Dalili ya mtu mwenye marohani...ustadh Ali Alhaidary
Жүктеу.....
Пікірлер: 44
@mansoormannix1753 Жыл бұрын
Allah atuepushe na mtihani wa dunia na atuongoze kwa njia iliyonyooka na atuzidishie tawhid, aqidah so we may not go against Islam. Allah atume ilmu nzuri na ufahamu na atuhifadhi na fitnaa za shaitani.
@noorischmutisch5321 Жыл бұрын
Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,Ustadh maneno yako nikama umezungumzia kunihusu mm,,niko hivo na nilikuwa nikitabiri kuhusu masomo yangu,mitihani ya shule,,na mambo mengine mengi..Shukran.
@cayenestorm79422 жыл бұрын
Niliambiwa kuwa kuna namna yaku karibisha ruhani, je ni kweli
@swaumumakunga2469 Жыл бұрын
Masha Allah
@saumuathman9012 жыл бұрын
Shukran Jazzilah kwa elmu hii
@husnamohammed83742 жыл бұрын
Ustadh unayosema ni kweli tupu wallah yni yote ulioyasema
@angle3600 Жыл бұрын
Asante sheik mimi naona nirohanii,mungu tuepushe na shari
@isiyakaramadhani45502 жыл бұрын
Kweli kabisaaa ata ujakosea lakini mbona wengine wanataka kutibu ni ruksa kwa Allah
@zuwenanurdeen89022 жыл бұрын
Swadakta100parcent
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
NI DARASA MUHIMU SANA KWANGU MWENYEZI MUNGU AKULIPE KHERI NYINGI
@husnamohammed83742 жыл бұрын
Jazakallahu kheir mungu akuwezeshe uzidi kutupa elimu
@angunaff7294
2 жыл бұрын
Jazakallahu kheri inshallah 🙏
@twahamwela21582 жыл бұрын
Mada yako mzuri Sana sheikh baraka llahu fiyka
@zuhurajuma8853 Жыл бұрын
Asalam aleykum shekh je wale wanaoagiza pete marashi kitambaa na anataka uswali
@milley71852 жыл бұрын
Je wale wanaomba vitu kama zawqdi sijui vitambaa au Pete ni wa aina gani
@kadirijuma26186 ай бұрын
Asalam aleykum,tuna shkuru kwa elimu hii,shekhe mm pia kuna dalili huwa zina nitokea baazi ya seven za mwili huwa zina cheza, nayo ni maruhani
@faridaarafat1571 Жыл бұрын
Asalaam aleykum, sheikh nitajuaje kama nina rohani
@ashaajimtu25362 жыл бұрын
Aa shukran jazillah mie huota sana natokewa na wazee wenye asili ya kiarabu,kihindi ama kisomali wamevaa kanzu,na madevu,sana huwa tupo kwenye visomo ama juu ya mlima
@sylivianandy8523
2 жыл бұрын
Una rohani
@alialhaidary3123
2 жыл бұрын
Hao ni marohani..... Wanakuhimiza ushikane na mambo ya kheyr
@salimali9957 Жыл бұрын
Maalim,kuna point umekosea hao ni viumbe usiseme ni watu
@atwiyamuhamed7733 Жыл бұрын
Asalm alekum mm n kweli nmeota niko n mtume twaenda kuswali
@ramadhanimaneno
Жыл бұрын
Mtume Muhammad (s w )alisema hakika atakae niota ndotoni basi ni kweri ameniona maana shetwani hawezi kumjia mtu kwa sura yangu
@dkakram2562
Жыл бұрын
Alikwambia kua yeye ni mtume sw au ulihisi ww tu
@awaahassan936
9 ай бұрын
Mimi nilimuona akapitishwa na hewani amekalia kiti kila ubavu wake kuna malaika
@gistemeke89792 жыл бұрын
Shukran sana maalim nahitaj namba yako nina mazungumzo mengi .
@khadiaally91922 жыл бұрын
Je lohani hupada kichwani ua hawapadi
@alialhaidary31232 жыл бұрын
Assalam aleikum.... Afwan ilikuwa sijaziona communits zenu na maswali yenu.... Lakini sasa nimeziona nitajaribu kuzijibu...kulingana na community standards
@aminaibrahim7175
2 жыл бұрын
@Ali Alhaidary Assalam Aleikum Shekh, Samahani naomba kuuliza, Utifauti kati ya Ruhani na Jinn, Je Ruhani anaweza kupandisha?Na Wakiongea kuhusu kuhimiza kufanya mema Na Kumcha Allah je ni Ruhani na Sio jinn?Na Je Katika swala unaweza kuswali Na Ruhani?Kam ni mwema nao wanaswali na we we si wanakua ndnai yako?Smaahani sna naomba Kunielewesha Shekh...
@user-pc6io7wt5l
6 ай бұрын
Sheikh naomba unijibu pia nami pale ndoto izo zinapotoeka ikawa mtu haoti tena inakua ishara gani
@user-kw5zb8lx3f
6 ай бұрын
Shekh sisi wengne hatuoni tena ayo n mwanz tulikuwa tunaona
@mariammhango61352 жыл бұрын
Me wanasem nin ruhan lakn ruhan hawa wakion sehm kam kun mamb y shirik wanapanda nakusem hii sehm hawtak nikae n wananiimiz swal n kutoa sadak san n ikisom quruan wanafurah san sem najiulz unasem maruhan huw hawapand ovyo il mbn haw wanapand nakuwasisitz wat wanaonizunguk waswal??je majin am ??
@user-yh7on5yr8u
Жыл бұрын
Hao ni majini.
@ahmedibrahim2127 Жыл бұрын
Mafuta ya Yasmin je
@kadirijuma26186 ай бұрын
Na pia huwa sipendi makundi na pia sinaga kijiwe chochote, pia huwa yapanda pindi kunapo kuwa na mtu mbya, nahuwa napenda sana zikri ila na udi nikifika kuna uzwa dawa za asili nina tamani nilale humohumo,ila inapo simwa kuruani machozi unitoka sana tatizo nini hapo ni wa zurri aw ni wabaya?
@salimkarama93542 жыл бұрын
Hahahaha rohani ukwaju 🤣🤣🤣🤣 ati wapandwa na marohani kisha wazugumza nae Majini kweli wako but hayo ya marohani upuuzi mtu ushirikina tuu 😡
@JannatTahmid
10 ай бұрын
Si upuuzi inaweza kuwa haujalifikia katika kutafuta elimu na si ushirikina uo
@kifubayusuph8741 Жыл бұрын
mn kwaka 2010 nirikuwa kira jambo baya rinarotaka kutokea naota usiku nanikifanya biasha ra naambia chakufanya usiku tea kwa kutaja jina sasa siswari na na mambo yameaharibika naishi na jini mahaba mana nimekuwa mzinifu mp3nda mahasi hatari mpaka naria je uyu arie kuwa ananiambia kira jambo usiku ninani na amekwenda wapi
@user-kw5zb8lx3f
6 ай бұрын
Jitafute
@user-pc6io7wt5l6 ай бұрын
Sheikh sasa nilitaka nikuulize inaonesha Ishara ipi izo ndoto pale mtu aliezoea kuota halafu zikaja kukata kabisa.
@cayenestorm79422 жыл бұрын
Na mkristo akiwa na ruhani atafanya nini
@alialhaidary3123
2 жыл бұрын
Nivigumu sana mkristo kuwa na rohani...maana marohani wanafuata maadili kuhusu mavazi,ibada na mapenzi ya Mungu pamoja na roho safi.... Ikiwa mkristo atakuwa na rohani basi kwenye moyo wake kuna chembe ya imani ndio wale marohani wakamfata...mtu huyo kama kwamba kuna vitu katika dini yake haviamini na anakaa kama kwamba anaona kuna vitu vyengine ni vya uzushi ....na kupitia hivyo inaeza mpelekea kuslimu kwa moyo wake mwema... Uliowafanya hadi marohani kumpenda
@binthatv2794
Жыл бұрын
Mimi nilizaliwa mukristo Ila nimekuwa na marohani mwonzo nikiwa mudogo Léo nimesilim nikiwa namyaka 7leo nimekuwa n'a myaka 30niko Mwenye dini sana na kuwasiliminsha wengine Léo hi n'a elimu kubwa nilisomeshwa nikilala coran nimefundishwa dini Na coran na marohani hadi Léo napewa Elim Alihamdulillah
@sulekhaosman8357
Жыл бұрын
@@alialhaidary3123 Asalamu Aleykum warahmatullahi wabakatuh kweli elimu Ni bahari shukran sana ALLAH Akulipe Kila La kheri
Пікірлер: 44
Allah atuepushe na mtihani wa dunia na atuongoze kwa njia iliyonyooka na atuzidishie tawhid, aqidah so we may not go against Islam. Allah atume ilmu nzuri na ufahamu na atuhifadhi na fitnaa za shaitani.
Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,Ustadh maneno yako nikama umezungumzia kunihusu mm,,niko hivo na nilikuwa nikitabiri kuhusu masomo yangu,mitihani ya shule,,na mambo mengine mengi..Shukran.
Niliambiwa kuwa kuna namna yaku karibisha ruhani, je ni kweli
Masha Allah
Shukran Jazzilah kwa elmu hii
Ustadh unayosema ni kweli tupu wallah yni yote ulioyasema
Asante sheik mimi naona nirohanii,mungu tuepushe na shari
Kweli kabisaaa ata ujakosea lakini mbona wengine wanataka kutibu ni ruksa kwa Allah
Swadakta100parcent
NI DARASA MUHIMU SANA KWANGU MWENYEZI MUNGU AKULIPE KHERI NYINGI
Jazakallahu kheir mungu akuwezeshe uzidi kutupa elimu
@angunaff7294
2 жыл бұрын
Jazakallahu kheri inshallah 🙏
Mada yako mzuri Sana sheikh baraka llahu fiyka
Asalam aleykum shekh je wale wanaoagiza pete marashi kitambaa na anataka uswali
Je wale wanaomba vitu kama zawqdi sijui vitambaa au Pete ni wa aina gani
Asalam aleykum,tuna shkuru kwa elimu hii,shekhe mm pia kuna dalili huwa zina nitokea baazi ya seven za mwili huwa zina cheza, nayo ni maruhani
Asalaam aleykum, sheikh nitajuaje kama nina rohani
Aa shukran jazillah mie huota sana natokewa na wazee wenye asili ya kiarabu,kihindi ama kisomali wamevaa kanzu,na madevu,sana huwa tupo kwenye visomo ama juu ya mlima
@sylivianandy8523
2 жыл бұрын
Una rohani
@alialhaidary3123
2 жыл бұрын
Hao ni marohani..... Wanakuhimiza ushikane na mambo ya kheyr
Maalim,kuna point umekosea hao ni viumbe usiseme ni watu
Asalm alekum mm n kweli nmeota niko n mtume twaenda kuswali
@ramadhanimaneno
Жыл бұрын
Mtume Muhammad (s w )alisema hakika atakae niota ndotoni basi ni kweri ameniona maana shetwani hawezi kumjia mtu kwa sura yangu
@dkakram2562
Жыл бұрын
Alikwambia kua yeye ni mtume sw au ulihisi ww tu
@awaahassan936
9 ай бұрын
Mimi nilimuona akapitishwa na hewani amekalia kiti kila ubavu wake kuna malaika
Shukran sana maalim nahitaj namba yako nina mazungumzo mengi .
Je lohani hupada kichwani ua hawapadi
Assalam aleikum.... Afwan ilikuwa sijaziona communits zenu na maswali yenu.... Lakini sasa nimeziona nitajaribu kuzijibu...kulingana na community standards
@aminaibrahim7175
2 жыл бұрын
@Ali Alhaidary Assalam Aleikum Shekh, Samahani naomba kuuliza, Utifauti kati ya Ruhani na Jinn, Je Ruhani anaweza kupandisha?Na Wakiongea kuhusu kuhimiza kufanya mema Na Kumcha Allah je ni Ruhani na Sio jinn?Na Je Katika swala unaweza kuswali Na Ruhani?Kam ni mwema nao wanaswali na we we si wanakua ndnai yako?Smaahani sna naomba Kunielewesha Shekh...
@user-pc6io7wt5l
6 ай бұрын
Sheikh naomba unijibu pia nami pale ndoto izo zinapotoeka ikawa mtu haoti tena inakua ishara gani
@user-kw5zb8lx3f
6 ай бұрын
Shekh sisi wengne hatuoni tena ayo n mwanz tulikuwa tunaona
Me wanasem nin ruhan lakn ruhan hawa wakion sehm kam kun mamb y shirik wanapanda nakusem hii sehm hawtak nikae n wananiimiz swal n kutoa sadak san n ikisom quruan wanafurah san sem najiulz unasem maruhan huw hawapand ovyo il mbn haw wanapand nakuwasisitz wat wanaonizunguk waswal??je majin am ??
@user-yh7on5yr8u
Жыл бұрын
Hao ni majini.
Mafuta ya Yasmin je
Na pia huwa sipendi makundi na pia sinaga kijiwe chochote, pia huwa yapanda pindi kunapo kuwa na mtu mbya, nahuwa napenda sana zikri ila na udi nikifika kuna uzwa dawa za asili nina tamani nilale humohumo,ila inapo simwa kuruani machozi unitoka sana tatizo nini hapo ni wa zurri aw ni wabaya?
Hahahaha rohani ukwaju 🤣🤣🤣🤣 ati wapandwa na marohani kisha wazugumza nae Majini kweli wako but hayo ya marohani upuuzi mtu ushirikina tuu 😡
@JannatTahmid
10 ай бұрын
Si upuuzi inaweza kuwa haujalifikia katika kutafuta elimu na si ushirikina uo
mn kwaka 2010 nirikuwa kira jambo baya rinarotaka kutokea naota usiku nanikifanya biasha ra naambia chakufanya usiku tea kwa kutaja jina sasa siswari na na mambo yameaharibika naishi na jini mahaba mana nimekuwa mzinifu mp3nda mahasi hatari mpaka naria je uyu arie kuwa ananiambia kira jambo usiku ninani na amekwenda wapi
@user-kw5zb8lx3f
6 ай бұрын
Jitafute
Sheikh sasa nilitaka nikuulize inaonesha Ishara ipi izo ndoto pale mtu aliezoea kuota halafu zikaja kukata kabisa.
Na mkristo akiwa na ruhani atafanya nini
@alialhaidary3123
2 жыл бұрын
Nivigumu sana mkristo kuwa na rohani...maana marohani wanafuata maadili kuhusu mavazi,ibada na mapenzi ya Mungu pamoja na roho safi.... Ikiwa mkristo atakuwa na rohani basi kwenye moyo wake kuna chembe ya imani ndio wale marohani wakamfata...mtu huyo kama kwamba kuna vitu katika dini yake haviamini na anakaa kama kwamba anaona kuna vitu vyengine ni vya uzushi ....na kupitia hivyo inaeza mpelekea kuslimu kwa moyo wake mwema... Uliowafanya hadi marohani kumpenda
@binthatv2794
Жыл бұрын
Mimi nilizaliwa mukristo Ila nimekuwa na marohani mwonzo nikiwa mudogo Léo nimesilim nikiwa namyaka 7leo nimekuwa n'a myaka 30niko Mwenye dini sana na kuwasiliminsha wengine Léo hi n'a elimu kubwa nilisomeshwa nikilala coran nimefundishwa dini Na coran na marohani hadi Léo napewa Elim Alihamdulillah
@sulekhaosman8357
Жыл бұрын
@@alialhaidary3123 Asalamu Aleykum warahmatullahi wabakatuh kweli elimu Ni bahari shukran sana ALLAH Akulipe Kila La kheri