Келесі
- 1:28:23
- 136 М.
- 58:02
- 118 М.
- 00:16
- 61 МЛН
- 20 күн бұрын
- 2:47:23
- 8 МЛН
- 14 күн бұрын
- 00:27
- 13 МЛН
- 14 күн бұрын
- 00:38
- 132 МЛН
- 26 күн бұрын
- 10:02
- 215 М.
- 1:00:07
- 637 М.
- 0:31
- 2,6 М.
- 1:30:33
- 125 М.
- 34:37
- 644 М.
- 15:22
- 251 М.
- 58:03
- 152 М.
- 39:53
- 99 М.
- 00:16
- 61 МЛН
- 20 күн бұрын
Пікірлер: 207
Mpaka leo bado naangalia mawaidha haya. Mungu akuzidishie doctor sule.
Dr. Mw/Mungu amekupa uwezo tena namuomba akuzidishie tupe vitu,shehe nakukubali sana mambo mengi nimejifunza kutoka kwako dr
Al~Hajj-Shk-Ust-Maalim-Dr.Sule,tumejifunza mengi kutoka kwako.May Almighty ALLAH grants MORE THAN YOU NEED. INSHA'ALLAH. (ISMAIL YUSSUF ABDI BILE,Hargeisa;SOMALILAND).
Jazakallahu kheir alhaj Dr sule
Allahu Akbar, S.A.W prophet Muhammad PBUH
Dr Sulle MASHALLAH TABARAKALLAH baada ya kuwa mayt Kwa siku 120 kwa tumbo la mamako ulikuwa hai na Kwa kweli uko hai ALLAH AKULIPE LEO NA KESHO AKHERA
@abdallahhassani8817
5 жыл бұрын
..
Assalaam alaykum warahmatul llahi wa barakatuh. Hongera sana Doctor Sule. Endelea kutupa sabuni ya roho. Allah atakulipa thawabu nyingi inshaallah.
mungu akuzidishie elimu kwamana yeye ni mjuzi zaidi na nanaepinga unalo lisema basi atoe elimu yake tumsikie
mashallah Dr sule mungu akuzidishekilalahiri katika kutuelimisha mambo muhimu kuhusu allah
@babikirmusa6963
6 жыл бұрын
Saumu Ramadhani andika Jina ya Allah kwa herufi kubwa
@rukiaosman8416
6 жыл бұрын
Saumu Ramadhani allah akbar Mashaallah allah akujaaliye pepo ndugu yangu nasote yarabi
@rajabually3606
5 жыл бұрын
Sule pasaka
Mashaa Allah Jazzakallahu kheyir yaa Doctor Sule, Allah akupe afya njema na umri Aamiin thumma Aamiin.
Shukran jazzaka llahu kheir lnn Sha Allah
ALLAH AKUZIDISHIE DR SULE MASHAALLAH TUPE FAIDA YA ELIMU
Mungu akuzidishie mema na akujalie mwisho mema wa dunia na mwanzo mema wa akhera
MashaAllah jazakAllah kheri doc
Mashaallah
Allahu Akbar sheikh you are extra genius jazakaAllahu kheir
@harunaabu3083
9 ай бұрын
Wewe Acha njaa
mash allah allah amzidishie dr Sule chichi Kichwa acha allah kamjalia kipaji
MashaAllah mawaidha yakusisimua Allah akuzidishie
Dokta sure mungu akuzidishea maishamalefu unatupamawaitha safisana niko mwanza uskuuu uunakufatiria yutbuu
ALLAH KAWACHAGUA VIUMBE WAKE KAMA HUYU DR SULE KAMA WEWE UMENYIMWA ELIMU HII KAA KIMYA SEMA SIJUI MAANA MAKAFIRI NIVIUMBE WABISHI MNO
@barakakhassan4257
8 жыл бұрын
;
Subhana Allah- Alhamdhulillah- Allahu Akbar- wa laa illah aila llah
muhamed aziz hakusoma msimlaumu ni mjinga njoo ikiwa alisema hivo
Maashaallah Maashaallah 💓💞💞
Masha Allah Daktoor sule Allah akuzidishie ili uzidi kutufundisha
mashaallah tabarakallah. what a beautiful lecture with full of meaning. may the almighty preserve and protect you as well.
@salmasaidi2875
5 жыл бұрын
Ameen
@salmasaidi2875
5 жыл бұрын
The have knowledge mashaa ALLAH
@omaryshakur8111
5 жыл бұрын
Mashaallah mungu akupe kila lenye kher na wewe amiin
mashaallah mungu akuzidishie kwa ukumbusho wako
Masha Allah
Mashaa Allah Alhamndulillah
nasikia to vizuri nikiyasikilza Alhamdulillah
wise man
Ahmed deetat of current century
Kama wewe ni mtoto wa Mungu , mimi ni mtoto wa Mohamed Juma Yussuf,mama yangu ni Rukia Mikidad,katika familia yetu tumezaliwa 7,huyo baba yako Mungu amekuzaeni wangapi .
Doc azisha kipindi utupedawa
Nice
Nani bado anaangalia haya mawaidha
@badruhaidar9182
3 жыл бұрын
Mm
@mwajumabakari3730
3 жыл бұрын
Mm hapa bado
@harunaabu3083
9 ай бұрын
Mimi hapa nampanda sana sulle kwaajir ya allha
Hiki ni moja kati ya asilimia 20 tu ya vichwa tunavyohitaji duniani.. Inshaallah uishi kitambo
Azwiiim
M/MUNGU NI FUNDI MNO HAO MAKAFIRI AKILI ZAO NI MATOPE
@fanuelkeneth1806
5 жыл бұрын
Makafiri ndio wenye teknolojia mnayoitumia ninyi waislam.
@saadsalum3253
5 жыл бұрын
@@fanuelkeneth1806 unasema nini wewe wakat kila kitu kimetoka na uislamu naukitaka kujuwa hilo ngoja uondoke kwenye hiyi dunia ndio utajuwa
@amedeusngowi2845
5 жыл бұрын
Manshallah Dr sule mung akuweke miaka ming ili uendelee kutupa elim
@salumjuma3152
5 жыл бұрын
kwa hio ww ushajikubalisha kuwa ndio kafiri ?????@@fanuelkeneth1806
@neemaabdi4791
5 жыл бұрын
@@salumjuma3152 ,kwani unadhani makafiri hawajijui kuwa Ni makafiri? Wanajinua Sana .ukitaka kujua makafiri wanajinua msome firauni,abujwahali walijuwa fika ukweli ila walipinga tu.na Allah anututhibitishia ktk qur an tashaabahat qululuubuhum yaani kuwa makafili hufanana yaliyomo nyoyoni mwao.hivyo kafiri wa enzi za Musa na kafiri wa sasa sawa kabisa fikra zao.so ,usishangae kwa huyu kafiri aliyoyasema.
kwanza huyu anayesema ati asala-alekum si mwislamu,anakataa kuran?
@yussufkhamis2792
7 жыл бұрын
Ikiwa anaipinga Quran na Mtume Muhammad saw hainahaja yakuhoji ni Dini gani bali huyo ni kafiri tu moja kwa moja
kwenye bible akuna mafundish kama haya...ni story2
@barutwanayohussein7776
5 жыл бұрын
Doctor Sule ni mkweli na endelea kuwafahamisha makafiri na wanafiki, ili waweze kujuwa, na sisi waumini wa kiislaam tuendelee kupanuwa akili inshaallah.
Naomba namba ya simu Dr suley fadhali sana through WhatsApp
@hamadsaid9021
5 жыл бұрын
Nicheki fb Binrajab nikutumie
Hakika were n mwalimu
Kweli kabisa
A.alykum naombeni namba yasim yadoctr
Dr sulle naomba number yako
@hamadathuman6939
5 жыл бұрын
Ukiipata Tafadhaliii naombaa na mimii
Shetani anadanganya wengi kweli yaani umuache yesu umufate mwenda wazimu eti ni mtume
@mahijakapingu395
5 жыл бұрын
Huyo yesu wanini mtume Muhammad basi
@jumamohamed9648
5 жыл бұрын
Wewe yesu alikuwa muislamu na sisi tunamuamini alikua mtume wa Mwenyezi Mungu,tattoo lenu nyinyi YESU munamuita Mungu wakati yeye ni mwanadamu .
@Julia-gm1wh
5 жыл бұрын
@@jumamohamed9648 wanao amini yesu wanaitwa wakristo Sasa ww unasema unamuamini unaitwaje. Ama unaamini na mudomo na moyoni hakuna. Au ulirogwa Kama huyo mwenda wazimu wenu
@jumamohamed9648
5 жыл бұрын
Wewe acha zako ,huyo mtoto wa Maryamu waislamu wanamwita MASIHI (ISA) ,wakiristo mutamwita YESU ,Wazungu wanamwita JESUS, Wabrazil wanamwita BEBETO ,kwa hiyo unatakiwa utambue ya kwamba Mungu hawezi kuzaliwa kama unavyoambiwa wewe wala hawezi kuwa na mtoto , wala Mungu hana familia unaposema Mungu anamwana unatuambia ya kwamba Mungu ana familia kaeni mutafakari munapoambia mutumie akili zenu vizuri .
@Julia-gm1wh
5 жыл бұрын
@@jumamohamed9648 hata mm mwenyewe ni mtoto wa Mungu Sasa ww imani yako niya kishetani
Safi
Tupe faida sure
A
Wanasema itafkazama wa2 watawekewa gps chp maalum nakuongozwa kwalimot kontroo je zamazpi hizo qur'aan imezungumziaje? Namtandao huo unamilikiwa nanani? Allah akuwezeshe iwenisababu yawale ambao Allah amewachagua ili 2jpinde kablaya hizo zamaa!!
Sheikh Asalam Alyekum sorry naomba kujua hospital yako mwanza ipo sehem gan nina shida nilitaka kufika hospital yako au kirin yako naomba maelekezo kupitia 0622335144
ww muhamed azizi kama wasema Dr Sulley muongo tupe Qur'an yako yakweli na sisi tujifunze,mche mola wako usijiropokee tu
@muhamadazizi7962
7 жыл бұрын
Asalam-alekum, mimi nitakufunza Makosa na uongo wa Qurani, ili usiwe mjinga ao mpumbavu. Mungu alitupa akili ajili tuweze kutafautisha Ukweli na Uongo; Kizuri na kibaya. Waafrika weusi hawatumie akili zao. Wanasoma Biblia na Qurani makosa na uongo wiko mbele yao alakini wanashinda kuona sababu wanawaogopea moto na kuwa ahidia pepo. Uongo haupeleke mtu wowote peponi ila ina fanya watu kuwa wapumbavu na wajinga. Cheki qurani sura55( Ar-Rahman) aya 14 inatafautiana na Qurani sura96(Al- Alaq) aya 2. Hii ni wazi kabisa, wowote anao tetea makosa kama hii basi yule ana amuwa kutukuza waarabu sio kumtukuza Mungu.
@ismamansour2620
4 жыл бұрын
@@muhamadazizi7962 Wewe ni juha hujui tofauti kati ya mtu na binaadamu 😂😂😂 hakuna atakae tokea kwenye dunia hii ambae atakuja kuikosoa Qur'an HAKUNA HAKUNA ( خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ ) العلق (2) Al-Alaq Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ( خَلَقَ الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ كَالْفَخَّارِ ) الرحمن (14) Ar-Rahmaan Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo.. Rejea hapo "Mtu" na "binaadamu " ndio utajuwa kuwa wewe ni JUHA wa kimataifa
@namisgiggah1571
4 жыл бұрын
@@muhamadazizi7962 wewe ni kafiruni ilovaa joho la kislam, unaanzaje kuikosoa Quran?
@muhamadazizi7962
4 жыл бұрын
@@namisgiggah1571. Nakosowa Qurani sababu inajaa makosa na Uongo.
@namisgiggah1571
4 жыл бұрын
@@muhamadazizi7962 vizuri kunidhihirishia Hilo kwamba naongea na kafiri mmoja hivi. Maana hukuisoma Quran ukaelwa. So sibishani na kafiruun. 🤐
Mbwembwe nyingi mtume wenu kafiri aliyerogwa huyo Wa kazi gani
@millicentmadamyaya1608
5 жыл бұрын
Mbida Daud jifanye hujaskia ziba maskio 🙉🙉🙉hawa wapotoshaji hawana jipya ni majivuno tu
@alisimenze8566
5 жыл бұрын
Na wewe mungu wako kauliwa na viumbe wake katundikwa kwenye alama ya laana,hata akili pia huna ya kufikiria kama mungu wako kauliwa kashindwa kujitetea ataweza kukutetea wewe kweli!
@millicentmadamyaya1608
5 жыл бұрын
Heri huyo aliye uliwa na akafufuka bila kufufuliwa na mwanadamu yeyote.kuliko mwenye kurogwa,kuoa mjukuu wake,kulazimishia mtu dini,ukiwa mgonjwa anakutibu na mkojo wa 🐫 camel kisha unamwibia anaku-slice Kama nyama kwenye bucha watumwa wengine sijuwi watafikishaje mtu binguni 😇😇😇😇
@alisimenze8566
5 жыл бұрын
Millicent madam yaya sasa mtu auliwe na awe yeye mungu tena,na kwa hayo unayosema ya kuowa mjukuu na mengine unayo sema hebu nipe ushahidi wako sio kuropoka toa ushahidi
@millicentmadamyaya1608
5 жыл бұрын
Ali Simenze nikisema mjukuu nimemaanisha umri sawa na mjukuu😀😀 kabla sijakupa ushahidi nawe toa wa kwako pia usikurupuke tuu maana wakristo tunafahamu YESU CRISTO ndiye njia pekee ukweli na uzima so sitakueleza zaidi nyie endeleeni kuimba eti wakristo YESU ndiye MUNGU hehehe
sijaona mjinga duniani km Dr suley
@fatineto4446
6 жыл бұрын
Akili huna
@halimahassan8633
5 жыл бұрын
wallah mjinga n ww lkn ujui..yan mungu kakupa macho n uoni n maskio unayo pia usikii
@qurannimwongozo1895
5 жыл бұрын
Mjinga ni ww na uyo aliye kwambia kua yesu umuite mungu.usifate mkumbo wee dogo
@abubakarmpole4000
5 жыл бұрын
Mungu akufungue akili.
anajua kutumia ufundi wa wazungu'muhamad hajawahi kuongelea chromosome xy wala gravitational force
@kulthumahmed9997
3 жыл бұрын
Soma Quran utajua amesema ama bado. Don't try to be judgemental
Asalam-aliekum. Kwahishma ya chuo kikuu cha hapa kwetu Dar-es Salam, mimi nakataa kumwita huyu Sulley, Doktor. Hafai kabisa, sababu anaubiri uongo kufanya watu zaidi wajinga na wapumbavu.Chuo kikuu cha Makerere(Uganda) imepita chuo chetu sababu Mtu kama huyu Sulley hawezi kupewa Udoktor huko, wala mtu anapewa Udoktor Makerere hawezi kuhubiri uongo kama Sulley. Ilmu ya mimba mwanadamu alijuwa tokea zamani hata dini ya Mayahudi haijaanza.Hata wana historia hawawezi kusema wakati gani mwanadamu kajuwa ilmu ya mimba. Ilmu ya mimba haikuanza na Qurani, uongo. Qurani ina hitilafu kuhusu maumbaji. Quran surat 55 aya 14 ina itilafiana na surat 96 aya 2. Hii niwazi bila ubishi. Kutetea makosa ya Qurani ni kutukuza waarabu sio kumtukuza Mungu. Chaguweni ao mtukuze waarabu ao mumtukuze Mungu.
@husseinhamisiabdullah1599
7 жыл бұрын
muhamad azizi kwa ambao hawjasoma chemistry ya mimba ndo watakusliza but the guy is right.
@ismailmmejitaidisana70kibo40
6 жыл бұрын
degree yako ya upuuzi
@sheikhyusufchiko658
5 жыл бұрын
hatamfano wakuawajua hakuna unakosoa hatkitabu cha mngu swali swalayatoba
@alisimenze8566
5 жыл бұрын
Ukiwa mpungufu wa elimu hii ndio shida yake,kama walishindwa kutoa makosa walio piata ww usiejua hata kiarabu makosa ukeyajua vip
@alisimenze8566
5 жыл бұрын
muhamad azizi rudi darasani ujifunze tena ndugu yangu sababu elimu yako yaonesha wazi kuwa hufai hata kuzungumza mbele za watu,hizo Surat unazo sema zinazungumzia mwanadamu akiwa katika hali tofauti moja ni mwanzo wa umbile la mwanadamu na ya pili inaongelea ukiwa tumboni mwa mama yako,usijifanye mjuzi kwa kitu usicho kijua,usipo elewa kitu wewe haimaanishi kila mtu hata elewa kama wewe
Maashaallah Maashaallah 💓💞💞
Masha Allah