Darassa ft Maua Sama - Tumepoteza ( Official Music Video ) Sms SKIZA 9048056 to 811
Музыка
Available World Wide
backl.ink/1923980
Watch and Share New darassa's Brand New Video "TUMEPOTEZA" featuring MAUA SAMA. Audio Produced By Abbah Process and Video Directed By Hanscana.
For Booking: Contact +255786175484
Email: darasa.clasic@gmail.com / geoffaya@gmail.com
Follow Me on:
Instagram: / darassacmg255
Twitter: / darassa_cmg
#darassa #mauasama #tumepoza
Пікірлер: 1 100
Ambao tunaskiliza huu Wimbo 2024
Jamani huu wimbo unapunguza mawazo💃💃💃naomba hata like 5 twende pamoja
@RissMoh
Жыл бұрын
The song is yummy 😋 really
@rizikimrisho
Жыл бұрын
Saf sana mzee
Usiombe ukawa umewah kutendwa af ukaskiliza huu wimbo 😢
Dar imenigusa sana yapo wapi mapenzi Yale yapo wapi duuuuuuuh kama nawewe imekugusa please naomba like yako
Huyu jamaa anajua sana kwenda na watu wanavotaka na wanavopenda like 1 tu tafadhali
Da huu wimbo umenifanya nirudiane na mke wangu ambaye alikuwa amefunga virago vyake kwenda.amerudi wimbo umemrudisha big up darassa nyimbo zako zinatugusa sana
@andrewkungaro1159
5 жыл бұрын
Masanganya Tv hahahaaaaa
@el.p.patientaigle1337
4 жыл бұрын
Darassa uyojama mkali cheki mistari
Jamani mdada huyu(MAUA) anakisauti chake tuuu big up sana Darasa and Maua nawapenda💜💜💜💜💜 kama na wewe umeamini hii collabor itabaki kuwa juu kileleni thumbs up tujuwane
@boniphacemachage406
4 жыл бұрын
Yaya Cici nami naupenda huu wimbo zaid ya sana kwanza ujumbe anaoimba darasa
@allawlfaku1592
4 жыл бұрын
kizazi sana darasa hiii ngoma nikali kinomaa
@ayubuandilav7425
3 жыл бұрын
Amejaliwa kipajii
@rafikigeorge3204
2 жыл бұрын
sure'
@peterngalawa3511
Жыл бұрын
The best collaboration
Wale wasafi walikuwa wametuchafua na kutunyegeza sana na uchafu wao...muziki umeenda chuo kikuu👌👏👏🙌🙌🙌🙌🤛
Apa nimesalimu amri Darasa ako juu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌🙌
Hapo Darasa umeua hii rap ndio Hua naikubali kinoma,,, ahsante Darasa
@suphiansaidi747
4 жыл бұрын
Gud xan
Kwakweli leo nimeamini kuna wasanii na wanamziki hapa sasa nipo kwa WANAMZIKI WENYEWE DARASA AND MAUA SAMA❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii style ya rap naikubali toka enzi za nishike mkono Darasa ft Winnie,,, ahsante umetukumbusha... Like kama umemuelewa hapa kama mimi
@bizyega4207
5 жыл бұрын
Lazaro Joseph Linda the king darasa bi gup sana
@historianyeusi9524
5 жыл бұрын
Kweli mkuu hii style ni Kali sana🔥🔥
@siradosh6821
5 жыл бұрын
Sawa sawa
@zachatuya3695
4 жыл бұрын
Nishike mkono ilikua bonge aisee
@MoiseAmisi
Жыл бұрын
Ok
Mwenye mziiki wake like hapa kama una mkubali darassa
Nimependa sana story bro huu ndio muziki bro video nzuri sana 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Huu mwezi tumeanza vyema! Asante sana darasa kwa comeback matata kama hii! Nyimbo zote mbili ni fire!
Noumaahhhh cnaaaa talented cnaaaa uyuuuu mtuuuuuui the best rapper in tz big up cnaaaa broooo
Jaman sijwah kupata like naombeni like zetu please 🤦🏻♂️🤦🏻♂️
@l.jviktor7745
5 жыл бұрын
Omba baraka kwa Mungu na sio likes mpuuzi wewe
@bekaamezzy742
5 жыл бұрын
Ditrick Nyamika uwa MNA zpeleka wap
@wyclifejoseph8463
5 жыл бұрын
unasumbua watu bure!
@deus8629
5 жыл бұрын
hizo zinakutosha bana ):-
@emmanuelnyanda3149
5 жыл бұрын
utahira uo, izolike mshakazania ka waganga wa kienyeji
Daah.The Return of the King.Huyu ndo darassa naemjua mm since 2011
thanx much hili ndo shairi sasa darrasa u know much its u're self identity in the game no one who know to play with words like you other they simplfy gonga like apo kwa ###darrasaa
hii ndiyo ngoma yangu Kali ktk alizo toa darassa hii number 1 nyingine zina fataa twende sawa apoo.
Wewe huyu producer Aba classic music ndy anakujulia pengne unabugi
Swahili to the world..... Tanzania flag to the world.... Big up darasa,,,,, Kazi kazi now...... Uzima tu.. April 2019 Show love LIKE
Kama nawewe umeukubali wimbo huu na unaamini darasa+maua ni🔥🔥like hpa tujuane..
@ameria2332
Жыл бұрын
Wimbo uko Poa sana,mi darassa namkubali kwa nyimbo zake zote aisee💪💪💪songa mbele darassa
out of 3video u released on april 7, i think this is the best na inaubunifu mkubwa
Tuna cheat wakati tunapendana. Tumepoteza😒 √√√√√ Yo the baddest Darasa en my favorite baby gal Samaaaaaa Maua 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Darasa uko juu braza ang kwel mapenz tumepoteza umebak utapeli tu, big up
Genius🙌🙌🙌🙌... Darasa utabaki kua juu ... Content on top. Message received.
Darassa we ni genius kweliii.....#relax#leo#tumepoteza.....big uppppp!
Darasa utabaki kileleni ,utabiki juu utabaki Mawinguni Dasara Uyooooooo chiiiiiiiii ati nini lambo lolo😂😂😂😂
@mathiasmalingumu4111
5 жыл бұрын
J
@maarifajuma8160
5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@fatmahbakhar9686
5 жыл бұрын
😂😂😂
@agnesterfredrick2007
5 жыл бұрын
Ditrick Nyamika 😂😂😂😂😂
@ditricknyamika1361
5 жыл бұрын
Mathias Malingumu Nakukubalii
Am from Kenya bt I don't know Swahili lakini hii nyimbo iko more 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254 in the building weka like yako kama umeikubali
@Sean1877
5 жыл бұрын
Zawadi Chimishi@Come to Tanzania🇹🇿i will teach you
@awadhimwekilinga4599
5 жыл бұрын
zawadi chimish
@josephatmwanga6762
5 жыл бұрын
Zawadi Chimishi namba yako please
*TUMEPOTEZA LYRICS* *DARASSA FT MAUA SAMA* *INTRO* I SWEAR TO GOD FOR MY LIFE THAT SPEAK FROM MY HEART USHAWAHI KUPENDA LET ME SEE YOUR HANDS UP AHN! MWANGA UMEINGIA KIZANI NYOTA YETU INAFIFIA ANGANI NDOTO ZETU ZINAISHIA NJIANI MAPENZ YETU YAKO MASHAKANI MAPENZ YA VIKWAZO MITIHANI KILA MMOJA ANAUMIA NDANI TULIVYOANZA MWANZO SIKUDHANI KAMA YANGEPOTELEA HEWANI KWAKO NILIJIFUNZA KUPENDA SKUWA NA PUMZI HATA YA KUHEMA KUWA NA WEWE MAZOEA YAKAJENGA UKAFANYA NIKUWAZE KILA SEHEM NNAYOKWENDA *BRIDGE* *YAKWAPI! YAKWAPI YALE MAPENZ YALE YAKWAPI?* *YAKWAPI MI NA WEWE TULIKUWA HAPPY YAKWAPI NDO YAKWAPI* *YAKWAPI YALE MAPENZ YALE YAKWAPI? MI NA WEWE TUNAENDA WAPI* *CHORUS* *TUMEPOTEZA! TUMEPOTEZA MAPENZ TUMEPOTEZA×4* KUNA WAKATI HUJUI USHIKE WAPI WAFANYA KITU MOYO WAKO HAUTAKI KUJIULIZA MASWALI MAJIBU HUPATI YA KUTAPATAPA KAMA MFA MAJI SOMETIMES HISIA ZINAKUDANGANYA UNATANGA NA NJIA HUJUI LA KUFANYA HUWEZI KUKIKIMBIA UNACHO KIPENDA SANA UNABAKI UNAUMIA AKILI INAKUCHANGANYA TUNACHEAT WAKATI TUNAPENDANA TUNAPENDANA VIP TUSIPO AMINIANA MI NA WEWE IMEBAKI KUZOEANA HAYA SIO MAPENZ MAPENZ YA KUTESANA MWANGA UMEINGIA KIZANI NYOTA YETU INAFIFIA ANGANI NDOTO ZETU ZINAISHIA NJIANI MAPENZ YETU YAKO MASHAKANI *BRIDGE* *YAKWAPI! YAKWAPI YALE MAPENZ YALE YAKWAPI?* *YAKWAPI MI NA WEWE TULIKUWA HAPPY NDO YAKWAPI* *YAKWAPI YALE MAPENZ YALE* *YAKWAPI? MI NA WEWE TUNAENDA WAPI×2* *CHORUS* *TUMEPOTEZA! TUMEPOTEZA MAPENZ TUMEPOTEZA×4* *MAUA SAMA* ULE WAKATI HUJUI USHIKE WAPI WAFANYA KITU MOYO WAKO HAUTAKI KUJIULIZA MASWALI MAJIBU HUPATI YA KUTAPATAPA KAMA MFA MAJI THINGS AIN'T GONNA BE THE SAME AGAIN MAMBO YALIVYOKUWA MIMI NA WE STORY YA KUSIMULIA MAPENZ MAMBO YALIVYOKUWA MIMI NA WE×2* YAKWAPI? YAKWAPI? NDO YAKWAPI YAKWAPI???
@michaelmdalingwa5186
5 жыл бұрын
Abdullatif Hamid umetisha
nyimbo nzuriiiiiiii ina ujumbe mzuriiiiii na inawagusa wengi tu.....waliondani ya. ndoa.....wachumba.. .wapenzi....hata wale wasio na malengo wanaopotezeana mda.....ila huyu mdada maua umemuimbisha mwishoooooooooni sana bana
Shikamoo 🙌DARASSA CMG.. naona ni mwendo wa HATTRICK👏
biggest come back in bongo flava
Daaaah.....this is touch song to me
Kali Hii kinara Darasa👏👏Rap nzuri nakubali🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This song brings out every single emotions in a person😭🙏🤷🏾♀️big up darassa
Huu mwezi tumeuanza vizuri +254🇰🇪...hatutapoteza tena🙏🙏 #Darasamauasama
@kichekochekanasisi3550
5 жыл бұрын
kuna msanii wenu hapa nyie vp wasanii wenu awajui kuimba
@abdilahimwachapwani2696
5 жыл бұрын
@@kichekochekanasisi3550 sio lazima kwamba ukitoka kenya basi usipendelee mziki wa wengine..kama kazi ni nzuri uko na uhuru wa kuipongeza #thinkbig
@banshbansh2329
5 жыл бұрын
@@kichekochekanasisi3550 kenya na tz ni ndugu wala hakusema vibaya acha chuki za kijinga ww wakina mondi walikuwa wanaenda kufanya show kenya kwao kule mbona wakenya hawakubagua wamepokea vizuri
@abdilahimwachapwani2696
5 жыл бұрын
@@banshbansh2329 kabsaa bro 👌👊👊💯
kama bado unaifuraihia TUMEPOTEZA 2021,,,gonga like...
Hii nyimbo jmn imeni kumbusha mbali sana na mkumbuka mama lamama wangu tulie achana
Mi ndo wa kwanzda kuja huku Darasa🇰🇪
........from Nairobi Kenya
Huyu jamaa sijawahi kumchoka kabisa hata asipotoa ngoma mwaka akija kutoa kitu kinatoka jiwe la fatuma.. hujawahi kuniangusha since sikati tamaa na ben pol hujawahi niangusha nakubali nakubali darasa nakubali sanaaaaaaaa😘😘
Tumepoteza mapenzi. ..haaaahaaahaaa bonge la mgoma, ..gonga like hapa kama unamkubali darasa na maua sana.......FRANK KANENDA
@frankkanenda2237
5 жыл бұрын
Open
Kwa nymb amazng naomben hat like tu maan sjawah pata ata moja
Leo wa kwanza naitaj like zenu ata mbili tyu sio nyingi
Classic MUSIC safi naona unarudi zama zetu zileeeeeeeeeeee safi sana mwanangu lete kama hili tena
Daadeki haya ndo madunde yataishi milele goma tamu balaaaaa jamaa anatungo za kisomi huyu ❤❤❤❤
Ipo kijanja zaid,wapi likes zangu wapenda mziki mzuri
Hyu ndo darassa nnaemjua
dah kwa anayetambua muziki, hii ndyo kali kati ya ngoma 3 darassa alizotoa. Best song ever, kwa mwenye sikio la muziki na kuitazama video atakubaliana na mimi
darasa uko juu wako wapi walosema darasa walosema darasa kaasirika na madawa yakulevya wako Wapi walosema darasa kafulia wako wapi walosema darasa hana jipya 😀😁mko waapiiiiiiiiiiii chiiiiiiiiiiiiiiii
kama unaamini Darasa atabaki kuwa kileleni juuuu tupiaga like 10 tu
@megahitstv7899
5 жыл бұрын
Nyie ndo mnampoteza huyu jamaa.. Ndo uchafu gani huu anaimba🙄🙄
@innocentgadiel7412
5 жыл бұрын
Mega Hits TV skiza ujumbe bro
@mushjosephat
5 жыл бұрын
@@megahitstv7899 huna unachokijua we fala..tuachie darrasa wetu
@sarahmapunda3807
5 жыл бұрын
Inno theGreat Miamia darasa
@enirikamatembo4997
3 жыл бұрын
Nakubal 😆😍😍😍🤪
Ombi langu ni mwenyezi mungu akulinde ewe unayesoma huu ujumbe
much respect to Darassa and amazing voice from Maua sama. Both of them are talented artists. we are proud of you guys
yako wapi mapenzi yako wapi 🔥🔥
wewe ndio master darasa wa kisasa milima haikutan ila 2taonana mim nawewe na uta nishaul kuusu rapa bgp brother, na wadau naomba like zenu
@d2dv65
4 жыл бұрын
Ngom kal xn maua umeua umu ndan.nc
From USA 🇺🇸 and this is my favorite song from the 3 songs u dropped today 🌪🌪🔥🔥
Leo nmerud tena kusililiza huu wimbo 2022 mwez wa 11 kuelekea 2023 daah
Darasa na maua mtabaki kileleni 😁😁😁yako wapi yale mapenzi yako wapi mm na ww tulikua happy
Collabo safi Hanscana production's always on 🔝 +254
@tabialigosi198
5 жыл бұрын
Wamboh Penainah
big up broo! video King kaua balaaaa
@tabialigosi198
5 жыл бұрын
gudddd
Katika nyimbo zoooote tatu zizotoka hi nadhan ndo kubwa zaidi,when a man loves....video ina story nzuri,ujumbe upo epic Zaid...good backup kwa darassa....sio daily nyimbo za kuruka...!!!
Naona classic music imerudi tena nlikua siisikii katika ngoma ya achia njia na chanda chema sasa nimwendo wa classic music kubaaabake darassa we ni mnyama mkari.
I liked then added a comment, while watching... Cheei...nice nice..simply the best
Afghan representing, chief u always on point.diehard fun b humble n God bless.✌🇰🇪
Mwanadada sama hakika mungu amemjalia kipaj cha kuimba na sauti nzuuuuriii; mungu ambaliki
Still 2023 nakuskiliz huu wimbo
There's a magical concept in this video, both literally and figuratively. Darassa, you're in a class of your own. On of a kind in this generation. Talent + hard work= Magic
@djbillionsafrica5837
3 жыл бұрын
very true 👍
@qamungasebastian6231
2 жыл бұрын
L!45
Mbona nachanganyikia niskilize ipi🙄💕
Hiyo inaitwa 3double aaah darasa noma
Darasa we nichita kwenye game la music heshima kwako brathr umenitoa stures man.BONGE LA ngoma
Kama umeona ng'ombe kwenye hii video like
Perfect everything. Perfect Story, Perfect Lyrics, Perfect Video, Perfect Acting, Perfect Collabo, Perfect Location, Perfect Audio, Perfect Directing. Just Perfect!
Message to the our society imekaa sawa sana yako wapi yako wapi yako wapi leo yako wapi
Yakowapi ma like yangu yakowapi....darasa utabaki kileleni....
@zaitonmohammed7188
5 жыл бұрын
Wewe nimukali kaka
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Zaiton Mohammed yeeeeeeh!!
@jovinhjofrey6481
5 жыл бұрын
amakweli namkubali dalasa hasakwa hinyimbo imezigusa hisiazangu
This is my favourite. Maua Sama killed it🔥🔥🔥
Xaxa ndio king darassa tunaomjua keep it up bro
Okec livingstone Darasa salute bway....
Hizi ndongoma sasa brother darasa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wakwanza mie Leo Darasssa oyeeeee
@godlovempangala4462
5 жыл бұрын
Ntiga Makoba nice
@yasintafanuel9080
5 жыл бұрын
darasa nakukubali
D baddest darassa My favorite of all time No body can replace u
Haijawah kutokea Kuachia mizigo namna hii wasanii wetu... Darassa kajua kutunyoa 😂😂😂lazima upite kote 💥💥🔥🔥 mwanga umeingia gizan
Hicho kisauti cha maua kitabaki kuwa juu juuuuuu kileleni chiiiiiii ati nini🍺
Ohhh my God... Huyu jamaa ni genius
YOU ARE THE KING OF RHYMES BRO! ZAIDI YA AFANDE SELE😂😂😂🔥🔥🔥👏👏👏
Daaah!! tumepotezaaaa jamani gonga like basi
jmn msubscribe kwa darassa maan naamni ndo msanii atakaebaki kua kilelen daima 😘😘 wale tunaomkubali darassa like hapo plz nawapenda fans wote wa darassa
This song is dope ...literary you made me soo emotional....THANK YOU
Talent never lie kaka go on much appreciation to yah
Nikiwa na stress huwa nasikiliza huuu wimbooo💜💞💞💞💞💞safiii
This time around #Darassa umetuelewa na umetoka kivingine tofauti kale kamfululizo wa Chambua kama Karanga .... #GoodJOB..
Yako wapi Yale mapenzi.... Yako wapi 😒😒😒😒😒........... Count me in 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪....... Nipewe lyks.... Madame WA tz
@arphaxadseleman3799
5 жыл бұрын
3
@meddyally2148
5 жыл бұрын
Tumepoteza daaahhhhh ngoma sumuu kali vibaya
Kama Unaamini Anaejua Anajua Tu Gonga Like Kama 500 Darasa Yuko Juu Kileleleni.....
@darassa the best singer of all time.Huwezi kimbia kitu unachopnda sana,i lav yo gai
Daaah darasa fundi jamani ..ngoma mbili kwa mpigo zote Kali.
This is my favorite br0.. 😢 🔥 🔥
m2 na mzki wake #darasa ft maua sama kawimbo kanahca baraaa jmaaan mwaaa😗😗😗😗
Kweli Darasa umeamua kuingia na mlango naona walogoma kuachia nje full mawenge...
Hii ngoma imetulia sana kizazi sana