Drama erupts during a government food donation exercise in Kakamega.
Комедия
Please Subscribe to Ujinga Za Victor Naman Official KZread Channel: bit.ly/2trSEOg
#UjingaZaVictor #UjingaZaVictorNaman #Funny #Kenya #Comedy Please Subscribe to Ujinga Za Victor Naman Official KZread Channel: bit.ly/2trSEOg
#UjingaZaVictor #UjingaZaVictorNaman #Funny #Kenya #Comedy
Пікірлер: 261
Hio maji yote ni ugali ya mtu mmoja😃😃😃halafu I hope unaongea juu ya mtoto wa nyaboke kufwanana careteker Kama ni wangu nakuua 🙆😃😃
@abdulmalikaftin4619
4 жыл бұрын
Imagine...mlunje hapahatishi kukula
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Switi wacha kuchoma
@abdulmalikaftin4619
4 жыл бұрын
@@UjingaZaVictorNaman kama mbaya mbaya
@peterkrose672
4 жыл бұрын
Unaona mahali anaenda kudownload..enyewe ulikua na kibarua
@mutuamumbua7854
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Afante Cate surely you are missed big
Fikita wakukulakula, that's ur trademark in ur estate 😂😂
Tunaezanga chinjanga tukiendelea na stori🤣🤣🤣🤣🤣
Haki Fikita unapenda kutuchomea sisi walunje....maji 20ltrs unauliza kama itatosha?😂😂😂😂😂
🤣🤣 this is funny. Ni chifu amewaambia mkuje hapa kwa huyu maskini 🤔🤣🤣
Ningechinja kuku kwanza 😂😂😂😂
The "kwan ni kidogo part"😂😂😂😂😂
Hahaha Victor na Kuku better love story than Romeo and Juliet 😂😂😂😂
Hii kuku umepewa iko patient man mluya can handle a chicken very carefully
SASA kama hio maji NI ya kaugali na ya Ugali yenyewe 😂😂
@amoscheruyot2006
4 жыл бұрын
Waaaah siitakua sufuria mbili
@johnvaatimutua2194
4 жыл бұрын
Ahahaa
@alidawood4065
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@jamesrobart130
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 nikupokee kuku
Nipatieni zangu leo
@cleshdegrassy3682
4 жыл бұрын
Sio fair
Victor itabidi umix unga na baking powder dyo ijae kwa sufuria😂😂😂😂
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Hehe.hujaniambia poa
@mourice5947
Жыл бұрын
Hahahaha 😅😅😅😅😅😅
@mourice5947
Жыл бұрын
Hahahaha 😅😅😅😅😅
20litres ugali ya mtu mmoja?na huna unga ya kupika ugali, Mwenye alikuroga alikufa😂😂
Hii maji ni ya ugali,...kwani ni kidogooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💙
Waaaa hyo maji yote n ya ugali ya msee mmoja😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Great man. So entertaining 🙏🙏
Eti unga packet 2 na kuku moja ni za siku moja.. Hahaha .. Anaitwa fikita.. Waaa.. Nice content. Congrats
Maji ya ugali ya mtu mmoja😂😂😂😂😂😂😂na imejaa
Haha fikita Wa kukulakula 😁😁😁😁, hii maji ni ya ugali 🌝🌝fikita-kwani ni kidogo 😁😁😁
Habari wa kuku,🤣🤣uyu jamaa ako na sherehe kwa tumbo🙌🤣🤣😂
😂😂😂😂..haha, Victor si ungewaambia tu we unakulanga ya kuziaga direct
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Hi hao hawataki kuelewa
Hapari was kuku, wacha nikushikie kuku. 😄😄😄
Ati uchafi imekuliwa na doggy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ati hii maji itanitosha kweli?😂🙌
Likes za caretaker 🤣🤣🤣
Niko na kuku.nani ako na unga ya kisiagi nimpee direction?
@zeitunstevenson6354
4 жыл бұрын
Wewe utaleta hasara juu ya hasara...kula kuku yako pekee yako😁😁😁😁
@eliarichard9218
4 жыл бұрын
Ujinga Za Victor Naman na mbwa zinakulanga ile kitu chafuuuuuu haaaaa
@sadiqabdullah1294
4 жыл бұрын
I lik your work
@reggaeanalyza3559
3 жыл бұрын
Mimi
😂😂😂😂😂hii maji ilikua ya kaugali
Kinyasa juu ya jeans😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🖐vikita aki huna bibi na nyamboke na afande Cate bora umepata kuku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena unafukuza watu wakusaidia
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Ongea polepole utafanya watu wajue
Fikita...wa kulakula..mmmhhh omwana wa ingo..sufuria ni mengo hehe eeeee
Hahahahaha kweli ipo kaz hapo ugali ya mtu mmoja sufuria lote hilo
Ati kama c true love..hangevumilia😄
Ati sijui kama maji itatosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂eti chief ndo aliwatuma muende kwa huyo maskini 4:01
@martinjahkimjah-son3384
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@philipmumo7898
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
Iyo maji yote🤣🤣🤣🤣
Chief ndio amewatuma kwa huyu maskini?🤣🤣🤣 Likes zangu hapa
Siwezi miss ujinga zako aki.....nakutambua bro...keep it up
Victor. Keep it up. You made my day
🤣😭🤣🤣🤣😂 haki sijawahi cheka hivi. Victor!!!!!!!
😂😂😂😂😂, Victor you do make my day
fikita u really made my night😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti ii maji aitoshi
Aki fikita yawa😂😂😂.....I say siku moja utaniua
Fikita: Sijui kama ilikuwa true love.. 😂😂😂
Ahhhhhhhh kaugali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔💔💔💔💔💔💔💔na io maji Fikita taniua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aky fikita wacha bangi
Lol with that whole 20ltrs of H2O unapikia shule
You never disappoint
Chifu ndio amwwaambia mkuche hapa kwa maaskini..😂😂😂
This one made my morning
Victor man nice
Aki fikita ati umefurahia mboka😂🤣😍🥰🥰🤭🤭🤭🤭🤭
Letea muluhya unga ya kusiaga hiyo kwake ni kama ya uji. Fikita anaona kuku kitu ya kwanza sos funny.
Unga ya uji! 😂 😂 😂 😂
ati si kuku naeza kuwa ninachinjanga ... haha am dead
Hiyo maji ni ya ugali kwa mtu mmoja
😂😂😂Hilarious all that water!!!!!!!
Eheeeee, ety kaukali😃😃, Nani ameona blanketi ya victor
You make my day 😀😍
Eti glucose 🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅Yaani wanalazimisha waingo kukula ugali ya Packet Wiki Moja..io Ni suicide mission😅😅we never do that at home men...nice Piece Victor
Hiyo maji yoooote ni ya Ugali waaah
Vikita ww n maskini kabisa si utaniuwa 😂😂😂😂
Victor vry funny 😁😁😁
Ati fikta wa kukulakula 😂😂umejenga mwili ukaharibu jina lol!
IYO MAJI YA UGALI IYO 😂😂😂
Be patient my friend 🤣🤣🤣. anyway it's a nice act
Waluyana ugali +kuku kkkkk
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂you will kill me with laughter one day
Maji itatosha kweli hhhhhhh hiyo mtungi mzima
Like ya Fikita wa kukulakula
first one here
Victor hemu ekti ukiwa mganga tuone🤣
Kikulacho ki nguoni mwako,za Victor amewageuka.
Ati kupika kaugali😂😂😂😂
Love.. this
Ati hiyo Inga ni glucose. 😂😂😂😂
Am laughing so hard
Ati watoto wanafanana na nani? 😅😅😅
Na umejitetea brathee 😂😂
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Inabidi ndo kuku isiende
@abdulmalikaftin4619
4 жыл бұрын
@@UjingaZaVictorNaman hahaha mlunje na kuku😂😂😂
@abdulmalikaftin4619
4 жыл бұрын
@@UjingaZaVictorNaman nitakuletea kuku soon
Vicky Vicky 😂😂😂😂hao madame uliwapea kazi ya direction wakakuchomea
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Ngoja wataniona
Eti io unga ni glucose 🤣🤣🤣
Victor hii ujinga yako iko sawa kabisa
Victor ngai iyo maji yote ni ya ugali...otherwise ni kali sana
Nita tuba ngoja 😀😀😀😆😆😃
Hio maji yote😂
Hauna mboga na terere dio hiyo hapo fikita
Etii anauliza kama maji ni kidogo 😁😁😁😁
That poor chicken 🐓😭
Like ur comedy fikata naman
Fikita iyo maji nikidogo
Ati kaugali🤣🤣🤣🤣🤣
I love you guys
Haha victor anaona wa kuku amenyamaza imebidi amsalimie
@UjingaZaVictorNaman
4 жыл бұрын
Hio ndio kitu hutuliza roho yangu
Nianze kupika kuku ama ugali🤔😂😂😂watu wa kuanza kupika kuku kabla ya ugali like ziko wapi
Hiyo kuku vile inashikwa.....hehe
Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Rais anauliza risiti za wanywaji wa chai lakini hakuna mradi hata mmoja wa Serekali aliofanya Magufuli wenye risiti. Magufuli amejipatia dola Miloni 390 kwenye manunuzi ya ndege za Air Tanzania. Kama anazo aweke kwenye gazeti la Serekali. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"
Unga mnbili ni ya one weeek😄😄
Mamangu🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜 Mluhya ni unga😜😜😜🎧🎧🎞️🎬
Nani anajua huu mama n Bibi ya Victor
Wameleta klucose😬😬