DENIS MPAGAZE -WE SIO BINGWA WA SHIDA ,USIOGOPE KUANZA TENA

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...

Пікірлер: 189

  • @imahmaimu7343
    @imahmaimu73434 жыл бұрын

    Kama unamuelewa brother Fanya kutupa like hapa

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    4 жыл бұрын

    habari napenda sana mafundisho yako kaka kwani yana mafundisho mazuri mno mungu akuwezeshe kuyatekeleza haya kila iitwapo leo amina ni mimi masai dodoma

  • @mudytunda8897

    @mudytunda8897

    4 жыл бұрын

    Namuelewa cana

  • @kabulamanyangu4703

    @kabulamanyangu4703

    3 жыл бұрын

    Kweli bwana maana mie duuuu nafanya kuvumilia

  • @simonmumba654

    @simonmumba654

    3 жыл бұрын

    Nakuelewa sana kaka

  • @samikemagunia1850

    @samikemagunia1850

    Жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @niaanthony9588
    @niaanthony95884 жыл бұрын

    Ahsante sana kwa mafundisho yako ni kweli ukisema ww unashida kunawengine wanashida mara 3 yake

  • @mashakalonka9407
    @mashakalonka94074 жыл бұрын

    "Kisichokuua hukuimarisha",yaani",What doesn't kill you makes you stronger". Ahsante Sana kwa elimu!.

  • @samsonmuathe8012
    @samsonmuathe80124 жыл бұрын

    Dennis mpangaze na kikosi chako,mungu awambariki tu xana,hapa kwetu Kenya tunahitaji watu kama nyinyi, MSEMA KWELI.hongera

  • @masebodaud584
    @masebodaud5844 жыл бұрын

    Ukiskia mwongozo bas ndio huu kuhusu maisha kwa ujumla,nakukubar xana mpagaze

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba24442 жыл бұрын

    Asnte San kwa Denic elimu Nzuri,ushauri,ntazidi kuwa jasili hkuna kukata Tamaaa , MUNGU Mwema Sana.

  • @labanwaboyo6331
    @labanwaboyo63313 жыл бұрын

    Naweza sikiza hii makala hadi mara mia moja kwa mpigo. Thank You Denis Mpagaze from +254

  • @jeremipallangyo8631
    @jeremipallangyo86313 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana kwa istory yako nzuri

  • @hassanmlenge7016
    @hassanmlenge70164 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza nina comment account ako braza you are so wonderful god bless you 💯 ever since before baada ya mama angu na Baba angu ww unafuatia Kama mwalimu wangu thnks for all

  • @janethkomba4485

    @janethkomba4485

    Жыл бұрын

    sanaaa🙏

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv67384 жыл бұрын

    Ahsante kwa mafundisho! Mazoezi husaidia kupunguza stress,karibuni mjifunze mazoezi ya kujenga mwili bila kwenda gym( home workout)

  • @robertjoseph3906
    @robertjoseph39064 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana Denis mpagaze na Ananias Ediger 🙏

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso68184 жыл бұрын

    Asante enanies edigar kwa kuileta hii abari wakat mwafaka

  • @marykibwana9413
    @marykibwana94134 жыл бұрын

    Makala nzuri, inanipa mafunzo mazuri, na kunifanya nizidi kuperuzi biblia na kuijua zaidi

  • @marykibwana9413

    @marykibwana9413

    4 жыл бұрын

    Kiukweli, 100% nasoma biblia nikienda church ila makala za Ananias Edgar & Denis Mpagaze zinanifanya niperuzi biblia.

  • @tasianamchome9252

    @tasianamchome9252

    4 жыл бұрын

    sure

  • @athmanntandu4363
    @athmanntandu43634 жыл бұрын

    Ni simulizi nzuri y'a kutia moyo ni kweli Kama kunadalili za kufeli. Amka na Anza upya nafasi unayo.

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa2974 жыл бұрын

    We jamaa najua hata mwenyewe unajua upo vizuri😆

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn81274 жыл бұрын

    God blees you Denis mpagaz

  • @yassinkiyomole2013
    @yassinkiyomole20134 жыл бұрын

    brother Edgar huwa napambana sana kwa maneno yenye kutuonyesha njia wadogo zako mungu akupe shifaa ktk hili

  • @soaringeagle3253
    @soaringeagle32534 жыл бұрын

    Asanteni sana Denis Mpagaze nà Ananias Edgar kwa kazi mnayofanya ,mmebarikiwa tayari Mungu azidi kuwapa hekima .

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa11774 жыл бұрын

    Hata na hii ya jibu la thamani ya X kuwa 0 kwa mwanafunzi kumshangaa mwalimu kwa kazi kubwa aliyoifanya na upotevu wa muda ubaoni , pia na hii ya padri ulishaitumia kwenye makala zako za siku za nyuma hii ni uthibitisho wa umakini wa wafuatiliaji wa makala zako na wewe kuweza kubuni MIFANO mingine zaidi ambayo inasisimua Makala lengwa.

  • @jimmygiliad6222
    @jimmygiliad62224 жыл бұрын

    Da yani lazima nipambane sana mm

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas76554 жыл бұрын

    Somo zuri mpka Nimemshangaa Mungu anavyotupenda hata nipite penye magumu sitakata tamaaa

  • @pqolai7740
    @pqolai77404 жыл бұрын

    Asante sana kaka kweli leo umenifanya nijione nimezaliwa upya kweli nilisha kata tamaa penda sana ww ❤❤❤

  • @paschalcharles780

    @paschalcharles780

    4 жыл бұрын

    Nimeipenda sana mkuu

  • @tumainjuliusmakurilo9337
    @tumainjuliusmakurilo93374 жыл бұрын

    Safi tulikuwa 19k subscribe now 109k hii Chanel inatupa vitu vya madili Sana msibadilike plz mnajenga taifa

  • @RickMusicRickmusic-rb4ol
    @RickMusicRickmusic-rb4ol Жыл бұрын

    Asante sana unatfundisha mungu akubaliki

  • @fransicochunji327
    @fransicochunji3274 жыл бұрын

    Hongera saana,kwa mafundisho mazuri kwajamii. Mungu akujalie uwezo zaidi na zaidi,

  • @ramaccr7525
    @ramaccr75254 жыл бұрын

    Nakukubali Sana bro🇺🇸🇺🇸

  • @baojiamingjr.9266
    @baojiamingjr.92664 жыл бұрын

    Hongera sana,nakukubari sana👍👍👍👍👍

  • @sauljoseph1752
    @sauljoseph17524 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua bn...yaan n fundi

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau25274 жыл бұрын

    Asante sana kwa mafundisho

  • @raphaelatel3485
    @raphaelatel34854 жыл бұрын

    Nakuelewa sana Denis mpagaze

  • @jamesjosephm6358
    @jamesjosephm63584 жыл бұрын

    Thanks kaka mungu akubariki sana 💪🏾👏🏾👏🏾❤️

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn81274 жыл бұрын

    Asantee anasey

  • @allymadizeli6930
    @allymadizeli69303 жыл бұрын

    Eee mungu 2021 ntaenjoy na kuwa mtu mwngne kupitia makala zako

  • @magrethmaduhu1105
    @magrethmaduhu11059 ай бұрын

    Bwana azidi kukupatia hekima yake akuongoze katika kazi yako . Wafilipi 4:13 Amen 🙏

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba31744 жыл бұрын

    Big Up...sana mkuu . I do appreciate your talent

  • @davidfred9022
    @davidfred90222 жыл бұрын

    amen kaka asantee kwa ushaur

  • @swediamani9202
    @swediamani92024 жыл бұрын

    Nimeipenda sana hiyo.

  • @EVANGELSM
    @EVANGELSM3 жыл бұрын

    kwel lakn unajua ndio maisha yalyo

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Mungu wangu nimesisimka,mafundisho ya kipekee

  • @yusuphpetro2639
    @yusuphpetro26394 жыл бұрын

    Changamoto nyingi sana zinatukabiri maishanimwetu nakubar kaka

  • @kelvinmselle8977
    @kelvinmselle89773 жыл бұрын

    Asante sana Br Mpagaze

  • @stevennkanga5530
    @stevennkanga55304 жыл бұрын

    Mwalimu wangu

  • @godsfavour5665
    @godsfavour56654 жыл бұрын

    Always be greteful🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mosesjairo3248
    @mosesjairo3248 Жыл бұрын

    Unastairi kutengenezewa sanamu lako big up bro

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Жыл бұрын

    Najifunza mengiiii Sanaa ♥️♥️♥️♥️

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 Жыл бұрын

    Wewe nijembe waushauri llaaa unanizinduwa kaka mungu akuongezee hakirinyingi

  • @yusuphpetro2639
    @yusuphpetro26394 жыл бұрын

    🙇tupo pamoja kaka

  • @liberatussylvanus9952
    @liberatussylvanus99524 жыл бұрын

    Denis mpagaze and Ananias Edgar hakika natamani kuwaona laiv at least kwenye tv

  • @abelisimbili2394
    @abelisimbili23944 жыл бұрын

    Big up bro you are the reason to learn💪💪

  • @bupelupembe1581
    @bupelupembe15814 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana ndugu zangu nimejikuta napenda sana kusoma biblia na nimejifunza akili ni kile kinachobakia baada ya kusoma darasani

  • @yohanamboya555
    @yohanamboya5553 жыл бұрын

    Your the best Denis

  • @mikewilliam6907
    @mikewilliam69074 жыл бұрын

    I big up saaaaaan ndugu

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa11774 жыл бұрын

    Story ya Onyango tayari uliishai2mia ktk moja ya makala yako ya siku za nyuma, hii ni udhibitisho kuwa unauwezo mkubwa wa kuimage fikra za wasikilizaji wako ili waonekane je wanakumbukumbu au la?, mimi nimekumbuka.

  • @mtemikifaru63
    @mtemikifaru634 жыл бұрын

    Sahihisho maneno ya shida uliyotumika yanatoka kwenye wimbo wa shida alioomba Mbaraka Mwinshehe siyo Marijani

  • @josephiloga9003
    @josephiloga90032 жыл бұрын

    nakwelewa sana broo mafundisho yako

  • @mnikomaryam3037
    @mnikomaryam30372 жыл бұрын

    .kaka.asante.kwa.mafundisho.yako.ila.ningeomba.ushauri.wako.kuna.vitu.unawesa.nishauri.

  • @muntazironuronuromuntaziro4460
    @muntazironuronuromuntaziro44604 жыл бұрын

    Ananas nakukubar sana mda wote na kilasiku Mozambique

  • @mosesmanasseh5618
    @mosesmanasseh56184 жыл бұрын

    kweli ndugu toka nimejua kuhusu hii nimeacha kulalamika na kukata taa barikiwa san

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32594 жыл бұрын

    Great statement and usable 🔥🔥🔥

  • @ivenusfilbath4547
    @ivenusfilbath45472 жыл бұрын

    nakuelewa sana mwamb wew🙏🙏🙏🙏🙏

  • @josloitalal4774
    @josloitalal47744 жыл бұрын

    Story nzuri sana

  • @Glorie711
    @Glorie711 Жыл бұрын

    Hogera sana kwa kutuelimisha God bless you 🙏🙏🙏

  • @eugenesichalwe4883
    @eugenesichalwe48834 жыл бұрын

    Mpagaze sijawahi kujutia kunifundisha darasani Mungu akubariki sana

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    MashaAllah Denis

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85684 жыл бұрын

    KWELI KABISA BRO MUNGU KUZINDISHIE 👌❤️

  • @alphoncemichael6655

    @alphoncemichael6655

    4 жыл бұрын

    Hakika shida ni dira ya maisha

  • @rafaelharubu3533
    @rafaelharubu35334 жыл бұрын

    Funzo zuri Sana'a kaka

  • @adamkayombo2401
    @adamkayombo24014 жыл бұрын

    Safi kwa kufundisha mnafundisha sana

  • @nzengamwamulima7724
    @nzengamwamulima77244 жыл бұрын

    happy having you back

  • @samwelibrahim1948
    @samwelibrahim19483 жыл бұрын

    Nakukubali Sana brother

  • @nancyaroko4572
    @nancyaroko45724 жыл бұрын

    Asante sana kwa mafundisho yako yanayo tusaidia

  • @godfreyjoseph2926
    @godfreyjoseph29264 жыл бұрын

    Nafuraah xaaan ndan y hili darasa huru najivuniaa saaan na sjuti kbxaaaa balikiwa ww na team yako.

  • @victoramestony9981
    @victoramestony99813 жыл бұрын

    Asant kaka mungu akujalie

  • @shemguto3856
    @shemguto38564 жыл бұрын

    Thanks my brother

  • @mosesmoses1429
    @mosesmoses14293 жыл бұрын

    Maisha mungu anaejua mungu atusaidie

  • @philemonomondi5944
    @philemonomondi5944 Жыл бұрын

    Cool brother

  • @imanikandonga5668
    @imanikandonga56684 жыл бұрын

    Safi sana nakuelewa sana kiongozi

  • @snazzyfranz1874
    @snazzyfranz18748 ай бұрын

    Simply the best

  • @suleymanrashid6580
    @suleymanrashid65803 жыл бұрын

    Maneno mazur lakin tatizo lako moja bro na linaweza likawa dogo au kubwa unatumia maandiko ya kitabu kimoja tu sasa unahubiria watu wa dini moja tu?(Tafakari)

  • @gmaa7199
    @gmaa71994 жыл бұрын

    🙏🙏🙏 God bless you ananias

  • @djyakuzah
    @djyakuzah Жыл бұрын

    Dugu yangu umefanya nijijue James from Kenya

  • @sweetbertmbowe3284
    @sweetbertmbowe32844 ай бұрын

    Together as one....

  • @mkojanicomedy8292
    @mkojanicomedy82924 жыл бұрын

    🙏🙏🙏 ASANTENI

  • @josloitalal4774

    @josloitalal4774

    4 жыл бұрын

    Niaje kemoda

  • @nyawishzion3713
    @nyawishzion37134 жыл бұрын

    Shukran kaka

  • @leilajumanne222
    @leilajumanne2224 жыл бұрын

    Asante Sana Kaka

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso53344 жыл бұрын

    Shukrani sana;,,,

  • @emanuelniima5789
    @emanuelniima57892 жыл бұрын

    Godbless ideas

  • @marlowmagohe5022
    @marlowmagohe50223 жыл бұрын

    Jamaa anajua sana huyu cjawahi kuyachoka mafunzo yake

  • @thomasmuli5922
    @thomasmuli59224 жыл бұрын

    Nakupata

  • @maishayahaya7449
    @maishayahaya74494 жыл бұрын

    NEVER GIVE UP.

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa97144 жыл бұрын

    Asantee sana kwa mafundisho

  • @exaverymakoye6026
    @exaverymakoye60263 жыл бұрын

    Amen

  • @kingrobert002
    @kingrobert0023 жыл бұрын

    My teacher....napenda wewe sana

  • @munilazainabu7735
    @munilazainabu77354 жыл бұрын

    Nakubali by mandindi

  • @jacoblukumay472
    @jacoblukumay4724 жыл бұрын

    Ahsante Edgar

  • @kelvinmselle8977
    @kelvinmselle89773 жыл бұрын

    napenda sana Makala za kunitia moyo

  • @ahmedhafidh3515
    @ahmedhafidh35154 жыл бұрын

    Ahsnt sana Nmekulew vzr n Ahsnt Mungu pia kw uwez alokupatia

  • @SebastianHilonga-kw9ff
    @SebastianHilonga-kw9ff10 ай бұрын

    Barikiwa sana

  • @dennisdatius7972
    @dennisdatius79723 жыл бұрын

    Nice massage congratulation mr

  • @ngoypangoulous7592
    @ngoypangoulous75924 жыл бұрын

    We ni fundi sana mzee

  • @heshimaheshima1185
    @heshimaheshima11853 жыл бұрын

    Yani ubongo umepona kwa nasaha zako barikiwa sana