MaashaaAllah sheikh Othman Maalim Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe tuzidi kufaidika na elmu yako InshaaAllah
@ilhamomar1164 жыл бұрын
Yaraby usitujaalie dunia kua ndio mapnz kwet yarabby tujaalie tuipe mgong dunia na mamb yke ispokua tujaalie tuipambe akhera ytu ili tukapte saada hko yaumul-Qiyama ishallah 😘😘❤
@firdaus74286 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuzidishie umri mrefu wenye afya furaha uzima na baraka tele uzidi kutupa daaawa ,akuepushe na kila hasad na akujaalie Pepo ya Firdaus pamoja na waislam wote Amiin
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Hewe Allah we2 ulie umba mbingu na dunia twakuomba u2samee mazambi y2 nau2elekeze njia njema ameen
@andrewokwomi59415 жыл бұрын
Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu na hekma yakutupatia mawaidha na tuweze kujiepusha na tamaa ya mambo ya dunia.Alhamdhullah....Allah is great
@user-ws9ek8dj5n6 жыл бұрын
Alhamdulillah twamshukuru Mwenyezi Mgu kwa kutujaalia kuwa na ndugu katika dini ya kiislamu kama wewe na wengine kwa kutuongoza kidini na yanayo tufaa katika dunya.
@abdouliris29774 жыл бұрын
Alhamndulillah 🙏🙏🙏dawa zako huwa zinanikosha roho sana mwalim wangu♥️♥️♥️💖Allah akupe kila la kheri🙏
@aminatwalib3395 жыл бұрын
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu hakika nimefaidika na mawaidha haya na m/mungu atutilie WEPES aaaamin kila penye zito soteee a aaaamin yaa rabbal alaaamin.
@jamalathman62193 жыл бұрын
Subhallah Allah atujenge imani ya kuipenda ahera nakuipuza dunia kama mtume na maswahaba zake amin
@fatimasaleh19916 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuweke maalim upate kutujuza zaidi inshaallah
@wajhikaabdallah16594 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri, kwakuzitibu nafsi zetu na akujaalie uhai mrefu. amin.
@abawaabdura91055 жыл бұрын
Allah akujaliye uingie Jannatul firdaus Inshaa Allah na jamii yote ya Islam Inshaa Allah
@abedisalumu2295
4 жыл бұрын
Amiiin
@fettymussa94647 жыл бұрын
Mashaallah allah akuongozee katka kl htajio lako kwa kututoa katka kizaa ktuleta katka mwangaa alhamdulillah
@abeliever68236 жыл бұрын
Sheikh Othman anasoma Qur’an kwa sauti mzuri sana - MaashaaAllah Tabaarakallaah. I wish tungenufaika na record zake za tarteel. Qiraa’a ya Sheikh Othman kwa sauti yake mzuri itapatia watu shifaa, sakeena na utulivu InshaaAllah
@lacicam81196 жыл бұрын
Masha Allah,Mwenyezi Mungu akulipe kila la kheiri Shukran.
@issmuking39872 жыл бұрын
Kiukwel Allah akulipe sheikh wetu ujumbe umefika na tutaufanyia kazi 👏
@abdoulsalamanyabenda15946 жыл бұрын
Unanifaa sana sheikh wangu naomba ALLAH akulipe kheil
@abdallahommy2685
4 жыл бұрын
tunakuomba Allah umlinde shekh wetu
@aminatwalib3395 жыл бұрын
Jaaazakaallahu ghaira sheikh wetu kwa duaa na m/mungu atujaalie tuwe wenye kuipa mgongo dunia
@rahmahakim62854 жыл бұрын
Mashallah mungu akulinde shehe wetu
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Allahu atuogoze yaa Rabbi tukinai ya dunia😢😢😢
@shakilamagina16173 жыл бұрын
Masha allah .Allah akupe afya njema na umri mrefu
@tatianatataa14896 жыл бұрын
Mimi mkristo lakini napenda mawaidha yako sana, unahubiri vizuri tena polepole naelewa kila kitu. Mwenyezi mungu akubariki
@jumamunga715
6 жыл бұрын
Jackie chao ubarikiwe pia wewe unaesikiza maneno ya mungu
@yassindeffu88
5 жыл бұрын
Allah akujaalie nawe uwe mwiislam
@jamilaclassic6047
5 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze kila penye kheri zake amin yaarabii
@user-wv5fq1bm5x
5 жыл бұрын
Allah akujaalie na ww pia Upate kuwa mwislam InshaAllah Allah kariim
@alexmunuo376
4 жыл бұрын
mungu akupe uri
@mnenebig83846 жыл бұрын
ALLAH(S.W) AKUIFADHI SHEKHE OTHMAN MAALIM
@halimamsafiri15325 жыл бұрын
Mashallah kwa kutupatia dawaa nimejifunza mengi kutoka kwako Yallah akuzidishie afya njema in sha'Allah
@emmanuelahmedbyona23536 жыл бұрын
Allah anakupa kila kitu bro, kwanza msuli wa sula, then hekima na busara...love you.
@alimcheni24005 жыл бұрын
Baraka za Allah zikushukie sheikh othmqn
@funthirstictm30986 жыл бұрын
Sheikh Othman May Allah grant you janatul Firdaus.
@afusasalimu1652
2 жыл бұрын
Amin
@nabyswabz15225 жыл бұрын
Ehhh Mwenyezi Mungu Tujalie Tusiipende Dunia Nakukuikumbatia
@bukarisful6 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah may Allah give Sheike OTHMAN MAALIM long life to give as good mwaitha
@afusasalimu1652
2 жыл бұрын
Inshallha
@hassanhamisimwaropia23145 жыл бұрын
Daawa nzuri sheikh, Mwenyezi Mungu atujalie iwe niwenyekusikia na kufuata. In sha Allah
@bestmoment-tv4il4 жыл бұрын
Mola wetu mlezi atuwongoze waislam wote, inshallah Na atijaliye mwisho mwema, aniongoze🙏🙏🙏
@adeshadiano64086 жыл бұрын
Jazakallahu kheir sheikh uthman
@rahmanramadhan84834 жыл бұрын
E! m/ jaalia wazazi wangu mawili,mimi na wote wanipendao.
@yahyamuhammed74914 жыл бұрын
You deliver Nice daawa sheikh Othman maalim,ilike so much and so much to listen,so God will bless you and us to be in straight way
@shanijohn39885 жыл бұрын
eellah nijaalieniwe mwenyekuiweka dunia kiganjani mwang nasi moyoni mwang inshallah
@LeilahRashid-fg3pt4 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah shekh shkran sanaa Allah akuzidishie mri uzidi kutuelezea n kutukumbusha yalio mema InshaAllah ❤
@ruqayyahyusuf35443 жыл бұрын
Maashaa Shukran sana Shekh kwakweli tunapata faida kubwa Alhamdulillaah Allah azidi kukupa Afya njema ili utupe zaidi nzaid Ameen thumma Ameen
@yumentmechanisian44876 жыл бұрын
Baraka lwahu fiyk sheikh Allah akujaz Elim badal allahum zidyn elm waruzukn fahm
@leilamehbub9484 жыл бұрын
mashAllah may Allah bless you sheikh I like your mawaidha
@samamussakibwana57034 жыл бұрын
Marshallah Allah atukinaishe nafisi zetu na duni turejee kwake tukiwa wasafi inshallah
@bukursalma61034 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu na afya njema ili uzidi kutupa ma waidha na mafuzo in sha Allah
@salummkumbe56945 жыл бұрын
Allah akuongozee baraka wew nasi pia tuweze kutii kile Allah alichotuagiza
@ashasalamam32375 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuhifadh duniani na akhera
@azizapeter58505 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu ili uzidili kutuelimisha na kutufumbua pale tulipokuwa hatuoni tuione na kuikimbilia pepo ya milele isiyo na karaha allah tujaalie mwisho mwema wa maisha yetu,muepushe shekhe wetu na misukosuko ya dunia.
@chidykiboko37696 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah lov u of Allah shekh OTHMAN.MAALIM
@suneelhamsik96735 жыл бұрын
Allah akujalie Sheikh OTHMAN MAALIM,Unatufundsha wengi kupitia daawa zako,ALLAH akupe maisha marefu uzidi kutuelimishaaa.....AMEEEEN
@jamilayasin969
4 жыл бұрын
alhamdulih mwenyezi akujalie umri mwema mafundisho yako mazuri
@justinmmbando53864 жыл бұрын
Hongera sana Maalim Mwenyezi akujalie miaka na hekema Nyingi maana hata mm mnaoniita kafiri nafuatilia mawaidha ya Maalim
@saidishebuge47967 жыл бұрын
yarabii atujalie nasi tuwe wenye kuiweka dunia kiganjan na sio mioyoon
@jovinhosantos8534
5 жыл бұрын
Mashaallah
@alawijuma8115
5 жыл бұрын
Saidi Shebuge
@bestmoment-tv4il
4 жыл бұрын
Amin
@ibrabofubofu8763
3 жыл бұрын
Amin
@allyhaji4343 жыл бұрын
Shukran shekhe Othuman Mungu akujalie mwisho mwema
@leodavid57145 жыл бұрын
Mashaallah Allah akujalie heri umri mrefu wenye afya njema na mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya Allah
@rashidahussein2851
5 жыл бұрын
Yaarabbi, tujaalie tuzidi kutenda mema ili tuipate pepo.
@husseinhassan42414 жыл бұрын
Allah akujaaalie mwisho mwema nasi atujaalie mwisho ulio mwema
@aminamaulid45515 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwemaaah
@fifimoise7230
3 жыл бұрын
آللهم آمين يا رب العالمين 🌹🌹❤❤
@nuriakimori769
3 жыл бұрын
Allah tujalie mwisho mwema.
@wakujajuma8952
3 жыл бұрын
@@nuriakimori769 assalaam aleikum warhamatullah
@AdamSantuАй бұрын
Inshallah Allah naomba umpe hidaya shekh wetu azid kutupa elm nampenda shekh othuman kwaajili ya allah❤
@hussenikijuu34805 жыл бұрын
Maaaaaashaaallah jaman Allah akuzidishie na akufanyie wepes mambo ykoo
@omarkipwasa12787 жыл бұрын
Allah akupe umri mref shekh tuizidi kujifunza kupitia kwako inshallah.
@adnanmustafa3655
6 жыл бұрын
Omar Kipwasa @amin thuma amin
@ramadhansef8268
5 жыл бұрын
mashaa allah
@aisharamadhan190
5 жыл бұрын
Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh
@khaidariylijonjo5716
4 жыл бұрын
Aaaamin
@jumaaamiri9572
3 жыл бұрын
Ff
@nuiasadiki63426 жыл бұрын
masha aallah sheikh wetu mungu akupe maisha malefu
@hassanmwaringa43285 жыл бұрын
Shukran xna kwa darsa zako nzuri Yaa ALLAH tujaalie tusiwe miongoni mwa wenye kuipenda dunia inshaallah,,, ni saidaa
@fundimzeemzee1535
3 жыл бұрын
Alla,Akupe,wepesi,Wakilakitu
@khadejarajab80075 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu ishaallah
@alimaalima60167 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Allah Mwenye ezi Mungu atuongoze njia iliyonyooka
@zahramohammad5402
6 жыл бұрын
Mungu atatjlie tuwe ni wenye kushka mema lnshAllah shkrn othmn mashAllah tabaraka Allah
@yahayabadili6663
5 жыл бұрын
Mashaallah xhekhe
@zamzamshefsa895
5 жыл бұрын
MashaAllah
@fatumanyota3851
5 жыл бұрын
Alima Alima
@is-haqmf85136 жыл бұрын
God bless your work Sheikh and may He lead us all straight.
@seifmohamed1894
2 жыл бұрын
J ccccccvccvvvg
@kamismusa35834 жыл бұрын
Allah atuepushe na matamanio ya dunia nani tupo 2020
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
tupo kaka biidhnillahi
@preciousmamy31725 жыл бұрын
اللهم لا تجعل الدنيا اكبر همنا 🙏
@mwanakassimkassimdaudi32457 жыл бұрын
mashaallah ...jazaka Allah kheri kwa darsa lako zuri kutuelimisha...Allah akujalie kila l khri hapa duniani na akhera inshaallah
@swabrayustas7985
7 жыл бұрын
Allah akupe umri Sheikh wangu Hakika umenitoa mbali mawaidha yako hutuliza moyo wangu nakupenda kwa ajiri ya Allah
@khanifahusen9111
6 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na wenye afya njema
@hibaalfarsi77564 жыл бұрын
Yaaa rabbiy tujalie mwisho mwema, ammin
@mohammedsaid10987 жыл бұрын
ma Shaa Allaah sheikh, Allah akujaaliye kila la kheri na akupe pepoo kubwa
@camillas.edrees61556 жыл бұрын
Alhamdulillah Mola Akujaalie kila la kher hapa na kesho Akhera,,,,Aameen
@hadijabakari3248
3 жыл бұрын
Qqqqqqq1q1qqqqqq1
@joharibenard6838
2 жыл бұрын
Amina
@seifmohamed1894
2 жыл бұрын
@@hadijabakari3248 m m
@paulonkwabi87483 жыл бұрын
Mashaallah shukrani sana ostazi wetu
@asyaluay57875 жыл бұрын
ALLAHUMMA LA TAJ'AL DUNYA AKBAR HAMANA
@sadasadiki37685 жыл бұрын
shukran sheikh Othman maalimu allah akupe ujira duniani na akhera allah atupe mwisho mwema inshallah atujaalie mlango mwema wa pepon alfirdauos
@zulfamimu56944 жыл бұрын
Mashaaallah Allah akupe uhai ili tuzid kufaidika dunia na akhera
@jamilaadan59526 жыл бұрын
mashaallah tabarakalaah shekh mungu akubariki
@hawaabdallah31076 жыл бұрын
mwenyezi mungu akuzidishie hekma, akuzidishie imani na elimu uzidi kutujuza yalio bora maana kuna saa nikikusikiliza najaribu kufanya mazuri zaidi. mungu akuweke inshalaalah
@manderjoel1701
5 жыл бұрын
mungu tupe mwisho mwema amina
@sultannassor8759
5 жыл бұрын
Erfgdyuo
@zeinabhaji6279
5 жыл бұрын
Mashallah
@omarissaka6738
5 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh Allah akuzidishie hekma, akuzidishie pia elimu na sisi tuzidi kufaidika, n'a pia nakuyakia kila la kheri
@yaseenkara90165 жыл бұрын
Allah atujaliee maishaa marefu yenye baraka ndani yakee na atujaliee maisha mafupi kama hayana baraka ndani yakee ilii tusiweze kumuasi Allah (s.w) maaana Allah ni mwingine wa kusamehe na ni mwenye ghadhab kwa walee ambao watakao muasi maaan ni mjuzi wa kuadhibu adhabu nzitooo.... Rabana atina fidunya hasanat Wafil agheratul hasana Wakina adhaba naar Allahumaa ajirna minanar saalimin
@omarjama75555 жыл бұрын
ALLAH awazidishie na awape mahulama waliopo umri mrefu.na waliotuacha wape janatul firdaus Ameen.
@Farida-so4xp7 жыл бұрын
mashaalh shehe othomani maalimu Allah akupe umre mrefu kutufikishia dawa warming AMIN
@zuhuranakatipwe6657
6 жыл бұрын
tunashukuru kwa dua zuri
@husseinbante6964
6 жыл бұрын
Farida 9922 sawa
@husseinbante6964
6 жыл бұрын
Allah Allah
@abuusamira3360
5 жыл бұрын
Hello mzima ww
@sissykhadija53433 жыл бұрын
Maanshaa Allah Hapo alikuwa Burundi karibu tena sheikh Allah akupe kila la kheri Shukraan saana Allah atukubaliie dua zetu aamiin
@ramadhani71306 жыл бұрын
Mashallah mungu akuweke miaka mingi na afya njema shekh wetu kipenzi inshallah
@suhailaomar33325 жыл бұрын
mashallah yarab tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kusikiliza yaliomema, na mkinge sheh wetu na mitihan ya kidunia ,tuende peponi pamojaa inshallah
@bestmoment-tv4il4 жыл бұрын
Inshallah, mola akupe umri mrefu, tuzidy kunufaika sisi Na kizazi kijacho, Na mungu wetu mlezi, aniongoze Mimi Na waislam wote, duniani.🙏🙏🙏🙏
@abbasshabani6705 жыл бұрын
mashaa allah allah akujalie uzima uendelee kutupa dawaa
@moonerkaycmoon14024 жыл бұрын
Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na mwisho mwema
@maryamsungita36476 жыл бұрын
Shukran Allah akujalie kher in shaa Allah
@khalifakikoti70275 жыл бұрын
Alhamdulillah mawaidha mubashara allah atuafikishe tuwe wenye kuipamgongo dunia
@fatmatwalib84084 жыл бұрын
Allah akulipe kheri na akupe umri mrefu wenye kheri nawe "Amin"
@user-mw5he3ig9g5 жыл бұрын
Maa sha allah,,mungu akuhifadhi na hasd fitna chuki za majini maishaitwani na bin adamu
@mariamkimwaga9436 жыл бұрын
Masha Allah mola akuweke huzidi kutupa darsa
@zahrahmaimuna33065 жыл бұрын
Napenda mawaidha zako sana sheikh ..MashaAllah
@ruzunarashid49155 жыл бұрын
MashaAllah shekh Allah atujaalie tusiwe ni wenye kuipenda dunia tukasahau akhera
@lolooman91704 жыл бұрын
Hawa wasanii wanatuharibia vyeo kwenye kazi zetu kweli shekh watu Othman Mwaalm.
@hanunarashid32837 жыл бұрын
Ma sha Allah tunapenda dawaaa zako Allah atuepushe na matamanio ya dunia ameen
@mapishiyetumazuri2312
7 жыл бұрын
Hanuna Rashid amin yaallah sote
@siriverinyfasja9196
7 жыл бұрын
mashallah
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Hanuna Rashid Allahumma Aamyn
@vicentmaundi7939
6 жыл бұрын
Fatihu
@saidiramadadhani4078
6 жыл бұрын
نعم
@amekhamis92273 жыл бұрын
Ahsantee shekh Allah akubariki akujaalie Kila la kher akupe umri mrefu akuzidishie elimu na maarifa ili uweze kutufundisha
@shabanikadirimbenakadiri20835 жыл бұрын
mungu atujalie tuwe watu wenye kupata mwisho mwema
@halimajuma27327 жыл бұрын
MashallAllah may Allah bless you shukran
@mohammeddaniel8914
5 жыл бұрын
Halima Juma hi halima
@janjamangiriba8302
5 жыл бұрын
Allah akupe umur mref
@aminasaeed9147 жыл бұрын
mashaallah jazzakallah kheir
@mahijakapingu3956 жыл бұрын
ManshaAllah asnt kwamawaidha mazur
@azizimahfudhi21076 жыл бұрын
Mashaallah ujumbe mzur na Mwenyez atuepushe na kuipenda dunia kuliko akhera yetu
@shanijohn39885 жыл бұрын
emwenyez mung naomb unipe mwisho mwema wahp duniani nakesho akhell
@lolooman91704 жыл бұрын
Waarab yao hawayaoni wanayaona yda Zanzibar na Tanzania tuu Mawaiza mazur kweli shukran bi khair.
@aishaiyulu67056 жыл бұрын
Shukuran sana maalim tuombee allah atunusuru namapezi yaduniya
Пікірлер: 557
MaashaaAllah sheikh Othman Maalim Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe tuzidi kufaidika na elmu yako InshaaAllah
Yaraby usitujaalie dunia kua ndio mapnz kwet yarabby tujaalie tuipe mgong dunia na mamb yke ispokua tujaalie tuipambe akhera ytu ili tukapte saada hko yaumul-Qiyama ishallah 😘😘❤
MashaAllah Allah akuzidishie umri mrefu wenye afya furaha uzima na baraka tele uzidi kutupa daaawa ,akuepushe na kila hasad na akujaalie Pepo ya Firdaus pamoja na waislam wote Amiin
Hewe Allah we2 ulie umba mbingu na dunia twakuomba u2samee mazambi y2 nau2elekeze njia njema ameen
Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu na hekma yakutupatia mawaidha na tuweze kujiepusha na tamaa ya mambo ya dunia.Alhamdhullah....Allah is great
Alhamdulillah twamshukuru Mwenyezi Mgu kwa kutujaalia kuwa na ndugu katika dini ya kiislamu kama wewe na wengine kwa kutuongoza kidini na yanayo tufaa katika dunya.
Alhamndulillah 🙏🙏🙏dawa zako huwa zinanikosha roho sana mwalim wangu♥️♥️♥️💖Allah akupe kila la kheri🙏
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu hakika nimefaidika na mawaidha haya na m/mungu atutilie WEPES aaaamin kila penye zito soteee a aaaamin yaa rabbal alaaamin.
Subhallah Allah atujenge imani ya kuipenda ahera nakuipuza dunia kama mtume na maswahaba zake amin
Mashaallah Allah akuweke maalim upate kutujuza zaidi inshaallah
Allah akulipe kila la kheri, kwakuzitibu nafsi zetu na akujaalie uhai mrefu. amin.
Allah akujaliye uingie Jannatul firdaus Inshaa Allah na jamii yote ya Islam Inshaa Allah
@abedisalumu2295
4 жыл бұрын
Amiiin
Mashaallah allah akuongozee katka kl htajio lako kwa kututoa katka kizaa ktuleta katka mwangaa alhamdulillah
Sheikh Othman anasoma Qur’an kwa sauti mzuri sana - MaashaaAllah Tabaarakallaah. I wish tungenufaika na record zake za tarteel. Qiraa’a ya Sheikh Othman kwa sauti yake mzuri itapatia watu shifaa, sakeena na utulivu InshaaAllah
Masha Allah,Mwenyezi Mungu akulipe kila la kheiri Shukran.
Kiukwel Allah akulipe sheikh wetu ujumbe umefika na tutaufanyia kazi 👏
Unanifaa sana sheikh wangu naomba ALLAH akulipe kheil
@abdallahommy2685
4 жыл бұрын
tunakuomba Allah umlinde shekh wetu
Jaaazakaallahu ghaira sheikh wetu kwa duaa na m/mungu atujaalie tuwe wenye kuipa mgongo dunia
Mashallah mungu akulinde shehe wetu
Allahu atuogoze yaa Rabbi tukinai ya dunia😢😢😢
Masha allah .Allah akupe afya njema na umri mrefu
Mimi mkristo lakini napenda mawaidha yako sana, unahubiri vizuri tena polepole naelewa kila kitu. Mwenyezi mungu akubariki
@jumamunga715
6 жыл бұрын
Jackie chao ubarikiwe pia wewe unaesikiza maneno ya mungu
@yassindeffu88
5 жыл бұрын
Allah akujaalie nawe uwe mwiislam
@jamilaclassic6047
5 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze kila penye kheri zake amin yaarabii
@user-wv5fq1bm5x
5 жыл бұрын
Allah akujaalie na ww pia Upate kuwa mwislam InshaAllah Allah kariim
@alexmunuo376
4 жыл бұрын
mungu akupe uri
ALLAH(S.W) AKUIFADHI SHEKHE OTHMAN MAALIM
Mashallah kwa kutupatia dawaa nimejifunza mengi kutoka kwako Yallah akuzidishie afya njema in sha'Allah
Allah anakupa kila kitu bro, kwanza msuli wa sula, then hekima na busara...love you.
Baraka za Allah zikushukie sheikh othmqn
Sheikh Othman May Allah grant you janatul Firdaus.
@afusasalimu1652
2 жыл бұрын
Amin
Ehhh Mwenyezi Mungu Tujalie Tusiipende Dunia Nakukuikumbatia
MashaAllah mashaAllah may Allah give Sheike OTHMAN MAALIM long life to give as good mwaitha
@afusasalimu1652
2 жыл бұрын
Inshallha
Daawa nzuri sheikh, Mwenyezi Mungu atujalie iwe niwenyekusikia na kufuata. In sha Allah
Mola wetu mlezi atuwongoze waislam wote, inshallah Na atijaliye mwisho mwema, aniongoze🙏🙏🙏
Jazakallahu kheir sheikh uthman
E! m/ jaalia wazazi wangu mawili,mimi na wote wanipendao.
You deliver Nice daawa sheikh Othman maalim,ilike so much and so much to listen,so God will bless you and us to be in straight way
eellah nijaalieniwe mwenyekuiweka dunia kiganjani mwang nasi moyoni mwang inshallah
MashaAllah MashaAllah shekh shkran sanaa Allah akuzidishie mri uzidi kutuelezea n kutukumbusha yalio mema InshaAllah ❤
Maashaa Shukran sana Shekh kwakweli tunapata faida kubwa Alhamdulillaah Allah azidi kukupa Afya njema ili utupe zaidi nzaid Ameen thumma Ameen
Baraka lwahu fiyk sheikh Allah akujaz Elim badal allahum zidyn elm waruzukn fahm
mashAllah may Allah bless you sheikh I like your mawaidha
Marshallah Allah atukinaishe nafisi zetu na duni turejee kwake tukiwa wasafi inshallah
Allah akupe maisha marefu na afya njema ili uzidi kutupa ma waidha na mafuzo in sha Allah
Allah akuongozee baraka wew nasi pia tuweze kutii kile Allah alichotuagiza
Mashaallah Allah akuhifadh duniani na akhera
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu ili uzidili kutuelimisha na kutufumbua pale tulipokuwa hatuoni tuione na kuikimbilia pepo ya milele isiyo na karaha allah tujaalie mwisho mwema wa maisha yetu,muepushe shekhe wetu na misukosuko ya dunia.
Mashaallah Mashaallah lov u of Allah shekh OTHMAN.MAALIM
Allah akujalie Sheikh OTHMAN MAALIM,Unatufundsha wengi kupitia daawa zako,ALLAH akupe maisha marefu uzidi kutuelimishaaa.....AMEEEEN
@jamilayasin969
4 жыл бұрын
alhamdulih mwenyezi akujalie umri mwema mafundisho yako mazuri
Hongera sana Maalim Mwenyezi akujalie miaka na hekema Nyingi maana hata mm mnaoniita kafiri nafuatilia mawaidha ya Maalim
yarabii atujalie nasi tuwe wenye kuiweka dunia kiganjan na sio mioyoon
@jovinhosantos8534
5 жыл бұрын
Mashaallah
@alawijuma8115
5 жыл бұрын
Saidi Shebuge
@bestmoment-tv4il
4 жыл бұрын
Amin
@ibrabofubofu8763
3 жыл бұрын
Amin
Shukran shekhe Othuman Mungu akujalie mwisho mwema
Mashaallah Allah akujalie heri umri mrefu wenye afya njema na mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya Allah
@rashidahussein2851
5 жыл бұрын
Yaarabbi, tujaalie tuzidi kutenda mema ili tuipate pepo.
Allah akujaaalie mwisho mwema nasi atujaalie mwisho ulio mwema
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwemaaah
@fifimoise7230
3 жыл бұрын
آللهم آمين يا رب العالمين 🌹🌹❤❤
@nuriakimori769
3 жыл бұрын
Allah tujalie mwisho mwema.
@wakujajuma8952
3 жыл бұрын
@@nuriakimori769 assalaam aleikum warhamatullah
Inshallah Allah naomba umpe hidaya shekh wetu azid kutupa elm nampenda shekh othuman kwaajili ya allah❤
Maaaaaashaaallah jaman Allah akuzidishie na akufanyie wepes mambo ykoo
Allah akupe umri mref shekh tuizidi kujifunza kupitia kwako inshallah.
@adnanmustafa3655
6 жыл бұрын
Omar Kipwasa @amin thuma amin
@ramadhansef8268
5 жыл бұрын
mashaa allah
@aisharamadhan190
5 жыл бұрын
Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh
@khaidariylijonjo5716
4 жыл бұрын
Aaaamin
@jumaaamiri9572
3 жыл бұрын
Ff
masha aallah sheikh wetu mungu akupe maisha malefu
Shukran xna kwa darsa zako nzuri Yaa ALLAH tujaalie tusiwe miongoni mwa wenye kuipenda dunia inshaallah,,, ni saidaa
@fundimzeemzee1535
3 жыл бұрын
Alla,Akupe,wepesi,Wakilakitu
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu ishaallah
MashaAllah tabaraka Allah Mwenye ezi Mungu atuongoze njia iliyonyooka
@zahramohammad5402
6 жыл бұрын
Mungu atatjlie tuwe ni wenye kushka mema lnshAllah shkrn othmn mashAllah tabaraka Allah
@yahayabadili6663
5 жыл бұрын
Mashaallah xhekhe
@zamzamshefsa895
5 жыл бұрын
MashaAllah
@fatumanyota3851
5 жыл бұрын
Alima Alima
God bless your work Sheikh and may He lead us all straight.
@seifmohamed1894
2 жыл бұрын
J ccccccvccvvvg
Allah atuepushe na matamanio ya dunia nani tupo 2020
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
tupo kaka biidhnillahi
اللهم لا تجعل الدنيا اكبر همنا 🙏
mashaallah ...jazaka Allah kheri kwa darsa lako zuri kutuelimisha...Allah akujalie kila l khri hapa duniani na akhera inshaallah
@swabrayustas7985
7 жыл бұрын
Allah akupe umri Sheikh wangu Hakika umenitoa mbali mawaidha yako hutuliza moyo wangu nakupenda kwa ajiri ya Allah
@khanifahusen9111
6 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na wenye afya njema
Yaaa rabbiy tujalie mwisho mwema, ammin
ma Shaa Allaah sheikh, Allah akujaaliye kila la kheri na akupe pepoo kubwa
Alhamdulillah Mola Akujaalie kila la kher hapa na kesho Akhera,,,,Aameen
@hadijabakari3248
3 жыл бұрын
Qqqqqqq1q1qqqqqq1
@joharibenard6838
2 жыл бұрын
Amina
@seifmohamed1894
2 жыл бұрын
@@hadijabakari3248 m m
Mashaallah shukrani sana ostazi wetu
ALLAHUMMA LA TAJ'AL DUNYA AKBAR HAMANA
shukran sheikh Othman maalimu allah akupe ujira duniani na akhera allah atupe mwisho mwema inshallah atujaalie mlango mwema wa pepon alfirdauos
Mashaaallah Allah akupe uhai ili tuzid kufaidika dunia na akhera
mashaallah tabarakalaah shekh mungu akubariki
mwenyezi mungu akuzidishie hekma, akuzidishie imani na elimu uzidi kutujuza yalio bora maana kuna saa nikikusikiliza najaribu kufanya mazuri zaidi. mungu akuweke inshalaalah
@manderjoel1701
5 жыл бұрын
mungu tupe mwisho mwema amina
@sultannassor8759
5 жыл бұрын
Erfgdyuo
@zeinabhaji6279
5 жыл бұрын
Mashallah
@omarissaka6738
5 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh Allah akuzidishie hekma, akuzidishie pia elimu na sisi tuzidi kufaidika, n'a pia nakuyakia kila la kheri
Allah atujaliee maishaa marefu yenye baraka ndani yakee na atujaliee maisha mafupi kama hayana baraka ndani yakee ilii tusiweze kumuasi Allah (s.w) maaana Allah ni mwingine wa kusamehe na ni mwenye ghadhab kwa walee ambao watakao muasi maaan ni mjuzi wa kuadhibu adhabu nzitooo.... Rabana atina fidunya hasanat Wafil agheratul hasana Wakina adhaba naar Allahumaa ajirna minanar saalimin
ALLAH awazidishie na awape mahulama waliopo umri mrefu.na waliotuacha wape janatul firdaus Ameen.
mashaalh shehe othomani maalimu Allah akupe umre mrefu kutufikishia dawa warming AMIN
@zuhuranakatipwe6657
6 жыл бұрын
tunashukuru kwa dua zuri
@husseinbante6964
6 жыл бұрын
Farida 9922 sawa
@husseinbante6964
6 жыл бұрын
Allah Allah
@abuusamira3360
5 жыл бұрын
Hello mzima ww
Maanshaa Allah Hapo alikuwa Burundi karibu tena sheikh Allah akupe kila la kheri Shukraan saana Allah atukubaliie dua zetu aamiin
Mashallah mungu akuweke miaka mingi na afya njema shekh wetu kipenzi inshallah
mashallah yarab tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kusikiliza yaliomema, na mkinge sheh wetu na mitihan ya kidunia ,tuende peponi pamojaa inshallah
Inshallah, mola akupe umri mrefu, tuzidy kunufaika sisi Na kizazi kijacho, Na mungu wetu mlezi, aniongoze Mimi Na waislam wote, duniani.🙏🙏🙏🙏
mashaa allah allah akujalie uzima uendelee kutupa dawaa
Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na mwisho mwema
Shukran Allah akujalie kher in shaa Allah
Alhamdulillah mawaidha mubashara allah atuafikishe tuwe wenye kuipamgongo dunia
Allah akulipe kheri na akupe umri mrefu wenye kheri nawe "Amin"
Maa sha allah,,mungu akuhifadhi na hasd fitna chuki za majini maishaitwani na bin adamu
Masha Allah mola akuweke huzidi kutupa darsa
Napenda mawaidha zako sana sheikh ..MashaAllah
MashaAllah shekh Allah atujaalie tusiwe ni wenye kuipenda dunia tukasahau akhera
Hawa wasanii wanatuharibia vyeo kwenye kazi zetu kweli shekh watu Othman Mwaalm.
Ma sha Allah tunapenda dawaaa zako Allah atuepushe na matamanio ya dunia ameen
@mapishiyetumazuri2312
7 жыл бұрын
Hanuna Rashid amin yaallah sote
@siriverinyfasja9196
7 жыл бұрын
mashallah
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Hanuna Rashid Allahumma Aamyn
@vicentmaundi7939
6 жыл бұрын
Fatihu
@saidiramadadhani4078
6 жыл бұрын
نعم
Ahsantee shekh Allah akubariki akujaalie Kila la kher akupe umri mrefu akuzidishie elimu na maarifa ili uweze kutufundisha
mungu atujalie tuwe watu wenye kupata mwisho mwema
MashallAllah may Allah bless you shukran
@mohammeddaniel8914
5 жыл бұрын
Halima Juma hi halima
@janjamangiriba8302
5 жыл бұрын
Allah akupe umur mref
mashaallah jazzakallah kheir
ManshaAllah asnt kwamawaidha mazur
Mashaallah ujumbe mzur na Mwenyez atuepushe na kuipenda dunia kuliko akhera yetu
emwenyez mung naomb unipe mwisho mwema wahp duniani nakesho akhell
Waarab yao hawayaoni wanayaona yda Zanzibar na Tanzania tuu Mawaiza mazur kweli shukran bi khair.
Shukuran sana maalim tuombee allah atunusuru namapezi yaduniya
Allah akupe mwisho mwema Shekh othman