AMETUFANYA KUSHINDA | Down The Cross Singers (DTCs) [official music video]. 4K
Музыка
Wimbo wa ametufanya kushinda ni wimbo unaotukumbusha kuwa peke yetu hatuwezi kufanya jambo lolote ni kwa uwezo wa MUNGU pekee ambao hutupa nguvu na ushindi mkubwa dhidi ya matatizo na shida za Dunia hii. Endelea kubarikiwa na wimbo huu pia usisahau kushare kwa wengine wabarikiwe pia.
SONG CREDITS
Composer: Ibrahim Mashika +255627880677
Instrumental: Agape adonius+255627240998
Voice arrangements by Ibrahim Mashika and Agape adonius
Audio by Betese pro +255762519949
Video by RJ production +255769672995
Connect with us
Email: downthecrossingers@gmail.com
Facebook: profile.php?...
Instagram
downthe_cro...
All right reserved by Down The Cross Singers (DTCs), 2024
THANK YOU!!
Пікірлер: 87
Mungu awabariki Sana Down the cross singers. Wimbo huu umetukumbusha ushindi mkuu tuliokirimiwa na Yesu Kristo
Tunabarikiwa sana na familia hii ya DTC Kwa wimbo huu maan hta sisi BWANA ametufanya kushinda hakika. TUENDELEE KUBARIKIWA
Wimbo naupenda sana kwa kiufupi nyimbo zenu zinanibariki sana ninapo sikiliza Mungu awafikishe viwango vya juu
Mwenyenzi Mungu aendelee kuwatumia vema katika kumtangaza yeye🙏💝
Jamani huu wimbo ni mzuri sana, una mistari yenye tafakuri na ujumbe mzito ndani yake. Naipenda sana hii kwaya Inapendeza sanaaaaaa
USHINDI UPO KATIKA YEYE ALIYEZIFANYA MBINGU NA NCHI! BARIKIWENI FAMILY
Listening all the way from 🇮🇳🇮🇳❤️❤️
Hatujawahi amini kama kuna nyimbo itaja tutoa machozi, lakini hii imetikisa mioyo yetu haswa❤❤❤❤❤❤❤. .. KRISTO atumetufanya kushinda kama MU SDA choirs zake
Bwana awabariki Sana muende mbali wapendwa
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Amina Tunashukuru
Mbarikiwe Kwa wimbo mzur mfike mbali ❤❤❤❤❤
Mbarikiwe sana familiaaa😍♥️ Hakika tumeona upendo wa Bwana
Mfika mbali
Hakika wimbo huu umenibariki sana...Mungu azid kuwabariki Zaid.
Simulizi inavutia na inagusa hadi kwenye vyumba vya ndani ya moto🤗
hongereni wimbo wa baraka sana
Mbarikiwe sana kwa ujumbe mzur na Mungu awainue zaidi
Amen amen 🙏 kazi njema sana Familia 🎉❤
Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia zaidi🎉🎉🎉🎉🎉
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Amina 🙏
Kazi zilizoenda shule ni kama hizi sasa safiii..... Mbarikiwe sana
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Asante sanaa
Amen 🙏🙏
Duu!, hakika wimbo unaburudisha na kuinjilisha sana,, mbarikiwe sana na mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia katika kuifanya kazi yake ya kuinjilisha through uimbaji🙏🏾
Mbarikiwesanakwa wimbo mzuri DTCS
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Asante sana
Wooow kazi nzuri Mungu awasaidie
Exactly mbarikiwe na Bwana 🎉🎉
Hakika ametufanya kushinda🎉🎉🎉
Wimbo mkali sana familia❤🔥🔥
Mungu awabariki familia yangu.
Wimbo mzuri sana barikiwa wote familia ya SDA😘😘
Amina🙏
Mungu na Atukuzwe nawapenda❤🎉🎉
Congratulations vjn kwa kazi nzur
Ongeren san kwa kaz nzur
Mfike mbali zaidi
Hakika mungu awe nanyiii 🙏🙏💞💞
Kazi njema kijana wangu
Hallelujah ametufany kushinda hakika🙏
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Amina😌🙏
Amen! Blessings flying all the way to Mauritius 🇲🇺. Listening to beautiful gospel sounds🙏🏾
Mungu awabariki kazi nzuri 🙏🙏
Amen
Nabarikiwa sana familia!
Kazi nzuliii mbarikiwe ❤️
Mbarikiwe sana wapendwa🙏🏾
Mbarikiwe sana
IMELA IMELA EZE M OH
Be blessed abundantly familio🥳 Tuendelee kumshangilia BWANA🙏🙌
Mungu awabariki
Naaaam kazi njema sana wananguu😌❤️❤️❤️
Kazi njema watumishi wa Bwana Mungu awabaliki mzidi kuitenda kazi yake milele na milele
@sephanianyondo5868
6 күн бұрын
Amen stay blessed kaka
Mungu awabariki sana
Nice song, be blessed
Amen amen
Mungu na Atukuzwe Nawapendaa🎉🎉
Bravo 🎉
Amen guys be blessed in this ministry❤
Ameen..
Mbarikiwe sana watu wa BAba 🔥🔥🔥🔥
Amazing
Much love❤ May almight God bless u for the gud message
Chiwanyi where are u, mbna skuoni😂
Wimbo mzur hongereniii🎉
Hii Kali sana blessed 👂👋
Haya sas magira😂
🔥 🔥
May God bless you guys🎉
Mbarikiwe😌
🎉🎉
Dtc my family, you are a blessing🎉🎉
Watching all the way from Atlanta, USA 🙏😃
@Downthecrosssingerstz
9 күн бұрын
Awesome! Thank you!
❤❤❤❤❤
❤
What a great song 🙏🔥
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Thank you😌🙏
🎉🎉🎉🎉🎉endeleeen kuntunzia mwanangu Nyafuru
Nnnam 😁🌚
@Downthecrosssingerstz
10 күн бұрын
Familiaa😊
Barikiweni sana!
❤🎉❤🎉❤❤
Barikiwa
Mungu na Atukuzwe nawapenda❤🎉🎉
Mbarikiwe sana