Dj Seven Worldwide x Kayumba - Nampenda (Official Music Video)
Official Music Video for “Nampenda” by Dj Seven Worldwide x @BigBinoOg
Listen to “AMAPIANO VIBES (ALBUM)” here: www.boomplay.c...
Subscribe to Dj Seven Worldwide: / djsevenworldwide
Follow Dj Seven Worldwide:
Instagram: / djsevenworldwide
Digital Branding & Marketing: Mavin Inc.
Instagram: / mavinmagmt
Email: mavinmagmt@gmail.com
WhatsApp/Call: +255759628220
Dj Seven Worldwide x Kayumba - Nampenda Lyrics
Verse 1:
Bado nauhai nahema
Na sina moyo wa bandia
Aya maumivu unayonipatia
Lamata kuhadithia§
Kwa haraka zangu nilidema
Bora ningesubiria
Mi nimeloa chapachapa mwenzangu kashika njia
Kumbe nilizama kwakudhani naogelea
Muungwana nikachutama
Cha uvungu mikufikia
Yale aliyonifunza mama si yanayonitokea
Nyuma nikaacha zana
Kichwa kichwa nikaingia
Chorus:
Bado hanifariji
Uku nashikwa na baridi
We mbona kaidi
Si wakunifanya haya
Kwa macho na ushahidi
Wenzangu wanaofaidi
Bora zangu bidii si wakunifanya aya
Mwenzenu nampenda
Bado navumilia
Aninyanyase sawa
Bado navumilia
Anajua nampenda
Bado navumilia
Nitasubiri
Bado navumilia
Verse 2:
Nazidi kumpatia
Japo yeye haoni
Na naongeza namjazia
Afunge kibidoni
Ila bado anisababishia
Homa ya tumbo (ya tumbo)
Akikirikiki penzi kikumbo kikumbo
Kikubwa sina ila haba nakupa unachotaka taka
Majirani wanabwata umenilisha limbwata limbwata
Mwenye maumivu nangata
Sema nini unataka (unataka)
Au unataka kuniacha
Chorus:
Bado hanifariji
Uku nashikwa na baridi
We mbona kaidi
Si wakunifanya haya
Kwa macho na ushahidi
Wenzangu wanaofaidi
Bora zangu bidii si wakunifanya aya
Mwenzenu nampenda
Bado navumilia
Aninyanyase sawa
Bado navumilia
Anajua nampenda
Bado navumilia
Nitasubiri
Bado navumilia
#djsevenworldwide #nampenda #kayumba
Пікірлер: 258
Kifupi ni kwamba Kayumba saivi Ni Level Tofauti Na vile Tulivyodhania Like nyingi kwake
Nampenda 🔥🔥🔥💪
@HassanAli-kr3jd
Жыл бұрын
Kali sana❤❤❤
@fundiseif1096
Жыл бұрын
@@HassanAli-kr3jd kali kinoma kaka🔥🔥🔥
Duuh huyu bwana niwamoto ....sijui kanijuaje nayapitia haya... big shout-out to kayumba✨
Kama KWELI unakubali hii ngoma nipe like zangu
@thomasmalega3375
Жыл бұрын
Kwani Ngoma niyako ju tukupee likes Bro 😁😁😂
@saudiarabiya1826
Жыл бұрын
Chukua zote🤣🤣nimeikubali Ngoma 👍💜
@yusuphgold464
Жыл бұрын
Bigapu sana
@alicianosim5792
Жыл бұрын
Good so much kayumba
@daudpius130
Жыл бұрын
@@thomasmalega3375 9
Seven gonga like kwa best dj Never happened in this Tanzania
Hatari Sana Aiseeee Noma Sana Nakubali 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Kayumba unyamwezi mwingi saluti kwako❤❤❤❤💯💯🎥🎥🎥🎥
Unyama ni mwingi
Nisha ikubali mwotooo sana
Nipeni like zangu
@sharifamaiko8559
Жыл бұрын
kaka mkbwaaa
Nyimbo nzuli hakika ndio ukubwa w bss nyimbo nivina
Kayumba is one of good artist in tz 👌
Huyu kayumba huyu na aogopwe💪💥💪💪💥💥💥
Nakubali sana brother dj seven
I've travelled from tiktok to KZread to enjoy this banger!
❤❤❤❤nouma saaaana👍
Kayumba amemfanana chimano wa Sautisol 😂🔨
Kayumba unauwa ujawayi niangusha mpesa kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kayumba isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🔥🔥🔥🎼 Banger!!💯❤️💥🔥🔥
Kayumba saut ya kuimbia unayoo nakukubali sana lakn ...management yako haijajua namna ya kuki bland aiseee....unazidiwa na mario daah ...anyway😍😍😍 good music 🎧🎧🎧
Hii naikubali sana Kayumba
WALETEEE BABAAA
B boy ameuwa Sana hii beat
Is dj seven world wide 🎶🎶🎶🎶💥💥💥💥💥💥💥💥
Big fan of tha talented boy kayumba
Ngoma kalii🎶🎵🎶🎵🎶🎧🎤🎤🎵🎶
Big up my brother
@kefajameskefa1347
Жыл бұрын
Ngoma ikosawa haipingi
Is kayumba and Barnaba brothers, they are taking bongo music to the next level ❤❤❤❤
More fire song keep up kayumba
kayumba hajaanguka toka amejipata anabalaa 2 love to my boy
Kali sanaaaaaaaaaa
Ooooh sweet yammiiiiiii music mpka Kwa moyoooo 🪗🎹🥁🎸
Nitashangaa kama kweli unamkubali kayumba na dj seven halafu utilities yutube ya madiwa rongomba
@queenlindaofficiel5313
Жыл бұрын
Ngoma zako nazi kumbali
Ngoma kali sana hii Kayumba unajua kaka🙏🙏
Nikubali 🇰🇪
Kama vile huu wimbo ame niimbia mimi, I wish wanikubalie nifanye remix nao ni eleze hisia zangu, wenda nafsiyangu itatulia
@man_killerOG
Жыл бұрын
Pole 😭😭😱
Namkubali san kayumba
B boy on the beat,,,hatari sana uyu mwamba
Mwamba ni balaaaa
Wazii!big up I will continue following
Angekaa harmonize humu ingekua hatariii
A big salute to you brothers 💕 more than expected 🌹🌹,trustie of success 🔥🔥🔥
Kayumba kayumba kayumba 🔥🔥
Vipi kayumbe aingie konde gang
Tumpe maua yake ⚘⚘⚘⚘
🔥🔥🔥🔥
Kayumba umetish🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
Wimbo mkaliiii
Good boys kazi zenu Mungu alibariki
Director Washei On It was here
Alafu Sisi wote Tunge mpenda Kayumba Kwa Percentage moja tu Already on my My Status I love you Kayumba
Nzuri
Ngoma kali sana 💥💥@dj seven
Sanamu la directoryuzzo lijengwe posta
Unajua bwana kilakona
Kayumba fundi kweli kweli
Dj 7
Kali sana ,I pray siku moja nije fanya kazi nawewe mzee
Jiniii
Siwez kueleza vila napenda nyimbo za huyu Kayumba . ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Unanyama Sana hunaga Kaz mbovu na hujawah kukosea kaka nakubal sana
Yes ❤❤❤
Konde gang beats 💯💯
Kayumbaa
fiiiiiiire haaatare
Sou fã da voz do menina kayumba
Yuzzo apewe ulinzi 🔥🙌🙌🙌
❤🔥❤🔥❤🔥❤😍💯
❤❤❤
Hap saw kaka upo vzr ❤
Ngoma poa sanaaaaaaaa ❤️❤️
Wow so sweet
Ngoma kali mno
🔥🔥
Nice one 🔥🔥
Popstar 😂 😍 king 👑
Wooow
Ama upewe udaktari wa heshima
💝💫
Maxhabiki tendeeni haki hii nyimbo bwana
@jaybclassics3807
Жыл бұрын
Walahi
Kayymba ata awaimbie kuku mimi talkubalitu 👍👍😝😝
Picha kali saaana my brother❤❤❤
Kubwa na nusu...hayumbi kayumba💪🔥
From 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩big up💪💪💪💪💪
Imeendaaa iii
Moto sana.....keep up guys
Daah kayumba fundi kwakwel
😍😍
Nauona uandishi wa killy
Moto bro 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
🙌🙌
💯💯
Baria
💪💪
All the way from tiktok❤this song is mwaaaaaaaa❤❤
Vaniss254 was there 💥🔥🔥
DJ seven nomaa
Uko vizur hakuna ulipokosea
💥💥💥
Wagwan kaka kayumba💪💪aminia G