DWiN - Unyama (Freestyle)
Музыка
SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL
Stream/Download: linktr.ee/dwin_tz
LYRICS
Sikuhizi mchawi ni pesa mwanangu
Mbwa koko hazibweki mwanangu
Natafuta pesa nipate tu mtoto ambaye yupo tayari kumeza wanangu
Ishu pesa mwanangu
Nishike nanesa mwanangu
Mama akipiga anasema huko mjini tahadhari usisahaugi kusali mwanangu
Amen
Mama
Huku mjini vishawishi vingi niombe nisipote
Wengi wanasema am the shit but i really don't let that shit get to my head
Walikuwa wapi kipindi nasaka hata bati
Nikale today
Wanapiga simu wanasema huko juu sana fanya kama unapunguza bei
(Ahh wait what )
fuck it i need me a million
Pesa tu ndogo ya maji watoto wa mjini wasahau wako period
Nimetoka mbali njiani vikwazo kibao kamwe nyuma sirudi
Wapo waliozani hatufiki kokote ila sasa wakituona wanajua wamebugi
And i got the city on my back
Kila hatua dua nyuma mi sibaki
Hawajui nilipo kuwa that's a fact
Afu kila nikitua mi naua ka staki
Waambie tushawajua niggaz act
So ikabidi tu niandike kwenye track
Waambie hii kitu mi siachi
Mapka posho city dom city ifike kwenye map
Bridge:
Nani atabisha
Maana am getting this money mwanangu na nani atabisha yeah
Yeah one way or another mwanangu na nani atabisha yeah
Getting this ( sh** ) nani atabisha
Nani atabisha
Like nani atabisha
Nani anabisha
Maana nishakaaga na wamba kibao alafu mi ndo nikawika
The is boy is a reaper
She asked me if i was just coming
I told her i couldn't have come any quicker
Ninavo andika
Ova peni imevunjika wino unamwagika
Wana kibao nishawaona hawana msimamo
Cheki vichwa wanavyoshikwa
But i gat a plan hommie
I need me a plane hommie
Coz the boy is too fly sina muda ngai
Coz i married the game hommie
They really gatta know my name hommie
So natafuta njia
Maana kitambo nilijua kutumia kichwa mwanangu nisifate mikia
Coz am on the move
Paid all my dues
Ahadi sivunji but i break all the rules
Nawaza shs ngapi nitaipata wapi
Saa ngapi
Coz i have got nothing to lose
Everytime that i do this a rapper is dead
Its true what i said
miili nitaiweka wapi so booth sikuhizi nikitimba mwanangu inabidi nitimbe na bag
Wanyama!
connect with artist:
/ dwin__tz
/ dwin__tz
/ dwin__tz
Пікірлер: 387
NA APPRECIATE SUPPORT ZOTE KUTOKA KWENU PLEASE SUBSCRIBE , LIKE , SHARE NA HAKIKISHA UNAACHA COMMENTS.
@weixhage
2 жыл бұрын
As always bro we are supportive Alaf keep it up kka utafika mbalii📌 "Ukitoboa najua hautotusahau na sie😂😂😂" ka mstari aka dwin ndo uliua kuliko 😦
@kingkuntajr6283
2 жыл бұрын
Nishike nanesa mwanangu
@yusufaliganja5784
2 жыл бұрын
Listen to yusuf ALI-KAZA PT2 by YUSUF ALI on #SoundCloud soundcloud.app.goo.gl/zT1ks
@chimbyokalatino550
2 жыл бұрын
Dwin tunakusupport ila kimya kingi Kita kukost leta ngoma
@richbrizzy_tz
2 жыл бұрын
DWIN 👑👑👑👑
Unyama wa Michanuo kama kawaida
Salute nying Sana kwa Paul maker........ Inabidi atufanyie new track soon blood
Kuziiiii unapita kinoma noma mkuu yan muhuni unanikalishia beat kbsaaa aseee 🔥🔥🔥
"Waambie nipo juu afu wakinifuata juu wakidhani nipo juu waambie tena juu mfuateni" 😂🔥🔥🔥 big fan since way back hommie .... murdered this track 🔥🔥🔥🔥
Kweli unyama Unyama Dakika ya 1:37 namwona njombeboi @130_iam #miathelathini
@kingkuntajr6283
2 жыл бұрын
Ni yeye👍🏾 ila ni morogoro boy sio njombeboi huyo
@fxwizard619
2 жыл бұрын
@130_iam is Tanzanian nawarahishia kazi😂
@mekillahflow2644
2 жыл бұрын
@@kingkuntajr6283 leta facts sio una ropoka tu nakuambia ni njombeboi unabisha nn mzee
@mekillahflow2644
2 жыл бұрын
@@fxwizard619 😂😂tunajua ila tunataka kujua ni wapi anatoka hilo ndo swala mezan m najua 130 ni njombeboy huyu kunya jr anasem jamaa n mmorogoro
@onlymemes_tz
2 жыл бұрын
🖐️🤣🤣 #MiaTheLathini ni Mzaliwa wa #NJOMBE but #Moro ndio hustling yake ipo dat's NJOMBE-MORO Town
Unyama nj mwingi sana
From Kenya hapa pia upcoming, nishakuamini mwamangu askuambie kitu mtu baabu....
We wait for this bloudaaaa
Nouma sana Mwamba Dwin umeuaaaaa!!!
Dwin dwin dwin (BONGE LA TUSI) umekuwa Sana mdogo wangu
Oya unyama sana dwin
Dwin ni mkali na hiyo identity yako ya kitana ni kweree
Sema nn wadau m namkubal mwane2 dwin
Proud of yhew cuzo keep on moving🔥🔥🔥🔥
Aise unachokifanya n unyama mwanangu, toka kenya,Tz napenya n mi kutafuta kutafta za kwangu Dey asking where am from, wasichokijua I was here way b4 Kaka dwin for sure hana twiny bt reply to dis call aki ya nani mtatufeely . 🖐 just a fan tell me did I try
Young lunya ajipangee sanaaa
Mchawi ni pesa🔥🔥🔥💀☠️☠️
Dwin big up sana mwanangu ni long 2dak tulikuw wot mwanangu
Jamaa anajua sana
BADDEST 🇰🇪🇹🇿
Heavy weight track....🔥
Iko poa kwambaali kama young dee sauti fresh mistari makini ni nzurii
Hiiiii noma ngoma
Twenzetu 🚀💪🏾
Hili goma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
dwin flow wa zote 🔥🔥🔥
My favourite new schoo rapper
Sio mbaya , Ana potential ya kiwa msanii mkubwa ,kikubwa ni maozezi snaa na jaribu sana kiwa tofauti
Hip hop 4 L.I.F.E.🙌🔥🔥🔥🇰🇪makini❗
Unyama ni mwingi sana 🔥🔥🔥🔥🙌🙌
💣💣💣👑Hit maker
King D💥💪🏼
💣💥dwin n kipengeleee
Who else have seen @130_iam ? Leave a comment
@kingkuntajr6283
2 жыл бұрын
Don’t say 130 say dirty south king.. au the game changer he self claimed it na ofkoz he deserves🙌🏿
@fxwizard619
2 жыл бұрын
Katisha sana humu ndani aise
Fire on Fire Fa sho🔥🔥🔥
Hatari umeuwa jamaa💪
Dwin for The WIN
Mwanangu umeua daaah nani atabisha??
Unyama zaidi unyamaaaa " Ameeeeen mama" iyo verse 🌪️🔥🔥🔥🔥
Umerudi...safi sana piga my bilingual kama haya
Ni muda tuu 🐐🐐🐐🐐🐐 lesssss gooooooo young king dwin
Unaweza sana bro
Nmependezewa sana na hi njimbo pambana sana kaka izidi to. Madude
Keep pushing mjuba, the sky is the limit
Proud of u🙌
Unyamaaaaaaaa 🔥🔥🔥😮💨
Kubwa sana 🔥🔥🔥
tupo pamoj king dwin unajua kka
Unyama unyama kweli mjubaaaa💪🏿💪🏿
#Unyama🔥🔥 really king dwin
Safi mdogo wetu tunasubir nyingi zaidi kama hizo ..
Mziki mnene ngoma ya kusikiliza wanaume👊🏽👊🏽
Yeaah Dwin sasa huu ndo unyama ambao ulikua hujawai ufanya kwenye sauti, for sure am yo fun bt kitu nilikua sipendi ni kale kasauti ulikotumia kwa ngoma ya maelekezo tho i used to love those barz😀😀😀 sasa hapa cna comment tena mnyama welcome Mby
Mwanang DWiN unyama mwing
conboi na dwin ikipatikana collabo moja utakua unyama sana
They should be ready, wasijewakasema watukuwaambia
tunaaaaooooomba utoee ngoma bn back to back
@dwintz
2 жыл бұрын
Tuishi na hii am dropping somethin new soon tena
Namtafuta mtoto ambae yupo tiyari kuneza wanangu mwanangu
Dwiiiiiiiiiiiin....❤️❤️❤️🚀🚀🚀🔥🔥🔥🔥
Noma brooo
Unyamaa kwelii🔥🔥
Umeuwaaaaa
Mzeeee.. Unatisha
Nomaaa✊✊
Cool manigga
Mangiii
prolific output
Dwn unyama sana
Dwin mkali sana mwanangu. Unyama mwingi
unyama ni mwing sana janjaa🔥
Umeua mwanangu
MAANA DOGO KAMA NGWEAR KAMA SLIM KAMA MONI #UNYAMA😎
I like it broo
Lil Dwin ni Real🖐️🔥
Keep it up bro 🤛🙏Neighbor
Broda am waiting yo next move you are the beast 🙌🙌🙌
wanangu99💪
Cku pingi broo.....🔥🔥🔥🌏🌏🌏
mwanangu mwanangu napenda hiii ktok brundi
Og my gee
Unyama sanaaaa
Ana watoto wengi kila saa wanangu
KING MNYAMA 👑 HERE WE GOO
Goma Kali sana
Moto unaungua 🔥🔥🔥
"Mbwa koko sibweki mwanangu" ni bonge la nyimbo ✊✊✊✌
umetisha dwn
Proud of you homeBoy
Nataka mtoto atakae meza wanangu🔥🔥🔥🔥
Bongo records product
Best new generation Raper
Nimekuelewa unyama ni mwingi sanaaa
Good man so good hawakujui man
Still watchin 🔥💨
@dwintz
2 жыл бұрын
Aminia G
Kid dwin who killing silent 🍁🔥
your rap is money ❤
This song iz more than unyama ni balaaaaa
Mr chanuo✌️
Sana mwambaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥