DUH! KIMENUKA WANANCHI WAJA JUU | KUWAHUKUMU WANASIASA ZANZIBAR
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 60
Kwa ZNZ Kuna viongozi? Au genge la wizi wa rushwa tu! 😂😂😂 CCM oyeeee
@mgenikilindo5793
4 жыл бұрын
Zanzibar kuna genge la wizi hakuna serekali
Poleni sana ndugu zangu kwa kero hiyo ya barabara. Ama kuhusu kuwaadabisha hao wawakilishi wenu kwa sanduku la kura, hilo sahau. Tayari wameshapita hao katika uchaguzi wa Oct. 2020 wanasubiri kutangazwa tu siku ikifika. CCM Oyeeee!!!
kwa serikal ipi tulonayo ????wote ni walewale
Mtapiga kelele sana hakuna wa kuwasikiliza
Itabidi mzoee tu CCM naserikali yake wako busy kwasasa wanawaza uchaguzi tu, mambo yabarabara MUNGU akipenda.
Ayub yussuf khamis anajua kujielezea kwakweli kaongea point kwakweli hyujamaa anaonekana msomii katumia lugha ya kitaalam zaidi
Serial ya Zanzibar km viongoz hawana raz hiz zinazotengenezwa miaka mi 5 hazimaliz
hongeren ktv
Poleni sana wananchi wenzetu kwa changamoto hiyo Allah awajaalie wepesi hakuna kubwa kwa Mungu
Aah, ccm hata sote kama tutawapigia vyama vyengine bado watashinda na kuiba kura Serikali hii Nuksi. Ccm hawachaguliwi bali wanajichagua. Wizi
dah Afrika sijui tunafeli wapi tupo 1920 wakati dunian wezetu wapo 2020 ...waafrika Mungu anatuona mjuwe
Hiyo ndio ccm 'Chukua chako mapema'
Ndiyo inavyo takiwa! Simameni imara, jitahidini kuweka hali sawa, safi na salama! “Barabara chafu sana zenye mashimo kama visima vya kale 👊🏾🤛🏾💪🏾✌🏾😡😏
Idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea.
Maskini inaumiza mungu awajalie washawishike wajenge
Mjumbe umeshamaliza maneno
Tomondo jamani mbona mumevamia mabonde ya mmunga maana bibi wa mama yangu akilima mpunga pals tomondo . Bilashaka mnakuwa mnapata shida siku za mvua , dah Unguja imekuwa kubwa , Tomondo kumekuwa ni makaazi ya watu
Hawa jamaa tuwatoe tushawachoka
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
hawatoki haw wahuni wanaua balaaaa
Ktv tz online tunaomba muendelezo kila hatua
Bwana mtoa habari juzi ulimsikia mkuu wa mkoa wa huko Bara Arusha kuwa eti mtu ukiripoti habari kma hizo za kuonyesha barabara mbovu eti ni kuhujumu uchumi au uchochezi na akaengezea kuwa waliorusha habari za barabara ktk mitandaoni wakamatwe na watiwe lumande sasa sijui kwa huku kwetu zanzibar shauri yako nakutahadharisha tu maana serikali yetu daah😷😷
Ndio shida ya viongozi wa dhulma pigeni chini hao washenzi
Kura ni haki yako. Siasa nipe nikupe kama hujapewa unayo haki ya kumchagua umtakae kwa mujibu wa katiba yetu
Kwarara sehemu gani?
Siku za kampeni zikikaribia, mkipewa 10,000 na wanaume kupewa fulana na kofia za ccm uku wanawake wakipewa kanga, nende mkatie kura CCM tu, halafu mje kulia lia baadae. Wapeni tu kura na ushindi wa kishindo
Barabara zakutengeneza mudamfupi
Kura zenu haziwashughulishi mkiwapa msiwape wao ndo viongozi kwa hio km mnaweza changishaneni kwa maslahi yenu wenyewe maana serikali hatuna sio tuna balaa tu mungu anawazoom viongozi wa zanzibar pooh
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Ana wazoom kwel mana watu walikua ndan ya serikal hawakufanya hata kule kwao ila hyo hyo anaeambiwa si rais kakungarisha pemba. Sasa cjui kama mshauri wa ACT Kama anayajua haya
Hapo ukiomba msaada kutoka kwa wafadhili bc utasikia hao wenye wahusika wakutengeneza watasema hawajashindwa kutengeneza
pole zanzibar sio kosa lako
Kodi za raiya wanakusanya wanazaja Matunbo yao na kujenga bank n matawi ya ccm lkni mwisho wenu upoo serekali haitambui raiya serekali gani
KTV hapo wamezungumzika viongozi na serikali jeee hamuoni haja ya wao wakuwahoji ili ufafanuzi upatikane au ndo imetosha hapo
Ccm oyee
Mtihani mweusi huo Haya serikali viongozi mushirikiane muitengeneze Bara bara hiyo hali ni ngumu kwa wanachi
napita tu mie sasa utamuhukumu vipi kwa kura? Usijali njia itajengwa mambo kidogo kidogo kwanza vinazibwa viraka bara bara kuu
🤣🤣ccm oyeee tukutane kwenye uchaguziii sion haja ya kulaum angali ya kua kura yako ulipiga mwenyew bila ujashawixhiwa na mtuuu....
Tatizo Zanzibar hakuna rais , waziri wala mbunge .
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Kuna seif sharifu tu ndo alokuepo
Na mkuu wa mkoa amesema yyte atakae share video or picture inayoonesha ubovu wa barabara akamatwe.. CCM oyeee, zanzibar inaoza kila kukicha
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Hayo hayajasemwa ZANZIBAR hayo yamesemwa moshi. Usiongeee pumba fatilia vizuri
Muendelezo
Musiwapigie kura
Kwani lazima kuwapigia kura munawachaguwa wenyewe. Mana kiukweli hasa ZANZIBAR hakuna viongoz wala serekali. Kuna walinzi to bora kusiwe na rais au serekali tukae to kama vile wanyama wa maporini . Mana matatizo kibao ZANZIBAR yanatizamwa to PUMBAVU kweli ccm
@tim5hos846
4 жыл бұрын
Kweli wana wachanguwa hakuna liwalo
Hiyo kurayako umempa naniwewe
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Umlaumu mtu iwe umemchagua ila uchaguzi ulisusa hukuenda tna saiv anamlaumu nan
Hao viongozi wakishapewa kura basi wanawasahau wananchi wao walio wapa kura
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Ukiona wanawasahau ujue hawajawapa kura. Kijito Upele inaongoza kwa utekelezaji wa Ilan. Na diwan juzi kaipiga greda njia hyo
@samsungjsevenprime5717
4 жыл бұрын
@@abdulhalym sasa ikiwa hawaja wapa kura huo ueonhozi wamepigiwa kura nani mbu au nzi ndio walowapigia kura 😄
@abdulhalym
4 жыл бұрын
@@samsungjsevenprime5717 baada ya jibu langu sasa unaweza kujua wamepigiwa na nan
sasa huyu jamaa mpumbavu sana ombeyeye basihuo swahilishi ajeatengeze hiyo barabara
@abdulhalym
4 жыл бұрын
Na akipewa yy huo uwakilishi hatatengeza hata nyumba yake. Anaona rahis lawama tu. Watu mnasusia maendelea tna lawama za nn
naserikali haiwezi kufanya yote mnayotaka kufanyiwa kama ikufanyieni tukama unaotaka nyinyi haiwezekani
@nuraydasworld4431
4 жыл бұрын
Inawezekana kaka,serikali ina rushwa sana
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
uhakik ww ccm hhhh nd mnavyoambiw maskan
@gangmore9091
4 жыл бұрын
Mpuuzi unajua majukumu ya lazima kwa serekali kuyafanya or unaongea
@alizahranmohd4095
4 жыл бұрын
@@gangmore9091 baba hawan akili hao wasikupe tabu wakiw maskn nd wanavyoambiwa kuw haiwezekan kila kitu. ndio maan humkut ccm kulalamikia maish hata km yanamtanza.
@gangmore9091
4 жыл бұрын
@@alizahranmohd4095 maisha ya zanzibar ccm na vyama vingine wote hali mbaya wachache wanaojiweza lakiini ujinga umewajaa kichwani