DIAMOND : NIMEJIFUNZA KUIMBA KWA KUTUMIA NYIMBO ZA BARNABA/ SAUTI YANGU KAITENGENEZA YEYE
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 268
eeh bhan eh! Barnaba n wiseman no cap! busara tupu...much love kwa family(wasafi)
Respect to Diamond daah ni wasani wachache wakubwa kama DIAMOND wanaoweza kusema ukweli wao kwamba flani kani inspire ngumu sana
Barnaba, I appreciate you bro toka mwaka 2012 wanakuandika kwenye fema club books kama moja ya vijana wenye vipaji hadi leo nakukubali kinazi🔥🔥🔥
Nataman san barnaba awe mtu wa kwanza kusainiwa n msan ambae namkubal xn very humble san plz vanny b mchukue barnaba mzik wake unastahil kuwa kweny next level music
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
Yeye pia ana lebo yake
@edwins5804
3 жыл бұрын
Barnaba ni msanii mkubwa sana!..
@Mwanteb
2 жыл бұрын
haiwezakani
Barnaba one of the best for real, salute for diamond for recognising this #real recognise real #
@esa_traveller
3 жыл бұрын
Wimbo wa Hemed PHD (alcohol) guitar cover kzread.info/dash/bejne/Ypdlu9GJoMWudKg.html
Diamond platnumz platnumz is good man he is not envious like others.
@millenerasto7595
3 жыл бұрын
Sure
@aminarashid8795
3 жыл бұрын
Kabisaa yaani,so humble
Naona wengi mumejifunza tokana na hawa vijana Mungu akubariki sana Diamond platnumz na Kijana wako Rayvan abarikiwe sana
@ismailnamahala3177
3 жыл бұрын
I pop
Barnaba don't call him lover boy, call him the wise man. Much respect to the legend🎸🎻🎼
A legend praising A legend 🙌 Tanzania 🇹🇿👏
Mashallah nimependa Sana barnaba kuhusu vidole nimependa stori zenu kweli tufokasi jamaniii
Ukiingia wasaf bhana raha sana kama familia moja hivi
Very nice interview hakuna kumtusi mtu hapa ni store za kushkuru wale walio washika mkono wenzao hata yale tusiyo yajuwa tumeyajuwa kupitia hi interview
Barnaba anaongea mambo makubwa sana
Nice barnaba Safi one day ntafanya wimbo. Na ww
Barnaba umeongea poa sana kaka
Barnaba smart man
Diamond 💎 akiongea utachizi anastory kweli akhi nampendar saana
Baba Levo ameanza kutuharibia boss wetu 😂😂😂
I see REALNESS AND LOVE! Big up Sana kwenu nyote na hii ndio mienendo aliekua akiihimiza BABA WETU WA TAIFA. Rest in paradise M. Julius nyerere🙏
Very inspiring, but Diamond needs to write a book or make a documentary movie, there’s soo much to learn from him .
@officialmrtop1018
3 жыл бұрын
Sure
Apo Barnaba anawaza, kumbe jamaa nilikua nam inspire alafu sikumpa collabo. Tunasubiri collabo. Ila Barnaba is so wise.
Nawapenda mno kaka zangu🇰🇪
Wcb for life NLM
Barnaba you are a legend...🔥🔥🔥
WE LIVING AS A FAMILY 2GETHER NOTHING CAN CHANGE IN MUSIC
Hongeren Sana mungu akulinde
Dah mond atabaki kuwa mond penye kushukuru anashukulu
@millenerasto7595
3 жыл бұрын
Kwa kweli
YES THIS IS MUSIC appreciates @diamond#wasafi#music for life..
Mbangala diamond umetisha kwa kukimbia
Kali saaaaana..
Diamond ni muonyesha njia wengi wanamuiga. Pia Barnabas is a good musician who inspired lot of artists including nasb.🎉❤
A very healthy conversation....254 representing
Mondi tunaomba collable yako na Burnaba please wenye wanakubaliana na mimi nipee like
Barnaba so inspiring.... Am happy all the way from 254
Big respect to the talk
Diamond kumbe uko mnyenyekevu respect
Give them flowers while still breathing 💖
Appreciating Diamond Plutnumz
Really appreciate your time in a matter setting it out for us and DJ steal our minds to get a
Iyo ndio kazi sasa Big up diamond babalao 🔥🔥 Simba
😅😅😅🤣🤣🤣🤣nimecheka eti hee anachukua tax????
@angelkayoya1481
3 жыл бұрын
Hahahaha tax ilimpa nguvu mpaka alipo bila tax ya barnaba angekua kama angel kayoya tunagombania daladala kari akoo
Nyie ni kubwa la maadui mmechangamsha hii sanaa Sana
Barnaba, very wise and composed 👍
Respect Sanaa Bro Barnaba Umeongea Maneno Mazuri Sanaa
Mnakaa tu kma family yan mko na jokes tu sana hadi rahaa
This is how its supposed to be kuishi vizuri na watu ,heshima so tht when you do your own thing thy support you sio kutoka na kifua kama Harmonize kutusi ma manager etc .#inlifekuwahumble tu #NiceoneRayvanny
Haki Diamond ametoka mbali Hardward pays 💥👊
Nawakubali sanaaa!
Nacho kukubali damondi umewasapoti wesako huna chuki namt2
Wow that was sooo good brothers...!
Big up big guys!
CONGRATULATIONS TO @RAYVANNY
Ukimsikilza diamond 💎💎 kwa dakika tatu tuu kuna kitu unajifunza aseeh
Congratulations vanny boy
Waooo MUNGU Awalinde wote ktk kazi zenu nawapenda
Napenda Star anaye jitambua. Big up, Mondi!
Duh Barnaba , kuanzia nmemjua hazeeki ,hakui hatarii
Big up Salam Sk & Babu Tale you are the roots of the music in Tanzania 👉👈💪
Rayvanny anavituko
Hii ndo muziki unaogea.simbaaa .
Nawapenda sana
Barnaba hua ana asili ya akili hafanan na wasanii wenzake wa team clouds
namkubali sana salam
Barnaba ushasema
Barnaba master of music 💥
Barnaba your deserve 2 be a roalmodel
We love you so much please. You Inspiring and motivating
kumbe wasani kati yao wamependana duh wapasaji wa habari ndo waleta Utata kwenye mziki 😭😭😭😭 diamond platnumz kweli wewe ni mtu Mzuri kweli ongera piya kwako barnaba
BARNABA..💥💥💥💥
Barnaba my hubby's favourite artist in tz👏
Yote no kumbukumbu nani vizuri kabisa,Maisha ni historia💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Nice
Something maisha mazuri ni matamu
Shout out to vanny boy!!! Kama nimepatia kuandika gonga LIKE kwa vanny boy
Nomaa sanah hiii napenda hii conversation..sasa #Diamond naomba ufanye kazi nae #barnaba basi✅
Maneno ya barnaba yanabusara sanaa🙏🙏🙏
Safiii Sana simba coz niwachache wanaokumbuka fadhila good good 👍👍👍
Nilimjua barnaba since zile henzi za nyimbo yake ya Magubegube
Kali sana 👌
Love you wasafi wcb 4life
👌🔥🔥
Hahh safi san
Love you guys
Nakukubal Sana
Focus by #barnaba
Barnaba mzee baba
Jinsi anavyocheka baba levo unaelewa kabisa cheo chake anacheka hadi sehem za kusikitika😜
@muciraarts
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@juliethmajenda969
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@moeforexacademy4353
3 жыл бұрын
@@juliethmajenda969 we huoni muda wote yuko on fire
@juliethmajenda969
3 жыл бұрын
@@moeforexacademy4353 Naonaaaa Naonaaaa 🤣
Noma sana
👏👏👏
Congrats Diamond
Yes barnaba verry nice song Yuko juu
Simba 🙏 Kama chui Simba 🔥🔥🔥🔥
My mboys 🔥🔥
Nice ❤️❤️❤️❤️
Umemsikia chawaaa ety kamaliza kila kitu baba revo bana
Barnaba umeua babaa unamaneno ya hekima kupita hekima yenyewe
Diamondz et rayvanny sont des frère à jamais
Nawapendeni sana jamani Diamondi Platnumz nimeanza kuimba nyimbo zako tangia nipo mdogo natamani nikuone live siku moja
Barnaba big up saaanaaaaaaa🤞🤞🤞🤞
WCB for lite NLM