @mdmubrak8152
    @mdmubrak81524 жыл бұрын

    😘😘😘😘

  • @wadenimagwaza1706
    @wadenimagwaza17064 жыл бұрын

    Sasa dada lulu sijuwi tutapataje nafasi za kujifunza dada. Corona ncohivyo imetambaaa. Jamani lulu. Kalibu mbeya

  • @shamimuukufula3737
    @shamimuukufula37374 жыл бұрын

    Haujanishawishi pole

  • @khadijaali6167
    @khadijaali61674 жыл бұрын

    MashaAllah mikate ya maji mizuri mie naomba utuoneshe jinsi ya kupika mchuzi huo wa maini please

  • @nunuuali5316
    @nunuuali53164 жыл бұрын

    Kwa chapati za maji bado aiseee

  • @asnaathuman4217
    @asnaathuman42174 жыл бұрын

    Nc

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74434 жыл бұрын

    Mh lulu emezidi

  • @gasanajacques2247
    @gasanajacques22474 жыл бұрын

    Lulu you better tell us what you’re mixing there

  • @annethsteven428
    @annethsteven4284 жыл бұрын

    Afu ungejua nina njaa😟😟😋😋

  • @aishayusufu2082
    @aishayusufu20824 жыл бұрын

    Boya hili halijui kupika

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv50314 жыл бұрын

    Raha ya mapishi Yaungwe - kwani vikiungwa vitamu Ukipata mtaalaamu Wa kuviungaa

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv50314 жыл бұрын

    Vikiungwa vitamu Ukipata mtaalaamu Wa vitamu viwe VYA mwilini au jikoni

  • @mariamsaid5655
    @mariamsaid56553 жыл бұрын

    😁😁😁umetupiga changala macho LULU umetuonyesha moja tu mama nahisi za mwanzo zimeharibika ukatupa ukabahaitisha moja ndo ukatuonyesha hahaha umejua kutuchezea akili zetu mama G

  • @jamilapaulo7238
    @jamilapaulo72384 жыл бұрын

    Kiufupi hujuwiiii hata mwanangu anakushinda zuuu

  • @queenmariana5887
    @queenmariana58874 жыл бұрын

    Hey gal orodheshaa hayo mahitaji na uwe unaongeaa plz 🙏🙏 love u mob

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim84284 жыл бұрын

    TUnaomba uwe unatoa maelekezo kama unga kiasi gan

  • @farsyfood9460
    @farsyfood94604 жыл бұрын

    Nice but hizo ni za sukari inatakiwa kutia maziwa kidogo za chumvi ndio hutii suger

  • @joharhamisi9140
    @joharhamisi91404 жыл бұрын

    Hata kuweka vitunguu karot na hoho

  • @assya48
    @assya484 жыл бұрын

    Fabya vipimo ndio inapendeza huo unga unajimiminis tu

  • @jacklineisack6701
    @jacklineisack6701 Жыл бұрын

    Uwe unaondika majina ya viungo plz

  • @getrudeswai412
    @getrudeswai4124 жыл бұрын

    You've tried but chapati ya Maji inafaa utumie mafuta kidogo sana, pia iwe Na rangi ya Brown yakutosha.

  • @karthala6676
    @karthala66764 жыл бұрын

    Kuna chapati na mikate ya maji

  • @marryg4235
    @marryg42354 жыл бұрын

    Part ya kimya kimya😁

  • @jenipheralphonce7762
    @jenipheralphonce77624 жыл бұрын

    Show ingredients while mixing

  • @mariamruth1335
    @mariamruth13354 жыл бұрын

    Tuandikie majina ya viongo sweetheart

  • @halimarashid294
    @halimarashid2944 жыл бұрын

    Raha ya chapati za maji hasa uweke vitunguu maji sio sukari halafu chapati zinatakiwa ziwe brown izo nyeupe kabisa halafu ushauri tu punguza mafutaa ila umejitahidi hongera

  • @Royalcakespoint
    @Royalcakespoint4 жыл бұрын

    Dear ungeboresha kwenye vipimo ungejaribu kutumia measuring cups & spoons...ili mtu iwe rahisi kujaribu kwa kipimo sahihi

  • @FloraHerena
    @FloraHerena4 жыл бұрын

    What are the two other ingredients not mentioned ?

  • @OnlyRuky

    @OnlyRuky

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂☝️hajaweka vingine kasahau

  • @FloraHerena

    @FloraHerena

    4 жыл бұрын

    She mentioned flour , salt, sugar and egg . The other ingredients she did not mention what they were

  • @aminaseleman5147

    @aminaseleman5147

    4 жыл бұрын

    Flora Herena tumia kiswahili dada mbn ni lugha nzur tu What they were ndo nn xx

  • @aminaseleman5147

    @aminaseleman5147

    4 жыл бұрын

    Iliki ya unga n hyo kichupa ni alki au flavour kwa kizungu

  • @FloraHerena

    @FloraHerena

    4 жыл бұрын

    `Amina Seleman thanks

  • @tufahomebakery1043
    @tufahomebakery10434 жыл бұрын

    Chapati za maji inatiwa hamira

  • @noelashaoona
    @noelashaoona4 жыл бұрын

    I thought those are called pancakes

  • @halimavuhya5881
    @halimavuhya58814 жыл бұрын

    Mahitaji haina vipimo????

  • @marthadamian8594
    @marthadamian85944 жыл бұрын

    Hahaha hamna kitu hapoo wewe fani yako ni kuigiza mapish waachie akina Aisha buhet hukoo wewe ni karembo mno,halafu sio chapat za maji ni za kumimina

  • @queenkaiza2880

    @queenkaiza2880

    4 жыл бұрын

    Hajui jamanii

  • @neveragainneveragain1880

    @neveragainneveragain1880

    4 жыл бұрын

    Lulu songa mbele 💖 heri wewe ulingia jikoni ukawasha moto ukapika unaweza bby💖💖💖💖💖

  • @avierastevens5141

    @avierastevens5141

    4 жыл бұрын

    Kiukweli sio uongo anajitahidi bcs wapo wengine ni mbumbu. Lkn kwa upande mwingine lulu hajui ni kama anajifundisha.

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    4 жыл бұрын

    chapati za maji na sukari na arkiii mmmmmh

  • @abdullmazrui90

    @abdullmazrui90

    4 жыл бұрын

    Martha Damian chapati za kumimina mnatumia nyie sisi tunatumia za maji

  • @mirifatrama2632
    @mirifatrama26324 жыл бұрын

    Tuonyeshe jinsi ya kupika birian

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam99604 жыл бұрын

    Hujatoa vipimo vya unga na maji .Nahiyo brown ni nini

  • @souvenirweber7169

    @souvenirweber7169

    4 жыл бұрын

    Ndio na mimi nimeshangaa nikama hamira ila hii nikama robot hasemi vipimo wala vitu anavyochanganya

  • @rosellaabraham13

    @rosellaabraham13

    4 жыл бұрын

    Kwenye insta yake amesema ni hiriki

  • @zuwenaali3698

    @zuwenaali3698

    4 жыл бұрын

    @@rosellaabraham13 brown ni sukari

  • @rosellaabraham13

    @rosellaabraham13

    4 жыл бұрын

    @@zuwenaali3698 kuna sukari na hiriki pia ambayo watu wanaiona kama hamira...

  • @anjelawillison4971

    @anjelawillison4971

    4 жыл бұрын

    Jaman hawez kukupangia kila mtu ana familia yake pima unga kias cha familia yak

  • @queenandchill91
    @queenandchill914 жыл бұрын

    Hamna kitu

  • @maryamkhamis7288
    @maryamkhamis72884 жыл бұрын

    Hahaaa kama umeweza lakini umekosea kidogo tu chapati ya maji mamy haiwekwi iliki sukari wala vanilla unaweka yai chumvi na matu ukipenda unaiyunga na kitungumaji hoho na karot

  • @happybraysoni7690

    @happybraysoni7690

    4 жыл бұрын

    Inawekwa kila kitu upendavyo chumvi sukar iliki swamu kitunguu maji pilipili hoho karoti maziwa au nazi vanila acheni kupika kimazoea jamani

  • @salvinafundi1936

    @salvinafundi1936

    4 жыл бұрын

    Reciple ni tofauti we should not claim mapishi sio formula

  • @rosemusunga2000

    @rosemusunga2000

    4 жыл бұрын

    Kila mtu na upishi wake kuna wengine hawaweki mayai wala sukari, wanaazipika za chumvi tu.

  • @mwanaseprian6102

    @mwanaseprian6102

    4 жыл бұрын

    Kakosea sana

  • @fatihiasalim8753

    @fatihiasalim8753

    4 жыл бұрын

    @@mwanaseprian6102 kweli kabisa

  • @halimaidd7254
    @halimaidd72544 жыл бұрын

    Hujui kupika chapat zenyewe zimetoka mbaya

  • @pampamie2375
    @pampamie23754 жыл бұрын

    Zinaitwa anjera ama pancakes

  • @khadijal9851

    @khadijal9851

    4 жыл бұрын

    Pamy wa Isimale anjera haipikwi na mafuta

  • @mrtnm.k1984
    @mrtnm.k19844 жыл бұрын

    I really want to give you an advice lulu and don't feel offended it look like you struggle with confidence of taking fully I don't know why huwezi ongeya full swahili on your chanel 100% also you still so young you can take fully English lessons within 2years unaweza ongeya vizuri that's what I notice also you mute your cooking and show no face means it could be someone else doing it for you if you want to do a cooking chanel you need to know some other vloggers of swahili food are really professional either in swahili or English the are top so prepare yourself you have followers they will support you. Be bless

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    4 жыл бұрын

    kweli ukute yy anatoa intro.... tuu mpikaji mwengine mn ata haongei baada ya hapo mkono tuu unaona

  • @maryamhadid7753
    @maryamhadid77534 жыл бұрын

    dada lulu chapati za maji za mkoa gani ? ucjali umepika poua kwa ulivopika lkn watanzania walio wengi chapati za chumvi penda Sanaa

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli84824 жыл бұрын

    Unatuonyesha unavyopikaa au unatufundisha kupika??

  • @joycekato6784

    @joycekato6784

    4 жыл бұрын

    Anatangaza Unga wa Azania, hayo mapishi tutajua wenyewee

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Elezea na vipimo na ni nini na nini vinavyotakiwa kwenye mapishi hayo.watu wanataka wajue huo mchanganyiko ni nini na nini.kwa kuwa twaona unaweka hiki na kile ,hatuelewi

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne2554 жыл бұрын

    Mbona Ingredients Nyingine Hujaziandika Majina Yake Sasa🙄🙄

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza1094 жыл бұрын

    Mbona hatuoni vizuri hivyo viungo naona tu mayai hizo zingine hazionekani poa, andika tuzisome

  • @magiehermess9949
    @magiehermess99494 жыл бұрын

    Huongei,?

  • @braidnaliaka4077
    @braidnaliaka40774 жыл бұрын

    Kasi njema bi machizo

  • @khadijafaudhi89
    @khadijafaudhi894 жыл бұрын

    Alfu mbn unafnya araka ivo mpz iwe taratb video alfu ngazi kwa ngzi izo nyama umepika saa ngp Sasa. Tuonyeshe kil unachofny

  • @salamakombo3257
    @salamakombo32574 жыл бұрын

    Ivo viungo nmbina huviandik majina tukajua umetia nini na nini

  • @aminajuma2981
    @aminajuma29814 жыл бұрын

    Mapishi gani huongei upo kama bubu

  • @faustineshitobelo9946
    @faustineshitobelo99464 жыл бұрын

    Uwe unaandika vitu unavyochanganya kwa majina

  • @shangosamson2901
    @shangosamson29014 жыл бұрын

    Ni nzur lakini jarbu kuwa unaongea maana viungo vngne unatuonesha hatujui ninin mamy

  • @mariamsaid5655
    @mariamsaid56554 жыл бұрын

    Fani yako kuigiza karembo kangu ila kwenye mampishi yani mie nimekuacha mbali mnooo hahahah utani bana

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariamsaid5655

    @mariamsaid5655

    4 жыл бұрын

    @@zuleikhakhamis3303 au sio jamn fani yake uigizaji jikon hapa kwakweli

  • @raudhanaly1352
    @raudhanaly13524 жыл бұрын

    nyinyi wengine wajinga kweli chapati yamaji ili iwe nzuri utie mayai japo matatu ss ww ulosema iyo nipankeki sio chapati yamaji ww inavoonesha jiko hulijuwi nawala huna mapishi lulu yupo sahihii

  • @user-ps5mk4zc9o
    @user-ps5mk4zc9o4 жыл бұрын

    Hahahahaha Chapati za maji hazitiwi vanila na iliki wala hazitiwi sukari Ni chumvi mayai na maji unaweza kueka kitunguu maji kama utapenda. Hizo labda uzitafutie jina lake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shuweikhamohammed9548

    @shuweikhamohammed9548

    4 жыл бұрын

    مريم الريامي 🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa nguvu

  • @aminaseleman5147

    @aminaseleman5147

    4 жыл бұрын

    مريم الريامي sukari ni tamu pia

  • @hawaynatimam982

    @hawaynatimam982

    4 жыл бұрын

    Mii mwenyewe nimetoa macho ayo😂😂

  • @happyngulo4722

    @happyngulo4722

    4 жыл бұрын

    Hahahahaaa nacheka Kama mazuli jamani

  • @farajanyalulolo8178

    @farajanyalulolo8178

    4 жыл бұрын

    Ndo maana zikawa pishi la lulu every one haz got his or her recipe. So no hate

  • @viviankakiko8406
    @viviankakiko84064 жыл бұрын

    Nguo ndo ubadilish🌝

  • @user-rd7jt1vi5x

    @user-rd7jt1vi5x

    4 жыл бұрын

    Kumbe na wewe umeona kwenye nguo hahahahahaha

  • @naomiarch7789
    @naomiarch77894 жыл бұрын

    punguza mafuta mpendwa

  • @hamjanikera1234
    @hamjanikera12344 жыл бұрын

    Mapishi dadangu waachie wengine.unga wote kwa mayai 2.sasa ni chapati au pancake?

  • @welezilibero7650
    @welezilibero76504 жыл бұрын

    Mapishi huna shoga angu

  • @kimarohuba7441

    @kimarohuba7441

    4 жыл бұрын

    Naona katumia mayai ya kisasa ndyo maana nyeupe

  • @user-ps5mk4zc9o

    @user-ps5mk4zc9o

    4 жыл бұрын

    @@kimarohuba7441 😂😂😂😂chapati hazijaiva hizo sababu sio mayai🤣🤣

  • @shuweikhamohammed9548

    @shuweikhamohammed9548

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dinakabengele8336

    @dinakabengele8336

    4 жыл бұрын

    Welezi Libero ww tuoneche🤥

  • @hamidayusuph249

    @hamidayusuph249

    4 жыл бұрын

    @@kimarohuba7441 tatizo anaziwahi kuzigeuza mno

Келесі