Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024
Спорт
Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
Пікірлер: 103
Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤
Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉
Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.
@BerthaVictor-px1bj
24 күн бұрын
Maixha ghali xAna
@idybwoytz8485
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kabixa
@ribelathaponsian421
24 күн бұрын
Aloooh tuachane na goal lenyew is azizi, mm mempenda sanaaa mzize aseeeee big up sanaaaa kwa mzize.......🎉🎉
@user-xd2tg8eq1h
24 күн бұрын
Yaani utopolo wanapenda sifa
@gabrielmoses6860
23 күн бұрын
Mnooooo yaaaani
Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah
aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu
@joycemmassi5046
24 күн бұрын
Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli
Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂
Man of the match is msheri
Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@stanastana3199
24 күн бұрын
Nashkuru
@jacksonmathayo6510
24 күн бұрын
Anaitwaga nani
Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️
Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅
Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅
@mwanahamisijuma7270
24 күн бұрын
🎉Haki nimecheka adi machoziyakanitoka
@mariakitaly7064
23 күн бұрын
😂😂😂😂
Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻
Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚
Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game
Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu
@aishabakari8040
24 күн бұрын
Huwaga wanatueka nusu yani ata hatufaidi vizuri 😢
@slimmuhabesh2400
24 күн бұрын
Yes
Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂
@femidayahaya4882
24 күн бұрын
Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂
Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤
Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist
Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana
Pongeziii sana kwakooo mzize
Mzize aiseee
😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂
@KhalfanHamza-ww8jt
24 күн бұрын
😂😂
@stanastana3199
24 күн бұрын
Asante
Yangaaaaaa ubingwa aaaaah
Et operation bila ganzi😂😂
@KhalfanHamza-ww8jt
24 күн бұрын
😂😂
@fotunatusiMsongole
24 күн бұрын
Yanga sifa zimezidi Sasa mnatakaa Kila kitu nyinyii muwe juuuu kilelenii
Chama langu pendwa 💚💛💚🔰
Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI
No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂
@user-bw1hs2nd8p
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Kibwana shomar moto❤
❤❤❤❤
Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda
Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!
Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana
Kipa tunae💚💛
Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita
@mussammanga7791
24 күн бұрын
Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja. Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi. Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera. Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.
Mtupe kiatu chetu mapema
@ShedyPackall-vx5vy
24 күн бұрын
Watugei Kiatu fei hafungi tena
Anthony versus mavunde. Dooooh
@lossarungira965
24 күн бұрын
Haijalishi kikubwa ushindi
Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli
@DativaValerian
24 күн бұрын
Huu ndio umoja wa mabingwa mara 30
Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁 I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.
@jumazuberi1823
24 күн бұрын
kwan kuna mtu anaekuhitaji baki huko huko ukoloni usituleteee uchafu wenu
@mwanangusana
24 күн бұрын
Humu tu .. humu tu
@giant1779
24 күн бұрын
@@jumazuberi1823 😁 your kidding right!? Huku na huko kwenu wapi pachafu bro and plz try to bring facts no b*llshiting.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
24 күн бұрын
#humuhumu tu
@abdulkarimabdallah9536
23 күн бұрын
.
Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3
@petermanala6138
24 күн бұрын
Kama ambavyo hawakuwa making geita
@rajabdibwa6415
24 күн бұрын
Za Yanga zingefika saba😂
Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣
@odilomwemeziernest646
24 күн бұрын
We ni mpuuzi
@sosomacharles9920
24 күн бұрын
@@odilomwemeziernest646 Kama ulivyo ww
Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu
@ukuvukiland2387
24 күн бұрын
Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀
@BennyJumah-hd8yf
24 күн бұрын
@@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu
Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho
Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu
mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas
Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣
@haidarykufakunoga8869
24 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
tff are sirious uwanja huo vip
@KhalfanHamza-ww8jt
24 күн бұрын
yaan 😂😂
😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia
Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂
@FatumaShabani-mp9vt
24 күн бұрын
Sio kweri 😢😢
@graysondavid5200
24 күн бұрын
@@FatumaShabani-mp9vt naelewa ni utani tu😂 ila kwa kweli leo kasave mno
kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San
Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu
@mariamelia8688
23 күн бұрын
Umeombwa hayo maon????
@magesachilimila1104
23 күн бұрын
Kawaulize Mamelodi na Makolo watakueleza kama beki ya Yanga ni bora au la.
Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔
@odilomwemeziernest646
24 күн бұрын
Azizi yuko juu ya Faisal goli moja
@moodysavage179
24 күн бұрын
azizi yupo juu ana magoli kumi na Saba fei 16
@nickylass4586
24 күн бұрын
Azz 17 fei 16
@abdulkarimabdallah9536
24 күн бұрын
.
Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja
Poa tukutane final
Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee
Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani
@abdulmohd6880
23 күн бұрын
Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂
@herrysonk.edward609
23 күн бұрын
Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana