EE BWANA WEWE NDIWE MWENYE HAKI II JOHN MGANDU (Official Video HD)

Ойын-сауық

Пікірлер: 78

  • @edwinkachenje7677
    @edwinkachenje76776 ай бұрын

    Ni zabur ya kutakarisha sana kuhusu ukuu wa Mungu

  • @justinebyabato4273
    @justinebyabato4273 Жыл бұрын

    Nimefarijiwa mbarikwe naMungu baba

  • @MoniqMarco-xg2vo
    @MoniqMarco-xg2vo4 ай бұрын

    This songs helps me to come closer to God🙏🙏

  • @Kingdon8765
    @Kingdon87652 жыл бұрын

    Ee Bwana wewe ndiwe mwenye haki asanteni watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina

  • @albertalistides5428
    @albertalistides54282 жыл бұрын

    Mi niwaombe hata watunzi wa leo, wasiache Zaburi katika kutunga nyimbo..

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard59502 жыл бұрын

    Asante Yesu kwa karama ulizowapa watumishi wako hawa

  • @albertalistides5428
    @albertalistides54282 жыл бұрын

    Zaburi ya Sala. Hongereni sana

  • @stevensulle1200
    @stevensulle12002 жыл бұрын

    Muwe mnawahi kutoa hata jumanne au tano hv ili tuende na upepo

  • @immaculatakasana5284
    @immaculatakasana5284 Жыл бұрын

    Hongera dada Despina Kwa sauti nzuri na uvaaji wa heshima

  • @despinae.mdende

    @despinae.mdende

    Жыл бұрын

    Asante sana

  • @deblacktz2981
    @deblacktz29812 жыл бұрын

    Ee bwana hubariki utume huu na kuwamiminia neema tele wanao hawa AMINA

  • @Faustinak2000
    @Faustinak2000 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @graveengrave2936
    @graveengrave29362 жыл бұрын

    Hongera saaaana kwaimba vizuuuri Dada

  • @furahambughi4977
    @furahambughi49772 жыл бұрын

    Mlivyoimba kwa utulivu mmenifanya niupende wimbo huu x2. Hongereni sana 🙏

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    "Utulivu"hapo ni kweli 👍

  • @masanjamayunga5827

    @masanjamayunga5827

    2 жыл бұрын

    Hongereni 🙏 Mbarikiwe Sana

  • @francismulwa9583
    @francismulwa958310 ай бұрын

    Yees this one I know it from heart Thank you

  • @marianasasmos1722
    @marianasasmos17222 жыл бұрын

    Full tafakari. Nice song

  • @eustacemgawe5454
    @eustacemgawe54542 жыл бұрын

    Mungu awape nguvu ya kuzishuhudia sifa zake kwa sauti zenu zisizokwisha ladha

  • @moraamary8169
    @moraamary81692 жыл бұрын

    Wimbo umeimbwa vizuri sana... Hongera

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    Amen👍

  • @tesharose5041
    @tesharose50412 жыл бұрын

    Wewe bwana ndiye mwenyewe haki nice song 🔥🥰🙏

  • @innocentsayayi6819
    @innocentsayayi68192 жыл бұрын

    Mungu aeendeleee kuwainua katika viwango vya juuu sanaaa

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    Tena zaidi Amen

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima28802 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu azidi kuwainua ..Mumtukeze Mungu wetu hadi Mwisho wa Dahari.

  • @azariadolai1450
    @azariadolai14502 жыл бұрын

    amin

  • @cyrilologe
    @cyrilologe2 жыл бұрын

    Wow...huu wimbo umenikumbusha mbaali..wimbo mtamu

  • @olivambala3086
    @olivambala30862 жыл бұрын

    Nawapenda bure

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    👍

  • @innocentsylvestre3927
    @innocentsylvestre39272 жыл бұрын

    amina

  • @johnmakotha5665
    @johnmakotha56652 жыл бұрын

    Sacred choir.......mnajua wajibu wenu mko vizuri sana

  • @deblacktz2981
    @deblacktz29812 жыл бұрын

    NABARIKIWA SANA NA UIMBAJI WENU

  • @agnethajames109
    @agnethajames1092 жыл бұрын

    Amina,Hakika Bwana wewe ndiwe mwenye haki

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium83812 жыл бұрын

    Napenda sana

  • @godefroidhabarugira4147
    @godefroidhabarugira41472 жыл бұрын

    Godrey from S.A nawapenda sana

  • @sofiamauwa7146
    @sofiamauwa7146 Жыл бұрын

    Amina

  • @Kingdon8765
    @Kingdon87652 жыл бұрын

    Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu

  • @olivervicent5818
    @olivervicent58182 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kuimba vizuri Mungu awabariki

  • @edwinrichard8940
    @edwinrichard89402 жыл бұрын

    Mungu atukuzwe kwa uwepo wenu dunian

  • @Ellybeny
    @Ellybeny2 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @salomesiwale697
    @salomesiwale6972 жыл бұрын

    Atukuzwe Mungu kwa ajili yenu

  • @angolina1768
    @angolina17682 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @josephlango5591
    @josephlango55912 жыл бұрын

    Halleluya

  • @yosephantauka3554
    @yosephantauka35542 жыл бұрын

    Eee BWANA WEWE ndiwe haki nakushuru kwa zawadi ya Maisha

  • @sethlashayo6873
    @sethlashayo68732 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana hongereni,nimebarikiwa

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @muigaimary818
    @muigaimary8182 жыл бұрын

    🥰🥰hongera...sauti zenu na utunzi na upenda

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    Ni kweli. Amen

  • @yohanaselvestamitao8365
    @yohanaselvestamitao8365 Жыл бұрын

    Mung awabalk san

  • @michaelkiyuga8398
    @michaelkiyuga83982 жыл бұрын

    Safi sans mungu awabari

  • @salomemhalule5213
    @salomemhalule52132 жыл бұрын

    Mungu aendelee kuwatunza daima, hakika mnainjilisha kwa Roho na Kweli. Ninawapenda.

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    👍Amen

  • @yasinkassimu3158

    @yasinkassimu3158

    Жыл бұрын

    Kila cku uwa naomba mungu anisaidie nijue kuimba kama wew dada

  • @anethsungu9275
    @anethsungu92752 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana

  • @agnesokonda6573
    @agnesokonda65732 жыл бұрын

    Nice song🙏🙏🙏

  • @albertalistides5428
    @albertalistides54282 жыл бұрын

    Hongera sana. nimekumbuka hii nyimbo enzi zile nyimbo zinarekodiwa kwenye cassete video na Kanda.... Wakati huo wameimba Mt. Karoli Ruanga

  • @PeterMaruzuku-nl8iu
    @PeterMaruzuku-nl8iu Жыл бұрын

    Danload

  • @leahnyongesa8545
    @leahnyongesa8545 Жыл бұрын

    WOW.. I just love the words and the voices.. it's nice solemn

  • @josephmassawe5883
    @josephmassawe58832 жыл бұрын

    Nice job💫👏👏👏

  • @felicianhole7936
    @felicianhole79362 жыл бұрын

    Mbarikiwe na Bwana

  • @regielyela9701
    @regielyela97012 жыл бұрын

    Kaz nzur

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    👍

  • @georgebigori9951

    @georgebigori9951

    2 жыл бұрын

    Yaani wimbo kama tupo kwa baba mbinguni.

  • @fortunatadamas3709
    @fortunatadamas37092 жыл бұрын

    Waoooh hongereni sana

  • @blandinawapembe1304

    @blandinawapembe1304

    2 жыл бұрын

    😘nzuri

  • @jamesmwangi7455
    @jamesmwangi74552 жыл бұрын

    How wonderful are your sweet voices in praise to GOD Most High. Remain in HIS Love. Despina and friends, you're Blessed.!🙏🙏🙏

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo20372 жыл бұрын

    Blessings

  • @zama684channel9

    @zama684channel9

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын

    Nice sounds indeed.

  • @kassimourio6879
    @kassimourio68792 жыл бұрын

    Marvelous indeed my dears...am speechless for what u are evangelizing!!!!

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @michelwakilongo5875
    @michelwakilongo58757 ай бұрын

    Kwa nini dada Despina upenda sana nyimbo ya mwalimu mgandu ?kuna Siri hapo

  • @thadeusmassoy7891
    @thadeusmassoy78912 жыл бұрын

    Gorgeous!

  • @BelinaModest-rj9zc
    @BelinaModest-rj9zc8 ай бұрын

    🙏🙏👏👏

  • @HappyArcticBirds-iy3dg

    @HappyArcticBirds-iy3dg

    7 ай бұрын

    Utume mwema dada❤

  • @gladnesswaziri2727
    @gladnesswaziri27272 жыл бұрын

    🙏🙏❤️

  • @odoyothomas5766
    @odoyothomas57662 жыл бұрын

    Very cool song indeed and touching

  • @albertalistides5428
    @albertalistides54282 жыл бұрын

    Hizi nyimbo ni SALA. shukrani

Келесі