Drama😰Mr idea pissed off and caused more Drama in a mall
Ойын-сауық
Whatsapp 0796491014
for business or friendship#1Trendingkenya #lamoniketv #mohaclassic #rafshow #johncenahsilvertv #brightontheepl #levynetv #kenya #loyaltytest #drama #loyaltytestdrama #viral
Пікірлер: 111
Uyu mwanaume apendi uyu dem alikuwa anataka kuua uyu dem for real.. . Lamo ww acha kuforce dem wa wenyewe akauliwe na unaona vile kenya kunaendelea sai
@MaryMutunga-pe3he
6 ай бұрын
True
@perrymatasa1581
5 ай бұрын
True and God prevented that by ex coming up
Demu malaya tu😂hana excuses za maana boy child leo nakutetea leo,,that girl is a NO
@taleanyahya3687
6 ай бұрын
Like mother lk daughter
@perrymatasa1581
5 ай бұрын
How he didn't give her a chance to explain herself before
Na huyo dem n red flag,, nonsense
Hawa niwajipe shughuli tu hakuna mapenzi hapa.Huyu dem alikua qatar nje kupeana amepeana uko wangecheck hio fon shes not loyal
Ghaiyee plz corezon leave this man I hope umeskia news za airb n b
Hyu Dem anatafuta kifo bona asisome na wezake vile wameuliwa
Hapo kwa simu 😂😂😂😂dem ameruka😅😅😅 hii n gaidi ya gulf 😅😅😅😅kimekuramba kubali songa mbele bro
@gilliankageha2466
6 ай бұрын
Huyu so mchache wacha tuu
@edinahopati7914
6 ай бұрын
😂
@edinahopati7914
6 ай бұрын
@@gilliankageha2466😂😂😂
Kwani ulikuwa unadhani mwingine atakaa na dryspell
Hii ni maajabu😂😂😂😂. Huyu this man hakuwa ampige dame ni game tu. Ona tu vile wanapita pitana😂😂😂😂
@EStyle-xf1cb
6 ай бұрын
Kipindi kama kawa🎉
Huyu jamaa anakaa matara alitaka kuenda kumumurder aki huyu hata sura inaonyesha ni muuaji😅😅😅😅
Uyu demu ako rude sana,arudishe pesa za wenyewe,like mother like daughter Gold-digger.
Nlikua nafikilia huyu dem n mzuri kumbe hii ndo tabia ako nayo
@edinahopati7914
6 ай бұрын
I'm surprised too
Corazon be careful with this man please utachinjwa kama kuku
Huyu atarudi kwa baba mtoto pia mamake alisema tu 😂😂😂😂wanawake God forbid 😂😂😂😂😂 uuuuuiiiii
@catherinebhoke272
6 ай бұрын
Mamake alikua msichana wake😂😂
@gilliankageha2466
6 ай бұрын
Baba mtoto confessed he is married ni pesa za mama McKee tuu ndio anakula na amejijenga tayari sonni tricky sana
This guy loved the lady,huyu dame hatawayi pata jamaa faithful kama huyu haki chaiiiiii
Mungu wa huyu dem ako hai Airbnb kwenye wasichana wanauliwa vibaya....
Young ladies or single mothers mbona usiambie mwanaume ukweli at the first time my kid comes first anipende mimi na mtoi wangu sasa angalia😢😢na kitu kingine team strong ukitoka majuu the first thing ni kufika home utulie chali akuje home ajuane na wazazi mambo na kutu au lodgings au kwake it's no go zone
Airbnb 😂😂😂tena huyu dem anafikiria airbnb zinabeba wasichana wengi dem anacheat😂😂😂kitakuramba aki
Sema cuzo waaah cuzo ni mboga😢😢😢 mbona una beg si upange life yako bro aki😢😢😢😢
Unapatana na Malaya wa Nairobi walizaidiwa kwenda ngambo unaona ni dem unezaoa
Lamonike pia huyu mwanaume alisema hataki kusikia kuhusu huyu dem juu alijua ako na mtoto
@edinahopati7914
6 ай бұрын
Alidhani dryspell ni yake tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Weeeh Mr idea achana na corazone coz hata hujawahi mkula na tayari kuna vita katikati yenu nenda zako bro.
Sasa hii ni ukweli ama ni acting tu coz wee watu wameanza kunjitokenza wanasema hii Mambo loyaltest zote za airport niuwuongo mtupu pia moha amesema niuwuongo
@metrinekadesa-dh4nm
6 ай бұрын
Mm adi nimewai shuku n acting 2
Mamake msichana alikuwarn jamaa ukusikia, kitakuramba
Korazone ni malaya kabisa.Umbwa ndio maanake x husband waliseperate.
Wewe dada umekosa bahati yani huyu mwanaume anaakili za maisha xna ila wewe dada si mkweli kwanza ulimficha kuwa una mtto
Pole bro huyu dem ni malaya alikwa anataka pesa yako akukwa na aja na wewe kwani umekosa wanawake ndio ujukwea mtu kama huyu sikia vile anaongea kama mwanaume
Gaidi kubwa hiyo Mungu anakubariki unafanya ufala kimekuramba na x ako na lover wake
Ati airBNB weeeh🤭🤭🤭!!!! murife run🤣🤣🤣🤣
Maji nyalizidi unga😂 BNB
Huyo dwm tulikuambia achana nae sms zinaongea na ww sio mtoto mbona watu wakifumania hawakubali maisha inaonekana hata ukimueka kwa nyumba atatembea tu na baba mtoto
Heri green lodgen than bnb😢😢
This man never wanted this woman, alitaka aende amuuwe but nao vile amejulikana the only option ni kumkataa,Airbnb..........
@susanaseyonyundo9689
6 ай бұрын
Imagine mbna ikuwa kwa hao yake😮😮😮😮
@divahambosh8362
6 ай бұрын
Exactly what I have thinking nandio maana ako na machungu sana and we pray God because her mum alikuja airport...🙏
@YuniahJoshua
6 ай бұрын
@@susanaseyonyundo9689maybe ako na wife leave alone kuua watu uficha mambo mingi
@YuniahJoshua
6 ай бұрын
@@susanaseyonyundo9689maybe ako na wife leave alone kuua watu uficha mambo mingi
@benjuma8941
6 ай бұрын
Exactly j don't trust this man the way he acted the other day means he has trust issues from his past which he is taking to all relationships until he heals he isn't a safe guy.
Huyu dam anakaa magaaa😢
Lamo muache apigwe kidogo ana kiburi😂😂😂😂🥳🥳
Hsmjui kama Qator umaraya ni mingi juu uko free kufanya chochote vike unataka ,so msichana sko na tabia kama ya mamake
Kumbe kora ni mkora kana jina
Sasa mtu utanunuaje shamba kwaajili ya mapenzi ya mtandao
Bro WACHANA na malaya huyu Atamalizia KOINANGE
The ladies with this kind of hair fear them and satan 😅😅😅😅
@gilliankageha2466
6 ай бұрын
Truly speaking and exposed body parts you know you know😂😂
Wacha idea nikwambie Qatar wanakulwo sana😅😅 sio kaa saudi
Hyu Chali hajui k sensitize simu
Nilisema the other show that , dem ameruka baby daddy, lakini mwanaume nimwanaume, hata huyo atamwacha tu , angalia sasa
Huyu dem ni mzima kwl hata hateteeki walai eti baby dady tena😂😂😂
@edinahopati7914
6 ай бұрын
Ameita baby daddy BAZUU😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mm nashidwa na hizi gaidi za gulf na zinatuzi mwingine eti maraya kwani utamini mtu na amcha wai kutana na yy ujue kama ako na bolingo umuweke kwa roho peke yake ata mm sioni uyu dem kama ako na shida ako sawa wakijuana ndio awajane na wale wengine kai
This man was having true love for this lady,she has lost a gold😢😢
Hapo kwa simu 😂😂😂😂😂😂
Kwaza dem amenyoa heee na waaah ohhh 🙆🙆🙆
Na alikua na chance ya ku sensitize simu ya dem ishenda tu kwa meza men 😅😅
Huyu mwanamke halikuwa hanataka kutolewa dryspell ya gulf 😂😂😂😂😂😂
@marthaotieno2054
6 ай бұрын
Qatar akunanga dry spell, maybe Saudi,but Kwa wenye wamekemboi wanatolewa dry spell
Uyu Dem n kabila gapi tuanze hapo tu
@gilliankageha2466
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tuanzie hapo❤
Nipeeeeni uyu boyyy Bana... Niko saudi
Lamooo utajionea mengi😂😂😂,,,,nilikwambia unipee uyo mseee
Sio Bure mnakatwakatwa kwa airbnbs
Lamo mwambie huyu jamaa ninakuja wiki ijao anatoe kutu apunguze hasira😂😂😂😂
Huyu kijana simuoni poa,like he's a ritualist aki
Che che che che ako na mdomo mingi na yeye ndio ako na makosa
😂😂😂kaa mkijua baby daddy anaweza wengine ni kujiweka tu😅😅😅
Kiburi mama punguza
Huyu jamaa wa show anaongea kama Brighton pl
@lamoniketv603
5 ай бұрын
Labda yeye ndio anaongea kama mimi
Korqzone malaya tu
Babygirl be careful please
Leave this woman alone dryspell ishatolewa😅
@niphahalima
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Ati Bnb ogopa🤣🤣
Nipewe huyo boy we use his money😂😂😂😂nuu ako clean
@lorraineatieno6544
6 ай бұрын
Guy wachana na huyu kuro...ashatolewa nyege..na ma guys kibao. Madem ni wengi huyu ni panua panua.
@celestinenamatsi5755
6 ай бұрын
Alafu ashalipia bnb😂😂
Bro uliringa dry spell lazima imalizwe
Ww lamo c uwache apogwe
Huyu ana juwa keye anfai
🔥🔥🔥🔥
@chrispinosmasava6412
6 ай бұрын
Fire 🔥🔥 Sentava wetu
❤
Hiki kidame si kinyamaze😢😢
Uyu dem ni malayatu
Mr adea ulchelewesha ilikulwa😂😂😂😂😂😂
@MosesOuma-lk2bo
6 ай бұрын
Huyu mwanamke hameshatolewa dryspell ya kubosi ya gulf 😅😅
Vile wsmeanza kusoma sms dem kana tetemeka
Eti bnb😂😂😂😂 ruuuuun
Bnb nyo apana
Please guys' tufikisheni Lamonike 1000k plus subscribers,,we can do it guys by the end of this year
@lamoniketv603
6 ай бұрын
😍
Girl, you carry on with this behavior and you may get seriously hurt, and you still lying, that's the bad part of it, lie lie lie lie lie insulting people's intelligence
huyo dem n malaya hodali n ogeya finye ana taka kanziea.heri uweko mingu ya gombe awache kimbuli 😏😏😏
Airbnb 😂😂😂tena huyu dem anafikiria airbnb zinabeba wasichana wengi dem anacheat😂😂😂kitakuramba aki
Airbnb 😂😂😂tena huyu dem anafikiria airbnb zinabeba wasichana wengi dem anacheat😂😂😂kitakuramba aki
Airbnb 😂😂😂tena huyu dem anafikiria airbnb zinabeba wasichana wengi dem anacheat😂😂😂kitakuramba aki