DR CASMIR RICHARD DAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO.
Kama unasumbuliwa na tatizo la meno kuuma au kulegea, fizi kuvimba au kutoa damu, pia kuna huduma ya kusafisha meno, kuweka meno bandia na kunyoosha meno.
Unakaribishwa sana katika kufanyiwa uchunguzi wa kinywa na meno kutoka katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa waMwanza Sekoutoure.
Пікірлер: 14
Nateseka jamani meno yameisha munisaidie mi sio skari yanatoboka nakuuma na kupelekea kungoa
Naomba namba yako
doctor naomba kujua me ninamwanya na siuped naomba kuziba gharama yake ni shgp
Doctor naomba namba yako
Weka namba apo, tukutafute docta
Mnasafisha meno kwa pesa ngapi
@sekoutourerrh
Ай бұрын
shukrani sna, unakaribishwa kuonana na daktari kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa moja na nusu hadi sa tisa na nusu kwa ajili ya uchunguzi wa kinywa chako na ushauri zaidi karibu sana
Jino lakuto kutoa shingapi na mnapatikana wap
nahtaji mawsiliano yako
nataka kumuekee baba yangu
doctor mimi nauliza kuweka meno ni bei gani
@sekoutourerrh
Жыл бұрын
Tsh 25000 kila jino. Karibu sana
@fadhilamsagati1337
Жыл бұрын
yakuweka bila kuyatoa bei gani
@williampetermadirisha5817
Күн бұрын
Jeyale yakkuweka bila kutoa shingapi doctor @@sekoutourerrh