DOTTO MAGARI : MIMI BRAND KUBWA | DIAMOND HANIPENDI | MWIJAKU, BABA LEVO NI WAPIGA KELELE TU

Ойын-сауық

Пікірлер: 51

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 Жыл бұрын

    Doto yupo sawa born town hunampinzani salute doto nyota inangara saivi brother zanzibar tunakufatilia sana karibu zanzibar

  • @madinakitemo8902
    @madinakitemo89028 ай бұрын

    Nakukubali sana doto magari

  • @pastorymasanja8838
    @pastorymasanja883810 ай бұрын

    Doto magari kula maisha muda wako huu.

  • @tropperben-xw5xr
    @tropperben-xw5xr3 ай бұрын

    dotto born fighter of hard life

  • @user-qo8ih9mv3e
    @user-qo8ih9mv3e5 ай бұрын

    Mimi pia nimekukubali Doto...kutoka Alexandria VA Virginia.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Wakat WA mungu umeshafika kula baba T. I. D ATULIE KIDG MUDA UMESHAISHA

  • @mwinyimwajao8325
    @mwinyimwajao8325 Жыл бұрын

    Jamaa maneno mengi....hajajibu swali hata moja

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara755710 ай бұрын

    Dotto magari umenikumbusha mbali enzi hizo mzekassim tengeneza apo kwa doto amerikani chips rafk yako nyenge unamkumbuka marehemu pamoja dotto magari

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Жыл бұрын

    Kweny influence yangu 🤣🤣 muzishen

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara755711 ай бұрын

    Hakuwezi TID doto wakati wako huuu mungu akuzidishie doto

  • @afsamandaly6205
    @afsamandaly6205 Жыл бұрын

    Apo nimekuwelewa Kaka dogo makagari kwenye mtoto wa mjini watu tumepambna na tumerosti vitu kibao mpka unasimama tena siyo raisi

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Жыл бұрын

    Hayaaaaa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p5 ай бұрын

    Influenca

  • @marymakame241
    @marymakame2418 ай бұрын

    Nakupenda sana nikiwa na mawazo basi lazima nikutizame unavyoongea yaani kweli wewe mzaramo duh unanikoshagaa @!!!!

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55598 ай бұрын

    dotto ajasoma ira kawazidi wasomi uchwara bongo

  • @medidaudi8335
    @medidaudi83356 ай бұрын

    Dotto anajuwa sana

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan380911 ай бұрын

    Influencer doto sio Influence 😅

  • @JohnMwalwembe-rl9tc
    @JohnMwalwembe-rl9tc7 ай бұрын

    Doto magari acha uongo unasema una bausa wakike acha uongo una hata bausa acha uhuni wewe bado sana una pesa za ku wa lipa bausa

  • @IssahPuta-sh6xs
    @IssahPuta-sh6xs8 ай бұрын

    Braza wa kizaramo nakukubal mtoto wa mjini salut,,,,,bro

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud600111 ай бұрын

    Hahaha, oya DOTTO KETTO , watu FUDENGE wanakusikia...!..🤣🤣🤣

  • @user-ov7pj3sm7x
    @user-ov7pj3sm7x7 ай бұрын

    Uko vizur kaka

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l8 ай бұрын

    doto magari 😂😂😂😂😂😂😂

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Жыл бұрын

    Hehehehehe

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Жыл бұрын

    Ni influencer na sio influence

  • @user-vw9ke1vu2w
    @user-vw9ke1vu2w5 ай бұрын

    kaka una baya

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Жыл бұрын

    Eti infulence😂😂😂😂

  • @user-ny2zb4im1o
    @user-ny2zb4im1o8 ай бұрын

    Magali machache ya dotto mengi

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Жыл бұрын

    Sijui mumemuelewa???😅😅 Kumbe siku hizi nae ni msanii

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Kibonge mwenye akili nyingi ❤

  • @mtuporiandimu6436

    @mtuporiandimu6436

    10 ай бұрын

    Chuga 2nakukubali doto

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa836311 ай бұрын

    Anzngua uy aliojwa n manal TV alisem Awa azm

  • @BernardMapuga
    @BernardMapuga8 ай бұрын

    Punguza kubishana na watu wkt kila kitu kinajionesha nii kama unaguswa kdg tu unajibu sana hd unakuwa kama unaharibu

  • @architectmussa4
    @architectmussa48 ай бұрын

    Amekuwa msanii kuanzia lini.

  • @SamsonMakunja-eo4xf
    @SamsonMakunja-eo4xf11 ай бұрын

    Jamaa anaongelea mikono eti!??ukimsogelee anaweza kukupiga ngumi

  • @hawanassoro4607
    @hawanassoro460711 ай бұрын

    😂Acha kumponda hakuna anaeweza kumudu matamshi ya lugha inategemea anazungukwa na nani mpambanaji na ni mbunifu ambayo watu wengi wanafeli hata kama anaelimu Doto uko juu watanzania badilikeni jifunzeni kutoka watu wenye vipaji kama huyu

  • @ommymkali8293
    @ommymkali8293 Жыл бұрын

    Gadafihuyo

  • @officialnadoboytz1005
    @officialnadoboytz1005 Жыл бұрын

    Bila Diamond mambo ayaendi 😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55598 ай бұрын

    diamondi asipo kupenda utakosa nini wakati mimi nakupenda waukaeee sisi wa tandare na uzuri atupendi utakua wewe wa kino?? anauza mitumba swet corna uvuri tuna muona arikua tuna mwita domo yeye akaajiita lipsi denda

  • @MohdMohd-hf7rm
    @MohdMohd-hf7rm Жыл бұрын

    Big unamuiga sana Jonijooo

  • @user-zj6ql8pq9c
    @user-zj6ql8pq9c11 ай бұрын

    Ukovizuri kimaelezo na utafutaj

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    Infrues 😅😅 huyu jamaa ana matatizo ya akili haki ya mungu mungu atunusuru na kizazi kama hichi

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Жыл бұрын

    diamond akupende kwani wewe hela? peleka ujinga wako huko

  • @saidimkome3818
    @saidimkome3818 Жыл бұрын

    Mshamba tyu Kawa chawa sikuizi njaa mbaya

  • @piusalexander4322
    @piusalexander4322 Жыл бұрын

    Kamaa angekuwa mchezaji angekuwa anazunguka wanja mzima duu mtangazaji unashida🤣🤣🤣🤣

  • @allenbierra8841
    @allenbierra8841 Жыл бұрын

    Infuensi

  • @shodristvtv6121

    @shodristvtv6121

    9 ай бұрын

    😂lol

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Жыл бұрын

    Anaongea kwa zarau sura yenyewe kama pilo

  • @vickydaudi-kr2wq

    @vickydaudi-kr2wq

    Жыл бұрын

    Umeona ehh 😂😂

  • @samwesupa6906

    @samwesupa6906

    Жыл бұрын

    Katoka mbali mpk amefika apo acha atambe dotto n mkarimu sana

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka ile mbaya jmn duuh!!!

  • @backsonga8144

    @backsonga8144

    Жыл бұрын

    Pilo master