Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024

Спорт

Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.

Пікірлер: 103

  • @GodfreyTaudos
    @GodfreyTaudos23 күн бұрын

    Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad615824 күн бұрын

    Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles24 күн бұрын

    Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.

  • @BerthaVictor-px1bj

    @BerthaVictor-px1bj

    24 күн бұрын

    Maixha ghali xAna

  • @idybwoytz8485

    @idybwoytz8485

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂kabixa

  • @ribelathaponsian421

    @ribelathaponsian421

    24 күн бұрын

    Aloooh tuachane na goal lenyew is azizi, mm mempenda sanaaa mzize aseeeee big up sanaaaa kwa mzize.......🎉🎉

  • @user-xd2tg8eq1h

    @user-xd2tg8eq1h

    24 күн бұрын

    Yaani utopolo wanapenda sifa

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    23 күн бұрын

    Mnooooo yaaaani

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka182724 күн бұрын

    Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah

  • @stefanohonory7974
    @stefanohonory797424 күн бұрын

    aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu

  • @joycemmassi5046

    @joycemmassi5046

    24 күн бұрын

    Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward60924 күн бұрын

    Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂

  • @roi2554
    @roi255424 күн бұрын

    Man of the match is msheri

  • @EmpireDRAGON-hk9ic
    @EmpireDRAGON-hk9ic24 күн бұрын

    Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba

  • @sadahamad6158
    @sadahamad615824 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    24 күн бұрын

    Nashkuru

  • @jacksonmathayo6510

    @jacksonmathayo6510

    24 күн бұрын

    Anaitwaga nani

  • @ibrahimirakoze3312
    @ibrahimirakoze331224 күн бұрын

    Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela765722 күн бұрын

    Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz123024 күн бұрын

    Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅

  • @mwanahamisijuma7270

    @mwanahamisijuma7270

    24 күн бұрын

    🎉Haki nimecheka adi machoziyakanitoka

  • @mariakitaly7064

    @mariakitaly7064

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G24 күн бұрын

    Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻

  • @user-gw2nm1if1h
    @user-gw2nm1if1h23 күн бұрын

    Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚

  • @kaonekakaoneka9815
    @kaonekakaoneka981524 күн бұрын

    Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game

  • @timcee2670
    @timcee267024 күн бұрын

    Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu

  • @aishabakari8040

    @aishabakari8040

    24 күн бұрын

    Huwaga wanatueka nusu yani ata hatufaidi vizuri 😢

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    24 күн бұрын

    Yes

  • @dianasabu6156
    @dianasabu615624 күн бұрын

    Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    24 күн бұрын

    Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂

  • @DaudiMathias-nq6zs
    @DaudiMathias-nq6zs24 күн бұрын

    Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤

  • @fredysolly8051
    @fredysolly805124 күн бұрын

    Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi24 күн бұрын

    Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana

  • @EliasSirocha
    @EliasSirocha24 күн бұрын

    Pongeziii sana kwakooo mzize

  • @valencemwarabu7611
    @valencemwarabu761124 күн бұрын

    Mzize aiseee

  • @Shadia544
    @Shadia54424 күн бұрын

    😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂

  • @KhalfanHamza-ww8jt

    @KhalfanHamza-ww8jt

    24 күн бұрын

    😂😂

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    24 күн бұрын

    Asante

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr24 күн бұрын

    Yangaaaaaa ubingwa aaaaah

  • @ShebyKiango-bj9mq
    @ShebyKiango-bj9mq24 күн бұрын

    Et operation bila ganzi😂😂

  • @KhalfanHamza-ww8jt

    @KhalfanHamza-ww8jt

    24 күн бұрын

    😂😂

  • @fotunatusiMsongole

    @fotunatusiMsongole

    24 күн бұрын

    Yanga sifa zimezidi Sasa mnatakaa Kila kitu nyinyii muwe juuuu kilelenii

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela754123 күн бұрын

    Chama langu pendwa 💚💛💚🔰

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg23 күн бұрын

    Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert24 күн бұрын

    No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂

  • @user-bw1hs2nd8p

    @user-bw1hs2nd8p

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @SuleimanAbdalla-cn5ne
    @SuleimanAbdalla-cn5ne23 күн бұрын

    Kibwana shomar moto❤

  • @swaumuomary1843
    @swaumuomary184324 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk980324 күн бұрын

    Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda

  • @DativaValerian
    @DativaValerian24 күн бұрын

    Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin571624 күн бұрын

    Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i24 күн бұрын

    Kipa tunae💚💛

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard233624 күн бұрын

    Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    24 күн бұрын

    Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja. Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi. Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera. Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas887624 күн бұрын

    Mtupe kiatu chetu mapema

  • @ShedyPackall-vx5vy

    @ShedyPackall-vx5vy

    24 күн бұрын

    Watugei Kiatu fei hafungi tena

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba205324 күн бұрын

    Anthony versus mavunde. Dooooh

  • @lossarungira965

    @lossarungira965

    24 күн бұрын

    Haijalishi kikubwa ushindi

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi24 күн бұрын

    Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi504624 күн бұрын

    pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli

  • @DativaValerian

    @DativaValerian

    24 күн бұрын

    Huu ndio umoja wa mabingwa mara 30

  • @giant1779
    @giant177924 күн бұрын

    Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁 I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.

  • @jumazuberi1823

    @jumazuberi1823

    24 күн бұрын

    kwan kuna mtu anaekuhitaji baki huko huko ukoloni usituleteee uchafu wenu

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    24 күн бұрын

    Humu tu .. humu tu

  • @giant1779

    @giant1779

    24 күн бұрын

    @@jumazuberi1823 😁 your kidding right!? Huku na huko kwenu wapi pachafu bro and plz try to bring facts no b*llshiting.

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    24 күн бұрын

    #humuhumu tu

  • @abdulkarimabdallah9536

    @abdulkarimabdallah9536

    23 күн бұрын

    .

  • @ayk20
    @ayk2024 күн бұрын

    Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3

  • @petermanala6138

    @petermanala6138

    24 күн бұрын

    Kama ambavyo hawakuwa making geita

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    24 күн бұрын

    Za Yanga zingefika saba😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles992024 күн бұрын

    Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    24 күн бұрын

    We ni mpuuzi

  • @sosomacharles9920

    @sosomacharles9920

    24 күн бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Kama ulivyo ww

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf24 күн бұрын

    Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu

  • @ukuvukiland2387

    @ukuvukiland2387

    24 күн бұрын

    Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀

  • @BennyJumah-hd8yf

    @BennyJumah-hd8yf

    24 күн бұрын

    @@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles992024 күн бұрын

    Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu185823 күн бұрын

    Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu

  • @kikotse-tung
    @kikotse-tung24 күн бұрын

    mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas

  • @AsiaHarouna
    @AsiaHarouna23 күн бұрын

    Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @paulinevedastus7621
    @paulinevedastus762124 күн бұрын

    Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣

  • @haidarykufakunoga8869

    @haidarykufakunoga8869

    24 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid24 күн бұрын

    tff are sirious uwanja huo vip

  • @KhalfanHamza-ww8jt

    @KhalfanHamza-ww8jt

    24 күн бұрын

    yaan 😂😂

  • @MussaKulamakwene
    @MussaKulamakwene24 күн бұрын

    😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia

  • @graysondavid5200
    @graysondavid520024 күн бұрын

    Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂

  • @FatumaShabani-mp9vt

    @FatumaShabani-mp9vt

    24 күн бұрын

    Sio kweri 😢😢

  • @graysondavid5200

    @graysondavid5200

    24 күн бұрын

    @@FatumaShabani-mp9vt naelewa ni utani tu😂 ila kwa kweli leo kasave mno

  • @StessOg-un5hy
    @StessOg-un5hy24 күн бұрын

    kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin234524 күн бұрын

    Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu

  • @mariamelia8688

    @mariamelia8688

    23 күн бұрын

    Umeombwa hayo maon????

  • @magesachilimila1104

    @magesachilimila1104

    23 күн бұрын

    Kawaulize Mamelodi na Makolo watakueleza kama beki ya Yanga ni bora au la.

  • @ecostats51
    @ecostats5124 күн бұрын

    Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    24 күн бұрын

    Azizi yuko juu ya Faisal goli moja

  • @moodysavage179

    @moodysavage179

    24 күн бұрын

    azizi yupo juu ana magoli kumi na Saba fei 16

  • @nickylass4586

    @nickylass4586

    24 күн бұрын

    Azz 17 fei 16

  • @abdulkarimabdallah9536

    @abdulkarimabdallah9536

    24 күн бұрын

    .

  • @user-qe5lo6gz9y
    @user-qe5lo6gz9y24 күн бұрын

    Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja

  • @BaricheneSelestine
    @BaricheneSelestine23 күн бұрын

    Poa tukutane final

  • @ZulfaCharlz
    @ZulfaCharlz21 күн бұрын

    Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB24 күн бұрын

    Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    23 күн бұрын

    Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂

  • @herrysonk.edward609

    @herrysonk.edward609

    23 күн бұрын

    Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana

Келесі