Hilo swali la mtoto limejibiwa. Kwa wenye akili tumeshaelewa.
@emmaashanghala8629 Жыл бұрын
Congratulations my favorite artist, Diamond 💎 Platnumz on your attractive outfit 😍 ❤, myself I love the way you dress yourself. Keep that spirit, a artist always performed his show in that attractive clothes ,like you my favorite artist, Chibu Dangote. Aunty Emma from Namibia 🇳🇦
@elogeruhimbasa6719 Жыл бұрын
Amisa hatuli na mwanaume Umoja ndo Matokeo hayo
@asyakhatib7942 Жыл бұрын
Natamani hamisa ambadilishe mtoto jina ampe la baba ake yeye yaishe na aseme kuanzia leo huyu si mtoto wa diamond ctaki mdomomdomo na mwanangu actajwe na mtu yoyote nadhan ndo atakapopona 🙌
@hadijamshimbula7616
Жыл бұрын
Kweli kabsaa wanawake tunadhambi
@stellachalamila7455
Жыл бұрын
Haitamusaidia chochote wanawake tumekuwa wabongo sana
@messaabbas739
Жыл бұрын
Umeongea point ya maana sana wallah
@florenceelikana3040
Жыл бұрын
Yani wanawake sisi shida mpe mtoto baba yake wa halali
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Hamisa she is not smart mukichwa, that's the problem. Kichwa chake kimejaa maji.
@Sppah697 Жыл бұрын
Huyo mtoto si mtoto wa Diamond!
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@IANA2030
Жыл бұрын
Period!!!!😂
@monicasimpilu6257 Жыл бұрын
Tafadhali TRA Fanyeni mazungumzo na na WASAFI kuliko kuchukua pesa zao. Na kama walikua hawalipi kodi pia mazungumzo yawepo. Ubinadamu ni mzuri TANZANIA NI NCHI YA AMANI. TUNAIPENDA SANA ASANTENI SANA.
@mamy8220 Жыл бұрын
Napenda diamond anahakili nyingi ❤️❤️❤️😘😘😘
@rosettematenga635
Жыл бұрын
Akili zakukana mtoto ,ameanza mtoto inamanisha sio wake ,mujinga ni Hamisa kwanini asiseme nitasaidia kama mtoto wangu maelezo yako wazi.
@fatmafaki6163
Жыл бұрын
Ana akili au matope huyo mshenzi
@gracedarabe9450 Жыл бұрын
Duh ... Atari sanaa🔥🔥🔥
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Kwa maelez hayo daylan sio mtot wake 🙄 kwann Hamisa asisem tuu ukweli ili hay yaishe
@sharlharl5890 Жыл бұрын
Hamisa alitaka kumkomoa Zari sasa ona malipo aseme mtoto si wa Diamond ni wa nenga mambo yahishe maana baadaye mtoto atajuta
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
Kabisa malipo ni hapa hapa duniani😅😅😅acha mungu afanye yake
@sifatiiman
Жыл бұрын
huyo bibi wa kiganda aliondoka mwenyewe alipigwa matukio na dainamoo na dainamoo alisha sema akimchoka mtu anampiga matukio ad anaondoka mwenyewe kwa hio alipigwa matukio akajiondoa na mond alisema kuwa kibibi cha kiganda kilikua kina date na mmoja wa kundi la psquare tafuta hio interview na kibibi cha kiganda kilisema kimeshakua kizee afu mond anashikana shikana na ma x ambae ni wema sepetu upo koma kumzungumzia hamisa kwenye issue za bibi wa kiganda
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
@@sifatiiman wivu utakuwuwa😀punguza hasila utakufa mapema na umaskini wako kikubwa zari ndie anapendwa ndie anasifiwa ndie anamiliki nyumba y’a daimond kule south😂ndie watotot wake wanasomeshwa shule za galama n’a ndie daimond anampa support kwa kazi zake n’a ndie wanafanya madili pamoja kama Netflix kuchapa héla🤣🤣🤣🤣🤣na diamond kilasiku anamsifia wivu yako hayi change chochote
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
@@sifatiiman 😂😂😂ukimwuliza diamond kuhusu zari anakuambia akuna baby mama’s naheshima kama zari hilo linatosha kugombana nikitu kidogo nandugu zetu tunagombana akaisha
@lelarubea6405 Жыл бұрын
TRA,ni wezi sana hao wanakwamisha nchi kuendelea
@janetcharo1543 Жыл бұрын
He is not claiming the child,to me he's message is very clear that he is not the child's real father....coz why does he leave the paternity in question to the mother and the masses?
@marthakambona
Жыл бұрын
What about DNA he was done with Dylan? We need answers about that issue
@sabinamachange6040
6 ай бұрын
Diamond mtoto ni wako DNA ilionesha ila hata wewe mamako alisema siyo mtoto wa Abdul tunza mwanao huyo tafadhali wewe siyo maskini
@danielkihoza7330 Жыл бұрын
Kwaichi alicho kiongea mondi uyu mttt si wakwake angekuwa mttt wake asinge ongea iviiii laaaaa uyuuu hamisaaaa amazingua Sanaaaaaa laaaaa yeeee aweeee mkwel two
@constancekarisa1605 Жыл бұрын
Watu wazima tushaelewa mtoto amedhihirisha si wake
@dianasago9214 Жыл бұрын
Shida ya hii familia ni bi sandra hapo diamond anaongea hivyo ili kumfurahisa mama yake siunajua tena hamisa na yule bi mkubwa ni maji na moto ila diamond ukweli wa yule mtoto anaujua na ipo siku yule mtoto atafika viwango hadi viwango ndipo watajua Mungu hadhihakiwi na humwinua mnyonge kutoka njaani hamisa apinge moyo konde haya ni mapito tu ipo siku yatakwisha 🙏🙏
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
Jaman huwa mnamuonea bi sandra mda mwengine..huyo mtoto zamani alkwa anaenda mpaka madale..mpaka birthday ya 1yr alifanyiwa pale wasafi na hamisa alikuwepo hapo..ata vedio ziko youtube..mtoto alkwa anapelekwa mpaka kule kwa duka la esma ..anashinda nao huko..ila kadri akikua ndo mama dangote akaanza kuona kama hapa wamechezwa..ndo diamond akamwambia hamisa nyumban wanasema hivi na hivi so itabidii twende DNA na hamisa ata alifanya interview akaeleza diamond hakuwa comfortable na hilo swala bt wakaenda wakafanya majibu yakatoka ni wa diamond kwa mujibu wa hamisa..lakini hamisa hakujiulza mbna mambo yalibadilika akabakia tu mondi kujishughulsha na mtoto..mama yeye alijitoa alipogundua sio mjukuu ila simba aliendelea kumlea ila closeness ikapungua ..ata kama ni ww utafanyeje..respect this man for ones aky..he's a gentleman hataki kumuaibisha hamisa vile hamisa alimuaibisha..dtz y hajai tamka mtoto si wake..
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
haswa
@KUTOKA-ep2fk Жыл бұрын
Huyu ni mha bhna original anajifanya hana tatizo na watu au shida, mfano kwa Alikiha mha mwenzake, ila ana shida naye kubwa sana, na anajifanya kama hana shida na huyo mtoto, ila ana shida sana hawa watu nawajua sana........ ingawaje sio kila mha ana roho mbaya hapana, kwa sababu nimekaa nao sana ila mara nyingi ni watu wa kujificha sana na wenye wivu sana na wenye kupenda mashindano sana na wenye kuwaonea wivu wengine sana, na wanaojua kupigana na watu chini chini sana, na ni watu wenye kuhisi wanadharauliwa siku zote sana, na ni watu wabinafsi sana, ila sio wezi, ni wachapa kazi, ni waaminifu mkikubaliana jambo, hawana vigeugeu sana ila baadhi yao vigeugeu, wanapenda ngono kupita kawaida, sio watu wa masihara kwenye kazi. Wana mambo mengi likiwepo suala la ubishi, pia wanapenda sifa yaani ukikutana na mha asiyependa sifa ujue embe dodo limeanguka kwenye mworobaini, wanaenda kusujudiwa sana, ukitaka kuamini hili chunguza wachungaji au maaskofu na viongozi wa kiserekali wenye nyasifa za juu utagundua kuwa ni watu wanaopenda kusifiwa na kuabudiwa. Waha wanapenda ushirikina kupita maelezo.
@nsianaukio4299
Жыл бұрын
Yaani umeongea ukweli wooote. Yaani kwa kifupi umemalizaaa. Hizo ndio tabia za Waha kabisa
@mercynnko3416
Жыл бұрын
Kwan huyu ni mha au mmanyema
@Lisajos Жыл бұрын
Wah,,,,,naomba mnipitie pia Kwa vida zangu 😛,,,,nitashukuru,,,✌️
@jcrackcrack1669 Жыл бұрын
Sio lazma kufikishana wapi wala wapi.kama sio babake hata akafanya uchawi tena hAwezi kua babake so hamisa atafute babake mtoto😢
@zepinashatibu5149 Жыл бұрын
Maneno yanauma kila siku mtoto anafananishwa lazima achoke kikubwa wamama tuwe wakweli
Hamisa km nikweli just be open we are humans and makes mistakes your better off. Kaa mbali nao. It my opinion
@arafahhh5574 Жыл бұрын
Mtoto ni wa diamond ila hamisa kachunia DNA za kila alfajiri mbosso anasena liwalonaliwe DNA hachukui
@sharifaabdala1565 Жыл бұрын
Duu masikini hamisa
@saidfhamad Жыл бұрын
Alikiba alisema lazima kiki ili waende!!
@junenadine6512 Жыл бұрын
Dylan si mtoto wa Diamond,nadhani amejibu kwa kisiri na washaongea na hamissa kuhusu hilo swala,lakini labfa anamstiri na kukubali kulea tu dulla isiwe tabu mtaani😅
@millymack1370
Жыл бұрын
Amesema hajui kama ni wake ama si wake..kwa kifupi anamsihi hamisa wafanye dna walainishe mambo.
@barakatabdul3212
Жыл бұрын
@@millymack1370 yani Diamond Ambembeleze Hamisa" kufanya DNA" ashindwa nn kumchukua mtoto, hapo inshort watuwazima tushaelewa Diamond yuwamstiri Hamisa mtoto sio wake kifupii.
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@salamakombo3257 Жыл бұрын
Kumbee ndio maana nandi na hamisa hawapatani leo ndio nimepata uhakika
@nyulaseptember5573 Жыл бұрын
Uyu mwambino km abwia Bwimbwi hii sauti yaan imechoookaaaa.
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Mmhh ama kweli wanawake tuna mengi sana nyie 🙌🏻🙌🏻
@chemstry409 Жыл бұрын
Goes around comes around....
@irenekanini9431 Жыл бұрын
Usikatae mtoto plz baby it a blessing
@cleveronlinemedia820
Жыл бұрын
Sio wako umkubali tu
@MtuSafi
Жыл бұрын
kwan mkewe wa ndoa?
@idayattijani5341
Жыл бұрын
So he should take up another man's child?
@jameschumbula7351
Жыл бұрын
Ndy kalea af xio wake naic ata d.n.a tear; ila da! Wanawake wakixaxa hawaaminik
@MtuSafi
Жыл бұрын
Mwanamke unaweza kumuacha angalau akikusingizia mtoto ni yule wa ndoa tu...Ndo pale linakuja neno kitanda hakizai halamu sio hao mahawala wa mtaani Period.
@patriciacarlo7236 Жыл бұрын
Mwanamke akishakuambia mtoto ni wako,kubali,it's a blessing hata kama kakudanganya
@marthakambona
Жыл бұрын
Na kukataa moja kwa moja anashindwa asemetu mtoto si wangu period!! Kuliko ho mi sitaki kulitolea majibu moja kwa moja sababu mwenye uhakika ni mamamtu, mi nilitaka aulizwe kuhusu DNA waliyoifanya ilisemaje?
@benjaminkangolo2017 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 msani number 1 ana ogopa kupiga show bila Kiki
@mucci_AI
Жыл бұрын
😂😂
@irakozesania1680 Жыл бұрын
Sija sikia akisema mutt wng 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan mutt daaah pole sn missa
@salumsalim7564 Жыл бұрын
Asake bwana😂😂 ndege tena!!!pita huku🤣🤣
@millymack1370 Жыл бұрын
Kwa kifupi diamond anamaanisha bado hajui kama mtoto ni wake ama sio wake anamsihi hamisa walainishe mambo kupitia dna ili ampe full support kama mtoto wake..bt hamisa hataki hata hio support ya diamond...amechoka na hio familia ya wanafki.
@astarkaris8496
Жыл бұрын
Walishafanya DNA mtoto n WA mondi
@sidrasidra8616
Жыл бұрын
Mbona kuna kipindi Hamisa alisha sema tayari DNA sema huwenda wanafanya hivo kwasababu Hamisa hataki kijihusisha nao utakuta huu jama anataka amtumie anavyo taka Hamisa nae hataki wanaona wakifanya hivyo wanampa hasira
@witnessobadia3076
Жыл бұрын
Unajua sana
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
kabsa amechoka wamezid bana
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@astarkaris8496 ndio niwamond ila wanataka tu kumdhalil8sha hamisa kwa chuki tu yaani wanadai eti atakuwa hamisa kahonga ndi maana wanataka warudie kupima inje ya inchi kisa maneno ya watu wanaolazimisha kuwa sio mtoto wa mond daylan alivokua mdogo alikua mond mtupu hadi midomo ile kanavo kua kanachiukua kwa mama na babake ila hiyo family inashida kubwa sana chaa ajabu wa zari kafanana na ex wa zari ila hawamulizi kabsa
@christopherhilary9453 Жыл бұрын
Vany kulipa pesa kubwa ni sawa c amekaa miaka mingi na zimewekezwa pesa mingi lazima zirudi, na lazima aseme katoka kwa amani hata kama kulikua na mivutano ya hapa na pale, mondi ana kawaida ya kuwaaminisha watu kitu flani hata kama hakiko hivyo, mwaka flani alisema katila wasanii wsngu msaanii....... Ndio anaongoza kuingiza pesa nyingi baada yangu mimi, mjanja mjanja flani hivi yani ni msanii pure.
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Kichwan mond kawek rasta au macho yangu tuu
@mhabimina4023 Жыл бұрын
Simba so rich 🙏🏿🔥🔥👌
@happymrema6728 Жыл бұрын
Mmmm Kwan mtoto sio wa mondi
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@northernshine04 Жыл бұрын
Mpaka leo mnaendelea kubust show😂😂😂
@specialminds23
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Mtu alie pata ujasiri wa kumkana Baba yake itakuwa je mtoto wa bi mdada?
@patrickhella8890
Жыл бұрын
Kwaiy ww unalazimisha mtu amletoto ambaye si wake
@laurarose1521
Жыл бұрын
Na wa tashana Donna kutoka Kenya pia yuampa?🙄🙄🙄
@norahmakrean525
Жыл бұрын
Pia mimi nitakuwa jasir kumkana baba yangu pia na sitawai kujiukumu kwame, hatujui ni kwa nini diamond alimkana baba yake
@rumdeesonsoa1811
Жыл бұрын
Hakuna uchungu anaousikia mwanaume kama kugundua mtoto sio wake.
@davinaheven4794
Жыл бұрын
Hilo nalo neno. Ameahuka Kimziki moaka akili sasa ni kiki za kulazwa tuu.
@mwanaibrahim2444 Жыл бұрын
Hapo tu inajieleza kama mtoto sio wake
@simonitaagesti4765 Жыл бұрын
Mh ilo jibu watu wazima tushaelewa kitu khamisa mama usilazimishe ili mradi unaweza kumpa matunzo mwanao mbadilishe jina mpe hata la babako yaishe
@joleal7941
Жыл бұрын
Niko na wewe
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Жыл бұрын
Kweri kabisa
@stivertz7014 Жыл бұрын
Kwa maelezo hayo ya diamond nshaelewa tu kuwa huyo mtoto sio wake
@owenmutale8686 Жыл бұрын
Hapo pana mtihani na kuna kitu wanajua wote wawil cc yetu macho
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@mercymbuvi4154
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 so true coz my feelings naona huyo mtoto ni WA diamond
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
@@mercymbuvi4154 but DNA tu ndio solution, wafanye hata mara 10
@khadijaabdallah933 Жыл бұрын
Ukweli kafanana Sana na Bilbasi na mtoto hatiwi midomoni HAMISA NN kwani lazima uonekane umezaa na Mond hebu mpe mtoto katika nafasi yake .
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Жыл бұрын
Mimi naisi wa Nenga
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
mnalazimisha sana yule mtoto asiwe wa mond ila Mungu anawaona mbona hata naseb junior kafanana na mwijako ila mnasema wa mond mbona nillan kafanana na ivan ila mnasema wa mond ila Dylan kukua na kumfanana mamake mnasema sio wa mond na sasahiv mmehama kwa jaguar mmehamia kwa nenga watanzania mnakazi sana
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 yaan inakela mijibwa hii kila siku mtoto anapewa baba mpya 🙄🙄 mama ndio anajua baba ni nani
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@sifatiiman hayana akili eti yanachukia va kwao hata siku anaweza kuokotwa na hamisa akimkuta kadondoka huyo zari wanae mpamba anawasaidia nini yaani zari hata afanye maovu watanzania wajinga wanampamba na kusupport upumbavu wake ila hamisa amabe ni mtanzania mwenzao. ambae hata akimkuta jian hata kama hamjui atamokota ndio wanamchukia na kumtungia mabaya kilasiku eti utayasikia oooh alimtesa zari alivuruga family ya zari wakat huyo zari ndio kamvurugia hamisa zari kamkuta hamisa na mond ila watanzania wanavo penda kubadilisha maneno ili mradi mtanzania mwenzao aharibikiwe kwanza zari ni hawara tu kama hamisa natena zari kamkuta hamisa na mond ye ndio kaingilia mapenzi ya mond na hamisa huyo zari
@tatotato506
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 wanalazimisha nini apo wanalazimisha watu.mondi ndio anaongea
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Mm siwezi mlaumu mtu kati ya wapenzi watayamaliza wao pengine kiki tu hizo anatafuta trending Mond aah nyie wazazi bhaaaana usiweke mitandaoni
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
💎 linapokuja swala la on 📷 huwa mjanja sana 😉 kwa mtazamo na hisia zangu huwa nawaona 2 💎 ndani ya 💎 mmoja kwamaana on 📷 ni mwingine na behind the camera 📷 ni mwingine kabisa mtu wa namna hii ni ngumu kumuelewa inapashwa kuwa makini nae sana ni kama chameleon anayebadilika badilika rangi 😉
@hafidhali4336 Жыл бұрын
Duh
@khadijambuya794 Жыл бұрын
Huyu bba hna shida sna kwnini unaongerea habar za mtto asiye na shida yyote
@khuliz Жыл бұрын
Mbona musifanye DNA mukamaliza tatizo hili??? Tena ifanywe nje ya Tanzania… kama America ama Europe!! Coz hii issue haitamalizika na itamuumiza sana Mtoto. Itanyamaza sahii kisha mbeleni itakuja tena!!!
@vanessarobyn4584
Жыл бұрын
Hamissa alikataa kurudia DNA
@MsAggie5
Жыл бұрын
@@vanessarobyn4584 nasikia walifanya Bongo ikatoka mtoto ni wake, kuna jamaa yake Mondi alifanya DNA Bongo ikaonekana WA jamaa lakini baadae jamaa hakuamini akaamua akafanye nje ya nchi, majibu yakaja mtoto si WA jamaa WA Mondi sasa hapo ndo Mondi anataka walafanye nyingine nje ya nchi, Hamisa hataki. Mimi naona kama Mondi yuko serious afanye DNA na mtoto kisiri, achukue hata nywere za mtoto akapime na zake huko nje ya nchi ili ajiaminishe na alidhike, anaweza kushangaa majibu yakatoka mtoto ni wake.
@vanessarobyn4584
Жыл бұрын
@@MsAggie5 ndio na alianza kuhudumia ila unajua kitanda hakizai haramu. Na Mie naona hamissa angerudia tu kama mtoto ni wake kwann haofie
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
Rudia hata mara kumi; DNA ni ku swap tu kitu mdomoni.....hata kama ni damu, basi ni kidogo tu. Hii aibu sana na imetuumiza wengi kwa vile tumeaminishwa kuwa mtoto ni wa Diamond na anafanana naye kiasi...mtoto anaweza kufanana na mtu yeyote upande wa baba au mama. Please mshaurini Hamisa to solve this issue once and for all.
@mossyfimbo3577
Жыл бұрын
Mtoto angempa tu baba yake huyu.mtoto hafanani na Dimond hata chambe ila naona kafanana na Mama yake Sasa sijui huyo biological father anafanana na Hamisa ampe tu baba yake yeye si wa kwanza wala wa mwisho
@hajirewa1109 Жыл бұрын
Kiki tu ameona ya hospital imefeli wamekuja na king kiba imefeli tena sahivi wanakuja na ya Hamisa kijana kwa kiki noma
@rayanndizeyes3161
Жыл бұрын
Simba haishiwi vituko
@prettymasha2430
Жыл бұрын
Daah na tatizo lako bando la jero unazidi kuumia 🥹🥹
@maryuwizeimana6722 Жыл бұрын
Diamond hangemsifia Harmonize kwa lolote lile cause he sees him as a threat… tushamshtukia
@specialminds23
Жыл бұрын
Exactly
@mugishasharmilla5874
Жыл бұрын
Naaam
@maryuwizeimana6722 Жыл бұрын
Hii haijakaa sawa 😢, Dylan sio mwanawe na Diamond ashajua hilo. Dah! Hamisa mungu anakuona 😂
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Kweli mpenzi
@mossyfimbo3577
Жыл бұрын
Mungu anamuona kaa
@rosemkama6629
Жыл бұрын
Yani
@zeinababdi4757 Жыл бұрын
Sijui huyu hamisa anamatatizo gani, DNA is the right way to solve this issue...what is Hamisa hiding
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
DNA sio ya bongo brother ndomana madam anakwepa na ndo ipo ivyo ukitaka nenda south au Kenya ndo unapata uwakika
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
Inasemekana walishapima DNA
@MsAggie5
Жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 kibongo bongo na ikaonesha mtoto WA Mondi, sasa Mondi anataka wakafanye nyingine nje, Hamisa hataki. Hapo ndo shughuli
@janetcharo1543
Жыл бұрын
She's hiding the biological father of her son😄
@MJ-rr6dy
Жыл бұрын
anaogopa kuaibika mtt siyo wa mond
@Africa293 Жыл бұрын
Mondi saivi sio wakiki tena hili swala ni zitooo💔💔
@kaveresylvia9521
Жыл бұрын
Ukweli
@naseebtz3093 Жыл бұрын
Si ukapime "DNA"
@eliakejijoseph1422 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@prettymasha2430 Жыл бұрын
Simbaaa mbona UNAJUA nyingi 😁😁😁😁
@aishachambo8663 Жыл бұрын
Kiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Imesha eleweka huo mtoto siwa diamond
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI!
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 Hawa washapima zamani kwa hayo maelezo
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 walipima my but hospital ni diamond alichagua..ofcourse huenda aliambia doc ,whatever the results say its a yes..coz alkwa ashaekelewa..bt mama yake I think from there ndo akajitoa..Coz mwanzo huyo mtoto alkwa anaenda kukaa kwa duka la esma na mamadangote..bt after DNA things change
@jimmycliff6977 Жыл бұрын
Sasa lava lava sijui atafanya show ya bei gan
@has4665 Жыл бұрын
Case closed. Ni wazi mtoto si wa diamond. Hamisa must come out clean.
@idayattijani5341
Жыл бұрын
She won't she's fame drunk 🤪 her dumb fans will be defending nonsense
@maissah Жыл бұрын
Mkora huyu.. Kiki Kiki tu
@zayanasudi3731 Жыл бұрын
Anajaribu kupush show mxeeew
@lovenessitiku6293 Жыл бұрын
Ila amezungumza kwa uchungu sana dah mkae muongee tu diamond hapendi kuongelea hya mambo ila anajitahid kuongea ila anaumia mtt mdg sana yule
@TALLUBOY Жыл бұрын
musipate shida ndugu zangu baba wa mtoto nimimi nandiyo maana ndugu jamaa namalafiki musipate shida muulzen amissa daddy I'm #talluu
@jiiwolf2900
Жыл бұрын
.qweli mmefanana sana
@valentinernestkavishe7297 Жыл бұрын
Sasa kuondoka kwa rayvanny kwa amani amepotea kwenye gemu
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Usikute huyo Mr Tee wakala wandenge ni hewa na mahakamani ni hewa havipo🤣🤭 kwani nilazima uyinuwe!Ungesema havipo siku zile ilikuwa ni kiki unge kuwa nini maana kipindi kile mlivo aminisha watu hadi Tifah kaamini ndege nia baba yake🤦♀️ mmh!
@AliHussein-rz2yi Жыл бұрын
Simple Waka pime. D.N.A
@mwanaishiaomar5695 Жыл бұрын
mmmmh
@shiksshiks8494 Жыл бұрын
The background music is annoying sns
@asrymohd6690 Жыл бұрын
Sio malaika bna msilete siasa na watoto wa sio na baba
@haruniaisha5905 Жыл бұрын
Yaaani yamewarudi kama mamaako tu na wewe ulilelewa ivyoivyo
@MsAggie5
Жыл бұрын
Tunaita bloodline curse, laana ya ukoo. Yatamkuta kama yake.
@gloriadaniel3827
Жыл бұрын
Makosa aliyofanya Mzee Abdul Kwa Diamond leo Diamond anayarudia Kwa Dylan.
@twahirpascal6859 Жыл бұрын
Ila bilnasi mtoto ni wake na haina ubishi watoto simba wote ni simba ila yule wa mobeto ni billnenga bhana
@ghadaalzuhari2739 Жыл бұрын
Izo ni kiki zako mbona hukusema kitambo
@queenmilan2024 Жыл бұрын
MBONA AMEKONDA SANA
@shubebunyesi542 Жыл бұрын
Kipindi gani icho kama c Cha mzee baba
@chromecure Жыл бұрын
HE IS NOT THE FATHER. IF HE WAS HE WOULD HAVE GIVEN A CONFIDENT YES ANSWER.
@kaveresylvia9521
Жыл бұрын
True
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@levisonfrank2620
Жыл бұрын
We unahisi hajui kama mwanae ama sio mwanae he knows bhana mda tuh
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.
@issrahayattv1356 Жыл бұрын
Nyinyi hamjuii huyu jamaa hii yote ni kupush tu show yake hakuna jipya hapa,kiki
@abassimussa7473 Жыл бұрын
Alipe Kwanza TRA
@zabibuamissi1141 Жыл бұрын
Angesema ni wake sizani kama pangekuwa maneno mengi Hamissa waminishe kama mtoto ni Mond wache kukuhongeleya vibaya
@hudsson75 Жыл бұрын
Ilo jambo si ni DNA TEST inalimaliza dakika sifuri tu.
@janeschurmanns6311 Жыл бұрын
Mbona hammlizikuhusu Nilan
@mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын
Sasa deni si ulipe?
@kobajumakuziwa9976 Жыл бұрын
Mungu amekataza zinaa matokeo yake ndio haya mtoto ana baba asiejulikana kama daimond au bilnenga
@prettymasha2430
Жыл бұрын
Jagwaa
@simulizi2632 Жыл бұрын
Ishu ya helkopta sijui ndege CHIBU.... PITA HUKU🙋🏾♂️
@Lisajos
Жыл бұрын
Nipitie pia Kwa vida zangu 😛
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
Malaika wako mbinguni yy amisa aache ujinga afanye la kufanya2 kama ataki ku aribu ndoa ya billnass aseme2 mtoto niwa mbappé🤣
@nunuuali5316
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀we ndo umeuwa
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
@@nunuuali5316 🤣🤣
@pammirina5441
Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰
@xtashrayvash2996
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
Kweel kabisa mondi DNA ilitoka negative lkn akaficha hamisa..akaendelea kuhudumia ila mama dangote kasema inatosha...coz zaman mtoto alikwa anaenda mpaka duka kwa esma ila after DNA mambo yakachange bt Mondi akaendelea cz ya bond alkwa ashajenga kwa mtoto bt sai mtoto amekuwa ..Diamond kaeleza kwa Akili kubwa ila ukiwa makini utagundua ukweeel
@gabbyhenrgy1157 Жыл бұрын
Mtoto angekua wake asingeongea hivo jibu tumelipata mtoto sio wake na kwa hadhi yake hawezi mkana mtoto hivo ....Hamisa sio poa kbsaa unakera sana
@brownjulius8514 Жыл бұрын
Jamaa hajawahi kataa mtoto ila maongezi yake yanaoneka kuna jambo na vilevile kazungumza kiutu uzima hapa kuna kitu kizito kitatoke soon picha kamiri litatokea baba wa mtoto atajulikana sasa hilo nilamama mwenyewe swali nenga yupo tayar kufanya chekaup ya DNA
@najmahhassan7853 Жыл бұрын
Kumbe mchawi wa wasafi ni TRA😭😭😭 why
@Mariam-fm8vq Жыл бұрын
Jibu tumelipata sasa mtoto sio wa mondi sindo hivyo
@maruzukaally1261 Жыл бұрын
Kamkataa baba itakuwa huyo mtoto
@adolphmwangoje2887 Жыл бұрын
Mwongomwongo huyu
@fatmamussa6134 Жыл бұрын
Ni kweli mtoto atajiwe baba yake hata kama ni masikini ni baba yake.
Пікірлер: 338
Hilo swali la mtoto limejibiwa. Kwa wenye akili tumeshaelewa.
Congratulations my favorite artist, Diamond 💎 Platnumz on your attractive outfit 😍 ❤, myself I love the way you dress yourself. Keep that spirit, a artist always performed his show in that attractive clothes ,like you my favorite artist, Chibu Dangote. Aunty Emma from Namibia 🇳🇦
Amisa hatuli na mwanaume Umoja ndo Matokeo hayo
Natamani hamisa ambadilishe mtoto jina ampe la baba ake yeye yaishe na aseme kuanzia leo huyu si mtoto wa diamond ctaki mdomomdomo na mwanangu actajwe na mtu yoyote nadhan ndo atakapopona 🙌
@hadijamshimbula7616
Жыл бұрын
Kweli kabsaa wanawake tunadhambi
@stellachalamila7455
Жыл бұрын
Haitamusaidia chochote wanawake tumekuwa wabongo sana
@messaabbas739
Жыл бұрын
Umeongea point ya maana sana wallah
@florenceelikana3040
Жыл бұрын
Yani wanawake sisi shida mpe mtoto baba yake wa halali
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Hamisa she is not smart mukichwa, that's the problem. Kichwa chake kimejaa maji.
Huyo mtoto si mtoto wa Diamond!
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@IANA2030
Жыл бұрын
Period!!!!😂
Tafadhali TRA Fanyeni mazungumzo na na WASAFI kuliko kuchukua pesa zao. Na kama walikua hawalipi kodi pia mazungumzo yawepo. Ubinadamu ni mzuri TANZANIA NI NCHI YA AMANI. TUNAIPENDA SANA ASANTENI SANA.
Napenda diamond anahakili nyingi ❤️❤️❤️😘😘😘
@rosettematenga635
Жыл бұрын
Akili zakukana mtoto ,ameanza mtoto inamanisha sio wake ,mujinga ni Hamisa kwanini asiseme nitasaidia kama mtoto wangu maelezo yako wazi.
@fatmafaki6163
Жыл бұрын
Ana akili au matope huyo mshenzi
Duh ... Atari sanaa🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣 Kwa maelez hayo daylan sio mtot wake 🙄 kwann Hamisa asisem tuu ukweli ili hay yaishe
Hamisa alitaka kumkomoa Zari sasa ona malipo aseme mtoto si wa Diamond ni wa nenga mambo yahishe maana baadaye mtoto atajuta
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
Kabisa malipo ni hapa hapa duniani😅😅😅acha mungu afanye yake
@sifatiiman
Жыл бұрын
huyo bibi wa kiganda aliondoka mwenyewe alipigwa matukio na dainamoo na dainamoo alisha sema akimchoka mtu anampiga matukio ad anaondoka mwenyewe kwa hio alipigwa matukio akajiondoa na mond alisema kuwa kibibi cha kiganda kilikua kina date na mmoja wa kundi la psquare tafuta hio interview na kibibi cha kiganda kilisema kimeshakua kizee afu mond anashikana shikana na ma x ambae ni wema sepetu upo koma kumzungumzia hamisa kwenye issue za bibi wa kiganda
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
@@sifatiiman wivu utakuwuwa😀punguza hasila utakufa mapema na umaskini wako kikubwa zari ndie anapendwa ndie anasifiwa ndie anamiliki nyumba y’a daimond kule south😂ndie watotot wake wanasomeshwa shule za galama n’a ndie daimond anampa support kwa kazi zake n’a ndie wanafanya madili pamoja kama Netflix kuchapa héla🤣🤣🤣🤣🤣na diamond kilasiku anamsifia wivu yako hayi change chochote
@akimanaarlene851
Жыл бұрын
@@sifatiiman 😂😂😂ukimwuliza diamond kuhusu zari anakuambia akuna baby mama’s naheshima kama zari hilo linatosha kugombana nikitu kidogo nandugu zetu tunagombana akaisha
TRA,ni wezi sana hao wanakwamisha nchi kuendelea
He is not claiming the child,to me he's message is very clear that he is not the child's real father....coz why does he leave the paternity in question to the mother and the masses?
@marthakambona
Жыл бұрын
What about DNA he was done with Dylan? We need answers about that issue
@sabinamachange6040
6 ай бұрын
Diamond mtoto ni wako DNA ilionesha ila hata wewe mamako alisema siyo mtoto wa Abdul tunza mwanao huyo tafadhali wewe siyo maskini
Kwaichi alicho kiongea mondi uyu mttt si wakwake angekuwa mttt wake asinge ongea iviiii laaaaa uyuuu hamisaaaa amazingua Sanaaaaaa laaaaa yeeee aweeee mkwel two
Watu wazima tushaelewa mtoto amedhihirisha si wake
Shida ya hii familia ni bi sandra hapo diamond anaongea hivyo ili kumfurahisa mama yake siunajua tena hamisa na yule bi mkubwa ni maji na moto ila diamond ukweli wa yule mtoto anaujua na ipo siku yule mtoto atafika viwango hadi viwango ndipo watajua Mungu hadhihakiwi na humwinua mnyonge kutoka njaani hamisa apinge moyo konde haya ni mapito tu ipo siku yatakwisha 🙏🙏
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
Jaman huwa mnamuonea bi sandra mda mwengine..huyo mtoto zamani alkwa anaenda mpaka madale..mpaka birthday ya 1yr alifanyiwa pale wasafi na hamisa alikuwepo hapo..ata vedio ziko youtube..mtoto alkwa anapelekwa mpaka kule kwa duka la esma ..anashinda nao huko..ila kadri akikua ndo mama dangote akaanza kuona kama hapa wamechezwa..ndo diamond akamwambia hamisa nyumban wanasema hivi na hivi so itabidii twende DNA na hamisa ata alifanya interview akaeleza diamond hakuwa comfortable na hilo swala bt wakaenda wakafanya majibu yakatoka ni wa diamond kwa mujibu wa hamisa..lakini hamisa hakujiulza mbna mambo yalibadilika akabakia tu mondi kujishughulsha na mtoto..mama yeye alijitoa alipogundua sio mjukuu ila simba aliendelea kumlea ila closeness ikapungua ..ata kama ni ww utafanyeje..respect this man for ones aky..he's a gentleman hataki kumuaibisha hamisa vile hamisa alimuaibisha..dtz y hajai tamka mtoto si wake..
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
haswa
Huyu ni mha bhna original anajifanya hana tatizo na watu au shida, mfano kwa Alikiha mha mwenzake, ila ana shida naye kubwa sana, na anajifanya kama hana shida na huyo mtoto, ila ana shida sana hawa watu nawajua sana........ ingawaje sio kila mha ana roho mbaya hapana, kwa sababu nimekaa nao sana ila mara nyingi ni watu wa kujificha sana na wenye wivu sana na wenye kupenda mashindano sana na wenye kuwaonea wivu wengine sana, na wanaojua kupigana na watu chini chini sana, na ni watu wenye kuhisi wanadharauliwa siku zote sana, na ni watu wabinafsi sana, ila sio wezi, ni wachapa kazi, ni waaminifu mkikubaliana jambo, hawana vigeugeu sana ila baadhi yao vigeugeu, wanapenda ngono kupita kawaida, sio watu wa masihara kwenye kazi. Wana mambo mengi likiwepo suala la ubishi, pia wanapenda sifa yaani ukikutana na mha asiyependa sifa ujue embe dodo limeanguka kwenye mworobaini, wanaenda kusujudiwa sana, ukitaka kuamini hili chunguza wachungaji au maaskofu na viongozi wa kiserekali wenye nyasifa za juu utagundua kuwa ni watu wanaopenda kusifiwa na kuabudiwa. Waha wanapenda ushirikina kupita maelezo.
@nsianaukio4299
Жыл бұрын
Yaani umeongea ukweli wooote. Yaani kwa kifupi umemalizaaa. Hizo ndio tabia za Waha kabisa
@mercynnko3416
Жыл бұрын
Kwan huyu ni mha au mmanyema
Wah,,,,,naomba mnipitie pia Kwa vida zangu 😛,,,,nitashukuru,,,✌️
Sio lazma kufikishana wapi wala wapi.kama sio babake hata akafanya uchawi tena hAwezi kua babake so hamisa atafute babake mtoto😢
Maneno yanauma kila siku mtoto anafananishwa lazima achoke kikubwa wamama tuwe wakweli
Sapoti yako braza❤
Mi nakubaligi sana simuliz na saut nomaa
Hamisa dada jiongeze je angeulizwa kihusu tifa unahisi angejibu hivo mtihani mkubwaaa
Hamisa km nikweli just be open we are humans and makes mistakes your better off. Kaa mbali nao. It my opinion
Mtoto ni wa diamond ila hamisa kachunia DNA za kila alfajiri mbosso anasena liwalonaliwe DNA hachukui
Duu masikini hamisa
Alikiba alisema lazima kiki ili waende!!
Dylan si mtoto wa Diamond,nadhani amejibu kwa kisiri na washaongea na hamissa kuhusu hilo swala,lakini labfa anamstiri na kukubali kulea tu dulla isiwe tabu mtaani😅
@millymack1370
Жыл бұрын
Amesema hajui kama ni wake ama si wake..kwa kifupi anamsihi hamisa wafanye dna walainishe mambo.
@barakatabdul3212
Жыл бұрын
@@millymack1370 yani Diamond Ambembeleze Hamisa" kufanya DNA" ashindwa nn kumchukua mtoto, hapo inshort watuwazima tushaelewa Diamond yuwamstiri Hamisa mtoto sio wake kifupii.
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
Kumbee ndio maana nandi na hamisa hawapatani leo ndio nimepata uhakika
Uyu mwambino km abwia Bwimbwi hii sauti yaan imechoookaaaa.
Mmhh ama kweli wanawake tuna mengi sana nyie 🙌🏻🙌🏻
Goes around comes around....
Usikatae mtoto plz baby it a blessing
@cleveronlinemedia820
Жыл бұрын
Sio wako umkubali tu
@MtuSafi
Жыл бұрын
kwan mkewe wa ndoa?
@idayattijani5341
Жыл бұрын
So he should take up another man's child?
@jameschumbula7351
Жыл бұрын
Ndy kalea af xio wake naic ata d.n.a tear; ila da! Wanawake wakixaxa hawaaminik
@MtuSafi
Жыл бұрын
Mwanamke unaweza kumuacha angalau akikusingizia mtoto ni yule wa ndoa tu...Ndo pale linakuja neno kitanda hakizai halamu sio hao mahawala wa mtaani Period.
Mwanamke akishakuambia mtoto ni wako,kubali,it's a blessing hata kama kakudanganya
@marthakambona
Жыл бұрын
Na kukataa moja kwa moja anashindwa asemetu mtoto si wangu period!! Kuliko ho mi sitaki kulitolea majibu moja kwa moja sababu mwenye uhakika ni mamamtu, mi nilitaka aulizwe kuhusu DNA waliyoifanya ilisemaje?
🤣🤣🤣 msani number 1 ana ogopa kupiga show bila Kiki
@mucci_AI
Жыл бұрын
😂😂
Sija sikia akisema mutt wng 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan mutt daaah pole sn missa
Asake bwana😂😂 ndege tena!!!pita huku🤣🤣
Kwa kifupi diamond anamaanisha bado hajui kama mtoto ni wake ama sio wake anamsihi hamisa walainishe mambo kupitia dna ili ampe full support kama mtoto wake..bt hamisa hataki hata hio support ya diamond...amechoka na hio familia ya wanafki.
@astarkaris8496
Жыл бұрын
Walishafanya DNA mtoto n WA mondi
@sidrasidra8616
Жыл бұрын
Mbona kuna kipindi Hamisa alisha sema tayari DNA sema huwenda wanafanya hivo kwasababu Hamisa hataki kijihusisha nao utakuta huu jama anataka amtumie anavyo taka Hamisa nae hataki wanaona wakifanya hivyo wanampa hasira
@witnessobadia3076
Жыл бұрын
Unajua sana
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
kabsa amechoka wamezid bana
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@astarkaris8496 ndio niwamond ila wanataka tu kumdhalil8sha hamisa kwa chuki tu yaani wanadai eti atakuwa hamisa kahonga ndi maana wanataka warudie kupima inje ya inchi kisa maneno ya watu wanaolazimisha kuwa sio mtoto wa mond daylan alivokua mdogo alikua mond mtupu hadi midomo ile kanavo kua kanachiukua kwa mama na babake ila hiyo family inashida kubwa sana chaa ajabu wa zari kafanana na ex wa zari ila hawamulizi kabsa
Vany kulipa pesa kubwa ni sawa c amekaa miaka mingi na zimewekezwa pesa mingi lazima zirudi, na lazima aseme katoka kwa amani hata kama kulikua na mivutano ya hapa na pale, mondi ana kawaida ya kuwaaminisha watu kitu flani hata kama hakiko hivyo, mwaka flani alisema katila wasanii wsngu msaanii....... Ndio anaongoza kuingiza pesa nyingi baada yangu mimi, mjanja mjanja flani hivi yani ni msanii pure.
Kichwan mond kawek rasta au macho yangu tuu
Simba so rich 🙏🏿🔥🔥👌
Mmmm Kwan mtoto sio wa mondi
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
Mpaka leo mnaendelea kubust show😂😂😂
@specialminds23
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mtu alie pata ujasiri wa kumkana Baba yake itakuwa je mtoto wa bi mdada?
@patrickhella8890
Жыл бұрын
Kwaiy ww unalazimisha mtu amletoto ambaye si wake
@laurarose1521
Жыл бұрын
Na wa tashana Donna kutoka Kenya pia yuampa?🙄🙄🙄
@norahmakrean525
Жыл бұрын
Pia mimi nitakuwa jasir kumkana baba yangu pia na sitawai kujiukumu kwame, hatujui ni kwa nini diamond alimkana baba yake
@rumdeesonsoa1811
Жыл бұрын
Hakuna uchungu anaousikia mwanaume kama kugundua mtoto sio wake.
@davinaheven4794
Жыл бұрын
Hilo nalo neno. Ameahuka Kimziki moaka akili sasa ni kiki za kulazwa tuu.
Hapo tu inajieleza kama mtoto sio wake
Mh ilo jibu watu wazima tushaelewa kitu khamisa mama usilazimishe ili mradi unaweza kumpa matunzo mwanao mbadilishe jina mpe hata la babako yaishe
@joleal7941
Жыл бұрын
Niko na wewe
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Жыл бұрын
Kweri kabisa
Kwa maelezo hayo ya diamond nshaelewa tu kuwa huyo mtoto sio wake
Hapo pana mtihani na kuna kitu wanajua wote wawil cc yetu macho
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@mercymbuvi4154
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 so true coz my feelings naona huyo mtoto ni WA diamond
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
@@mercymbuvi4154 but DNA tu ndio solution, wafanye hata mara 10
Ukweli kafanana Sana na Bilbasi na mtoto hatiwi midomoni HAMISA NN kwani lazima uonekane umezaa na Mond hebu mpe mtoto katika nafasi yake .
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Жыл бұрын
Mimi naisi wa Nenga
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
mnalazimisha sana yule mtoto asiwe wa mond ila Mungu anawaona mbona hata naseb junior kafanana na mwijako ila mnasema wa mond mbona nillan kafanana na ivan ila mnasema wa mond ila Dylan kukua na kumfanana mamake mnasema sio wa mond na sasahiv mmehama kwa jaguar mmehamia kwa nenga watanzania mnakazi sana
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 yaan inakela mijibwa hii kila siku mtoto anapewa baba mpya 🙄🙄 mama ndio anajua baba ni nani
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@sifatiiman hayana akili eti yanachukia va kwao hata siku anaweza kuokotwa na hamisa akimkuta kadondoka huyo zari wanae mpamba anawasaidia nini yaani zari hata afanye maovu watanzania wajinga wanampamba na kusupport upumbavu wake ila hamisa amabe ni mtanzania mwenzao. ambae hata akimkuta jian hata kama hamjui atamokota ndio wanamchukia na kumtungia mabaya kilasiku eti utayasikia oooh alimtesa zari alivuruga family ya zari wakat huyo zari ndio kamvurugia hamisa zari kamkuta hamisa na mond ila watanzania wanavo penda kubadilisha maneno ili mradi mtanzania mwenzao aharibikiwe kwanza zari ni hawara tu kama hamisa natena zari kamkuta hamisa na mond ye ndio kaingilia mapenzi ya mond na hamisa huyo zari
@tatotato506
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 wanalazimisha nini apo wanalazimisha watu.mondi ndio anaongea
Mm siwezi mlaumu mtu kati ya wapenzi watayamaliza wao pengine kiki tu hizo anatafuta trending Mond aah nyie wazazi bhaaaana usiweke mitandaoni
💎 linapokuja swala la on 📷 huwa mjanja sana 😉 kwa mtazamo na hisia zangu huwa nawaona 2 💎 ndani ya 💎 mmoja kwamaana on 📷 ni mwingine na behind the camera 📷 ni mwingine kabisa mtu wa namna hii ni ngumu kumuelewa inapashwa kuwa makini nae sana ni kama chameleon anayebadilika badilika rangi 😉
Duh
Huyu bba hna shida sna kwnini unaongerea habar za mtto asiye na shida yyote
Mbona musifanye DNA mukamaliza tatizo hili??? Tena ifanywe nje ya Tanzania… kama America ama Europe!! Coz hii issue haitamalizika na itamuumiza sana Mtoto. Itanyamaza sahii kisha mbeleni itakuja tena!!!
@vanessarobyn4584
Жыл бұрын
Hamissa alikataa kurudia DNA
@MsAggie5
Жыл бұрын
@@vanessarobyn4584 nasikia walifanya Bongo ikatoka mtoto ni wake, kuna jamaa yake Mondi alifanya DNA Bongo ikaonekana WA jamaa lakini baadae jamaa hakuamini akaamua akafanye nje ya nchi, majibu yakaja mtoto si WA jamaa WA Mondi sasa hapo ndo Mondi anataka walafanye nyingine nje ya nchi, Hamisa hataki. Mimi naona kama Mondi yuko serious afanye DNA na mtoto kisiri, achukue hata nywere za mtoto akapime na zake huko nje ya nchi ili ajiaminishe na alidhike, anaweza kushangaa majibu yakatoka mtoto ni wake.
@vanessarobyn4584
Жыл бұрын
@@MsAggie5 ndio na alianza kuhudumia ila unajua kitanda hakizai haramu. Na Mie naona hamissa angerudia tu kama mtoto ni wake kwann haofie
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
Rudia hata mara kumi; DNA ni ku swap tu kitu mdomoni.....hata kama ni damu, basi ni kidogo tu. Hii aibu sana na imetuumiza wengi kwa vile tumeaminishwa kuwa mtoto ni wa Diamond na anafanana naye kiasi...mtoto anaweza kufanana na mtu yeyote upande wa baba au mama. Please mshaurini Hamisa to solve this issue once and for all.
@mossyfimbo3577
Жыл бұрын
Mtoto angempa tu baba yake huyu.mtoto hafanani na Dimond hata chambe ila naona kafanana na Mama yake Sasa sijui huyo biological father anafanana na Hamisa ampe tu baba yake yeye si wa kwanza wala wa mwisho
Kiki tu ameona ya hospital imefeli wamekuja na king kiba imefeli tena sahivi wanakuja na ya Hamisa kijana kwa kiki noma
@rayanndizeyes3161
Жыл бұрын
Simba haishiwi vituko
@prettymasha2430
Жыл бұрын
Daah na tatizo lako bando la jero unazidi kuumia 🥹🥹
Diamond hangemsifia Harmonize kwa lolote lile cause he sees him as a threat… tushamshtukia
@specialminds23
Жыл бұрын
Exactly
@mugishasharmilla5874
Жыл бұрын
Naaam
Hii haijakaa sawa 😢, Dylan sio mwanawe na Diamond ashajua hilo. Dah! Hamisa mungu anakuona 😂
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Kweli mpenzi
@mossyfimbo3577
Жыл бұрын
Mungu anamuona kaa
@rosemkama6629
Жыл бұрын
Yani
Sijui huyu hamisa anamatatizo gani, DNA is the right way to solve this issue...what is Hamisa hiding
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
DNA sio ya bongo brother ndomana madam anakwepa na ndo ipo ivyo ukitaka nenda south au Kenya ndo unapata uwakika
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
Inasemekana walishapima DNA
@MsAggie5
Жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 kibongo bongo na ikaonesha mtoto WA Mondi, sasa Mondi anataka wakafanye nyingine nje, Hamisa hataki. Hapo ndo shughuli
@janetcharo1543
Жыл бұрын
She's hiding the biological father of her son😄
@MJ-rr6dy
Жыл бұрын
anaogopa kuaibika mtt siyo wa mond
Mondi saivi sio wakiki tena hili swala ni zitooo💔💔
@kaveresylvia9521
Жыл бұрын
Ukweli
Si ukapime "DNA"
😭😭😭😭😭😭😭
Simbaaa mbona UNAJUA nyingi 😁😁😁😁
Kiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Imesha eleweka huo mtoto siwa diamond
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI!
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 Hawa washapima zamani kwa hayo maelezo
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 walipima my but hospital ni diamond alichagua..ofcourse huenda aliambia doc ,whatever the results say its a yes..coz alkwa ashaekelewa..bt mama yake I think from there ndo akajitoa..Coz mwanzo huyo mtoto alkwa anaenda kukaa kwa duka la esma na mamadangote..bt after DNA things change
Sasa lava lava sijui atafanya show ya bei gan
Case closed. Ni wazi mtoto si wa diamond. Hamisa must come out clean.
@idayattijani5341
Жыл бұрын
She won't she's fame drunk 🤪 her dumb fans will be defending nonsense
Mkora huyu.. Kiki Kiki tu
Anajaribu kupush show mxeeew
Ila amezungumza kwa uchungu sana dah mkae muongee tu diamond hapendi kuongelea hya mambo ila anajitahid kuongea ila anaumia mtt mdg sana yule
musipate shida ndugu zangu baba wa mtoto nimimi nandiyo maana ndugu jamaa namalafiki musipate shida muulzen amissa daddy I'm #talluu
@jiiwolf2900
Жыл бұрын
.qweli mmefanana sana
Sasa kuondoka kwa rayvanny kwa amani amepotea kwenye gemu
Usikute huyo Mr Tee wakala wandenge ni hewa na mahakamani ni hewa havipo🤣🤭 kwani nilazima uyinuwe!Ungesema havipo siku zile ilikuwa ni kiki unge kuwa nini maana kipindi kile mlivo aminisha watu hadi Tifah kaamini ndege nia baba yake🤦♀️ mmh!
Simple Waka pime. D.N.A
mmmmh
The background music is annoying sns
Sio malaika bna msilete siasa na watoto wa sio na baba
Yaaani yamewarudi kama mamaako tu na wewe ulilelewa ivyoivyo
@MsAggie5
Жыл бұрын
Tunaita bloodline curse, laana ya ukoo. Yatamkuta kama yake.
@gloriadaniel3827
Жыл бұрын
Makosa aliyofanya Mzee Abdul Kwa Diamond leo Diamond anayarudia Kwa Dylan.
Ila bilnasi mtoto ni wake na haina ubishi watoto simba wote ni simba ila yule wa mobeto ni billnenga bhana
Izo ni kiki zako mbona hukusema kitambo
MBONA AMEKONDA SANA
Kipindi gani icho kama c Cha mzee baba
HE IS NOT THE FATHER. IF HE WAS HE WOULD HAVE GIVEN A CONFIDENT YES ANSWER.
@kaveresylvia9521
Жыл бұрын
True
@joycekisamo4896
Жыл бұрын
WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.
@levisonfrank2620
Жыл бұрын
We unahisi hajui kama mwanae ama sio mwanae he knows bhana mda tuh
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.
Nyinyi hamjuii huyu jamaa hii yote ni kupush tu show yake hakuna jipya hapa,kiki
Alipe Kwanza TRA
Angesema ni wake sizani kama pangekuwa maneno mengi Hamissa waminishe kama mtoto ni Mond wache kukuhongeleya vibaya
Ilo jambo si ni DNA TEST inalimaliza dakika sifuri tu.
Mbona hammlizikuhusu Nilan
Sasa deni si ulipe?
Mungu amekataza zinaa matokeo yake ndio haya mtoto ana baba asiejulikana kama daimond au bilnenga
@prettymasha2430
Жыл бұрын
Jagwaa
Ishu ya helkopta sijui ndege CHIBU.... PITA HUKU🙋🏾♂️
@Lisajos
Жыл бұрын
Nipitie pia Kwa vida zangu 😛
Malaika wako mbinguni yy amisa aache ujinga afanye la kufanya2 kama ataki ku aribu ndoa ya billnass aseme2 mtoto niwa mbappé🤣
@nunuuali5316
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀we ndo umeuwa
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
@@nunuuali5316 🤣🤣
@pammirina5441
Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰
@xtashrayvash2996
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
Kweel kabisa mondi DNA ilitoka negative lkn akaficha hamisa..akaendelea kuhudumia ila mama dangote kasema inatosha...coz zaman mtoto alikwa anaenda mpaka duka kwa esma ila after DNA mambo yakachange bt Mondi akaendelea cz ya bond alkwa ashajenga kwa mtoto bt sai mtoto amekuwa ..Diamond kaeleza kwa Akili kubwa ila ukiwa makini utagundua ukweeel
Mtoto angekua wake asingeongea hivo jibu tumelipata mtoto sio wake na kwa hadhi yake hawezi mkana mtoto hivo ....Hamisa sio poa kbsaa unakera sana
Jamaa hajawahi kataa mtoto ila maongezi yake yanaoneka kuna jambo na vilevile kazungumza kiutu uzima hapa kuna kitu kizito kitatoke soon picha kamiri litatokea baba wa mtoto atajulikana sasa hilo nilamama mwenyewe swali nenga yupo tayar kufanya chekaup ya DNA
Kumbe mchawi wa wasafi ni TRA😭😭😭 why
Jibu tumelipata sasa mtoto sio wa mondi sindo hivyo
Kamkataa baba itakuwa huyo mtoto
Mwongomwongo huyu
Ni kweli mtoto atajiwe baba yake hata kama ni masikini ni baba yake.
Yani tayari mtoto sio wa simba
billnas mwenyewe anasemaje kwani jmn?