DENIS MPAGAZE -WE SIO BINGWA WA SHIDA ,USIOGOPE KUANZA TENA
#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Пікірлер: 189
Kama unamuelewa brother Fanya kutupa like hapa
@jackmichael1953
4 жыл бұрын
habari napenda sana mafundisho yako kaka kwani yana mafundisho mazuri mno mungu akuwezeshe kuyatekeleza haya kila iitwapo leo amina ni mimi masai dodoma
@mudytunda8897
4 жыл бұрын
Namuelewa cana
@kabulamanyangu4703
3 жыл бұрын
Kweli bwana maana mie duuuu nafanya kuvumilia
@simonmumba654
3 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka
@samikemagunia1850
Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri
Ahsante sana kwa mafundisho yako ni kweli ukisema ww unashida kunawengine wanashida mara 3 yake
"Kisichokuua hukuimarisha",yaani",What doesn't kill you makes you stronger". Ahsante Sana kwa elimu!.
Dennis mpangaze na kikosi chako,mungu awambariki tu xana,hapa kwetu Kenya tunahitaji watu kama nyinyi, MSEMA KWELI.hongera
Ukiskia mwongozo bas ndio huu kuhusu maisha kwa ujumla,nakukubar xana mpagaze
Asnte San kwa Denic elimu Nzuri,ushauri,ntazidi kuwa jasili hkuna kukata Tamaaa , MUNGU Mwema Sana.
Naweza sikiza hii makala hadi mara mia moja kwa mpigo. Thank You Denis Mpagaze from +254
Nimekuelewa sana kwa istory yako nzuri
Kwa mara ya kwanza nina comment account ako braza you are so wonderful god bless you 💯 ever since before baada ya mama angu na Baba angu ww unafuatia Kama mwalimu wangu thnks for all
@janethkomba4485
Жыл бұрын
sanaaa🙏
Ahsante kwa mafundisho! Mazoezi husaidia kupunguza stress,karibuni mjifunze mazoezi ya kujenga mwili bila kwenda gym( home workout)
Mbarikiwe sana Denis mpagaze na Ananias Ediger 🙏
Asante enanies edigar kwa kuileta hii abari wakat mwafaka
Makala nzuri, inanipa mafunzo mazuri, na kunifanya nizidi kuperuzi biblia na kuijua zaidi
@marykibwana9413
4 жыл бұрын
Kiukweli, 100% nasoma biblia nikienda church ila makala za Ananias Edgar & Denis Mpagaze zinanifanya niperuzi biblia.
@tasianamchome9252
4 жыл бұрын
sure
Ni simulizi nzuri y'a kutia moyo ni kweli Kama kunadalili za kufeli. Amka na Anza upya nafasi unayo.
We jamaa najua hata mwenyewe unajua upo vizuri😆
God blees you Denis mpagaz
brother Edgar huwa napambana sana kwa maneno yenye kutuonyesha njia wadogo zako mungu akupe shifaa ktk hili
Asanteni sana Denis Mpagaze nà Ananias Edgar kwa kazi mnayofanya ,mmebarikiwa tayari Mungu azidi kuwapa hekima .
Hata na hii ya jibu la thamani ya X kuwa 0 kwa mwanafunzi kumshangaa mwalimu kwa kazi kubwa aliyoifanya na upotevu wa muda ubaoni , pia na hii ya padri ulishaitumia kwenye makala zako za siku za nyuma hii ni uthibitisho wa umakini wa wafuatiliaji wa makala zako na wewe kuweza kubuni MIFANO mingine zaidi ambayo inasisimua Makala lengwa.
Da yani lazima nipambane sana mm
Somo zuri mpka Nimemshangaa Mungu anavyotupenda hata nipite penye magumu sitakata tamaaa
Asante sana kaka kweli leo umenifanya nijione nimezaliwa upya kweli nilisha kata tamaa penda sana ww ❤❤❤
@paschalcharles780
4 жыл бұрын
Nimeipenda sana mkuu
Safi tulikuwa 19k subscribe now 109k hii Chanel inatupa vitu vya madili Sana msibadilike plz mnajenga taifa
Asante sana unatfundisha mungu akubaliki
Hongera saana,kwa mafundisho mazuri kwajamii. Mungu akujalie uwezo zaidi na zaidi,
Nakukubali Sana bro🇺🇸🇺🇸
Hongera sana,nakukubari sana👍👍👍👍👍
Huyu jamaa anajua bn...yaan n fundi
Asante sana kwa mafundisho
Nakuelewa sana Denis mpagaze
Thanks kaka mungu akubariki sana 💪🏾👏🏾👏🏾❤️
Asantee anasey
Eee mungu 2021 ntaenjoy na kuwa mtu mwngne kupitia makala zako
Bwana azidi kukupatia hekima yake akuongoze katika kazi yako . Wafilipi 4:13 Amen 🙏
Big Up...sana mkuu . I do appreciate your talent
amen kaka asantee kwa ushaur
Nimeipenda sana hiyo.
kwel lakn unajua ndio maisha yalyo
Mungu wangu nimesisimka,mafundisho ya kipekee
Changamoto nyingi sana zinatukabiri maishanimwetu nakubar kaka
Asante sana Br Mpagaze
Mwalimu wangu
Always be greteful🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unastairi kutengenezewa sanamu lako big up bro
Najifunza mengiiii Sanaa ♥️♥️♥️♥️
Wewe nijembe waushauri llaaa unanizinduwa kaka mungu akuongezee hakirinyingi
🙇tupo pamoja kaka
Denis mpagaze and Ananias Edgar hakika natamani kuwaona laiv at least kwenye tv
Big up bro you are the reason to learn💪💪
Mungu awabariki sana ndugu zangu nimejikuta napenda sana kusoma biblia na nimejifunza akili ni kile kinachobakia baada ya kusoma darasani
Your the best Denis
I big up saaaaaan ndugu
Story ya Onyango tayari uliishai2mia ktk moja ya makala yako ya siku za nyuma, hii ni udhibitisho kuwa unauwezo mkubwa wa kuimage fikra za wasikilizaji wako ili waonekane je wanakumbukumbu au la?, mimi nimekumbuka.
Sahihisho maneno ya shida uliyotumika yanatoka kwenye wimbo wa shida alioomba Mbaraka Mwinshehe siyo Marijani
nakwelewa sana broo mafundisho yako
.kaka.asante.kwa.mafundisho.yako.ila.ningeomba.ushauri.wako.kuna.vitu.unawesa.nishauri.
Ananas nakukubar sana mda wote na kilasiku Mozambique
kweli ndugu toka nimejua kuhusu hii nimeacha kulalamika na kukata taa barikiwa san
Great statement and usable 🔥🔥🔥
nakuelewa sana mwamb wew🙏🙏🙏🙏🙏
Story nzuri sana
Hogera sana kwa kutuelimisha God bless you 🙏🙏🙏
Mpagaze sijawahi kujutia kunifundisha darasani Mungu akubariki sana
MashaAllah Denis
KWELI KABISA BRO MUNGU KUZINDISHIE 👌❤️
@alphoncemichael6655
4 жыл бұрын
Hakika shida ni dira ya maisha
Funzo zuri Sana'a kaka
Safi kwa kufundisha mnafundisha sana
happy having you back
Nakukubali Sana brother
Asante sana kwa mafundisho yako yanayo tusaidia
Nafuraah xaaan ndan y hili darasa huru najivuniaa saaan na sjuti kbxaaaa balikiwa ww na team yako.
Asant kaka mungu akujalie
Thanks my brother
Maisha mungu anaejua mungu atusaidie
Cool brother
Safi sana nakuelewa sana kiongozi
Simply the best
Maneno mazur lakin tatizo lako moja bro na linaweza likawa dogo au kubwa unatumia maandiko ya kitabu kimoja tu sasa unahubiria watu wa dini moja tu?(Tafakari)
🙏🙏🙏 God bless you ananias
Dugu yangu umefanya nijijue James from Kenya
Together as one....
🙏🙏🙏 ASANTENI
@josloitalal4774
4 жыл бұрын
Niaje kemoda
Shukran kaka
Asante Sana Kaka
Shukrani sana;,,,
Godbless ideas
Jamaa anajua sana huyu cjawahi kuyachoka mafunzo yake
Nakupata
NEVER GIVE UP.
Asantee sana kwa mafundisho
Amen
My teacher....napenda wewe sana
Nakubali by mandindi
Ahsante Edgar
napenda sana Makala za kunitia moyo
Ahsnt sana Nmekulew vzr n Ahsnt Mungu pia kw uwez alokupatia
Barikiwa sana
Nice massage congratulation mr
We ni fundi sana mzee
Yani ubongo umepona kwa nasaha zako barikiwa sana