DIAMOND PLATNUMZ - FINE (BEHIND THE SCENE) | BANDA LA VIDEO
Ойын-сауық
DIAMOND PLATNUMZ - FINE (BEHIND THE SCENE) | BANDA LA VIDEO
Fine ni video ya kwanza kutoka kwenye EP ya Diamond Platnumz First Of All (FOA).
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Fine #DiamondPlatnumz
Пікірлер: 252
Bonge la kipindi 🔥🔥🔥🔥
💎 Diamond kwa masilahi ya watanzania tafadhali Location kuwa makini hayo mabomu yakiondoka na ww n pigo la miaka 1K mbele .
@veryaloyce3874
2 жыл бұрын
Kabsa
@mnyilingatv
2 жыл бұрын
😂😂😂
iyi noma sasa eeeeh oooh my good ni commente vipi mimi aaah
Kile ni kiti cha mlinzi wa mlangoni. Jeshini hua kuna askari wanalinda mlangoni. Kama hamuamini njooni niwapitishe kwenye kambi flan ya jeshi. Pale mlangoni lazima uwakute wanajeshi wanalinda na wamekaa fresh tu
Katika hiyo list ya wasanii walio shootiwa na TG OMORI usingepungukiwa kitu kama ungesema "hata hapa nyumban harmonize outside alishootiwa na TG" ni maoni tu
@Cambarada
2 жыл бұрын
Angefukuzwa kazi hapo hapo
Wasafi 4 life ❤️
Mwamba kachiri on this one🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Show biz ya TZ noma sana mnajua sana 👊
@mosesbyamungu7601
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
Mwanajeshi wa Marekani hata Aftica anaweza kuvaa hereni. Kwasabanu hata Congo pia wanavaa hata Ndevu wanajeshi wa bongo baadhi wanabakia na ndevu
diamond is big artist in tanzniaa🔥🔥🔥🔥🔥
@g-makangarealitymbunge9290
Жыл бұрын
Sana kzread.info/dash/bejne/pYmoxdColc6_cdI.html
Kiranja wa bongofleva kaanza kushoot nje ya nnchi tutegemee wengine kwenda huko
@fredrickmatiku7783
2 жыл бұрын
Alikiba kaenda Nigeria nje ya nchi album ya only one king salute ft rudeboy sijui upo sayari ya ngapi kaka
@rademm8924
2 жыл бұрын
@@fredrickmatiku7783 mars
@009biafra8
2 жыл бұрын
HP alianza miaka mingi sana na Godfather
Mtu imara nimchambuz mzuri sana kazi nzur sana kijana Kipind bora
Essence by wizkid was shot by Director DK
@gisaahmed5277
2 жыл бұрын
It wasn’t shot by TG Omori
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
TG Omori
Member wa wa Banda Leo naona kama hawajaielewa video , maana diamond alikua amelala sasa akiwa usingizini akawa anaota yupo jeshini ,wakati yupi uko ndege yakivita ikapita ikalipua hema ambalo walikua wamekaa jeshi wenzake na mke wake ambaye alikuja kumletea chakula yeye akiwa ametoka nje kwenda kukojoa , Sasa mtu anakuja kusema alitakiwa alowane ili iweje sasa
simba lama simba dangote unajuwa sana
Love from Congo DRC
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New video 👇 kzread.info/dash/bejne/ioqZ2radeJPQhNI.html
Hawa wapopo wanigeria watatuuliiia msaniiii wetu sadala wetu mwambino wetu tunamtegemea bado atuleteee bet siyo kwa mabomu hayo alafu anakimbia badala ya kulala chini vikiruka virisasi vimkateee viungo
aisee mwamba kachiro leo na ww umetupiga maana umefanya Kaz ya kutetea makosa yaliyomo
@allanlenga5292
2 жыл бұрын
Atleast kuna mtu timam hapa...
@009biafra8
2 жыл бұрын
Kama umekuja kutafuta makosa lazma uyapate
@abdulkassim976
2 жыл бұрын
wachawi siku zote hua hawakosekani😎
Alafu siyo majesh yote awaluhusiwi kuwa na tatuu majesh mengne Tatu wanachora na hereni wanavaa Kama wapo kweny mission maalum
Mamae 🦁 muoga😂😂 ila video kaliii sana🙌🙌
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Diamond Mkali wa game🧡🧡🧡❤️❤️❤️
Unajua Sana mzee
Diamond Platnumz ndie realy Simba Africa imagin tumesahau hata snoop,jayz,Beyonce, rihana,brandy...
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New video 👇 kzread.info/dash/bejne/ioqZ2radeJPQhNI.html
@dekal126
2 жыл бұрын
😹😹😹
@009biafra8
2 жыл бұрын
Watakumbukwa vipi nawakt tulishampata anae wakilisha hadi kule kwao
Alaf anatokea Mbwa mmoja anakwambia ameigwa na kivideo chake cha laki Moja.. Vishabiki vya Marehemu kibamia vinafurahisha sana
@paulphinias5709
2 жыл бұрын
😂😂😂 shangaaa na wewe
Sema Simba ni mnyama kabisa kuweza kutokea
Unyama ni mwingi
Kipindi nakikubali sana
Nimecheka hpo diamond alivyokimbia na kurudishwa 🤣🤣🤣
Ebwana gang vp
Wameuwaa Sana hata kama makosa yapo lakn machachee
Duuh kunawatu wanamacho humu
Hatari sana😘
puuuuuui
unyama ni mwingiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ataleeeeeeeeee
MAMBOMUUU YANAUA😁😁
🦁🦁🦁banda lavideo.
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New video 👇 kzread.info/dash/bejne/ioqZ2radeJPQhNI.html
Pindi kali mwamba
Unyama ni mwingi💥💥
Kabsa mmeichambua love from SA
Daa yani uyu jamaa ni msanii wa kimataifa kbc unyama ni mwingi Sana
Hellow...mbona nikiangalialia iyo FINE kwa jicho LA tatu naona ...iyo bomb haitoki kwenye jeti. Inatokea kando. M shabiki wako saana 🙏🙏🙏pia usisahau kumsalimia uyo mrembo alie kando yako😻😻😻💔
@worldofpeace3898
2 жыл бұрын
Yan hyo kitu nliona katudanganya...jet imerusha kwingne
@kevinjofrie2523
2 жыл бұрын
Yalitegwa ila ile chopa editing
FOA 🧡 FOA 🧡 FOA 🧡 FOA 🧡
Wasafi team very creative
Dem ulie kaanae pemben mkali ksenge banda la video
BIBI MKUBWA ni moja wa FACE ya BANDA LA VIDEO ina bidi cameraman akuwe na focus naye sana,inabidi tumuone mara nyingi. in this video i only saw her in the last seconds of the video!!!!
nikweli nimeamini sasa pesa inavunja milima eeeeeh Platnumz weye chuma baba lao
Video kali na pia Za garama
Mambo poooa
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New video 👇 kzread.info/dash/bejne/ioqZ2radeJPQhNI.html
I love it 😀 😍 ❤ ♥ 💕 💓 😀
Fine
Duh mwamba ni mbunifu atariii
Noma sana
Uhalisi uko Kwa sababu ukumbuke Mtu Imara palikuwa na mabomu mengine chini licha ya Hilo lilotoka kwenye jet
Unyama wa kutosha
MONDI 🙌🔥👆👆👆👆
achen uchaw😂😃
Nakuelewa saaaan
Leo umemtetea sana mondi
Mondiii anastaili kuto fananishwa na wengineee hapa dar
Simba ilove toi from Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Diamond na banda la vidéo mumenifuraisha saaana, Fabrice kutoka drc tuko hakika diamond ataendelea na kazi
Ebu tufanye ppuuuvv😂😂
Hawa watu wa Banda la video wanaoalikwa wapimwe upeo wao sio unaalika wahuni Sasa kiti,spika sikawaida tu jeshn
Simba talent# nakuelewa
Good San diamond
Jamaa alitakiwa alimwage kweli banaa
Dah hatariii
🔥🔥🔥
Mwamba kachiro ni jioni ya Leo sio gioni ya leo
Gioniiiii ya leoooo
Bonge la pindi bonge la video la fine
Wasafi daima💎💕💯
Ooooochaieeeee
💥💥💥💥
Naona kuna mtu ana waka waka 😁😁
@christinemangaza6303
2 жыл бұрын
Me too 😂
Bro mnakosoa nini wakati nyimbo karibia yote ni ndoto😂😂
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New video 👇 kzread.info/dash/bejne/ioqZ2radeJPQhNI.html
@jamesobedy3687
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣👌
Good rasta avan toka mbeya
My favourate content big up
Sénégal 🇸🇳 nicc
Unya mwingi
✌️💥💥💥
Ila wabongo nimafundi wa kuzuum😁😁😁
Kuhusu Bei ya tg niuongo sabab harmo kashut nae outside! Harmo Hana ela hio
@zuchu3647
2 жыл бұрын
Inshu huwa kwenye budget ndugu... Kimtazamo bei ya video ya Harmonize huwezi linganisha na io kulingana na Concept ya video
@dafrosakayanda1328
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@009biafra8
2 жыл бұрын
Hiyo Outside ilifika wapi?
Dada Kuwakawaka 🔥
Simba mnyama💥
Viti Ivo vipo bana kambini
pind la kijanja
Nawakubal
Essence kafanya dk na sio tg omori
hili banda ni ngoma za wasafi 2
@009biafra8
2 жыл бұрын
Wasanii wasioteseka na maendeleo ya Diamond 💎
Mtu imara nakukubali sana
heleni ,tatoo ,dredi vyote vinaruhusiwa, african ndo havipo ulaya ni fresh 🔥
Nakupenda sana
Vídeo wonder full
🔥🔥🔥🦁🦁🇹🇿
Tano Bora sijaielewa
Mondi noma pole
Sanaaaa
Nomasana