#DAR24LIVE: PETER MSIGWA ASHINDWA KUVUMILIA/ AFUNGUKA YA MAGUFULI/ "MREMA ALINIPA STRESS"
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#MSIGWA #MAGUFULI #MREMA
Пікірлер: 30
Mhe Peter Msingwa umeongea vizuri sana, hongera kwa ilo! 🙏👆👍
Mhe, Dk. JPM Endelea kupumzika kwa Amani! Ulikuwa Baba mwenye maono. 😭😢😭😢
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Huyu Makufuli muuaji ndie alikuwa na maono?Labda maono ya shetani.Kuunda vikundi vya watu wasojulikana vya mauaji dhidi ya binadamu wenzake tena wasio na hatia.Kutesa watu,kibambikizia watu makosa ya uongo,kunyamganya watu mali zao kwa uonevu kama walivyokua wakifanya wateuzi wske akina Sabaya,Makonda,Gambo na wengi wengineo.Wakati wa utawala wake watu wakiokotwa pwani bichi wakiwa wamefungwa ndanu ya viroba wakiwa wameshauwawa wakiokotwa huko kila siku ya Mungu kweli mtu mwenye vitendo hivyo vya kishetani ana maono ya Mungu?Achilia mbali alivyompiga risasi Tundu lissu tena kwa uonevu tu.Acha Mapenzi ya kijinga au katika waliofanyiwa hivyo hayumo baba yako,mjomba wako au kaka yako au ndugu yako yeyote yule basi ujue kuna ndugu wa wenzio .
Asinge kuwa nyerere uhuru mngeupata??muogopeni mungu.
Kuna maswali ya kujiuliza juu ya mahijiano haya kuhusu magufuri
Hawa wote ni kitu kimoja na kikwete Samia ndo maana anampondea marehem
Yani ulivyo mkachifu nyerere na magufuri hapo ndio nikaona wewe sio mchungaji laana wewe
@wadeelegbogun3015
Жыл бұрын
Kweli kabisa, walimchukia nyerere +jpm bila sababu mmmh, ni laana.
Hivi Royal tour ilikua na maana gani na imeleta faida ipi nchini,au ndiyo ilikua ni mbinu ya kuteketeza hela ya Taifa?
Trade balance = balance of trade !
Acheni unafiki, kn kuchukua bahasha za kaki.
Tutaendelea kumkumbuka JPM. Tatizo lenu mlimchukia bila kujuwa vya ndani.
Huna uchungaji wowote ni Malaya TU wa kawaida mpuuzi we
Magufuli alikuwa mzalendo wasihasa ss tupohuku ila magu kaweka vijana wazeeee pumzika
Alikuwa nawahonyo kuhusu corona leho ipo? Fitina tu afrika shida leohihi jembe letu angekuwa amesha fanya msako mzalendo wakweli magu nyerere b
Mama samia mteue huyu mtu umleta dodoma awe mkuu wa mkoa dodoma au manyara.huyu jamaa ni jembe kwenye maendeleo
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Huna akili hata chembe yaani zuzu kabisaa 🤣🤣
Huyu jamaa anastahili kuwa mkuregenzi au mkuu wa mkoa.huyu jembe
Ilikua interview nzuri sana
Wewe Ni mchungaji Mungu anakuona mpuuzi Sana mchungaji msingiziaji
@hendrycomonsiwenga1128
Жыл бұрын
Amekusingizia nini? @Beatrice Henry
@csato9415
Жыл бұрын
🧠🧠🍼🍼
Huyu jamaa anastahili kuwa mkuregenzi au mkuu wa mkoa.huyu jembe
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Labda kwenye matako ya mama.....yako
@jumanesaidi7635
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 Busaraa, ni kushauri kwa hoja, Sio matusi.
Magufuli alikuwa mtu muovu katili sana
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Kuma sana ww
@lilykarim8968
Жыл бұрын
Bora umemsaidia huyo kibaka habari anayo