DR.MOHAMED: YANGA WANATAKA SIMBA IKOSE AMANI | CHAMA KAENDA KWA SABABU HIZI.

Спорт

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 14

  • @jacobanania2741
    @jacobanania2741Күн бұрын

    Point sana kaka vyula wanaumia

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed91672 күн бұрын

    Dr Mo unapenda propaganda wala Huna issue

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado70022 күн бұрын

    Endelea na hadithi zako za Abu Nuwas!

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda2 күн бұрын

    Oyaaaa amesaini Yana African

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u2 күн бұрын

    Hatuteterek mashabik wasimba tuko sawsaw aende

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed28482 күн бұрын

    Za Cuba zimekudanganya ,Tabu lele laa🖐

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala73832 күн бұрын

    Chama ana miaka 33 muda wake umeishaa hata akienda Yanga aendee Simba nikubwa kuliko Chama

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434Күн бұрын

    Hakuna kitu simba ni imara bado itabaki imara baada ya mamluki kuondolewa.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h2 күн бұрын

    Hata wewr ulikuwa mojawapo ulikuwa humtaki mangungu, ila mangungu amekuzimisha hekaheka zako na sasa humgusi.

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Күн бұрын

    Hakuna dunduka yeyote anaweza ku battle na mangungu 🤣🤣🤣 ..... Narudia Tena hakuna mpu.... Yeyote pale udundukani anaeweza ku battle na chief mangungu 🤣🤣🤣🤣

  • @aloyceibiga-tx1ji
    @aloyceibiga-tx1jiКүн бұрын

    yanga hawajamchukua chama kutoka simba, Bali yanga wamemchukua chama akiwa mchezaji huru

  • @fadhilifadhili1353
    @fadhilifadhili1353Күн бұрын

    Simba wakubwa kwa robo robo acha ngenga ww

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yiКүн бұрын

    Huna ujualo

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738Күн бұрын

    Huna lolote wewe, uchungu umekujaaa

Келесі