DR CASMIR RICHARD DAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO.

Kama unasumbuliwa na tatizo la meno kuuma au kulegea, fizi kuvimba au kutoa damu, pia kuna huduma ya kusafisha meno, kuweka meno bandia na kunyoosha meno.
Unakaribishwa sana katika kufanyiwa uchunguzi wa kinywa na meno kutoka katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa waMwanza Sekoutoure.

Пікірлер: 14

  • @JoyceElias-pl5mo
    @JoyceElias-pl5moАй бұрын

    Nateseka jamani meno yameisha munisaidie mi sio skari yanatoboka nakuuma na kupelekea kungoa

  • @user-uq1yp2ts6z
    @user-uq1yp2ts6zАй бұрын

    Naomba namba yako

  • @inyasiinyasi3009
    @inyasiinyasi300923 күн бұрын

    doctor naomba kujua me ninamwanya na siuped naomba kuziba gharama yake ni shgp

  • @HoseaMosha
    @HoseaMosha3 ай бұрын

    Doctor naomba namba yako

  • @Zimba509
    @Zimba5099 ай бұрын

    Weka namba apo, tukutafute docta

  • @user-uq1yp2ts6z
    @user-uq1yp2ts6zАй бұрын

    Mnasafisha meno kwa pesa ngapi

  • @sekoutourerrh

    @sekoutourerrh

    Ай бұрын

    shukrani sna, unakaribishwa kuonana na daktari kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa moja na nusu hadi sa tisa na nusu kwa ajili ya uchunguzi wa kinywa chako na ushauri zaidi karibu sana

  • @user-qz7ft6rv6q
    @user-qz7ft6rv6q5 ай бұрын

    Jino lakuto kutoa shingapi na mnapatikana wap

  • @user-vv9wc1em6q
    @user-vv9wc1em6q4 ай бұрын

    nahtaji mawsiliano yako

  • @fadhilamsagati1337
    @fadhilamsagati1337 Жыл бұрын

    nataka kumuekee baba yangu

  • @fadhilamsagati1337
    @fadhilamsagati1337 Жыл бұрын

    doctor mimi nauliza kuweka meno ni bei gani

  • @sekoutourerrh

    @sekoutourerrh

    Жыл бұрын

    Tsh 25000 kila jino. Karibu sana

  • @fadhilamsagati1337

    @fadhilamsagati1337

    Жыл бұрын

    yakuweka bila kuyatoa bei gani

  • @williampetermadirisha5817

    @williampetermadirisha5817

    Күн бұрын

    Jeyale yakkuweka bila kutoa shingapi doctor ​@@sekoutourerrh