ELIE MPANZU ASAJILIWA NA SIMBA KISUGU AVURUGWA KWA FURAHA/ HUU NDIO USAJILI BORA ZAIDI YA MIAKA 12

Спорт

#BATTLETV

Пікірлер: 34

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig27 күн бұрын

    Safi sana kisugu unajuwa kuwajbu hao wandish wa mchongo

  • @user-bt1bx9oj7u
    @user-bt1bx9oj7u8 күн бұрын

    Broo uko vizur nimekkubal

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y27 күн бұрын

    Kisugu uko sawa sana kaka

  • @alfredkulwa9274

    @alfredkulwa9274

    17 күн бұрын

    Dah Kisugu anashusha nondo😂😂

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86616 күн бұрын

    Hata Mwamnyeto wakati anakuja yanga Timu ilikuwa imeshuka Daraja na leo ni Team captein

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe650427 күн бұрын

    Yanga wapeleke Uchawi wao huko, wanfikiri hatuji kinachoendelea , Wachawi fc. Nhoma nzito sana

  • @YusufuramadhaniNgijaoyeechama
    @YusufuramadhaniNgijaoyeechama17 күн бұрын

    Saaa

  • @MartineNdenga
    @MartineNdenga27 күн бұрын

    Kwerii kabisaa br tatizo wa chambuzi wetu huhagasiwahelewii kabisaa sijuwi tatizo rao nin.

  • @fiedogameslinks2833
    @fiedogameslinks283327 күн бұрын

    Nakubali kisugu

  • @user-rc2np6sk8q
    @user-rc2np6sk8q26 күн бұрын

    Apo kumsajili unanikumbusha robertson wa liverpool alisajiliwa wakt hull city inashuka daraja lkn amebukwa moja ya mabek bora dunian kwa sas

  • @SalumuAmbali
    @SalumuAmbali26 күн бұрын

    Wamesahau walimtoa skudu kwenye timu ambayo imeshuka daraja south uyo kipa katoka timu gn na ipo namba ngapi

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila27 күн бұрын

    Achana na fadrus davides ni kijana mdogo ndiye Alonso au atete wa wasasa barani afrika

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u27 күн бұрын

    Kisugu hapo umemchana mwandishi mpaka kaaibika tumesajil wachezaji sio tim

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo793821 күн бұрын

    Kisugu wewe ni mwamba brother

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y27 күн бұрын

    Simba wapinzani ni kueapeleakea Pumzi ya moto hakuna kupoa ili Chama wasimpange hao watachoka mapema saaaana

  • @Bigkassim
    @Bigkassim27 күн бұрын

    Watuachie Simba yetu

  • @OmariMasud
    @OmariMasud24 күн бұрын

    Yanga wamemchukua chama timu hirioshika nafas ya tatu na yeye arikuwepo uwanjani imu ikifungwa Gori tano

  • @Faith-x6m
    @Faith-x6m12 күн бұрын

    Kisugu wewe kiboko kwamajibu 6:26

  • @MichaelKyenge
    @MichaelKyenge27 күн бұрын

    Kwako kila kitu kizuri unaingia wewe hujawah kubwa mkwer wewe

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh27 күн бұрын

    Kwani wao yanga walivyomsajiri chama je katoka kwenye timu iliyochukua ubingwa? Mbona hao yanga wana hofu sana? Mwanzo walisema Simba inasajiri wazee na sasa wanasema wanasajiri watt hebu nanyi wandish waambien ukweli hao yanga inamashabik watoto ambao hawana kazi mjini wanategemea yanga iwalishe katka maisha ukimtegemea mtu akulishe mda wote utakua na kazi ya kumpromot tu ili akushibishe

  • @RashidiMwiga

    @RashidiMwiga

    27 күн бұрын

    Ni ma poyoyo hayana kumbukumbu.

  • @ZakariaWitala
    @ZakariaWitala27 күн бұрын

    Poa Kisugu

  • @PasideiHamad-g6s

    @PasideiHamad-g6s

    27 күн бұрын

    Kisugu upo vizu kaka

  • @makongomakongoNgebho-ci5nx

    @makongomakongoNgebho-ci5nx

    27 күн бұрын

    Safi kabisa kisugu

  • @Faith-x6m
    @Faith-x6m12 күн бұрын

    Kisugu wewe kiboko kwamajibu

  • @japhetpwiti9651
    @japhetpwiti965126 күн бұрын

    Kwani Chama ni NANI yeye si zaidi ya Mungu,alianza matatizo mapema sana, acheni aende zake msaliti yeye ni Yuda aliyemsaliti Yesu

  • @MichaelKyenge
    @MichaelKyenge27 күн бұрын

    Kwako kila kitu kizuri unaingia wewe hujawah kubwa mkwer wewe

  • @SalumuAmbali
    @SalumuAmbali26 күн бұрын

    Wamesahau walimtoa skudu kwenye timu ambayo imeshuka daraja south uyo kipa katoka timu gn na ipo namba ngapi

  • @mariamomari-cl6jc

    @mariamomari-cl6jc

    14 күн бұрын

    wandish wahabar wanatumw

  • @mariamomari-cl6jc

    @mariamomari-cl6jc

    14 күн бұрын

    lakin mm siwalaum nchi yetu ndivyo ilivyo watu wanavyet vyakuunga ungat wengit

  • @mariamomari-cl6jc

    @mariamomari-cl6jc

    14 күн бұрын

    kk kisugu unapata taabt hawan vyet oongii hawo

  • @mariamomari-cl6jc

    @mariamomari-cl6jc

    14 күн бұрын

    nchi hii sekta yyt ile hovyot

  • @mariamomari-cl6jc

    @mariamomari-cl6jc

    14 күн бұрын

    mcione tukinyamaza cc sio mafar yile mzee tunamkmbuka tulikuwa tunaenda pazuri san nch hii hovyo hovyot

  • @MichaelKyenge
    @MichaelKyenge27 күн бұрын

    Kwako kila kitu kizuri unaingia wewe hujawah kubwa mkwer wewe

Келесі