DUH! KIMENUKA WANANCHI WAJA JUU | KUWAHUKUMU WANASIASA ZANZIBAR

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 60

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah15714 жыл бұрын

    Kwa ZNZ Kuna viongozi? Au genge la wizi wa rushwa tu! 😂😂😂 CCM oyeeee

  • @mgenikilindo5793

    @mgenikilindo5793

    4 жыл бұрын

    Zanzibar kuna genge la wizi hakuna serekali

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm4 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu zangu kwa kero hiyo ya barabara. Ama kuhusu kuwaadabisha hao wawakilishi wenu kwa sanduku la kura, hilo sahau. Tayari wameshapita hao katika uchaguzi wa Oct. 2020 wanasubiri kutangazwa tu siku ikifika. CCM Oyeeee!!!

  • @binbarwan7401
    @binbarwan74014 жыл бұрын

    kwa serikal ipi tulonayo ????wote ni walewale

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64744 жыл бұрын

    Mtapiga kelele sana hakuna wa kuwasikiliza

  • @josej9888
    @josej98884 жыл бұрын

    Itabidi mzoee tu CCM naserikali yake wako busy kwasasa wanawaza uchaguzi tu, mambo yabarabara MUNGU akipenda.

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90304 жыл бұрын

    Ayub yussuf khamis anajua kujielezea kwakweli kaongea point kwakweli hyujamaa anaonekana msomii katumia lugha ya kitaalam zaidi

  • @rayanassor1857
    @rayanassor18574 жыл бұрын

    Serial ya Zanzibar km viongoz hawana raz hiz zinazotengenezwa miaka mi 5 hazimaliz

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd40954 жыл бұрын

    hongeren ktv

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Poleni sana wananchi wenzetu kwa changamoto hiyo Allah awajaalie wepesi hakuna kubwa kwa Mungu

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed42994 жыл бұрын

    Aah, ccm hata sote kama tutawapigia vyama vyengine bado watashinda na kuiba kura Serikali hii Nuksi. Ccm hawachaguliwi bali wanajichagua. Wizi

  • @tarikhassan8750
    @tarikhassan87504 жыл бұрын

    dah Afrika sijui tunafeli wapi tupo 1920 wakati dunian wezetu wapo 2020 ...waafrika Mungu anatuona mjuwe

  • @nassornassor7576
    @nassornassor75764 жыл бұрын

    Hiyo ndio ccm 'Chukua chako mapema'

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate42164 жыл бұрын

    Ndiyo inavyo takiwa! Simameni imara, jitahidini kuweka hali sawa, safi na salama! “Barabara chafu sana zenye mashimo kama visima vya kale 👊🏾🤛🏾💪🏾✌🏾😡😏

  • @chekisiela
    @chekisiela4 жыл бұрын

    Idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea.

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Maskini inaumiza mungu awajalie washawishike wajenge

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90414 жыл бұрын

    Mjumbe umeshamaliza maneno

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu4 жыл бұрын

    Tomondo jamani mbona mumevamia mabonde ya mmunga maana bibi wa mama yangu akilima mpunga pals tomondo . Bilashaka mnakuwa mnapata shida siku za mvua , dah Unguja imekuwa kubwa , Tomondo kumekuwa ni makaazi ya watu

  • @alimussa2655
    @alimussa26554 жыл бұрын

    Hawa jamaa tuwatoe tushawachoka

  • @alizahranmohd4095

    @alizahranmohd4095

    4 жыл бұрын

    hawatoki haw wahuni wanaua balaaaa

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Ktv tz online tunaomba muendelezo kila hatua

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah63904 жыл бұрын

    Bwana mtoa habari juzi ulimsikia mkuu wa mkoa wa huko Bara Arusha kuwa eti mtu ukiripoti habari kma hizo za kuonyesha barabara mbovu eti ni kuhujumu uchumi au uchochezi na akaengezea kuwa waliorusha habari za barabara ktk mitandaoni wakamatwe na watiwe lumande sasa sijui kwa huku kwetu zanzibar shauri yako nakutahadharisha tu maana serikali yetu daah😷😷

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90414 жыл бұрын

    Ndio shida ya viongozi wa dhulma pigeni chini hao washenzi

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6234 жыл бұрын

    Kura ni haki yako. Siasa nipe nikupe kama hujapewa unayo haki ya kumchagua umtakae kwa mujibu wa katiba yetu

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Kwarara sehemu gani?

  • @el_chilubi7458
    @el_chilubi74584 жыл бұрын

    Siku za kampeni zikikaribia, mkipewa 10,000 na wanaume kupewa fulana na kofia za ccm uku wanawake wakipewa kanga, nende mkatie kura CCM tu, halafu mje kulia lia baadae. Wapeni tu kura na ushindi wa kishindo

  • @alihusein1883
    @alihusein18834 жыл бұрын

    Barabara zakutengeneza mudamfupi

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62024 жыл бұрын

    Kura zenu haziwashughulishi mkiwapa msiwape wao ndo viongozi kwa hio km mnaweza changishaneni kwa maslahi yenu wenyewe maana serikali hatuna sio tuna balaa tu mungu anawazoom viongozi wa zanzibar pooh

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Ana wazoom kwel mana watu walikua ndan ya serikal hawakufanya hata kule kwao ila hyo hyo anaeambiwa si rais kakungarisha pemba. Sasa cjui kama mshauri wa ACT Kama anayajua haya

  • @abuubakarjuma3230
    @abuubakarjuma32304 жыл бұрын

    Hapo ukiomba msaada kutoka kwa wafadhili bc utasikia hao wenye wahusika wakutengeneza watasema hawajashindwa kutengeneza

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47304 жыл бұрын

    pole zanzibar sio kosa lako

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Kodi za raiya wanakusanya wanazaja Matunbo yao na kujenga bank n matawi ya ccm lkni mwisho wenu upoo serekali haitambui raiya serekali gani

  • @abdulhalym
    @abdulhalym4 жыл бұрын

    KTV hapo wamezungumzika viongozi na serikali jeee hamuoni haja ya wao wakuwahoji ili ufafanuzi upatikane au ndo imetosha hapo

  • @Fatima-sv5gp
    @Fatima-sv5gp4 жыл бұрын

    Ccm oyee

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Mtihani mweusi huo Haya serikali viongozi mushirikiane muitengeneze Bara bara hiyo hali ni ngumu kwa wanachi

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni97534 жыл бұрын

    napita tu mie sasa utamuhukumu vipi kwa kura? Usijali njia itajengwa mambo kidogo kidogo kwanza vinazibwa viraka bara bara kuu

  • @ireneassey3685
    @ireneassey36854 жыл бұрын

    🤣🤣ccm oyeee tukutane kwenye uchaguziii sion haja ya kulaum angali ya kua kura yako ulipiga mwenyew bila ujashawixhiwa na mtuuu....

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y4 жыл бұрын

    Tatizo Zanzibar hakuna rais , waziri wala mbunge .

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Kuna seif sharifu tu ndo alokuepo

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed15144 жыл бұрын

    Na mkuu wa mkoa amesema yyte atakae share video or picture inayoonesha ubovu wa barabara akamatwe.. CCM oyeee, zanzibar inaoza kila kukicha

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Hayo hayajasemwa ZANZIBAR hayo yamesemwa moshi. Usiongeee pumba fatilia vizuri

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82624 жыл бұрын

    Muendelezo

  • @mwanatz5980
    @mwanatz59804 жыл бұрын

    Musiwapigie kura

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57724 жыл бұрын

    Kwani lazima kuwapigia kura munawachaguwa wenyewe. Mana kiukweli hasa ZANZIBAR hakuna viongoz wala serekali. Kuna walinzi to bora kusiwe na rais au serekali tukae to kama vile wanyama wa maporini . Mana matatizo kibao ZANZIBAR yanatizamwa to PUMBAVU kweli ccm

  • @tim5hos846

    @tim5hos846

    4 жыл бұрын

    Kweli wana wachanguwa hakuna liwalo

  • @suleimanally2397
    @suleimanally23974 жыл бұрын

    Hiyo kurayako umempa naniwewe

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Umlaumu mtu iwe umemchagua ila uchaguzi ulisusa hukuenda tna saiv anamlaumu nan

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Hao viongozi wakishapewa kura basi wanawasahau wananchi wao walio wapa kura

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Ukiona wanawasahau ujue hawajawapa kura. Kijito Upele inaongoza kwa utekelezaji wa Ilan. Na diwan juzi kaipiga greda njia hyo

  • @samsungjsevenprime5717

    @samsungjsevenprime5717

    4 жыл бұрын

    @@abdulhalym sasa ikiwa hawaja wapa kura huo ueonhozi wamepigiwa kura nani mbu au nzi ndio walowapigia kura 😄

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    @@samsungjsevenprime5717 baada ya jibu langu sasa unaweza kujua wamepigiwa na nan

  • @suleimanally2397
    @suleimanally23974 жыл бұрын

    sasa huyu jamaa mpumbavu sana ombeyeye basihuo swahilishi ajeatengeze hiyo barabara

  • @abdulhalym

    @abdulhalym

    4 жыл бұрын

    Na akipewa yy huo uwakilishi hatatengeza hata nyumba yake. Anaona rahis lawama tu. Watu mnasusia maendelea tna lawama za nn

  • @suleimanally2397
    @suleimanally23974 жыл бұрын

    naserikali haiwezi kufanya yote mnayotaka kufanyiwa kama ikufanyieni tukama unaotaka nyinyi haiwezekani

  • @nuraydasworld4431

    @nuraydasworld4431

    4 жыл бұрын

    Inawezekana kaka,serikali ina rushwa sana

  • @alizahranmohd4095

    @alizahranmohd4095

    4 жыл бұрын

    uhakik ww ccm hhhh nd mnavyoambiw maskan

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    4 жыл бұрын

    Mpuuzi unajua majukumu ya lazima kwa serekali kuyafanya or unaongea

  • @alizahranmohd4095

    @alizahranmohd4095

    4 жыл бұрын

    @@gangmore9091 baba hawan akili hao wasikupe tabu wakiw maskn nd wanavyoambiwa kuw haiwezekan kila kitu. ndio maan humkut ccm kulalamikia maish hata km yanamtanza.

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    4 жыл бұрын

    @@alizahranmohd4095 maisha ya zanzibar ccm na vyama vingine wote hali mbaya wachache wanaojiweza lakiini ujinga umewajaa kichwani

Келесі