DUNIA IMETIKISIKA! Leo Rasmi Majibu Ya Mtoto Wa Hamisa Mobeto Ya DNA Yawekwa Hadharani

Пікірлер: 22

  • @pillymcharo9855
    @pillymcharo98558 ай бұрын

    Hamisa nakupenda sana pambana na Wala diamond asiwe akilini mwako kabisa ucjal watu wanasema nn juu yako pambana one day.

  • @khatibmako3500
    @khatibmako35008 ай бұрын

    Huyu hamisa alimpeleka dailan kwa kina daimond hapo ndipo kosa lake hapo itakuwa walienda kumpima bila yeye kujuwa ndio akawa na nguvu ya kusema mtoto si wake mama diamond kimywa anajuwa kila kitu

  • @boitumelongaka6245
    @boitumelongaka62457 ай бұрын

    Hamisa! Hebu mchukue boy boy lea mwenyewe! You never Mungu amepanga nini! Hebu tulia bwana maisha yaendelee! Kwanza sio vizuri hivyo mnamsulubisha mtoto. Why??? Kama pesa unazo maisha unayo. Wat are you looking for?????? Tuliza kitenesi

  • @alhabsi6430
    @alhabsi64308 ай бұрын

    Au kasahau nani baba wa mtoto ndio kashikilia daimond Subuhana Allah Allah Yaalam nani baba

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda66588 ай бұрын

    Kwanini mnawatesa watoto kiasi hiki

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda66588 ай бұрын

    Kwani ni lazima umtunze huyo mtot

  • @halimabendela5101
    @halimabendela51018 ай бұрын

    Tumechoka baba anajulikana

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын

    Bas mi spend mbona naona mawimbi wimbi tu hapa toen bwana eken vitu vya Maana sio kila mara kitu ni hcho hcho

  • @user-jc4xs7vd6b
    @user-jc4xs7vd6b8 ай бұрын

    Jaman

  • @mamachris6811
    @mamachris68118 ай бұрын

    Mtangazaji. ( kukubali/ kukubari)😳 3😳😳😳 ?????? Public / pubric 😳😳😳😳😳????¿??

  • @tomsijohni
    @tomsijohni8 ай бұрын

    huyo ni malaya tu anajua baba wa mtoto wake atuache sisi

  • @StiveMwaipopo

    @StiveMwaipopo

    8 ай бұрын

    Jamanii

  • @Kalssambabo-gv6uh

    @Kalssambabo-gv6uh

    8 ай бұрын

    mmh

  • @MwanaishaShattry

    @MwanaishaShattry

    8 ай бұрын

    Malaya kakutana na king Malaya ni sawa Tu.

  • @ashuraashura9511

    @ashuraashura9511

    8 ай бұрын

    Malaya baba na mama ako .wapuuzi nyie mnaomwambia hamisa Malaya nyie ndio Malaya nauko wenu

  • @user-wv9bu8cf1o
    @user-wv9bu8cf1o8 ай бұрын

    Kwani uyo mondi ndie nani katika idunia msiwe wajinga uyo mondi sio mungu

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r8 ай бұрын

    Habar yko mdg angu mim unahangaika na nin na hyo mond mbona uwezo wkumlea mwanae unaoooo???? Achana naye Kwan daylan htokuw wa kwanz kukataliw na baba yke wpo wengi,,,hebu acha kuaibishwa na hzo comments za wanadam

  • @Kalssambabo-gv6uh

    @Kalssambabo-gv6uh

    8 ай бұрын

    kwanza kwa ss baba hata asipo mana mtt mibaba yasaivi inajua kuzaa haijui kulea unakuta wengi tunalea watt nababa zao wapo hata sim kupiga kuwauliza hali hawana hiyo nawatt wanakua hamdulillah

  • @MwanaishaShattry

    @MwanaishaShattry

    8 ай бұрын

    Kajiaibisha Sana iso mdogo kama tundu ya pesa mbili

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy8 ай бұрын

    huyu nae hebu atuachie diamond wetu, apeleke mtoto kwa baba yake, mond siyo mjinga kampima na kajua kaishia zake, mwanzo alipoambiwa mbona alikataa, huyu anajua baba wa mtt ila anataka kusumbua mond tu

  • @alhabsi6430

    @alhabsi6430

    8 ай бұрын

    Labda kafurukikiwa na mabwana zake sasa kaamini baba wa mtoto ni daimond

  • @maryikwabe3368

    @maryikwabe3368

    8 ай бұрын

    Ati daimond wenu 😂😂wenu na nani better yeye daimond anamjua ww anakujua mpende msipende mtoto atapakikua wa daimond

Келесі