Dogo Janja - My Life (Official Music Video)
Ойын-сауық
- Dogo Janja -
"My Life" (Official Music Video)
Video Directed by : Hanscana ( Wanene Films )
Audio Produced by : Marco Chali & Carl Hovind & Daxo Chali ( Mj Records)
dogojanjatz
TIP TOP CONNECTION 2016
More Songs Of Dogo Janja
Banana: https: // • Dogo janja - Banana (...
NGARENARO: • Dogo Janja - NGARENARO...
Kidebe: https: // • Dogo Janja - Kidebe (O...
My Life: https: // • Dogo Janja - My Life (...
Wayu Wayu: • Dogo Janja - WAYU WAYU...
Digital Distribution & Promotions: Ziiki Media.
For Latest Update:
dogojanjatz
/ dogojanjatz
/ dogojanjatz
Пікірлер: 782
Kama una sikiliza hi ngoma gonga #like hapA
Hii ngoma nimekuja naisikiloza kwenye Gari nadrive Dar to Kondoa. Nimeset Repeat ikiisha inajirudia. Bado siamini kama alie imba ni dogo janja japo naemuona hapa ni Dogo janja alie dharauliwa na Kicheche kimoja juzi kati. Mdogo wangu Umebadilika mnooo. Kazi nzuri mnoo. Msikilize kaka yako Madee anakufundisha nini. Achana na Maneno ya Watu. Mungu akupe moyo wa hekima Madee endelea hivyo hivyo. Maana unavyo wapuuza wambea Shetani nae anashindwa. Kazi nziri sana kafanya mdogo wako. Achanakabsa na yule Ostaz feki anaye dhalilisha wasanii.
@cabdikariin2814
4 жыл бұрын
Kaka. Ok. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤙🤙🤙🤙🤙😎😎😎😎😎😎😎😎👍👍🤙
@mohammedidrissa2696
Жыл бұрын
👊
Dogo janjaaaa dah iko pouwa sana
Ipo vizuri dogo kaza music unakupenda achana na majungu ya wabongo koz hatupendani...1luv
Ngoma NAYO ipenda maisha yote ❤❤❤
AWWWWWWW🎉 NIKO HAPA 2024
Aaaaaahhhh dadadeeeek nmekubal Kjana, bg Up... Kaza msul for better 2moro!! Much prayers'''
2024 who's still listening to this tune
I can't believe it janjaro we mkaleee mzaz...salute bablai. KARIBU A CITY.
@ruiaswalehe2823
8 жыл бұрын
nakumbali nyimbo zako dogo uko poa big up
Huyu ndio msanii pekee ambayo hajaniangusha katika mziki (tukitoa Diamond). Ngoma zako zote ni kali. Big up janjaro.
My boy did it....!😍😍😍😍 love it so much #mylife ,rafiki wa kweli moyo wangu japo niko peace na wanangu... Don't mess up with my life ..big up
kazi safi,mad respect from Nairobi Kenya to you
mrangi mwenzangu yah nimekuelewa kwa msemo wako kaka
i have listened and watched this song more than 50 times and its just amazing the beat and the introduction is good about the issue with that lady this song disapproves the allegations big up dogo your fun from kenya
Pesa iliaza kupatikana always mziki biashara ni tamuuu snaaa
hascana we ni level zengine aseee plz we are waiting for more good and great job
Thx u lord baba na mama wame nileta kwenye dunia 🔥🔥🔥🔥🔥
wataonge sanah hao ma young hawakuwez Jan jaro huyoooooo amazing song.
Yerrrreeeeeee... Janjaro Salute chalii angu
Nipo hapa 2023
Who is here 2023 gd music never fades
kaskazin stand up. big up
Bonge la Pumbu, Big up ma man full love !!.
Still a hitsong 2023 respect janjaro
aminia mwanangu,imekaa poa!
thanks for coming dogo
Dah,kashakuwa Kubwa Janja tayari🙈🙈🙈
2024 tuondoke na iii 🔥🥇
true song real message nice beat nice vocals. real life aiseeee.... kenya tumekupokea visawa dogo
dogo uko vizuri....nimeipenda kiukweli....!
Dogo kweli umekuwa...aha aha ha am living ma lyf
wow!!!nyce voice nyce song...congrat dogo langu
lazmaaa wakaeee janjarooo aiseee hanscana upoo juuu in videos eeeeh wataelewaaa tuu
Woow uko nathamani zaidi babaa usijali iko sawa hiyo nikweli hakuna anaejuwa kesho yake ama ya mwenzio
daaaaahh!! kichupa cha ukweli big up janjarooohhhh
Am here 2024 feb
SALUTIIIIIIIIIIIIIIIIII na ASANTEEEE SANAAAAAA kwa KICHUPA kizuri 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍
Dogo wakalishe chin wooote......we noma sana yan chalii ang
Hii wakubwa tunaitaga ni Maaaaaaadness.
Who’s here may 2024😊❤❤❤❤MY LIFE
@LapulgaMaster-yy3ni
12 күн бұрын
Here
Mm ckua shabiki wako ila kwa hii track umenibamba mbaya cmuoni janjaro namuona mjamaica flan hivi. Big up baki humo humo michano kidogo rnb kidogo vitasomeeeeeeeeka tyuuuuuuuuuuu
Familia yanee na mlungu wanee asanteeeee
daaaah...kazi ya ukwel sana #JANJARO mwenyezi #MUNGU akuzidishie na mafanikio tele.. huku tukisubiri kazi zako zijazo.
I’m living my life ❤️❤️
Hanscana ni level ingine kabisaaaa
nice video dogo janja kaza ngarenaro iendelee kuwa katka raman ya bongo
Good job Dogo bonge la mwimbo
Nice song by Dogo Janja
rafiki waukweli moyo wangu😍😍😍
big up janja that's cool
My favorite song dogo
Gonga like hapa saiv nikuone kma umeipenda song
2020 still a big tune😍
Hapa nimekukubali mwanangu. Production kali, ujio mpya. Nice work!
Ukweli umenena lala 💃💃💃💃mwaaaa
Janjaro joo wee matata bravoo napiga salute one lov
My fav song of janjaro iko love daima Nani bado ana sikiliza huu wimbo i 2020 vibes
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah kwely ma young hawakuwezi sharout kwa directer hanscana amekupatiaaaaaaaaaa ile mbayaaaaaaa video is so dopeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
That's cool
Uko juu sana Dogo janja💪
U THE PERFECT
Rafiki wa kweri moyo wangu dah umetisha janjaro
😩😭❤️💓💕💞 I'm living my life jameni muniache... Naomba likes zenu from Kenya #254
wew nouuumaa ndo maaanaa ukaitwa Dogo janjarooooz saf pendaga weew san
dogo mkali big up sana
magnificent, tumekupata dogo,love from Washington
pretty cool
safi xn janjaa kweli umekua xx bonge moja la ngoma ujumbe mzuri xn cha mxing n kukazana cz upo kwenye mikono xalama ya watu wanao miliki game ya BONGO FLEVA mkubwa fella,babu tale,sallam sk.ilo liko wazi xo kazana utafika .
kitu konki!!! big up janjaro!
back in action dogo big up
love eeeeeeee uuuuuu aloott dgo from ngarenaro
ngarenaro republic umetisha san kweny hii ngoma keep it up
This is on replay nimeipenda iko powa
my biggest song in 2016.u lock my bro.nice singing and rap. video on point.
salute hanscana. kazi nzuri sana dogo janja...
umetisha sana mr director keep moving
Mtaongea Sana nyi mayoung hamniwezi ...nice song my life,big up man
Dah!! mbona wee mkali hivi???? 👍👍👍👍👍
Wimbo wa dogo jana ninaojipongeza nao kila nikifika mwaka .....noma sana
I was the first person to heard this song last year but I didn't comment
Nani yuko hapa 2019
dogo janja,its nice mziki,anashinda wote mu Tanzania
SOUNDS, MELODIES 🔥🔥🔥 hatari xana
kesem kweli hii ngom nimeiyelew san san big up janjar
@frankmaiko6695
4 жыл бұрын
mkali wenu original please subscri
"msomi niki wa ii mi niliachaga makongo"
young bro never give up
dogo uko vzri san dg .........watisoma namba......
umevunjaaa hahahahahahahaha...hongera sana mdogo wangu
Ngoma kali video nayo nomaa sanaaa big up janjaro na hanscana
Talent wonderful man
Ayemuona fayvanny gonga like twende sawa 2019
@fatmahymaulidy6264
4 жыл бұрын
Namuona fahyvanny
Valangi mumware uh 2020🙌🙌🙌
let's keep the good music alive
video ipo poa, wewe upo poa, yani poa poa,, good
vidéo kaliiiii sana, natamani niirudie mara kwa mara huuum Mungu akubariki
napenda sana iyii nyimbo 😘😘😘🤗🤗👌👌
Hahaha hahaha hahaha ,umetisha sana😂😂😂💕❤💞👌
That is true we all living our lives keep it up bro
xafi dogo umejitaidi achana na huyo ma deec
Nimeanza kumuelewe Hanscana kichupa safii