Drama erupts during a government food donation exercise in Kakamega.

Комедия

Please Subscribe to Ujinga Za Victor Naman Official KZread Channel: bit.ly/2trSEOg
#UjingaZaVictor #UjingaZaVictorNaman #Funny #Kenya #Comedy Please Subscribe to Ujinga Za Victor Naman Official KZread Channel: bit.ly/2trSEOg
#UjingaZaVictor #UjingaZaVictorNaman #Funny #Kenya #Comedy

Пікірлер: 261

  • @AFANDECATEMONARI
    @AFANDECATEMONARI4 жыл бұрын

    Hio maji yote ni ugali ya mtu mmoja😃😃😃halafu I hope unaongea juu ya mtoto wa nyaboke kufwanana careteker Kama ni wangu nakuua 🙆😃😃

  • @abdulmalikaftin4619

    @abdulmalikaftin4619

    4 жыл бұрын

    Imagine...mlunje hapahatishi kukula

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Switi wacha kuchoma

  • @abdulmalikaftin4619

    @abdulmalikaftin4619

    4 жыл бұрын

    @@UjingaZaVictorNaman kama mbaya mbaya

  • @peterkrose672

    @peterkrose672

    4 жыл бұрын

    Unaona mahali anaenda kudownload..enyewe ulikua na kibarua

  • @mutuamumbua7854

    @mutuamumbua7854

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 Afante Cate surely you are missed big

  • @fabyscarl
    @fabyscarl4 жыл бұрын

    Fikita wakukulakula, that's ur trademark in ur estate 😂😂

  • @VANTVMEDIA
    @VANTVMEDIA2 жыл бұрын

    Tunaezanga chinjanga tukiendelea na stori🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zeitunstevenson6354
    @zeitunstevenson63544 жыл бұрын

    Haki Fikita unapenda kutuchomea sisi walunje....maji 20ltrs unauliza kama itatosha?😂😂😂😂😂

  • @MUTUMAMNAIROBI
    @MUTUMAMNAIROBI4 жыл бұрын

    🤣🤣 this is funny. Ni chifu amewaambia mkuje hapa kwa huyu maskini 🤔🤣🤣

  • @iddynamdede8879
    @iddynamdede88794 жыл бұрын

    Ningechinja kuku kwanza 😂😂😂😂

  • @ronnienyabayo4598
    @ronnienyabayo45984 жыл бұрын

    The "kwan ni kidogo part"😂😂😂😂😂

  • @faraharun10
    @faraharun104 жыл бұрын

    Hahaha Victor na Kuku better love story than Romeo and Juliet 😂😂😂😂

  • @dukemayo785
    @dukemayo7854 жыл бұрын

    Hii kuku umepewa iko patient man mluya can handle a chicken very carefully

  • @musingajoseph5940
    @musingajoseph59404 жыл бұрын

    SASA kama hio maji NI ya kaugali na ya Ugali yenyewe 😂😂

  • @amoscheruyot2006

    @amoscheruyot2006

    4 жыл бұрын

    Waaaah siitakua sufuria mbili

  • @johnvaatimutua2194

    @johnvaatimutua2194

    4 жыл бұрын

    Ahahaa

  • @alidawood4065

    @alidawood4065

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @jamesrobart130

    @jamesrobart130

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 nikupokee kuku

  • @davidwaichari925
    @davidwaichari9254 жыл бұрын

    Nipatieni zangu leo

  • @cleshdegrassy3682

    @cleshdegrassy3682

    4 жыл бұрын

    Sio fair

  • @lilyfrankkiambu8935
    @lilyfrankkiambu89354 жыл бұрын

    Victor itabidi umix unga na baking powder dyo ijae kwa sufuria😂😂😂😂

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Hehe.hujaniambia poa

  • @mourice5947

    @mourice5947

    Жыл бұрын

    Hahahaha 😅😅😅😅😅😅

  • @mourice5947

    @mourice5947

    Жыл бұрын

    Hahahaha 😅😅😅😅😅

  • @fabyscarl
    @fabyscarl4 жыл бұрын

    20litres ugali ya mtu mmoja?na huna unga ya kupika ugali, Mwenye alikuroga alikufa😂😂

  • @ericmosoti6
    @ericmosoti64 жыл бұрын

    Hii maji ni ya ugali,...kwani ni kidogooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💙

  • @alidawood4065
    @alidawood40654 жыл бұрын

    Waaaa hyo maji yote n ya ugali ya msee mmoja😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @griffinwekesa8628
    @griffinwekesa86282 жыл бұрын

    Great man. So entertaining 🙏🙏

  • @catherinmutheu5337
    @catherinmutheu53374 жыл бұрын

    Eti unga packet 2 na kuku moja ni za siku moja.. Hahaha .. Anaitwa fikita.. Waaa.. Nice content. Congrats

  • @addydenice3544
    @addydenice35444 жыл бұрын

    Maji ya ugali ya mtu mmoja😂😂😂😂😂😂😂na imejaa

  • @joyiezpeter1209
    @joyiezpeter12094 жыл бұрын

    Haha fikita Wa kukulakula 😁😁😁😁, hii maji ni ya ugali 🌝🌝fikita-kwani ni kidogo 😁😁😁

  • @adamant2519
    @adamant25192 жыл бұрын

    Habari wa kuku,🤣🤣uyu jamaa ako na sherehe kwa tumbo🙌🤣🤣😂

  • @chepkemoiednah492
    @chepkemoiednah4924 жыл бұрын

    😂😂😂😂..haha, Victor si ungewaambia tu we unakulanga ya kuziaga direct

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Hi hao hawataki kuelewa

  • @otienomswati3113
    @otienomswati31134 жыл бұрын

    Hapari was kuku, wacha nikushikie kuku. 😄😄😄

  • @evanskapkesosio899
    @evanskapkesosio8994 жыл бұрын

    Ati uchafi imekuliwa na doggy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ericksongallo8575
    @ericksongallo85754 жыл бұрын

    Ati hii maji itanitosha kweli?😂🙌

  • @coolmwafrika7250
    @coolmwafrika72504 жыл бұрын

    Likes za caretaker 🤣🤣🤣

  • @UjingaZaVictorNaman
    @UjingaZaVictorNaman4 жыл бұрын

    Niko na kuku.nani ako na unga ya kisiagi nimpee direction?

  • @zeitunstevenson6354

    @zeitunstevenson6354

    4 жыл бұрын

    Wewe utaleta hasara juu ya hasara...kula kuku yako pekee yako😁😁😁😁

  • @eliarichard9218

    @eliarichard9218

    4 жыл бұрын

    Ujinga Za Victor Naman na mbwa zinakulanga ile kitu chafuuuuuu haaaaa

  • @sadiqabdullah1294

    @sadiqabdullah1294

    4 жыл бұрын

    I lik your work

  • @reggaeanalyza3559

    @reggaeanalyza3559

    3 жыл бұрын

    Mimi

  • @purityabner3434
    @purityabner34344 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂hii maji ilikua ya kaugali

  • @simonmulwa986
    @simonmulwa9864 жыл бұрын

    Kinyasa juu ya jeans😂😂

  • @mumblessed001
    @mumblessed0014 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🖐vikita aki huna bibi na nyamboke na afande Cate bora umepata kuku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena unafukuza watu wakusaidia

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Ongea polepole utafanya watu wajue

  • @winniengesa9421
    @winniengesa94214 жыл бұрын

    Fikita...wa kulakula..mmmhhh omwana wa ingo..sufuria ni mengo hehe eeeee

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini86784 жыл бұрын

    Hahahahaha kweli ipo kaz hapo ugali ya mtu mmoja sufuria lote hilo

  • @kevinchikamai1596
    @kevinchikamai15964 жыл бұрын

    Ati kama c true love..hangevumilia😄

  • @kingligazo
    @kingligazo3 жыл бұрын

    Ati sijui kama maji itatosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @davidpekol9533
    @davidpekol95334 жыл бұрын

    😂😂😂😂eti chief ndo aliwatuma muende kwa huyo maskini 4:01

  • @martinjahkimjah-son3384

    @martinjahkimjah-son3384

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @philipmumo7898

    @philipmumo7898

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @KIDDO390
    @KIDDO3904 жыл бұрын

    Iyo maji yote🤣🤣🤣🤣

  • @ericksongallo8575
    @ericksongallo85754 жыл бұрын

    Chief ndio amewatuma kwa huyu maskini?🤣🤣🤣 Likes zangu hapa

  • @abdulmalikaftin4619
    @abdulmalikaftin46194 жыл бұрын

    Siwezi miss ujinga zako aki.....nakutambua bro...keep it up

  • @martinmuchemi4145
    @martinmuchemi41454 жыл бұрын

    Victor. Keep it up. You made my day

  • @tinaodero4949
    @tinaodero49494 жыл бұрын

    🤣😭🤣🤣🤣😂 haki sijawahi cheka hivi. Victor!!!!!!!

  • @cyprianbrownakaoxygen2581
    @cyprianbrownakaoxygen25814 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂, Victor you do make my day

  • @cheptookoris773
    @cheptookoris7733 жыл бұрын

    fikita u really made my night😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti ii maji aitoshi

  • @martogithinji6031
    @martogithinji60314 жыл бұрын

    Aki fikita yawa😂😂😂.....I say siku moja utaniua

  • @muthinjacollins8248
    @muthinjacollins82483 жыл бұрын

    Fikita: Sijui kama ilikuwa true love.. 😂😂😂

  • @beatking6985
    @beatking69854 жыл бұрын

    Ahhhhhhhh kaugali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔💔💔💔💔💔💔💔na io maji Fikita taniua

  • @teresiahkogi1951
    @teresiahkogi19514 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aky fikita wacha bangi

  • @joashotundo6902
    @joashotundo69024 жыл бұрын

    Lol with that whole 20ltrs of H2O unapikia shule

  • @collobore8998
    @collobore89984 жыл бұрын

    You never disappoint

  • @2lbanks888
    @2lbanks8883 жыл бұрын

    Chifu ndio amwwaambia mkuche hapa kwa maaskini..😂😂😂

  • @oscaroriko8995
    @oscaroriko89954 жыл бұрын

    This one made my morning

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    Victor man nice

  • @alipqasse9967
    @alipqasse99674 жыл бұрын

    Aki fikita ati umefurahia mboka😂🤣😍🥰🥰🤭🤭🤭🤭🤭

  • @sheilalanya6326
    @sheilalanya63264 жыл бұрын

    Letea muluhya unga ya kusiaga hiyo kwake ni kama ya uji. Fikita anaona kuku kitu ya kwanza sos funny.

  • @osodonasur8690
    @osodonasur86904 жыл бұрын

    Unga ya uji! 😂 😂 😂 😂

  • @inspirebelief333
    @inspirebelief3334 жыл бұрын

    ati si kuku naeza kuwa ninachinjanga ... haha am dead

  • @samweldeus3164
    @samweldeus31644 жыл бұрын

    Hiyo maji ni ya ugali kwa mtu mmoja

  • @realsialo_jnr
    @realsialo_jnr4 жыл бұрын

    😂😂😂Hilarious all that water!!!!!!!

  • @prudenceowini8125
    @prudenceowini81254 жыл бұрын

    Eheeeee, ety kaukali😃😃, Nani ameona blanketi ya victor

  • @felisterwamaitha1763
    @felisterwamaitha17634 жыл бұрын

    You make my day 😀😍

  • @funfacts569
    @funfacts5694 жыл бұрын

    Eti glucose 🤣🤣🤣

  • @shyboy9614
    @shyboy96144 жыл бұрын

    😅😅😅😅😅Yaani wanalazimisha waingo kukula ugali ya Packet Wiki Moja..io Ni suicide mission😅😅we never do that at home men...nice Piece Victor

  • @mandennohwayesuwaingo8660
    @mandennohwayesuwaingo86604 жыл бұрын

    Hiyo maji yoooote ni ya Ugali waaah

  • @haskesh1747
    @haskesh17474 жыл бұрын

    Vikita ww n maskini kabisa si utaniuwa 😂😂😂😂

  • @sadiqabdullah1294
    @sadiqabdullah12944 жыл бұрын

    Victor vry funny 😁😁😁

  • @wanjikukiamukawa6314
    @wanjikukiamukawa63144 жыл бұрын

    Ati fikta wa kukulakula 😂😂umejenga mwili ukaharibu jina lol!

  • @drip2917
    @drip29172 жыл бұрын

    IYO MAJI YA UGALI IYO 😂😂😂

  • @danielbarnaba563
    @danielbarnaba5633 жыл бұрын

    Be patient my friend 🤣🤣🤣. anyway it's a nice act

  • @aemrolaketube1745
    @aemrolaketube17453 жыл бұрын

    Waluyana ugali +kuku kkkkk

  • @josephkamau7615
    @josephkamau76154 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂you will kill me with laughter one day

  • @amoresudikhan6577
    @amoresudikhan65774 жыл бұрын

    Maji itatosha kweli hhhhhhh hiyo mtungi mzima

  • @peterrmurimi
    @peterrmurimi4 жыл бұрын

    Like ya Fikita wa kukulakula

  • @dennisgacathi9940
    @dennisgacathi99404 жыл бұрын

    first one here

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi20473 жыл бұрын

    Victor hemu ekti ukiwa mganga tuone🤣

  • @gennesmoraa9380
    @gennesmoraa93803 жыл бұрын

    Kikulacho ki nguoni mwako,za Victor amewageuka.

  • @geoffreymomanyi6271
    @geoffreymomanyi62714 жыл бұрын

    Ati kupika kaugali😂😂😂😂

  • @martinmuchemi4145
    @martinmuchemi41454 жыл бұрын

    Love.. this

  • @zairetorero
    @zairetorero4 жыл бұрын

    Ati hiyo Inga ni glucose. 😂😂😂😂

  • @TonyWamwea
    @TonyWamwea4 жыл бұрын

    Am laughing so hard

  • @dmuasya9449
    @dmuasya94494 жыл бұрын

    Ati watoto wanafanana na nani? 😅😅😅

  • @abdulmalikaftin4619
    @abdulmalikaftin46194 жыл бұрын

    Na umejitetea brathee 😂😂

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Inabidi ndo kuku isiende

  • @abdulmalikaftin4619

    @abdulmalikaftin4619

    4 жыл бұрын

    @@UjingaZaVictorNaman hahaha mlunje na kuku😂😂😂

  • @abdulmalikaftin4619

    @abdulmalikaftin4619

    4 жыл бұрын

    @@UjingaZaVictorNaman nitakuletea kuku soon

  • @FamousFelix1
    @FamousFelix14 жыл бұрын

    Vicky Vicky 😂😂😂😂hao madame uliwapea kazi ya direction wakakuchomea

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Ngoja wataniona

  • @Marcus-jp1mm
    @Marcus-jp1mm4 жыл бұрын

    Eti io unga ni glucose 🤣🤣🤣

  • @johnsonnyandika80
    @johnsonnyandika804 жыл бұрын

    Victor hii ujinga yako iko sawa kabisa

  • @felistafrancis1162
    @felistafrancis11624 жыл бұрын

    Victor ngai iyo maji yote ni ya ugali...otherwise ni kali sana

  • @ahmedabdihafiid1012
    @ahmedabdihafiid10124 жыл бұрын

    Nita tuba ngoja 😀😀😀😆😆😃

  • @bad.1
    @bad.14 жыл бұрын

    Hio maji yote😂

  • @keepitreal335
    @keepitreal335 Жыл бұрын

    Hauna mboga na terere dio hiyo hapo fikita

  • @ahmedkalil2036
    @ahmedkalil20364 жыл бұрын

    Etii anauliza kama maji ni kidogo 😁😁😁😁

  • @kennygee5958
    @kennygee59583 жыл бұрын

    That poor chicken 🐓😭

  • @naamansuyianka5101
    @naamansuyianka51014 жыл бұрын

    Like ur comedy fikata naman

  • @militocalito7422
    @militocalito74224 жыл бұрын

    Fikita iyo maji nikidogo

  • @annastaciawaweru7004
    @annastaciawaweru70044 жыл бұрын

    Ati kaugali🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zacharynyambane7017
    @zacharynyambane70174 жыл бұрын

    I love you guys

  • @quintermercy7672
    @quintermercy76724 жыл бұрын

    Haha victor anaona wa kuku amenyamaza imebidi amsalimie

  • @UjingaZaVictorNaman

    @UjingaZaVictorNaman

    4 жыл бұрын

    Hio ndio kitu hutuliza roho yangu

  • @AncoBiggy
    @AncoBiggy4 жыл бұрын

    Nianze kupika kuku ama ugali🤔😂😂😂watu wa kuanza kupika kuku kabla ya ugali like ziko wapi

  • @florencemuange4547
    @florencemuange45474 жыл бұрын

    Hiyo kuku vile inashikwa.....hehe

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo57533 жыл бұрын

    Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Rais anauliza risiti za wanywaji wa chai lakini hakuna mradi hata mmoja wa Serekali aliofanya Magufuli wenye risiti. Magufuli amejipatia dola Miloni 390 kwenye manunuzi ya ndege za Air Tanzania. Kama anazo aweke kwenye gazeti la Serekali. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"

  • @kevinchikamai1596
    @kevinchikamai15964 жыл бұрын

    Unga mnbili ni ya one weeek😄😄

  • @westernboymgaza3153
    @westernboymgaza31534 жыл бұрын

    Mamangu🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜 Mluhya ni unga😜😜😜🎧🎧🎞️🎬

  • @user-wu8xm3mp4t
    @user-wu8xm3mp4tАй бұрын

    Nani anajua huu mama n Bibi ya Victor

  • @philipmumo7898
    @philipmumo78984 жыл бұрын

    Wameleta klucose😬😬

Келесі