Elizabeth Michael - CHAPATI ZA MAJI PISHI LA LULU
Ойын-сауық
Elizabeth Michael - PISHI LA LULU Episode 2 CHAPATI ZA MAJI
© 2020 - EM
Karibu EM Kitchen, karibu jikoni kutazama PISHI LA LULU.
AZANIA UNGA WA NGANO WA UHAKIKA..!!
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
KZread: / elizabethmichaelofficial
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmichaelofficial
#ElizabethMichael #PishiLaLULU #EMKitchen
Пікірлер: 164
Can you list the ingredients you use in the comment section ? And also translate in english? You have a wide audience not only tanzania
Mh raha ya chapat za maji ziwe brown mm zikiwa nyeupe hivyoo siwez kula naona kama hazijaivaa
@zuleikhakhamis3303
4 жыл бұрын
wapemba cc ndo raha ya mikate ya maji iwe Brown haswaa ukila na asaliiii unajickia
@salamakindee4839
4 жыл бұрын
Kwakweli
🍐🍏🍇🍉🍍🍎🍓🍒 mwenyewe ndani ya jikoni 💝💖
Uyo mziki nao wapasuwa mackio mashaallah ongera kwa upishi
Lulu unaweza💖💖💖Heiwewe unaweza ingia jikoni na unawashajiko Wewe sio Slayqween
Nicer!!
Hongera Sana,
Napenda sana mapishi yako alakini tafadhali saana uwe na andika viungo chini ita tusahidiya saana.Mercii beaucoup
Waooow..looks yummy
Bado sana unajifunza
Kipndi kifup hakichoshi nmependa.lulu NAKUPENDAGA 🥰@hasa mwanngu anakupenda sana🥰
Sikwachapati hizo
Mmmm jamani kwa kweli mchele mmoja wapishi mbalimbali hongera kwa kipaji tu cha kujiamini.Ila!!!!
Go baby girl
Mbona umeweka sukari, hiliki halafu zipo nyeupe jaman hapana,, ungeweka karot, pilipili boga, na Yai tu
@isabellamethod1842
4 жыл бұрын
Kila mtu naupishi wake wew huo niupishi wako nayeye huo niupishi wke
Mapishi matam san😘
Jitahidi uwe unatuwekea ingredients kwenye video na description box pia iwe na vipimo sahihi ulivyotumia
Kaigize tu mapishi waachie wengine hahahaaaaa
Unajuwanivire mungu amusaidiye corona ipite unaweza
umewah kuzitoa zko nyeupe sanaa
Good
Sjuw sjaona uzur au vp hvi chapati zamaji kaweka hamira ahaa Dadaangu kama hujuwi Sema ufundishe unatutia aibu wanawake wenzio 😏
@siamosha5688
4 жыл бұрын
Sio hamira ni hiliki na wewe
Kupika ney lulu
pancakes, love it 😋😘😘
@moosala5702
4 жыл бұрын
Kama wataka fundishwa sema
mashaAllah hongera Ila usipende kutumia mkono bkatika kushikashika chapat ni harar kwa Afya because mikono huwa Ina backteria
Naona umepata tenda. Ya Unga WA azaniaa
Yummy 😋😘
Ama kweli mapishi kila mtu na utaalam wake.. Kila m1 anpika kwa stail yake.. Hivyo ulivyo pika ww lulu ni kwa utashi wako ila wengine ni tofauti.. But ww mwenyewe unaona uko sahihi sio shida hio mikate muhimu kutia kitunguu maji ukipenda hata Thom inaleta harufu nzuri ukipenda karot pili pili boga chunvi na mikate inanoga htr kupita maelezo alafu inakua na rangi flani ivi ya kupendezaa na sio meupe iyo kwa mm lakini. MAPISHI NI KUNGA.
@khadjakombo1587
4 жыл бұрын
Alichokosea ni rangi lkn kuweka viungo ivyo Akati katia sukar haiwezkn alitakiwa awake na irik bas
@rosemusunga2000
4 жыл бұрын
Na ile nyeupe nini aliyoweka baada ya kutia sukari kuacha hiliki.
@mariamkakere7853
4 жыл бұрын
Ameweka sukari, kisha iliki then nyeupe ni chumvi
@rosemusunga2000
4 жыл бұрын
@@mariamkakere7853 Ok
mmmnh sisi wa kule visiwani chapati za huweki sukari bali ukila tunakula ukipenda na asali likes km wewe chapati za maji A.K.A MAGOLE
Itapendeza sana ikihongeya
You belong in acting please
Awww baby you such a nice cooker lulu i love you so much girl😘😘😘❤❤❤❤😍
😘😘😘😘😘
Leo nimewahi
😘😘😘😘
Sasa dada lulu sijuwi tutapataje nafasi za kujifunza dada. Corona ncohivyo imetambaaa. Jamani lulu. Kalibu mbeya
Haujanishawishi pole
MashaAllah mikate ya maji mizuri mie naomba utuoneshe jinsi ya kupika mchuzi huo wa maini please
Kwa chapati za maji bado aiseee
Nc
Mh lulu emezidi
Lulu you better tell us what you’re mixing there
Afu ungejua nina njaa😟😟😋😋
Boya hili halijui kupika
Raha ya mapishi Yaungwe - kwani vikiungwa vitamu Ukipata mtaalaamu Wa kuviungaa
Vikiungwa vitamu Ukipata mtaalaamu Wa vitamu viwe VYA mwilini au jikoni
😁😁😁umetupiga changala macho LULU umetuonyesha moja tu mama nahisi za mwanzo zimeharibika ukatupa ukabahaitisha moja ndo ukatuonyesha hahaha umejua kutuchezea akili zetu mama G
Kiufupi hujuwiiii hata mwanangu anakushinda zuuu
Hey gal orodheshaa hayo mahitaji na uwe unaongeaa plz 🙏🙏 love u mob
TUnaomba uwe unatoa maelekezo kama unga kiasi gan
Nice but hizo ni za sukari inatakiwa kutia maziwa kidogo za chumvi ndio hutii suger
Hata kuweka vitunguu karot na hoho
Fabya vipimo ndio inapendeza huo unga unajimiminis tu
Uwe unaondika majina ya viungo plz
You've tried but chapati ya Maji inafaa utumie mafuta kidogo sana, pia iwe Na rangi ya Brown yakutosha.
Kuna chapati na mikate ya maji
Part ya kimya kimya😁
Show ingredients while mixing
Tuandikie majina ya viongo sweetheart
Raha ya chapati za maji hasa uweke vitunguu maji sio sukari halafu chapati zinatakiwa ziwe brown izo nyeupe kabisa halafu ushauri tu punguza mafutaa ila umejitahidi hongera
Dear ungeboresha kwenye vipimo ungejaribu kutumia measuring cups & spoons...ili mtu iwe rahisi kujaribu kwa kipimo sahihi
What are the two other ingredients not mentioned ?
@OnlyRuky
4 жыл бұрын
😂😂😂😂☝️hajaweka vingine kasahau
@FloraHerena
4 жыл бұрын
She mentioned flour , salt, sugar and egg . The other ingredients she did not mention what they were
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
Flora Herena tumia kiswahili dada mbn ni lugha nzur tu What they were ndo nn xx
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
Iliki ya unga n hyo kichupa ni alki au flavour kwa kizungu
@FloraHerena
4 жыл бұрын
`Amina Seleman thanks
Chapati za maji inatiwa hamira
I thought those are called pancakes
Mahitaji haina vipimo????
Hahaha hamna kitu hapoo wewe fani yako ni kuigiza mapish waachie akina Aisha buhet hukoo wewe ni karembo mno,halafu sio chapat za maji ni za kumimina
@queenkaiza2880
4 жыл бұрын
Hajui jamanii
@neveragainneveragain1880
4 жыл бұрын
Lulu songa mbele 💖 heri wewe ulingia jikoni ukawasha moto ukapika unaweza bby💖💖💖💖💖
@avierastevens5141
4 жыл бұрын
Kiukweli sio uongo anajitahidi bcs wapo wengine ni mbumbu. Lkn kwa upande mwingine lulu hajui ni kama anajifundisha.
@zuleikhakhamis3303
4 жыл бұрын
chapati za maji na sukari na arkiii mmmmmh
@abdullmazrui90
4 жыл бұрын
Martha Damian chapati za kumimina mnatumia nyie sisi tunatumia za maji
Tuonyeshe jinsi ya kupika birian
Hujatoa vipimo vya unga na maji .Nahiyo brown ni nini
@souvenirweber7169
4 жыл бұрын
Ndio na mimi nimeshangaa nikama hamira ila hii nikama robot hasemi vipimo wala vitu anavyochanganya
@rosellaabraham13
4 жыл бұрын
Kwenye insta yake amesema ni hiriki
@zuwenaali3698
4 жыл бұрын
@@rosellaabraham13 brown ni sukari
@rosellaabraham13
4 жыл бұрын
@@zuwenaali3698 kuna sukari na hiriki pia ambayo watu wanaiona kama hamira...
@anjelawillison4971
4 жыл бұрын
Jaman hawez kukupangia kila mtu ana familia yake pima unga kias cha familia yak
Hamna kitu
Hahaaa kama umeweza lakini umekosea kidogo tu chapati ya maji mamy haiwekwi iliki sukari wala vanilla unaweka yai chumvi na matu ukipenda unaiyunga na kitungumaji hoho na karot
@happybraysoni7690
4 жыл бұрын
Inawekwa kila kitu upendavyo chumvi sukar iliki swamu kitunguu maji pilipili hoho karoti maziwa au nazi vanila acheni kupika kimazoea jamani
@salvinafundi1936
4 жыл бұрын
Reciple ni tofauti we should not claim mapishi sio formula
@rosemusunga2000
4 жыл бұрын
Kila mtu na upishi wake kuna wengine hawaweki mayai wala sukari, wanaazipika za chumvi tu.
@mwanaseprian6102
4 жыл бұрын
Kakosea sana
@fatihiasalim8753
4 жыл бұрын
@@mwanaseprian6102 kweli kabisa
Hujui kupika chapat zenyewe zimetoka mbaya
Zinaitwa anjera ama pancakes
@khadijal9851
4 жыл бұрын
Pamy wa Isimale anjera haipikwi na mafuta
I really want to give you an advice lulu and don't feel offended it look like you struggle with confidence of taking fully I don't know why huwezi ongeya full swahili on your chanel 100% also you still so young you can take fully English lessons within 2years unaweza ongeya vizuri that's what I notice also you mute your cooking and show no face means it could be someone else doing it for you if you want to do a cooking chanel you need to know some other vloggers of swahili food are really professional either in swahili or English the are top so prepare yourself you have followers they will support you. Be bless
@zuleikhakhamis3303
4 жыл бұрын
kweli ukute yy anatoa intro.... tuu mpikaji mwengine mn ata haongei baada ya hapo mkono tuu unaona
dada lulu chapati za maji za mkoa gani ? ucjali umepika poua kwa ulivopika lkn watanzania walio wengi chapati za chumvi penda Sanaa
Unatuonyesha unavyopikaa au unatufundisha kupika??
@joycekato6784
4 жыл бұрын
Anatangaza Unga wa Azania, hayo mapishi tutajua wenyewee
Elezea na vipimo na ni nini na nini vinavyotakiwa kwenye mapishi hayo.watu wanataka wajue huo mchanganyiko ni nini na nini.kwa kuwa twaona unaweka hiki na kile ,hatuelewi
Mbona Ingredients Nyingine Hujaziandika Majina Yake Sasa🙄🙄
Mbona hatuoni vizuri hivyo viungo naona tu mayai hizo zingine hazionekani poa, andika tuzisome
Huongei,?
Kasi njema bi machizo
Alfu mbn unafnya araka ivo mpz iwe taratb video alfu ngazi kwa ngzi izo nyama umepika saa ngp Sasa. Tuonyeshe kil unachofny
Ivo viungo nmbina huviandik majina tukajua umetia nini na nini
Mapishi gani huongei upo kama bubu
Uwe unaandika vitu unavyochanganya kwa majina
Ni nzur lakini jarbu kuwa unaongea maana viungo vngne unatuonesha hatujui ninin mamy
Fani yako kuigiza karembo kangu ila kwenye mampishi yani mie nimekuacha mbali mnooo hahahah utani bana
@zuleikhakhamis3303
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mariamsaid5655
4 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 au sio jamn fani yake uigizaji jikon hapa kwakweli
nyinyi wengine wajinga kweli chapati yamaji ili iwe nzuri utie mayai japo matatu ss ww ulosema iyo nipankeki sio chapati yamaji ww inavoonesha jiko hulijuwi nawala huna mapishi lulu yupo sahihii
Hahahahaha Chapati za maji hazitiwi vanila na iliki wala hazitiwi sukari Ni chumvi mayai na maji unaweza kueka kitunguu maji kama utapenda. Hizo labda uzitafutie jina lake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shuweikhamohammed9548
4 жыл бұрын
مريم الريامي 🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa nguvu
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
مريم الريامي sukari ni tamu pia
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Mii mwenyewe nimetoa macho ayo😂😂
@happyngulo4722
4 жыл бұрын
Hahahahaaa nacheka Kama mazuli jamani
@farajanyalulolo8178
4 жыл бұрын
Ndo maana zikawa pishi la lulu every one haz got his or her recipe. So no hate
Nguo ndo ubadilish🌝
@user-rd7jt1vi5x
4 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeona kwenye nguo hahahahahaha
punguza mafuta mpendwa
Mapishi dadangu waachie wengine.unga wote kwa mayai 2.sasa ni chapati au pancake?
Mapishi huna shoga angu
@kimarohuba7441
4 жыл бұрын
Naona katumia mayai ya kisasa ndyo maana nyeupe
@user-ps5mk4zc9o
4 жыл бұрын
@@kimarohuba7441 😂😂😂😂chapati hazijaiva hizo sababu sio mayai🤣🤣
@shuweikhamohammed9548
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@dinakabengele8336
4 жыл бұрын
Welezi Libero ww tuoneche🤥
@hamidayusuph249
4 жыл бұрын
@@kimarohuba7441 tatizo anaziwahi kuzigeuza mno