DIAMOND afunguka mazito kuhusu mtoto wa HAMISA "'DYLAN", kumshauri MARIOO asijiunge WASAFI

Ойын-сауық

#Diamond #HamisaMobetto #Marioo

Пікірлер: 338

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv Жыл бұрын

    Hilo swali la mtoto limejibiwa. Kwa wenye akili tumeshaelewa.

  • @emmaashanghala8629
    @emmaashanghala8629 Жыл бұрын

    Congratulations my favorite artist, Diamond 💎 Platnumz on your attractive outfit 😍 ❤, myself I love the way you dress yourself. Keep that spirit, a artist always performed his show in that attractive clothes ,like you my favorite artist, Chibu Dangote. Aunty Emma from Namibia 🇳🇦

  • @elogeruhimbasa6719
    @elogeruhimbasa6719 Жыл бұрын

    Amisa hatuli na mwanaume Umoja ndo Matokeo hayo

  • @asyakhatib7942
    @asyakhatib7942 Жыл бұрын

    Natamani hamisa ambadilishe mtoto jina ampe la baba ake yeye yaishe na aseme kuanzia leo huyu si mtoto wa diamond ctaki mdomomdomo na mwanangu actajwe na mtu yoyote nadhan ndo atakapopona 🙌

  • @hadijamshimbula7616

    @hadijamshimbula7616

    Жыл бұрын

    Kweli kabsaa wanawake tunadhambi

  • @stellachalamila7455

    @stellachalamila7455

    Жыл бұрын

    Haitamusaidia chochote wanawake tumekuwa wabongo sana

  • @messaabbas739

    @messaabbas739

    Жыл бұрын

    Umeongea point ya maana sana wallah

  • @florenceelikana3040

    @florenceelikana3040

    Жыл бұрын

    Yani wanawake sisi shida mpe mtoto baba yake wa halali

  • @aliyageorge6794

    @aliyageorge6794

    Жыл бұрын

    Hamisa she is not smart mukichwa, that's the problem. Kichwa chake kimejaa maji.

  • @Sppah697
    @Sppah697 Жыл бұрын

    Huyo mtoto si mtoto wa Diamond!

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.

  • @IANA2030

    @IANA2030

    Жыл бұрын

    Period!!!!😂

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Жыл бұрын

    Tafadhali TRA Fanyeni mazungumzo na na WASAFI kuliko kuchukua pesa zao. Na kama walikua hawalipi kodi pia mazungumzo yawepo. Ubinadamu ni mzuri TANZANIA NI NCHI YA AMANI. TUNAIPENDA SANA ASANTENI SANA.

  • @mamy8220
    @mamy8220 Жыл бұрын

    Napenda diamond anahakili nyingi ❤️❤️❤️😘😘😘

  • @rosettematenga635

    @rosettematenga635

    Жыл бұрын

    Akili zakukana mtoto ,ameanza mtoto inamanisha sio wake ,mujinga ni Hamisa kwanini asiseme nitasaidia kama mtoto wangu maelezo yako wazi.

  • @fatmafaki6163

    @fatmafaki6163

    Жыл бұрын

    Ana akili au matope huyo mshenzi

  • @gracedarabe9450
    @gracedarabe9450 Жыл бұрын

    Duh ... Atari sanaa🔥🔥🔥

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 Kwa maelez hayo daylan sio mtot wake 🙄 kwann Hamisa asisem tuu ukweli ili hay yaishe

  • @sharlharl5890
    @sharlharl5890 Жыл бұрын

    Hamisa alitaka kumkomoa Zari sasa ona malipo aseme mtoto si wa Diamond ni wa nenga mambo yahishe maana baadaye mtoto atajuta

  • @akimanaarlene851

    @akimanaarlene851

    Жыл бұрын

    Kabisa malipo ni hapa hapa duniani😅😅😅acha mungu afanye yake

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    huyo bibi wa kiganda aliondoka mwenyewe alipigwa matukio na dainamoo na dainamoo alisha sema akimchoka mtu anampiga matukio ad anaondoka mwenyewe kwa hio alipigwa matukio akajiondoa na mond alisema kuwa kibibi cha kiganda kilikua kina date na mmoja wa kundi la psquare tafuta hio interview na kibibi cha kiganda kilisema kimeshakua kizee afu mond anashikana shikana na ma x ambae ni wema sepetu upo koma kumzungumzia hamisa kwenye issue za bibi wa kiganda

  • @akimanaarlene851

    @akimanaarlene851

    Жыл бұрын

    @@sifatiiman wivu utakuwuwa😀punguza hasila utakufa mapema na umaskini wako kikubwa zari ndie anapendwa ndie anasifiwa ndie anamiliki nyumba y’a daimond kule south😂ndie watotot wake wanasomeshwa shule za galama n’a ndie daimond anampa support kwa kazi zake n’a ndie wanafanya madili pamoja kama Netflix kuchapa héla🤣🤣🤣🤣🤣na diamond kilasiku anamsifia wivu yako hayi change chochote

  • @akimanaarlene851

    @akimanaarlene851

    Жыл бұрын

    @@sifatiiman 😂😂😂ukimwuliza diamond kuhusu zari anakuambia akuna baby mama’s naheshima kama zari hilo linatosha kugombana nikitu kidogo nandugu zetu tunagombana akaisha

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Жыл бұрын

    TRA,ni wezi sana hao wanakwamisha nchi kuendelea

  • @janetcharo1543
    @janetcharo1543 Жыл бұрын

    He is not claiming the child,to me he's message is very clear that he is not the child's real father....coz why does he leave the paternity in question to the mother and the masses?

  • @marthakambona

    @marthakambona

    Жыл бұрын

    What about DNA he was done with Dylan? We need answers about that issue

  • @sabinamachange6040

    @sabinamachange6040

    6 ай бұрын

    Diamond mtoto ni wako DNA ilionesha ila hata wewe mamako alisema siyo mtoto wa Abdul tunza mwanao huyo tafadhali wewe siyo maskini

  • @danielkihoza7330
    @danielkihoza7330 Жыл бұрын

    Kwaichi alicho kiongea mondi uyu mttt si wakwake angekuwa mttt wake asinge ongea iviiii laaaaa uyuuu hamisaaaa amazingua Sanaaaaaa laaaaa yeeee aweeee mkwel two

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa1605 Жыл бұрын

    Watu wazima tushaelewa mtoto amedhihirisha si wake

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 Жыл бұрын

    Shida ya hii familia ni bi sandra hapo diamond anaongea hivyo ili kumfurahisa mama yake siunajua tena hamisa na yule bi mkubwa ni maji na moto ila diamond ukweli wa yule mtoto anaujua na ipo siku yule mtoto atafika viwango hadi viwango ndipo watajua Mungu hadhihakiwi na humwinua mnyonge kutoka njaani hamisa apinge moyo konde haya ni mapito tu ipo siku yatakwisha 🙏🙏

  • @sharonanisha8949

    @sharonanisha8949

    Жыл бұрын

    Jaman huwa mnamuonea bi sandra mda mwengine..huyo mtoto zamani alkwa anaenda mpaka madale..mpaka birthday ya 1yr alifanyiwa pale wasafi na hamisa alikuwepo hapo..ata vedio ziko youtube..mtoto alkwa anapelekwa mpaka kule kwa duka la esma ..anashinda nao huko..ila kadri akikua ndo mama dangote akaanza kuona kama hapa wamechezwa..ndo diamond akamwambia hamisa nyumban wanasema hivi na hivi so itabidii twende DNA na hamisa ata alifanya interview akaeleza diamond hakuwa comfortable na hilo swala bt wakaenda wakafanya majibu yakatoka ni wa diamond kwa mujibu wa hamisa..lakini hamisa hakujiulza mbna mambo yalibadilika akabakia tu mondi kujishughulsha na mtoto..mama yeye alijitoa alipogundua sio mjukuu ila simba aliendelea kumlea ila closeness ikapungua ..ata kama ni ww utafanyeje..respect this man for ones aky..he's a gentleman hataki kumuaibisha hamisa vile hamisa alimuaibisha..dtz y hajai tamka mtoto si wake..

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    haswa

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Жыл бұрын

    Huyu ni mha bhna original anajifanya hana tatizo na watu au shida, mfano kwa Alikiha mha mwenzake, ila ana shida naye kubwa sana, na anajifanya kama hana shida na huyo mtoto, ila ana shida sana hawa watu nawajua sana........ ingawaje sio kila mha ana roho mbaya hapana, kwa sababu nimekaa nao sana ila mara nyingi ni watu wa kujificha sana na wenye wivu sana na wenye kupenda mashindano sana na wenye kuwaonea wivu wengine sana, na wanaojua kupigana na watu chini chini sana, na ni watu wenye kuhisi wanadharauliwa siku zote sana, na ni watu wabinafsi sana, ila sio wezi, ni wachapa kazi, ni waaminifu mkikubaliana jambo, hawana vigeugeu sana ila baadhi yao vigeugeu, wanapenda ngono kupita kawaida, sio watu wa masihara kwenye kazi. Wana mambo mengi likiwepo suala la ubishi, pia wanapenda sifa yaani ukikutana na mha asiyependa sifa ujue embe dodo limeanguka kwenye mworobaini, wanaenda kusujudiwa sana, ukitaka kuamini hili chunguza wachungaji au maaskofu na viongozi wa kiserekali wenye nyasifa za juu utagundua kuwa ni watu wanaopenda kusifiwa na kuabudiwa. Waha wanapenda ushirikina kupita maelezo.

  • @nsianaukio4299

    @nsianaukio4299

    Жыл бұрын

    Yaani umeongea ukweli wooote. Yaani kwa kifupi umemalizaaa. Hizo ndio tabia za Waha kabisa

  • @mercynnko3416

    @mercynnko3416

    Жыл бұрын

    Kwan huyu ni mha au mmanyema

  • @Lisajos
    @Lisajos Жыл бұрын

    Wah,,,,,naomba mnipitie pia Kwa vida zangu 😛,,,,nitashukuru,,,✌️

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Жыл бұрын

    Sio lazma kufikishana wapi wala wapi.kama sio babake hata akafanya uchawi tena hAwezi kua babake so hamisa atafute babake mtoto😢

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 Жыл бұрын

    Maneno yanauma kila siku mtoto anafananishwa lazima achoke kikubwa wamama tuwe wakweli

  • @ShalymusictenaMwanaharak-gv2eh
    @ShalymusictenaMwanaharak-gv2eh Жыл бұрын

    Sapoti yako braza❤

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Жыл бұрын

    Mi nakubaligi sana simuliz na saut nomaa

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Жыл бұрын

    Hamisa dada jiongeze je angeulizwa kihusu tifa unahisi angejibu hivo mtihani mkubwaaa

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Жыл бұрын

    Hamisa km nikweli just be open we are humans and makes mistakes your better off. Kaa mbali nao. It my opinion

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Жыл бұрын

    Mtoto ni wa diamond ila hamisa kachunia DNA za kila alfajiri mbosso anasena liwalonaliwe DNA hachukui

  • @sharifaabdala1565
    @sharifaabdala1565 Жыл бұрын

    Duu masikini hamisa

  • @saidfhamad
    @saidfhamad Жыл бұрын

    Alikiba alisema lazima kiki ili waende!!

  • @junenadine6512
    @junenadine6512 Жыл бұрын

    Dylan si mtoto wa Diamond,nadhani amejibu kwa kisiri na washaongea na hamissa kuhusu hilo swala,lakini labfa anamstiri na kukubali kulea tu dulla isiwe tabu mtaani😅

  • @millymack1370

    @millymack1370

    Жыл бұрын

    Amesema hajui kama ni wake ama si wake..kwa kifupi anamsihi hamisa wafanye dna walainishe mambo.

  • @barakatabdul3212

    @barakatabdul3212

    Жыл бұрын

    @@millymack1370 yani Diamond Ambembeleze Hamisa" kufanya DNA" ashindwa nn kumchukua mtoto, hapo inshort watuwazima tushaelewa Diamond yuwamstiri Hamisa mtoto sio wake kifupii.

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Жыл бұрын

    Kumbee ndio maana nandi na hamisa hawapatani leo ndio nimepata uhakika

  • @nyulaseptember5573
    @nyulaseptember5573 Жыл бұрын

    Uyu mwambino km abwia Bwimbwi hii sauti yaan imechoookaaaa.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Жыл бұрын

    Mmhh ama kweli wanawake tuna mengi sana nyie 🙌🏻🙌🏻

  • @chemstry409
    @chemstry409 Жыл бұрын

    Goes around comes around....

  • @irenekanini9431
    @irenekanini9431 Жыл бұрын

    Usikatae mtoto plz baby it a blessing

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    Жыл бұрын

    Sio wako umkubali tu

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    Жыл бұрын

    kwan mkewe wa ndoa?

  • @idayattijani5341

    @idayattijani5341

    Жыл бұрын

    So he should take up another man's child?

  • @jameschumbula7351

    @jameschumbula7351

    Жыл бұрын

    Ndy kalea af xio wake naic ata d.n.a tear; ila da! Wanawake wakixaxa hawaaminik

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    Жыл бұрын

    Mwanamke unaweza kumuacha angalau akikusingizia mtoto ni yule wa ndoa tu...Ndo pale linakuja neno kitanda hakizai halamu sio hao mahawala wa mtaani Period.

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Жыл бұрын

    Mwanamke akishakuambia mtoto ni wako,kubali,it's a blessing hata kama kakudanganya

  • @marthakambona

    @marthakambona

    Жыл бұрын

    Na kukataa moja kwa moja anashindwa asemetu mtoto si wangu period!! Kuliko ho mi sitaki kulitolea majibu moja kwa moja sababu mwenye uhakika ni mamamtu, mi nilitaka aulizwe kuhusu DNA waliyoifanya ilisemaje?

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 msani number 1 ana ogopa kupiga show bila Kiki

  • @mucci_AI

    @mucci_AI

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @irakozesania1680
    @irakozesania1680 Жыл бұрын

    Sija sikia akisema mutt wng 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan mutt daaah pole sn missa

  • @salumsalim7564
    @salumsalim7564 Жыл бұрын

    Asake bwana😂😂 ndege tena!!!pita huku🤣🤣

  • @millymack1370
    @millymack1370 Жыл бұрын

    Kwa kifupi diamond anamaanisha bado hajui kama mtoto ni wake ama sio wake anamsihi hamisa walainishe mambo kupitia dna ili ampe full support kama mtoto wake..bt hamisa hataki hata hio support ya diamond...amechoka na hio familia ya wanafki.

  • @astarkaris8496

    @astarkaris8496

    Жыл бұрын

    Walishafanya DNA mtoto n WA mondi

  • @sidrasidra8616

    @sidrasidra8616

    Жыл бұрын

    Mbona kuna kipindi Hamisa alisha sema tayari DNA sema huwenda wanafanya hivo kwasababu Hamisa hataki kijihusisha nao utakuta huu jama anataka amtumie anavyo taka Hamisa nae hataki wanaona wakifanya hivyo wanampa hasira

  • @witnessobadia3076

    @witnessobadia3076

    Жыл бұрын

    Unajua sana

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    kabsa amechoka wamezid bana

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    @@astarkaris8496 ndio niwamond ila wanataka tu kumdhalil8sha hamisa kwa chuki tu yaani wanadai eti atakuwa hamisa kahonga ndi maana wanataka warudie kupima inje ya inchi kisa maneno ya watu wanaolazimisha kuwa sio mtoto wa mond daylan alivokua mdogo alikua mond mtupu hadi midomo ile kanavo kua kanachiukua kwa mama na babake ila hiyo family inashida kubwa sana chaa ajabu wa zari kafanana na ex wa zari ila hawamulizi kabsa

  • @christopherhilary9453
    @christopherhilary9453 Жыл бұрын

    Vany kulipa pesa kubwa ni sawa c amekaa miaka mingi na zimewekezwa pesa mingi lazima zirudi, na lazima aseme katoka kwa amani hata kama kulikua na mivutano ya hapa na pale, mondi ana kawaida ya kuwaaminisha watu kitu flani hata kama hakiko hivyo, mwaka flani alisema katila wasanii wsngu msaanii....... Ndio anaongoza kuingiza pesa nyingi baada yangu mimi, mjanja mjanja flani hivi yani ni msanii pure.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Жыл бұрын

    Kichwan mond kawek rasta au macho yangu tuu

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 Жыл бұрын

    Simba so rich 🙏🏿🔥🔥👌

  • @happymrema6728
    @happymrema6728 Жыл бұрын

    Mmmm Kwan mtoto sio wa mondi

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.

  • @northernshine04
    @northernshine04 Жыл бұрын

    Mpaka leo mnaendelea kubust show😂😂😂

  • @specialminds23

    @specialminds23

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Жыл бұрын

    Mtu alie pata ujasiri wa kumkana Baba yake itakuwa je mtoto wa bi mdada?

  • @patrickhella8890

    @patrickhella8890

    Жыл бұрын

    Kwaiy ww unalazimisha mtu amletoto ambaye si wake

  • @laurarose1521

    @laurarose1521

    Жыл бұрын

    Na wa tashana Donna kutoka Kenya pia yuampa?🙄🙄🙄

  • @norahmakrean525

    @norahmakrean525

    Жыл бұрын

    Pia mimi nitakuwa jasir kumkana baba yangu pia na sitawai kujiukumu kwame, hatujui ni kwa nini diamond alimkana baba yake

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    Жыл бұрын

    Hakuna uchungu anaousikia mwanaume kama kugundua mtoto sio wake.

  • @davinaheven4794

    @davinaheven4794

    Жыл бұрын

    Hilo nalo neno. Ameahuka Kimziki moaka akili sasa ni kiki za kulazwa tuu.

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 Жыл бұрын

    Hapo tu inajieleza kama mtoto sio wake

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Жыл бұрын

    Mh ilo jibu watu wazima tushaelewa kitu khamisa mama usilazimishe ili mradi unaweza kumpa matunzo mwanao mbadilishe jina mpe hata la babako yaishe

  • @joleal7941

    @joleal7941

    Жыл бұрын

    Niko na wewe

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    Жыл бұрын

    Kweri kabisa

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 Жыл бұрын

    Kwa maelezo hayo ya diamond nshaelewa tu kuwa huyo mtoto sio wake

  • @owenmutale8686
    @owenmutale8686 Жыл бұрын

    Hapo pana mtihani na kuna kitu wanajua wote wawil cc yetu macho

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.

  • @mercymbuvi4154

    @mercymbuvi4154

    Жыл бұрын

    @@joycekisamo4896 so true coz my feelings naona huyo mtoto ni WA diamond

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    @@mercymbuvi4154 but DNA tu ndio solution, wafanye hata mara 10

  • @khadijaabdallah933
    @khadijaabdallah933 Жыл бұрын

    Ukweli kafanana Sana na Bilbasi na mtoto hatiwi midomoni HAMISA NN kwani lazima uonekane umezaa na Mond hebu mpe mtoto katika nafasi yake .

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    Жыл бұрын

    Mimi naisi wa Nenga

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    mnalazimisha sana yule mtoto asiwe wa mond ila Mungu anawaona mbona hata naseb junior kafanana na mwijako ila mnasema wa mond mbona nillan kafanana na ivan ila mnasema wa mond ila Dylan kukua na kumfanana mamake mnasema sio wa mond na sasahiv mmehama kwa jaguar mmehamia kwa nenga watanzania mnakazi sana

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    @@aishaalbalushaishabalush8291 yaan inakela mijibwa hii kila siku mtoto anapewa baba mpya 🙄🙄 mama ndio anajua baba ni nani

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Жыл бұрын

    @@sifatiiman hayana akili eti yanachukia va kwao hata siku anaweza kuokotwa na hamisa akimkuta kadondoka huyo zari wanae mpamba anawasaidia nini yaani zari hata afanye maovu watanzania wajinga wanampamba na kusupport upumbavu wake ila hamisa amabe ni mtanzania mwenzao. ambae hata akimkuta jian hata kama hamjui atamokota ndio wanamchukia na kumtungia mabaya kilasiku eti utayasikia oooh alimtesa zari alivuruga family ya zari wakat huyo zari ndio kamvurugia hamisa zari kamkuta hamisa na mond ila watanzania wanavo penda kubadilisha maneno ili mradi mtanzania mwenzao aharibikiwe kwanza zari ni hawara tu kama hamisa natena zari kamkuta hamisa na mond ye ndio kaingilia mapenzi ya mond na hamisa huyo zari

  • @tatotato506

    @tatotato506

    Жыл бұрын

    @@aishaalbalushaishabalush8291 wanalazimisha nini apo wanalazimisha watu.mondi ndio anaongea

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Жыл бұрын

    Mm siwezi mlaumu mtu kati ya wapenzi watayamaliza wao pengine kiki tu hizo anatafuta trending Mond aah nyie wazazi bhaaaana usiweke mitandaoni

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    💎 linapokuja swala la on 📷 huwa mjanja sana 😉 kwa mtazamo na hisia zangu huwa nawaona 2 💎 ndani ya 💎 mmoja kwamaana on 📷 ni mwingine na behind the camera 📷 ni mwingine kabisa mtu wa namna hii ni ngumu kumuelewa inapashwa kuwa makini nae sana ni kama chameleon anayebadilika badilika rangi 😉

  • @hafidhali4336
    @hafidhali4336 Жыл бұрын

    Duh

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 Жыл бұрын

    Huyu bba hna shida sna kwnini unaongerea habar za mtto asiye na shida yyote

  • @khuliz
    @khuliz Жыл бұрын

    Mbona musifanye DNA mukamaliza tatizo hili??? Tena ifanywe nje ya Tanzania… kama America ama Europe!! Coz hii issue haitamalizika na itamuumiza sana Mtoto. Itanyamaza sahii kisha mbeleni itakuja tena!!!

  • @vanessarobyn4584

    @vanessarobyn4584

    Жыл бұрын

    Hamissa alikataa kurudia DNA

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Жыл бұрын

    @@vanessarobyn4584 nasikia walifanya Bongo ikatoka mtoto ni wake, kuna jamaa yake Mondi alifanya DNA Bongo ikaonekana WA jamaa lakini baadae jamaa hakuamini akaamua akafanye nje ya nchi, majibu yakaja mtoto si WA jamaa WA Mondi sasa hapo ndo Mondi anataka walafanye nyingine nje ya nchi, Hamisa hataki. Mimi naona kama Mondi yuko serious afanye DNA na mtoto kisiri, achukue hata nywere za mtoto akapime na zake huko nje ya nchi ili ajiaminishe na alidhike, anaweza kushangaa majibu yakatoka mtoto ni wake.

  • @vanessarobyn4584

    @vanessarobyn4584

    Жыл бұрын

    @@MsAggie5 ndio na alianza kuhudumia ila unajua kitanda hakizai haramu. Na Mie naona hamissa angerudia tu kama mtoto ni wake kwann haofie

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    Rudia hata mara kumi; DNA ni ku swap tu kitu mdomoni.....hata kama ni damu, basi ni kidogo tu. Hii aibu sana na imetuumiza wengi kwa vile tumeaminishwa kuwa mtoto ni wa Diamond na anafanana naye kiasi...mtoto anaweza kufanana na mtu yeyote upande wa baba au mama. Please mshaurini Hamisa to solve this issue once and for all.

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    Жыл бұрын

    Mtoto angempa tu baba yake huyu.mtoto hafanani na Dimond hata chambe ila naona kafanana na Mama yake Sasa sijui huyo biological father anafanana na Hamisa ampe tu baba yake yeye si wa kwanza wala wa mwisho

  • @hajirewa1109
    @hajirewa1109 Жыл бұрын

    Kiki tu ameona ya hospital imefeli wamekuja na king kiba imefeli tena sahivi wanakuja na ya Hamisa kijana kwa kiki noma

  • @rayanndizeyes3161

    @rayanndizeyes3161

    Жыл бұрын

    Simba haishiwi vituko

  • @prettymasha2430

    @prettymasha2430

    Жыл бұрын

    Daah na tatizo lako bando la jero unazidi kuumia 🥹🥹

  • @maryuwizeimana6722
    @maryuwizeimana6722 Жыл бұрын

    Diamond hangemsifia Harmonize kwa lolote lile cause he sees him as a threat… tushamshtukia

  • @specialminds23

    @specialminds23

    Жыл бұрын

    Exactly

  • @mugishasharmilla5874

    @mugishasharmilla5874

    Жыл бұрын

    Naaam

  • @maryuwizeimana6722
    @maryuwizeimana6722 Жыл бұрын

    Hii haijakaa sawa 😢, Dylan sio mwanawe na Diamond ashajua hilo. Dah! Hamisa mungu anakuona 😂

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    Жыл бұрын

    Kweli mpenzi

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    Жыл бұрын

    Mungu anamuona kaa

  • @rosemkama6629

    @rosemkama6629

    Жыл бұрын

    Yani

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Жыл бұрын

    Sijui huyu hamisa anamatatizo gani, DNA is the right way to solve this issue...what is Hamisa hiding

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    DNA sio ya bongo brother ndomana madam anakwepa na ndo ipo ivyo ukitaka nenda south au Kenya ndo unapata uwakika

  • @humphreymwihambi4330

    @humphreymwihambi4330

    Жыл бұрын

    Inasemekana walishapima DNA

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Жыл бұрын

    @@humphreymwihambi4330 kibongo bongo na ikaonesha mtoto WA Mondi, sasa Mondi anataka wakafanye nyingine nje, Hamisa hataki. Hapo ndo shughuli

  • @janetcharo1543

    @janetcharo1543

    Жыл бұрын

    She's hiding the biological father of her son😄

  • @MJ-rr6dy

    @MJ-rr6dy

    Жыл бұрын

    anaogopa kuaibika mtt siyo wa mond

  • @Africa293
    @Africa293 Жыл бұрын

    Mondi saivi sio wakiki tena hili swala ni zitooo💔💔

  • @kaveresylvia9521

    @kaveresylvia9521

    Жыл бұрын

    Ukweli

  • @naseebtz3093
    @naseebtz3093 Жыл бұрын

    Si ukapime "DNA"

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @prettymasha2430
    @prettymasha2430 Жыл бұрын

    Simbaaa mbona UNAJUA nyingi 😁😁😁😁

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Жыл бұрын

    Kiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Жыл бұрын

    Imesha eleweka huo mtoto siwa diamond

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI!

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    Жыл бұрын

    @@joycekisamo4896 Hawa washapima zamani kwa hayo maelezo

  • @sharonanisha8949

    @sharonanisha8949

    Жыл бұрын

    @@joycekisamo4896 walipima my but hospital ni diamond alichagua..ofcourse huenda aliambia doc ,whatever the results say its a yes..coz alkwa ashaekelewa..bt mama yake I think from there ndo akajitoa..Coz mwanzo huyo mtoto alkwa anaenda kukaa kwa duka la esma na mamadangote..bt after DNA things change

  • @jimmycliff6977
    @jimmycliff6977 Жыл бұрын

    Sasa lava lava sijui atafanya show ya bei gan

  • @has4665
    @has4665 Жыл бұрын

    Case closed. Ni wazi mtoto si wa diamond. Hamisa must come out clean.

  • @idayattijani5341

    @idayattijani5341

    Жыл бұрын

    She won't she's fame drunk 🤪 her dumb fans will be defending nonsense

  • @maissah
    @maissah Жыл бұрын

    Mkora huyu.. Kiki Kiki tu

  • @zayanasudi3731
    @zayanasudi3731 Жыл бұрын

    Anajaribu kupush show mxeeew

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 Жыл бұрын

    Ila amezungumza kwa uchungu sana dah mkae muongee tu diamond hapendi kuongelea hya mambo ila anajitahid kuongea ila anaumia mtt mdg sana yule

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Жыл бұрын

    musipate shida ndugu zangu baba wa mtoto nimimi nandiyo maana ndugu jamaa namalafiki musipate shida muulzen amissa daddy I'm #talluu

  • @jiiwolf2900

    @jiiwolf2900

    Жыл бұрын

    .qweli mmefanana sana

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Жыл бұрын

    Sasa kuondoka kwa rayvanny kwa amani amepotea kwenye gemu

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Жыл бұрын

    Usikute huyo Mr Tee wakala wandenge ni hewa na mahakamani ni hewa havipo🤣🤭 kwani nilazima uyinuwe!Ungesema havipo siku zile ilikuwa ni kiki unge kuwa nini maana kipindi kile mlivo aminisha watu hadi Tifah kaamini ndege nia baba yake🤦‍♀️ mmh!

  • @AliHussein-rz2yi
    @AliHussein-rz2yi Жыл бұрын

    Simple Waka pime. D.N.A

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 Жыл бұрын

    mmmmh

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 Жыл бұрын

    The background music is annoying sns

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Жыл бұрын

    Sio malaika bna msilete siasa na watoto wa sio na baba

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 Жыл бұрын

    Yaaani yamewarudi kama mamaako tu na wewe ulilelewa ivyoivyo

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Жыл бұрын

    Tunaita bloodline curse, laana ya ukoo. Yatamkuta kama yake.

  • @gloriadaniel3827

    @gloriadaniel3827

    Жыл бұрын

    Makosa aliyofanya Mzee Abdul Kwa Diamond leo Diamond anayarudia Kwa Dylan.

  • @twahirpascal6859
    @twahirpascal6859 Жыл бұрын

    Ila bilnasi mtoto ni wake na haina ubishi watoto simba wote ni simba ila yule wa mobeto ni billnenga bhana

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Жыл бұрын

    Izo ni kiki zako mbona hukusema kitambo

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Жыл бұрын

    MBONA AMEKONDA SANA

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Жыл бұрын

    Kipindi gani icho kama c Cha mzee baba

  • @chromecure
    @chromecure Жыл бұрын

    HE IS NOT THE FATHER. IF HE WAS HE WOULD HAVE GIVEN A CONFIDENT YES ANSWER.

  • @kaveresylvia9521

    @kaveresylvia9521

    Жыл бұрын

    True

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Жыл бұрын

    WANASHINDWA NINI KUFANYA DNA WAPATE MAJIBU?!?? THIS IS 2022, TECHNOLOGY IS SO ADVANCED, NENDA KAPIME UJUE UKWELI.

  • @levisonfrank2620

    @levisonfrank2620

    Жыл бұрын

    We unahisi hajui kama mwanae ama sio mwanae he knows bhana mda tuh

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Жыл бұрын

    Nyinyi hamjuii huyu jamaa hii yote ni kupush tu show yake hakuna jipya hapa,kiki

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 Жыл бұрын

    Alipe Kwanza TRA

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 Жыл бұрын

    Angesema ni wake sizani kama pangekuwa maneno mengi Hamissa waminishe kama mtoto ni Mond wache kukuhongeleya vibaya

  • @hudsson75
    @hudsson75 Жыл бұрын

    Ilo jambo si ni DNA TEST inalimaliza dakika sifuri tu.

  • @janeschurmanns6311
    @janeschurmanns6311 Жыл бұрын

    Mbona hammlizikuhusu Nilan

  • @mustafamsatimuhenga253
    @mustafamsatimuhenga253 Жыл бұрын

    Sasa deni si ulipe?

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 Жыл бұрын

    Mungu amekataza zinaa matokeo yake ndio haya mtoto ana baba asiejulikana kama daimond au bilnenga

  • @prettymasha2430

    @prettymasha2430

    Жыл бұрын

    Jagwaa

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Жыл бұрын

    Ishu ya helkopta sijui ndege CHIBU.... PITA HUKU🙋🏾‍♂️

  • @Lisajos

    @Lisajos

    Жыл бұрын

    Nipitie pia Kwa vida zangu 😛

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 Жыл бұрын

    Malaika wako mbinguni yy amisa aache ujinga afanye la kufanya2 kama ataki ku aribu ndoa ya billnass aseme2 mtoto niwa mbappé🤣

  • @nunuuali5316

    @nunuuali5316

    Жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀we ndo umeuwa

  • @yakoboesenga5754

    @yakoboesenga5754

    Жыл бұрын

    @@nunuuali5316 🤣🤣

  • @pammirina5441

    @pammirina5441

    Жыл бұрын

    🥰🥰🥰🥰

  • @xtashrayvash2996

    @xtashrayvash2996

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @sharonanisha8949

    @sharonanisha8949

    Жыл бұрын

    Kweel kabisa mondi DNA ilitoka negative lkn akaficha hamisa..akaendelea kuhudumia ila mama dangote kasema inatosha...coz zaman mtoto alikwa anaenda mpaka duka kwa esma ila after DNA mambo yakachange bt Mondi akaendelea cz ya bond alkwa ashajenga kwa mtoto bt sai mtoto amekuwa ..Diamond kaeleza kwa Akili kubwa ila ukiwa makini utagundua ukweeel

  • @gabbyhenrgy1157
    @gabbyhenrgy1157 Жыл бұрын

    Mtoto angekua wake asingeongea hivo jibu tumelipata mtoto sio wake na kwa hadhi yake hawezi mkana mtoto hivo ....Hamisa sio poa kbsaa unakera sana

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 Жыл бұрын

    Jamaa hajawahi kataa mtoto ila maongezi yake yanaoneka kuna jambo na vilevile kazungumza kiutu uzima hapa kuna kitu kizito kitatoke soon picha kamiri litatokea baba wa mtoto atajulikana sasa hilo nilamama mwenyewe swali nenga yupo tayar kufanya chekaup ya DNA

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Жыл бұрын

    Kumbe mchawi wa wasafi ni TRA😭😭😭 why

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Жыл бұрын

    Jibu tumelipata sasa mtoto sio wa mondi sindo hivyo

  • @maruzukaally1261
    @maruzukaally1261 Жыл бұрын

    Kamkataa baba itakuwa huyo mtoto

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Жыл бұрын

    Mwongomwongo huyu

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 Жыл бұрын

    Ni kweli mtoto atajiwe baba yake hata kama ni masikini ni baba yake.

  • @joleal7941
    @joleal7941 Жыл бұрын

    Yani tayari mtoto sio wa simba

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Жыл бұрын

    billnas mwenyewe anasemaje kwani jmn?

Келесі