Diamond Platnumz ATAMBA Hawezi Kusahau Shavu hili Alilopata

Пікірлер: 25

  • @diazderozzy1552
    @diazderozzy15526 жыл бұрын

    ivo ivo goodluck broh always looking up to you

  • @boniphacemasandiko9712
    @boniphacemasandiko97126 жыл бұрын

    taratibu naanza kumchukia aslay kulinganishwa na dude lenye miraba minne kwny mziki###simbaaaaaaa###

  • @christopherdigha2311
    @christopherdigha23116 жыл бұрын

    Hatari, simbaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @paschalkitange8879
    @paschalkitange88796 жыл бұрын

    hongela san simba

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv61216 жыл бұрын

    Simbaaa

  • @jumasaid4469
    @jumasaid44696 жыл бұрын

    simbaaaaaaaa

  • @youngfour7496
    @youngfour74966 жыл бұрын

    Nic

  • @nonab5882
    @nonab58826 жыл бұрын

    Simbaaaaaa

  • @fortunatanzumbi7314
    @fortunatanzumbi73146 жыл бұрын

    wasaidie watoto wenye mazingira magumu Mimi watanzania wenyr pesa zao ni wabinafsi

  • @roympilipili9848
    @roympilipili98486 жыл бұрын

    Kaka,uongea kama mwanaume wewe,ACHA KUBANA PUA,HZO SWAGA ZA KISHOGA

  • @abelymkapa6213
    @abelymkapa62136 жыл бұрын

    oggg

  • @isaimato9145
    @isaimato91456 жыл бұрын

    Anaingiza kiasi kikubwa sana, je anaingiza kiasi gani hadi useme ni kikubwa sana???? Habari yako haipo sawa

  • @hoseanobocka4533

    @hoseanobocka4533

    6 жыл бұрын

    isais matovolwa Diamond anajua biashara ngoja apge pesa ili awafundshe wasanii wengne bongo, Diamond ametengeneza jina kwanza ili liheshmike Africa ndo mana anapata ma dili makbwa tofaut na wasanii wengne bongo twende na ukwel Hakuna Tanzania imejlkana kmzk baada ya Diamond kupga collaboration na Davido pia maisha ya Diamond ni ya kibiashara na ki staa zaid ndo mana yeye pia ni baloz wa Vodacom na cocacola wasanii wa tz jfunzen kwa Diamond la svyo mzk wenu utaishia hapa hapa tz huo ndo ukwel

  • @officialsaimonandrewmachiy5159

    @officialsaimonandrewmachiy5159

    6 жыл бұрын

    kweli

  • @dovicochristopher5388

    @dovicochristopher5388

    6 жыл бұрын

    isais matovolwa kweli bro

  • @isaimato9145

    @isaimato9145

    6 жыл бұрын

    Hosea Nobocka sijakataa ni msanii mkubwa ni dili nzuri, lakini mtangazaji wetu hasemi pesa kubwa ni kiasi gani

  • @robertrichard3685

    @robertrichard3685

    6 жыл бұрын

    isais matovolwa matako yako

  • @rashidnassor2946
    @rashidnassor29466 жыл бұрын

    Hiyo kinywaji nimeulizia huku uswazi kwetu hapatikani kabisa,

  • @officialsaimonandrewmachiy5159

    @officialsaimonandrewmachiy5159

    6 жыл бұрын

    kwetu ipo ww kama uko nje ya mji imekula kwako naboya wako unaemuita simbaa asiekuwa na meno

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89776 жыл бұрын

    SEMENI UKWELI MSITAPIKE TAPIKE MANENO YA KUCHUPA CHUPA SEMENI FREE MASON LIA 👹👹👹👹👹👹🐖🐖🐖🐖🐖🐖💒💒💒💒💒💒💒💒

  • @kikangajr7320

    @kikangajr7320

    6 жыл бұрын

    Ali hiji iddi hahahahaha ndo zetu wabongo hatunaga cha mno zaidi ya kuponda mafanikio ya mtu (kwani hapa tanzania lilipo hilo jengo la freemason hall hampajui ili mkafanye nanyie mmpite au muwe kama yeye mwenzio anatengeneza maisha wewe unamponda na kisimu chako cha tecno Y3 acha bangi wewe fanya yako maisha ya mtu anayajua mtu mwenyewe #si kaombe uunganishwe😂😂😂😂😂😂😂😂🤘🖖🤞🤙🖕🖕nyoooh

  • @canstandtv4383
    @canstandtv43836 жыл бұрын

    Balozi duniani kote wewe

  • @officialsaimonandrewmachiy5159

    @officialsaimonandrewmachiy5159

    6 жыл бұрын

    boya kabisa ww awe balozi nyumban kwenu labda

  • @emmanuelmanga25
    @emmanuelmanga256 жыл бұрын

    Fake story na haina mashiko hata kidogo. Story yako inafanana km "baada ya kutoka shule nikapita kwa mjomba",

  • @festomushi4707

    @festomushi4707

    6 жыл бұрын

    Emmanuel Manga umeuwa kwa aliye kuelewa

Келесі