DUNIA IMEISHA SHEIKH KUTANGAZA UCHAWI MSIKITINI

#muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopo #sheikhmwaipopotv

Пікірлер: 486

  • @jafarikaoneka4890
    @jafarikaoneka489029 күн бұрын

    Allah akuhifadhi na akujaalie mwisho mwema sheikh.

  • @salmafaraj6544
    @salmafaraj654429 күн бұрын

    Shukran ustadh kwa mawaidha mazuri Allah atuongoze waja wake yaarab🤲

  • @Nurudinidaudi
    @Nurudinidaudi29 күн бұрын

    Subuhallah sheikh wangu mm mafuatilia saana mawaidha yako ni mazuri na unaelimisha jamii yote nzima kwa ujuma Allah akuhifadhi Allah akulipe thawabu Allah akujaze kila la kheri InshaAllah

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu684129 күн бұрын

    Allah s.w. azidi kukujaalia Sheikh Mwaipopo.

  • @rashidimasoud558
    @rashidimasoud55829 күн бұрын

    Shukran sana Sheikh Mwaipopo, Dr Sule anaichafua Dini yetu

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729Ай бұрын

    Dr kajenga jina na heshima kubwa sana miaka mingi kaja kuivunja siku moja tu

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    29 күн бұрын

    Allah akitaka kumdhihisha mtu anayoyaficha, dakika nyingi huyadhihirisha mambo yake hata km ameshakufa

  • @user-zs7eq8up5s

    @user-zs7eq8up5s

    29 күн бұрын

    Sio siku moja alikua anafanya chini chini saaa kaona atangaze wazi na sio yeye tu wengi wanafanya

  • @Sempay-cs9dr

    @Sempay-cs9dr

    29 күн бұрын

    Na uyo mkrito anae sema kuwa yeye alijua toka mda mreefu ushilikina huwa ila ukristo umemuokoa ktk watu walio potea yeye ni miongoni mwao

  • @Sempay-cs9dr

    @Sempay-cs9dr

    29 күн бұрын

    Shekhe allah akurinde nami nakusapoti katika hilo dini ni kuacha makatazo na kufuata maamrisho

  • @NuwayraHamidu
    @NuwayraHamiduАй бұрын

    Sheikh mwaipopo Allah Akulipie

  • @salimobeid1470
    @salimobeid147029 күн бұрын

    Mwaipopo watakuelewa tu watu mie nilikua sikyelewi lkn now days nakukubali sana kwa juhudi hizi unazozifanya Allah akusaidie

  • @issaisandeko6217
    @issaisandeko621720 күн бұрын

    Sikuwahi kujua sheikh mwaipopo ana Imani na mapenzi makubwa na waislam na Uislam

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga429029 күн бұрын

    Ukiwa na imani thabiti juu ya uislam wako hakuna atakae kuyumbisha.bahati mbaya sana has wenye dhamana juu ya dini hii wako kimyaa

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino20 күн бұрын

    Ana msimamo mkali sana kukemea maovu

  • @mainapaul8539
    @mainapaul853922 күн бұрын

    Subhanallah yasikitisha sana.. Allah atujalie khudaa.. jamaa hawa maseikh wa maulidi wangalieni sana

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254Ай бұрын

    Asante kwa kutuelimisha. Allah barik

  • @ramaamri831
    @ramaamri83129 күн бұрын

    Allah akujaalie taufiq yake uzidi kusema kweli .kwani leo hii wengi wana mafundisho ya ajab

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji549521 күн бұрын

    Mashallah

  • @RashfordOboray
    @RashfordOboray22 күн бұрын

    Ma sha Allah sheikh Allah akutuhifadhie kwakweli aumeongea hkaki kabisa

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rqАй бұрын

    Uko sawa sheikh Mwaipopo

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi18 күн бұрын

    We we mwenyewe mwaipopo no mganga eti tiba za kisuna uongotu jitafakali ukatubu mrudiye mungu,kama hayomaneno yanatoka moyoni mwako bila unafiki sawa ila kama na we we ni moja wao tubu

  • @PieterSelestiane
    @PieterSelestiane29 күн бұрын

    Ongera sana sheikh unaipeleka injili huko huko walipo wahubilie hao Injili inahubiriwa Kwa njia nyingi

  • @dullahsaleh8507

    @dullahsaleh8507

    29 күн бұрын

    Silimu kaka

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    28 күн бұрын

    Wewe unafuata biblia, Mungu katahiriwa

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930Ай бұрын

    Mungu akuzidishie kwa Naswih yako nikwil tukiyachilia haya kesho yatakuw kama nikwil

  • @CharlesDaston
    @CharlesDastonАй бұрын

    Ndio Imani inavyotaka kukemea maovu, MUNGU akubariki mwaipopo

  • @user-eh5ss4dw1c

    @user-eh5ss4dw1c

    Ай бұрын

    Mwamposa na wachungaji wengine wanatumia ulaghai na mafuta ya kichawi.

  • @khloevibe7569

    @khloevibe7569

    29 күн бұрын

    ​@@user-eh5ss4dw1cunaelewa unachoandika au umekurupuka?

  • @rahmaomar9137
    @rahmaomar9137Ай бұрын

    Shehe Allah azidi kukusimami

  • @Nurudinidaudi
    @Nurudinidaudi29 күн бұрын

    Sheikh wangu ust wangu ndugu yangu mm nataka natamani nikutane na ww hawa masheikh wanaoudharilisha uislamu waache kwa ajili ya Allah Mungu Allah atuongoze waislamu waumini ukweli inaumiza ww endelea kuisoma haki usiwaogope hao wasiokiwa waislamu manaswara makafiri makuffaru na mayahudi fanya kazi sheikh wangu kwa kadiri uwezavyo InshaAllah

  • @banyankirubusamarc1727

    @banyankirubusamarc1727

    29 күн бұрын

    mungu wenu ni shetani kwa Nini munamdalau tena alifundisha utamaduni wadini? Huyu muhamadi aliwapoteza, kwanza aliwambia mashetani ni wenzenu kama mashetani ni wenzenu munataka viende vipi ? Dumuni.

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027Ай бұрын

    MashaAllah Allah ukulinde

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv163229 күн бұрын

    Mafundisho mazur sana kwa din zote hongera mtumish wa mungu

  • @nelsonzebedayo8281
    @nelsonzebedayo828125 күн бұрын

    Wewe ndugu yang pole sana!Rudi nyumbani uripotea!wislam huwezi kuutenga na ushirikina na kama uliingia kichwakichwa waulize waislam waliotangulia!

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jyАй бұрын

    Subhanallah AllahuAkbar

  • @jamil1547
    @jamil154726 күн бұрын

    MaashaAllah wanyooshe

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743Ай бұрын

    Mimi kuna kipindi nilipata mtihani wallah nilipitia magumu mpaka watu wangu wakaribu wakawa wananishauri nende kawaangamize nikawaambia siwezi ingilia kazi isiyo kuwa yangu kwa sababu allah anayashuhudia haya ndo nana imu wakibwakata huwa sitafuti fatha kwake

  • @yussuphsultan1400

    @yussuphsultan1400

    29 күн бұрын

    Kisasi ni haqi, lakini kwa njia ambazo Allah sw karuhusu! Kufanyiwa ubaya na kunyamaza haifai. Muombe Allah sw akuondoshee na amka usiku

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    25 күн бұрын

    Mimi, nikuwa nasumbuliwa na uchawi na mashetani, wallahi wa billahi watallahi, najifanyia ruqya mwenyewe, nitumia qur'an, nafanya adhkar asubuhi na jioni,

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    25 күн бұрын

    RUQYA | TREATMENT AUDIO | BLACK MAGIC | 4 / Abu Nadeer kzread.info/dash/bejne/Ypt5prp7qJrcdM4.html

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    25 күн бұрын

    Tumieni hizi ruqya ninazozituma hapa, ama tafuta (Ruqya in london, wallahi hizi zimenisaidia mimi na jinni ashiq (mahaba)that wudhu, eleven qibla omba dua ya shifaa kwanza anza kumsifu Allaah yaani Laa-ilahaillallahu wahadahu laa sharika la lahulmulku walaulhamd wahuwwa-alaakullih shaiy-an qadeer,,kisha swalia mtume mara zisizogawanyika yaani3,au 5 au kuendelea,,kisha sema sifa zake na kumtegemea yeye tuu, allahuma yaa haiyu ya qayyum, ya qawiyyu yaa azia, allahuma ya kahaar, yaa jabbar ya muntaqeem,,allahuma ya maalik-al mulki, itakavyo alafu malizia tasleem, WEKA AUDIO ZAKO NA EAPHONE, ANZA NA AYA TUL KURSI, ALAFU SALA YA MTUME, ALAFU AUDIO NO 3 AMBAYO NI YA HASSAD YA AYN JICHO, ALAFU, AUDI NUMBER 9 YA JINI MZINIFU, ALAFU RUQYA YA KUWACHOMA MAJINI, KUNA PIA YA KUWAFUKUZA NA NYINGINE YA KAMA NIWASHINDANI UNAWAPA KUCHANGANYIKIWA NA KUWAUWA, HIO NI AUDIO NUMBER 12, AUDIOBYA KUWACHOMA NI NUMBER 7

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    25 күн бұрын

    RUQYA | TREATMENT AUDIO | EVIL EYE & ENVY | 3 / Abu Nadeer kzread.info/dash/bejne/ZpykzpKliKnHipc.html

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ez29 күн бұрын

    duh kweli mtihani sana ndugu yangu mwaipopo hao mashekh dah hatari kweli mbaya kabisa

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501Ай бұрын

    MASHEIKH pigeni vita ushirikina

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e28 күн бұрын

    Hakika uislam siyo kiarabu sheikh Mwaipopo

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosaleeАй бұрын

    Asante mwaipopo

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu684129 күн бұрын

    Msiba, inna lillah wainna ilayhi raj'un

  • @muddyausi8470
    @muddyausi847022 күн бұрын

    UIslam hawezi kudhalilika hata siku moja atazalilika anejidhalilisha hii dini yupo mweyewe anaelinda anaona anasikia halali hasizia

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah901829 күн бұрын

    Taratibu Tu mtawaelewa mawahabi.

  • @mussachichajr
    @mussachichajr29 күн бұрын

    Nakuelewa sana mwaipopo

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba441327 күн бұрын

    Mwaipopo uko sahihi kuwakosoa waisramu wenzio wanaotumia uchawi kwa jina la Allah

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501Ай бұрын

    mnasheikh wanaumaliza uislamu

  • @annacletaambrose3639
    @annacletaambrose363928 күн бұрын

    Nyie wakristo mnashida mnacomment kumkatisha tamaa ili aludi kwenye ushirikina mkubwa wa yesu ni mungu sahauniiiiii

  • @alsamali6964
    @alsamali696429 күн бұрын

    Tofautisha dua na uchawi acha kupotosha sheikh Mwaipopo.

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    29 күн бұрын

    Hakuna dua iliyokua n uadui. Na hakuna muisilamu amuonbee mtu duwa eti awd anaona nyoka, tuache apo

  • @user-zs7eq8up5s

    @user-zs7eq8up5s

    29 күн бұрын

    Dua ya mayai viza tunainua hiyooo

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    29 күн бұрын

    Una masikio lakini hayasikii.

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105Ай бұрын

    Dr Sule Ameuongea Hadharani na anatumia pete kuchuma mali hapo mnasemaje.

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    29 күн бұрын

    Yeye km yeye bibafsi yake. Haisababishi kuwa doctor sule kufanya hivyo ndio dini y kiisialmu kuwa ya kichawi au ushirikina. Uisilamu umekataza uchawi au ushirikina. Ukiona muisilamu ni mchawi au mshirikina badi ni tamaa zke tu, Na hiyo anamkosea Allah

  • @samwelimwanja4105

    @samwelimwanja4105

    29 күн бұрын

    @@zulekhaa6817 ingekuwa hivo basi mngekuwa mnaelewa na Baadhi ya watu wa kikristo wakiongea kinyume unapaswa kujua ni yeye na sio Dini

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    28 күн бұрын

    Dr. hakosei ndugu yangu?

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79Ай бұрын

    Mwaipopo hata mtume alisema uislamu Karne hii utatetewa na waliosilimu waambie ukweli wao

  • @williamchihami4763
    @williamchihami476328 күн бұрын

    Yohana mtakatifu 3:16 , marko 16:15_19 , ushauri okoka yesu ndiye mwanzo na mwisho

  • @athumanijuma6553
    @athumanijuma655319 күн бұрын

    mtume muhammad saw alishasema kuwa hiii dini imekuja ngeni na itarudi kuwa ngeni.....mkweli ataonekana mwongo na waongo wataonekana kuwa wakweli kabla kiama kusimama sheikh wangu umesema kweli kabisa...wewe ni mgeni ktk uislamu lakini unaujua uislamu vizuri sana kuliko wengi walio katika uislamu hawa masheikh uchwara nawachukia sana maana ndio wanaoweka road block kwa makafri wasiupende uislamu

  • @user-dc7kf7np3l
    @user-dc7kf7np3lАй бұрын

    Uislam ni dini Bora kwakuwa tunaamrishana Mema na kukatazana Mabaya, yaweza kuwa sahihi katika njia isiyo Sahihi, Unauwezo wa kuwafuata na kuwalingania kuliko kuja Mtandaoni, Hapo nani Anaudhalilisha Uislam.Mjitafakari sana katika ufikishaji kwa sisi Maamuma

  • @omariaman7818

    @omariaman7818

    29 күн бұрын

    Na vp upande wa pili ambao washaamni uislam ni majini wataelewa wap acha mwaipopo aendelee kutetea haq

  • @chriscao9828

    @chriscao9828

    29 күн бұрын

    ​@@omariaman7818dini ya ushirikina na kichawi ikiongozwa na Muhammad na shetani

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    29 күн бұрын

    Wao wenyewe si wameachia mtandaoni, Sheikh Mwaipopo s.w. Allah s.w. atakubariki.

  • @mussakarata6650
    @mussakarata6650Ай бұрын

    Hapo umedanganya soma tena shekhe majini ni viumbe wako watiifu na waovu hivyo tafakar na kam ni biashara hiyo ulipaswa utangaze biashara yako maan naon kundi ni moja tuu

  • @user-zp3kw6rw1x
    @user-zp3kw6rw1x29 күн бұрын

    Asalamalaykum sheikh Sayd Mwaipopo. Sheikh wangu tangaza ukweli tu hadi kieleweke hatakama ni muislam au kiongozi waambie Qur'an na Hadith waache mazoea

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu415319 күн бұрын

    Mwaipopo ingia kaone sheikh mwenzio alivozungumza kwenye ARKAS ONLINE TV sheik kaelezea malaika waliotumwa kufundisha uchawi utajua Uko na watu gani😅

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina671828 күн бұрын

    Ni ukweli but KAA CHINI USOME KWANZA ndio ufundishe dini

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul28 күн бұрын

    kutegemea majini qur'an inakataza. Usiuhukumu uislamu kwa matendo ya waislamu, pia siwezi kuuhukumu ukristo kwa matendo ya wakristo, hukumu dini kwa kitabu chao. Al Quran: As-Saffat/37:158 --- وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ Translations: --- Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa. -- Ali Muhsin Al-Barwani ---Al Quran: As-Saffat/37:159 --- سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ Translations: --- Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia. -- Ali Muhsin Al-Barwani

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr20 күн бұрын

    Washirikina wote niwale wanaopiga madufu nawenye kukimbiza moto,na wote walioko ccm,

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu415319 күн бұрын

    Si mnasema kuna majini mazuri yanawafaa kuwaletea fedha yakiiba pesa za watu 😅😅

  • @angle3600
    @angle360029 күн бұрын

    Masheik mnatukoroga.

  • @raiszongo4136
    @raiszongo413629 күн бұрын

    Sura yake tu unagundua ni mchawi wa wachawi aibu hii😢kheri sisi tunamuabudu Mungu kwa imani kuliko hawa wachawi wasiy0 na aibu

  • @Annalisejg2ur

    @Annalisejg2ur

    29 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu415319 күн бұрын

    Kuna Aya zenu zinasema malaika walishuka kufundisha uchawi tunaona pengine ni kweli ukienda mbagala na sehemu mbalimbali kuna maduka yanauza vitu vya shirki na ni waumini wa kiislam niliwauliza siku moja je nilifungua hapa duka la nyama y nguruwe mtafurai wakasema tutakufukuza siku za mwisho vitu vyote vilivyofichwa vitakuwa dhahiri

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Samahanini sana lakini ila wenzetu huko Bara, naona mpo mnasema sana hadi saivi naona mnaanza kuudhalilisha uislamu....hebu punguzeni hizi media na kupenda sana dunia (pesa)..mmeanza kugombana wenyewe kwa wenyewe masheikh, saivi mnaanza kuhusisha ushirikina katika uislamu..na hao wakristo hawana elimu wao kila kitu ushirikina isipokuwa kumuabudu yesu ambae ni mtu.

  • @gaitamaemmanuel

    @gaitamaemmanuel

    29 күн бұрын

    Yesu ni ni mtu..!? Muulize sheikh wako maana ya RUHU nini..ujiue basi ndo Yeus

  • @samxx411

    @samxx411

    29 күн бұрын

    @@gaitamaemmanuel sio lazima sheikh, Ruh ni roho ...Mungu ni Roho kwa biblia ina maana roho haionekani...je yesu alionekana au hajaonekana..

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2127 күн бұрын

    Wewe hiyo fitina unayoitengeneza juu ya huyo shehe itakugalimu wewe umesilimu imeikuta umeingia cha kikke ng'oo🎉🎉 Rudi kwa Yesu ewee mwana mpotevu😢😢😢😢😢mwanzo ulianza na Sule sasa na huyu tena,

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128Ай бұрын

    Lahaula walakuuwata ilah bilaah

  • @DaudMuhammedDjuma
    @DaudMuhammedDjuma26 күн бұрын

    ALLAH akulipe Kheri Shekh Mwaipopo ukweli weka bayana usihofie mtu bali mtizame Allah atakulipa nini kwa moyo wako ulio jitolea kuibainisha haki🙏🙏🙏

  • @bogoakassim8714
    @bogoakassim8714Ай бұрын

    Sauti Hakuna

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi546426 күн бұрын

    Sasa shehe Mwaipopo, unaona ulivyoiacha ile Njia? Unaona? Uko uliko siko! Kwani tangu mwanzo hujui uchawi na ushirikina na chanda na pete na uislamu? Unajua sana! Wakristo tuliookoka tunatumia Jina la Bwana Yesu kwa mambo yetu yoote; waislamu mnategemea Majini (mapepo/mashetani). Mwaipopo mdogo wangu mrudie tena Bwana Yesu kristo, anakupenda na anakuhitaji sana uje kumtumikia. Ni hayo tu.

  • @AM-rr3jr
    @AM-rr3jr22 күн бұрын

    Mafuta ya Upako mpaka kwa Mashehe?? Au hayo ni mengine??

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga678329 күн бұрын

    Wewe mwaipopo waislamu Kama majini akuna waislamu akuna

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810Ай бұрын

    we ndio umejua ulijichanganya eeh ,!? 😂😂😂😂😂😂 unaingia dini za watu kichwa kichwa?

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 Ataelewa tu kuwa ameingia Cha kike

  • @Khmediy3241
    @Khmediy3241Ай бұрын

    Kwaio papa avolusu ushogaa maana bublia na wakristo wote mwapenda ushogaaa uyo shekhe ni wao sio uislam

  • @khloevibe7569

    @khloevibe7569

    29 күн бұрын

    sasa ukristo umeingiaje hapo ndugu mbn akili yako ndogo sana

  • @Khmediy3241

    @Khmediy3241

    29 күн бұрын

    @@khloevibe7569 sio uyo Shoga mwenzenu anaukashifu uislam kwa shekhe ambae ata Balaza la waislam hawamjui sie ndio baazi washirikina Sawa lakin nyiny kiongoz wenu mkuu shogaaaa anataka mfirane Bora SS icho kishee kinasapot uchaw lakin marina yetu yapo salama

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c27 күн бұрын

    Uwo ndo usufi bwana hhh akismama bachu kukemea bidaa nyinyi mnakuja juu sasa kikowapi na bado apo kuna wengine wanai halalisha albadili😅😅😅

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy622826 күн бұрын

    dini ya kishetani mtaendelea kujiumbua wenyewe na video mnazo record wenyewe

  • @trophywilson7211
    @trophywilson721129 күн бұрын

    Hapa Sijakuunga Mkono ,Hubiri neno la Mungu achana na Hao.Wasoma Dua ya kuua Watu,Watakutana Na Yesu Mwenyewe,period

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw29 күн бұрын

    Yani hasa hivi ukiumwa mambo ya kimajini sijui uwende wapi maana msiba huu 😢😢

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi199417 күн бұрын

    muda sio mrefu ukweli upo tu ingawa unachelewa tu mashekhe umma mnaupeleka wapi ? YESU KRISTO ni jibu na ninjia ya kweli wanao silimu hawana misingi maskini kuna namna inayowanya wanakosa namna aisee

  • @user-yn6om2lz9e
    @user-yn6om2lz9e28 күн бұрын

    Majini Ni majini tu 😮 hakuna jema

  • @josephmashaury5538
    @josephmashaury553829 күн бұрын

    Hatali dini ya haki lakini inafanyiwa ushirikina

  • @khamisissa252
    @khamisissa25229 күн бұрын

    TAWHEED NDIO DINI AHSANTA SAAANA SHEIKH

  • @eddieeddie2755

    @eddieeddie2755

    29 күн бұрын

    Ni kumpwekesha Allah (S.W) .

  • @maddybongo
    @maddybongo29 күн бұрын

    Hapo bwana Hamisi Chang’waru refalii wetu amebugi japo haya mambo yapo lakini asingeongea hadharani au mbele ya camera.

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c29 күн бұрын

    Wewe nimklisto huoko umepotea hayo unayajua leo kaka

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc24 күн бұрын

    Mwaipopo ulinikela ktk swala la bandali ila apo nakuelewa saana kemea hao wachawi hao

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga975629 күн бұрын

    MANENO MENGI MWAIPOPO KUMBE NA WEWE MFANYABIASHARA TU....

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    29 күн бұрын

    Mpumbavu wewe

  • @mohdali2408
    @mohdali240829 күн бұрын

    Kuna tofauti kati Ya Uislam na Muislam Uislam ni DINI Muislam ni mtu na mtu anaweza kua muovu, Mwaipopo amesilimu ala ameieleza itikadi ya kiislam

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200Ай бұрын

    Na ule mckiti ulotangsxwa na Sulle kwamba umejengwa na majini? Sulle alisema anitaga majini,🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @abibumbota5160
    @abibumbota516029 күн бұрын

    Mbona Allah ndo alitelemsha uchawi kwa malaika wawili aruta na maruta kwaiyo uchawi ni taruma ya uislamu mwaipopo umeingia huko bado ujasema na utasema

  • @user-sy9sl7of8w
    @user-sy9sl7of8wАй бұрын

    Wewe endelea tu, mpaka muwaache majini

  • @MirajiHanza
    @MirajiHanza22 күн бұрын

    Ila mwaipopo situliambiwa unefariki?mbona mnatuchanganya,,,eti mewekewa sumu huko mbea,,mkafa wote jafari yeye akakatwa mguu tuamini lipi

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba36125 күн бұрын

    Sheikh unalalamika nini sasa inamaana ulikua hujui kama iyo dini uchawi mtupu😂😂😂

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu29 күн бұрын

    Walidi anaona aibu kainamisha macho chini

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrauАй бұрын

    Hizo nidua alizosema hajasema uchawi vp mwaipopo wasingizia

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    29 күн бұрын

    Hakuna dua yenye uadui ndani yake. Na mifano aliotoa huyo inaonesha dhahiri mambo y kishirikina hayo Allah hapokei dua km hizo.

  • @FatwimaZahrau

    @FatwimaZahrau

    29 күн бұрын

    @@zulekhaa6817 utasemaje hakuna Dua zakumuombea adui anaekufanyia ubaya soma kwanza usikurupuke

  • @petermutuku1289
    @petermutuku128929 күн бұрын

    Uislam tunauongopa kwa sababu ya kuusihwa na majini

  • @unyeseupdatestv
    @unyeseupdatestv29 күн бұрын

    Sasa wew mwaipopo we umeacha ukristo Kwa tamaa zako Kwa sababu Leo hii unawasema masheh wengine Kwa ubaya na kufanya kama wewe hujui chochote akati nawe sasa ni mmoja wao nmekushuhudia mara nyingi ukitangaza dawa zenye jamii hy iyo huo ni ukweli Acha kutupaka matope na kitambaa cheupe huo ndy uhalisia wa dini yako umeruka mkojo umeyavagaaaa

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    29 күн бұрын

    Unyeseu naona unaporoja tu tangu lini mafuta ya zaituni ikawa ushirikina? Unaongea pumba zakijinga tu inamana ukienda Hospital ukapewa vidonge navo pia Ni ushirikina? Wacha ujinga wa kishoga uwo

  • @unyeseupdatestv

    @unyeseupdatestv

    29 күн бұрын

    @@badruseif1318 sasa wewe ndy unaongea ushoga we ulisikia lini mzaituni ni dawa kama sio ushirikina au mungu wako wa mchongo humuamin mpaka utumie mzaituni au umefundishwa Aya gani usimwamin mungu uamini mzaituni na toka lini ikawa dawa Kwa andiko lipi lete andiko kama na wew sio mshirikina na dini yenu ya mchongo

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    29 күн бұрын

    @@unyeseupdatestv unapokwenda hospital inakua humuamini Mungu? Kumbe ndio mana kule shakahola mkafungishwa mpk mkafa Kwa mafungu Kwa imani za kijinga,na wewe andiko kwenye bibilia linalosema ule Panadol ukiumwa, wacha ujinga uwo babu

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi29 күн бұрын

    Anayekupa maelekezo ya mizizi ya tiba ni nani kama sio ndugu zenu majini? Yeyote muuza dawa ni kigagula no comment

  • @shabaniOmari-ti7oh
    @shabaniOmari-ti7oh25 күн бұрын

    Kama uislam ni mbaya mbona hamsemi dini ya ukristo ni utapeli wa wazi usihukumu tabia ya shehe kuwa ndo uislam

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu29 күн бұрын

    Mwaipopo tangu usilimu nilikuwa nakufuatilia Sana naninakumbuka ilikuwa unatoadaawa na doctor Sule nyie mshakuwa kioo cha jamii ila kitendo cha Sule kutangazia Uma kuwa makini unaweza kufanya KZ na makini yakakupa pesa je hiyo Si shirik mbele ya Mungu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Mwaipopo Uneonaa!! Umeonaaa Mashallaah SIRI ZINATOKA ndiyo maana Sule anajiamini kusema mambo !! SIRI ZINATOKA 😂😂 yaani Sheikh mziwanda anatabasamu tu😅 Sheikh Walid kumbe naye anapiga vyuma vya kijini Laa! Hii Dini msiba!! Hata siitamani!!

  • @sadikiissa7756

    @sadikiissa7756

    Ай бұрын

    Dini haijaamrisha bali ni uchawi wa mtu binafsi.

  • @hafidhkhamis

    @hafidhkhamis

    Ай бұрын

    ww elewa uslam haufundishi hayo,na ni dhambi kubwa, hao wanajifnyia wenyew tu kwa ujinga wao na wapata dhambi, ( ushirikna ni dhambi kubwa katika uslam) . km hujui uliza usiropoke

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    ​@@sadikiissa7756 wewe ni Maamuma Huna Ilimu huoni hapo masheikh wamekusanyana wanatoa Siri wanazozifanya Misikitini? Hujui kusoma hata picha huoni?

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    ​​@@hafidhkhamis Wewe ni Maamuma Huna Ilimu huoni hapo masheikh wanavyo ambiana tena msikitini!! Du! Kusoma hujui hata picha huoni? Dini ya Uislamu na uchawi na majini Damdam

  • @mussakarata6650

    @mussakarata6650

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣 Kumbe dini zinatamaniwa?

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646Ай бұрын

    Mwaipopo wewe ulijichanganya kwa sababu ulijua kava la kitabu hukujua yaliyomo ndani yakee,ndivyo ulivyo uisilamu.Ukweli zipo aya katika Qur'an zenye dua za kuharibu watu,mfano albadlu akisomewa mtu lazima afee.uyakubali yote maana wanazuoni walikubaliana kwamba aya zote zatoka kwa Mungu.hayo ndiyo yaliyomo.rudi kwa Yesu atakuremu

  • @khalidmainala2570

    @khalidmainala2570

    Ай бұрын

    Sorry Albadiri sio Qur'an ndugu

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    29 күн бұрын

    @@khalidmainala2570 kisomo cha albadri kimo kwenye kitabu chenu.vyote wanazuoni walikaa wakasema wakubaliane ku wa vyote vyatoka kwa Allah maana kipindi muhamadi amerogwa hakujua ni aya zipi zilitoka kwa Mungu na zipi zilitoka kwa shetani,msichanganyikiwe jamani huyo ndo Allah aliyeapa kwa aliyeumba kike na kiume

  • @yusufngare3438

    @yusufngare3438

    29 күн бұрын

    Albadri sioquran na niushirikina,wewe ndiwe umejichanganya

  • @khalidabdalla6836

    @khalidabdalla6836

    29 күн бұрын

    Huna elimu kabisa..albadiri si Quran ..ni kitu kimetungwa,uislamu wabaki vilevile msafi...dini huangalii mafunzo ya mtu binafsi soma vitabu.

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    29 күн бұрын

    @@khalidabdalla6836 hivyo ndivyo mlivyo na mtaendelea kubaki na ujinga wenu,maana mtu akiwaeleza iliyo kweli mnasema hana elimu,ila pole kwa kuwa hujui unayeongea naye,lakini je hayajaandikwa kwenye kitabu chenu.kabla sulle hajasema mambo ya uchawi mlimsifia anavyojua na alivo na elimu,sasa mwenye elimu kaanza kuwaeelezea mnavyoshikamana na uchawi nyinyi mnasema tena hana ilimu ya dini kweli nyinyi ni wabishi

  • @user-hz3fv8fd1c
    @user-hz3fv8fd1c29 күн бұрын

    Kwani yy amefundisha uchawi hapo? Wewe unachuki pia. Ulipaswa kufikisha kwanjia tofauti,sio hivi!

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    29 күн бұрын

    Una masikio lakini hayasikii.

  • @mathayoshayo7111
    @mathayoshayo711126 күн бұрын

    je? mwanaharakati mwenzio sule sasaivi anajitangaza anamiliki majini hapo vipi?

  • @mussakarata6650
    @mussakarata6650Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nilisubiri hapo tuuuu kumbe hata wew ni mfanyabiashara na hiyo ilikuwa ni mbinu ya kutangaza biashara

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    29 күн бұрын

    Mpumbavu wewe

  • @mussakarata6650

    @mussakarata6650

    27 күн бұрын

    @@jabirkasunzu6841 Ndo njia ya kunieleza hiyo kumb bhas vyema

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu415318 күн бұрын

    Mwaipopo bana unajifanya hujui kama mtume mohamedi alikaa na majini akiyasomea quran akiwaa na sahaba wake Abdullah...alikuwa anayaambia nini unafikiri😅eti kuna majini mazuri 😅😅😅

  • @justinemisigaro1471
    @justinemisigaro147123 күн бұрын

    Wewe ni miongoni mwa hao wachawi maana unatumia miti shamba unajifanya unatibu watu na unasomea watu dua na kama huo sio uchawi ni nini na wenzako ndivyo walivyo wote na akina Dr Sule wote

  • @mbarakaabdallah6526
    @mbarakaabdallah652623 күн бұрын

    Shekhe mm nataka nikushauri jambo moja, ni hivii hiv hapa unazidi kuudidimiza uislamu au unautetea? Nakushauri unapozungumza jambo au unapotaka kukemea jambo usiweke na huyo unayemsema utakuwa unaendelea kusapoti kile kibaya kilichosemwa badala yake mkemee kwa kumpa ushahidi kutoka kwenye kitabu utakuwa huna tofauti na mchungaji anayeusema uislamu

  • @omariaman7818
    @omariaman781829 күн бұрын

    Sheikh mwaipopo nilikuwa nakukataa kipind cha nyuma sasa nimeamua kukuunga mkono alhabiby

Келесі