E'MUNGU MWENYE HAKI (SMS SKIZA 6930222) - PAPI CLEVER & DORCAS ft MERCI PIANIST : MORN WRSP EP 133
Музыка
#PAPI_CLEVER_DORCAS
#NYIMBO_ZA_WOKOVU
#EMUNGU_MWENYE_HAKI
#INDIRIMBO_ZO_MU_GITABO
#MORNING_WORSHIP
Audio Producer : Papi Clever
Video Director : MUSINGA
Drone : SABEY
D.o.p ; Musinga, Chrispen
Video Editor : CYUSA
colorist : CYUSA
Location manager : Rutikanga Alex
location ; NYAGATARE - Rwanda - UGANDA Border
You can support this ministry through
Phone: +250783255262
Email : Cleverpapi18@gmail.com
NYIMBO ZA WOKOVU
No 275
1
E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku katika mambo yote yanayokupendeza! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka yananitia tetemeko mpaka kufa.
2
Ni heri siku zote kutegemea Yesu na kuenenda sawa katika nyayo zake, kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, nipate kuingia katika raha yake.
3
Safari yangu sasa yaelekea mbingu, Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha kuona yeye aliyeninunua kwake.
4
Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. Nikihitaji kitu nafadhahika bure, lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, natumaini sitakosa dhawabu yangu!
5
Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
#kenyagospel #tanzaniagospel #swahiligospel #swahilimusic #kenyangospel #congogospelmusic Alka Mbumba #kenya #kenyadigitalnews #RoseMuhando #SecretAgenda #Gospsongs #Gospelmusic2022 #Jesus
#kelsykerubo #rosemuhando #msanii_music_group
Kelsy Kerubo
rose muhando song
Пікірлер: 752
SKIZA CODES 1.Code 6930218 - Ameniweka huru 2.Code 6930219 - Bwana Yesu Anatuuliza 3.Code 6930220 - Damu yako yenye baraka 4.Code 6930221- E Mungu mwenye haki 5.Code 6930222 - E mungu mwenye kweli 6.Code 6930224 - Enyi kundi 7.Code 6930225 - Fanyia Mungu kazi 8.Code 6930226 - Je umelisikia jina zuri 9.Code 6930227 - Kisima chema 10.Code 6930228 - Kuna mji huko juu 11.Code 6930229 - Maisha katika dunia 12.Code 6930230 - Matendo ya Mungu 13.Code 6930244 - Msifuni 14.Code 6930245 - Mwokozi wetu 15.Code 6930246 - Nchi nzuri yatungoja 16.Code 6930248 - Nilikwenda mbali 17.Code 6930249 - Pendo la Mungu 18.Code 6930250 - Roho yangu inaimba 19.Code 6930251 - Sawa na kisima 20.Code 6930252 - Siku moja mavuno 21.Code 6930253 - Tu watu huru 22.Code 6930254 - Tutazame kule 23.Code 6930255 - Uzima ninao 24.Code 6930256 - Uhesabu mibaraka
@nicholasmumba5009
11 ай бұрын
Thank you so much 🙏 stay blessed
@user-iq4hr6qo2w
11 ай бұрын
Hapa na dada mavazi hayo hapana tunaomba yaache mwili barafu yawe marefu asante
@roseobare1255
11 ай бұрын
@@user-iq4hr6qo2wreally? Unataka avae buibui ama
@danielhabyarimana6715
7 ай бұрын
❤
@rashidsaid1068
6 ай бұрын
😮o baby man😅😊
I used to come home in the midnight when am drunk I start beating my wife until morning thanks papi clever and you're wife for changing my family 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nothing I can give you people but I pray that one day I meet you at my home that's when I will give my testimony How God changed my life through you people may the Lord of Abraham, Jacob,Isaac reword you accordingly
@samuelochieng6766
10 ай бұрын
Praise Jesus, may he sustain you in him to be like him everyday by pursuing holiness through daily reading of his word.
@chichichabachu
9 ай бұрын
Ameeeeeeeen
@digue12345
8 ай бұрын
Amen
@patrickkarangwa5040
8 ай бұрын
Hallelujah! Amen! Blessings upon Papi and Dorcas and to whoever listens to the Lord's message through these heart touching songs!
@moseskarengera4243
8 ай бұрын
Ooooooh my God . That's sounds amazingly
Me i just want to appreciate Kenyans in general 🇰🇪🇰🇪you guys are very supportive!! Thank you so much
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
So much
@josphinenganga7294
Жыл бұрын
Waooo kenyans we don't dissapoint when it's comes to supporting talents ..they should organise and visit kenya ..
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
@@josphinenganga7294 we praying and we hope one day we will be there
@rachelmaina2680
Жыл бұрын
@@PaPiCleverOfficialplz come ooh,I would like to see u,Gods people who feeds my soul daily with ur music.
@grammamresh8848
Жыл бұрын
@@PaPiCleverOfficial welcome I will provide everything for people, karibuni Kenya
Lyrics with English translation 1 E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku - O righteous God, lead me katika mambo yote yanayokupendeza! - in all things that please you! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka - When I'm without you, threats, fear and doubt yatanitia tetemeko mpaka kufa. - they will lead me to death. 2 Ni heri siku zote kutegemea Yesu - It is always blessed to rely on Jesus na kuenenda sawa katika nyayo zake, - and walk right in his footsteps, kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, - for he is a Shepherd who guides me well, nipate kuingia katika raha yake. - may I enter into his glory. 3 Safari yangu sasa yaelekea mbingu, - My journey now goes to heaven, Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko - The Savior is there, I must get there na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha - and the day when I will get there i will rejoice with joy kuona yeye aliyeninunua kwake. - to see the one who saved me. 4 Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. - In this world, there's troubles and boredom. Nikihitaji kitu nafadhahika bure, - If I need something, I get frustrated for nothing, lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, - but on that great day I will see the Savior, natumaini sitakosa dhawabu yangu! - I hope I will not miss my reward! 5 Mbinguni sitaona adui zangu tena. - In heaven I will see my enemies no more. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. - nothing i will miss there. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! - I will raise my voice and say: God, hallelujah! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu! - I will wave my hands with great joy!
@sizbentahatieno9635
Жыл бұрын
Amen
@annngugi989
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@amrithachadia2399
Жыл бұрын
Be blessed 🙏 forever
@moraama821
Жыл бұрын
Another best one
@reginahwaithira8684
Жыл бұрын
The words are so powerful 🥳🥳🥳
Nawapenda sana mungu awabariki jamani nyimbo zenu zanijenga kiroho,,kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wakenya nipeni likes zenu
Maono yote tunaye mwokozi basi .kwakuwaniye utuongo vyema Mana nzima Azonkiza we konizewe ga kuri nyako we,safari yangu ya erekea kwako YESU MY my my weee,🤲💯🔥♥️🏃🕺roho wamatumaini weeee udufashe
Huduma yenu isonge mbele daima Arika na DUNIA nzima kwa UTUKUFU WA YESU KRISTO WA NAZARETI ❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Woow!! A'm christianity from Tz ,,,,i feelling very happy by listening sweet gosple song,,,,Mungu azidi kuwainua sana,,,
Tunawambea mzidi kumbariki Mungu na wanadamu pia Dada yetu unajitahidi Kwa mavazi ya heshima, iliuzidi kuwa mfano mzr na ujumbe Uwe unafika bila kikwazo Jitahidi kujisitili
I love you dear saints, hii wimbo imenipeleka juu sana kiroho
Asanteni Sana kwa kutubariki kupitia huduma yenu. Mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbipfurij kuririmbira mu mpwemu no mukuri muzoshike mw'ijuru 🇧🇮🇧🇮
I love you so much bakozi b'Imana Imana Ibah'Umugisha cyane kandi Ikomeze kubagura kuko muraduhezagira cyaneeeee!!!! Muri beza👍 Kandi Ubwiza bw'Imana bubariho
Woooi, hawa huwa wanafanya najiskia niko karibu na Mungu by listening to their songs😢❤❤❤❤
@saimomaina
Жыл бұрын
Hauko peke yako, Mimi pia
@phylliswachira2850
Жыл бұрын
Glory to God Almighty
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nyimbo nzuri aki
You know they are people who come into your life and change it totally you people you changed my home 😢😢😢😢😢😢😢 I used to come home midnight
Wewe mwenye haki ,utuongoze katika yote haaaaaa mwenye haki weeeee
This couple is a blessing to many,plus our handsome Pianist Merci,wherever i see these 3 people i feel to fly ❤❤❤❤❤Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪loves you
@BHShortsOfficial
Жыл бұрын
This is my favorite song❤❤🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍🇧🇮🇺🇸
Iyi ndirimbo mwayiririmbanye umwuka wimana, amavuta yi mana kurimwe
Murumugisha kuri gospel nyarwanda Kandi mukora mundimi zose.. Watoto wetu✅🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i listen to your songs every morning and night be blessed ,🙏🙏🙏
Tukiwa na yesu hatuna mashaka
E'eee Mungu niongoze katika mambo yote
Muriribye neza Imana ibahe umigisha
Imanibahezimigisha myinshi cyane gusa muzadushyirireho nizagakiza hamwe nizoguhimbazimana zo mukinyarwanda
Napenda sauti yenu ,,, inapendesa,ni tulifu tena ya kufutia uwesi choka keep up growing
Mimi ni Mtanzania. Napenda huduma yenu. Mungu aendelee kuwainua na kuwatumia kwa Utukufu Wake. Amina.
@josephinemichael1514
Жыл бұрын
Nimewafahamu wiki iliyopita ila nimewafurahia sana hawa watu, Mungu awatunze🇹🇿
@teddynjau9595
Жыл бұрын
💞💞💞💞🇹🇿
Am here After kuskiza hii song gukena FM...wee Kali sana
Imani yangu hupanda juu nikisikiliza hizi nyimbo, mubarikiwa kabisa na bwana ni mungu amewachagua muinue imani ya wengi hapa duniani❤😅😅❤😊
Nimebalikiwa nawimbo huu
Nime barikiwa sana wapendwa mungu awakumbuke musiruhusu mwili uwatawale ruhusu roho mtakatifu iwatawali amaaaaani
Niongoze Mungu kwa mambo yote ya hii dunia usiruhusu nikaenda kwa njia isiyokupendeza ,,mapenzi yako Mungu yatimie kwa maisha yangu😭😭😭🤲
Nami ni mukongomani Nina wapenda sana
Mundirimbo zose zigiswahiri iyi narindayirindiriye ndayikunda caaaneee 🇧🇮 ♥ ❤
Amina nimebarikiwa sana na huu wimbo
Ayiweeeeee manawe urimwiza cyane ndafashinjwe
Eeh mungu mwenye haki uniongoze
I am a Muslim but this song today make me cry knowing that we have another better place where we will stay forever happy😢
I like the view too ngirango nimumutara rwose
Hakika tokea nizaliwe cjawah kubarikiwa nawimbo ilahuu mungu skawaweke nakinapaulo aaamen
😭😭😭😭 Jesus I need you....!!
Mimi nimekwama huku since yesterday ❤❤🙏🇰🇪
Amen hio ngoma Ata nimetoka kwa maombi tu saa hii Sema kupenya kwa maombi barikiwa saba aki
ndaba kundacyane nukuri pe lmana niko meze ibafashe muujyere kure lmana ibagure muburyo bwose ndaba kunda cyane nukuri
Mubarikwe sana imana ibahe imigisha
Nyimbo zenu zanibariki sana na kuhisi uwepo wa mungu ndani yangu. From naivasha kenya.
Asante kwakutukumbusha nyimbo za okovu ingawa nazakitambo Bado zina mafuta mabichi
Tunawapenda ndungu zanguni pokeeni kutoka kwa kenya mungu wa mbinguni awabariki sana
May jehovah favor my country 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 musicians to deliver such a worship/praise songs.soooooo sweeeet
@virginiawanjohi1340
Жыл бұрын
You're right. A big Amen to that.
Much love, Imana ikomeze ibasige amavuta menshi
Nawapenda sana kwa uimbaji went Mungu aendelee kuwatumia ktk uimbaji wenu
Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Amina yesunimchunga mbalikiwe
Safi Sana endelea kumtukuza mungu wetu
Nawapenda sana mungu awake moto niliwapenda sana wakati turikuwa wote katumba Burundi ila mungu akupenda mupewe itaji lenu binguni naliya nikiwakumbuka
Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
longing to see you live, only to give you your blessed flowers as you deserve,,,🎉🎉🎉🎉live long to be praising our LORD who choosen you as His beloved ones🎉🎉🎉❤❤❤
Muby'ukuri n'iyo mutaririmba nkareba isura yanyu Mbona Ari byiza.Muri beza peee !!! Imana Ibahe imigisha mwa biremwa byiza MWe!!! Mukomeze mwaguke mw'izina rya Yesu❤
God bless you guys you are blessed to my family we listen to your songs dayly hizo ni nyimbo za ufalme
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah amavuta amavuta
I mana ikomeze ibahure
I came across your songs today on 14 may 2023. on trace tv.
TZ ku Chalo❤❤❤🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Soyez benis chers frère et soeur en Christ .c'est une évangélisation mondiale que vous faites au- travers ces chantiques . Merci infiniment et que l'Eternel DIEU vous inspirent encore davantage 🎉 .je suis en RD Congo.
Amen amen turabakunda canee
Jesus be glorified psalms 25
Mko vizuri sana ndugu zangu Mungu azidi kuwabariki tu🙏
Mubarikiwe Sana mungu azidi kuwa inuwa
The beats Guitarist on onother level.Its just Melodious
Dorcas I love ur dress code uzawambara neza mukunzi
👏👏👏👏👏👏👏 hallelujah hallelujah and hallelujah
Mukomere kutugezaho izondirimbo nziza imana ikomeze kubaha umugisha ark ngize icyo navuga nuko mwakomeza kuririmba nkuko mwabikoraga mbere mugitangira gusa ndabakunda cyane
Mwami kubaho ntagufite binteye ubwoba ndetse byangeza no mu rupfu vuba !!! Iyi ndirimbo yakujyana mwijuru udapfuye ❤❤
Mungu uniongoze
Sure man of of we kenyans love your songs of good message
🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦 Rwanda oyeeeeee
mungu abariki sana watu mungu
Mungu awbariki sana,nabarikiwa pia,
❤ nimeipenda injili hii tamu sana.
hizi zilikuwa nyimbo za faraja tukiwa kambi ya wakimbizi, 1997, tukisubiri muda ufike, Mungu aipe familia yako na Mr Merci baraka tele.
literally am crying 😭...Halleluhya Halleluhya.. Am blessed.. am happy... your worship songs makes me feel like am in heaven already.. I really really love your songs.. wish you come to Kenya🇰🇪🇰🇪 some day God willing.. Mungu awalinde na awabariki Sana kwa nyimbo zenu mnatuondolea dhiki kupitia nyimbo zenu kiujumla.. . Be Blessed... much love ❤from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mm ni mkenya napenda sana nyimbo zenu mungu awabariki
Mubariwe sana naYesu nduguzangu
MuHabwe umugisha bakozi b Imana ndabakunda
Hallelujah asifiwe Yes you guys mimesikiliza nyimbo zeyu zote hadi nimejipata nimeokoka sasa nimeamuwa kuishi kwa Mungu nimtumikie🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@monicanjoroge8842
Жыл бұрын
Kwa Yesu hakuna hasara
@isaackamau849
Жыл бұрын
May the Good Lord sustain you
@danrurenza4315
Жыл бұрын
Bwana Yesu aziongoze hatua zako siku zote hadi siku ya kuingia katika ufalme wake.
@fridahwamboi2794
Жыл бұрын
@@monicanjoroge8842 true
@fridahwamboi2794
Жыл бұрын
@@isaackamau849 Amen
You people you changed my life since I started following your music now am practicing this songs together with my wife I told my wife that I accepted Jesus as my savior she was surprised and I told her we have sing two songs be4 we pray and sleep and in the morning we do the same thanks papi clever and You're wife for changing my home
@francoisekansangwa18
Жыл бұрын
Amen!!
@francoisekansangwa18
Жыл бұрын
Amen!!
@yesu7733
Жыл бұрын
Amen🙌🏽 Glory to God ❤
@saviourkasekwa2171
Жыл бұрын
Waoo glory to God
@ndacyayishimadeborah-wi3kz
Жыл бұрын
❤❤❤
Kutoka Tanzania Huwa sichoki kusikiliza nyimbo hizi za Wokovu Mungu awabariki neema ya Bwana wetu Yesu iwe nasi Amina❤❤❤
Huku hatutoki🇰🇪🙏
Nice view ❤❤❤❤Yesu ashimwe weeeee
Kila wakati nikiamka asubui naskiza nyimbo zao zinanipa nguvu ya kumkaribia Mungu zaidi, Mwenyezi Mungu awabariki sana
AMEN AMEN AMEN Mungu awabariki sana,Mungu mweye haki atuongoze kabisa, asante sana Papy,Dorcas,Merci ndabakunda cyane indirimbo zanyu ziramfasha murugendo ndimo rwo kwegera YESU🙏👏
Nyimbo hizi nazipenda sana zimenikumbusha mbali
Ameeeee 🙌🙌 Mungu awabaliki sana❤
I don't understand that language but i feel blessed
Hapa Kenya tuko lockes
Mubarikiwe sana na MUNGU . Tuzarambura amaboko duhimbaz' umwami wachu. HALLELUYAAAAAS
Tunejejwe no kuzagera mwijuru
Glory be to God.Handsome men praising God?Live long to serve Him.
AMEN
God forgive me my sins I wonna live a righteous life 😢