DAMIAN NDIMBO - MDAHALO - QUR'AN NI MANENO YA NANI? PART 1

Пікірлер: 12

  • @koperawasona9551
    @koperawasona95512 жыл бұрын

    Asante mubarikiwe saaaaaana Mungu atawalipa

  • @raphaelboniventus7215
    @raphaelboniventus7215 Жыл бұрын

    Nimekumbuka nanenane Morogoro, 2008, ulisambaratisha sana hawa watu. Tulijifunza mengi kupitia ninyi.Mungu awabariki mtumishi. Kama kuna vitini/majarida/ vitabu vya mada kama hizi tujuzane nipate taratibu kwa kujifunza. Asante mtumishi.

  • @ratinojackson1555
    @ratinojackson15552 жыл бұрын

    Hongereni Sana Watumishi Wa Mungu Kwa Kazi Nzuri Mnayoifanya...Mara Ya Kwanza Nakuona Ilikuaa Miaka Ya 2005/2006 Pale Vingunguti Ukiwa Na Watumishi Kama Kina Kobero, Ezekiel, Myahudi Na Wengine Wengi Hao Pia Bado Wapo? Pia Kama Mna Vitabu Au Majarida Ya Haya Masomo Nitaarifu Namna Gani Naweza Kuyapata...

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI7 ай бұрын

    Mmm! Yaan Mbinguni kuna kazi! Tumekosa kz kweli

  • @ratinojackson1555
    @ratinojackson15552 жыл бұрын

    Nimefurahi Sana Kukuona Hapa Kwa Mara Nyingine Tena Mara Ya Mwisho Kukuona Ilikuwa Miaka Ya 2005/2006 Pale Vingunguti Relini Ukiwa Na Watumishi Wenzio Wa Mungu Kina Kobero,Myahudi, Ezekiel Na Wengine Wengi Vipi Bado Wapo?...Ningependa Sana Kupata Majarida Au Vitabu Vya Haya Masomo Ya Kibiblia Kama Yapo Mtumishi...Hakika Biblia Ni Jibu

  • @koperawasona9551
    @koperawasona95512 жыл бұрын

    Tanzania munapatika wapi naitaji namba zenu za simu

  • @namulyawanamulya3207

    @namulyawanamulya3207

    2 жыл бұрын

    Na utuambie yesu alisoma wapi!?

  • @namulyawanamulya3207

    @namulyawanamulya3207

    2 жыл бұрын

    Je yesu alienda shule atuambie

  • @namulyawanamulya3207

    @namulyawanamulya3207

    2 жыл бұрын

    Na biblia takatifu umeipata wapi

  • @namulyawanamulya3207

    @namulyawanamulya3207

    2 жыл бұрын

    Hakuna neno biblia ndani ya biblia lipo juu tu

  • @namulyawanamulya3207

    @namulyawanamulya3207

    2 жыл бұрын

    Musa, Ibrahim, Nuh, walisoma wapi

Келесі