Cook with Wema Sepetu S02E07 Zuchu
Ойын-сауық
Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Facebook - @wsepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #Bestizzo
Пікірлер: 598
Naombeni like hata mbili plz nampenda wema na zuchu
@farajagabriel9924
3 жыл бұрын
Manywele na jikoni
@aishamkuki5649
3 жыл бұрын
TIBA YA GOITA BILA UPASUAJI PIGA 0766189074 KUPATA USHAURI NA TIBA KAMA WEWE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (SIKU ZAKO HAZINA MPANGILIO MZURI) JE UNASUMBULIWA NA VIUNGO NA MIFUPA NA UNAPATA SHIDA YA KUTEMBEA NA KUINAMA TUPIGIE KWA HIZO NO 0766189074, PATA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA KIRUTUBISHO VYA ASILI KABISA UTI IMEKUWA TATIZO KUBWA KWA WANAWAKE KARIBU UPATE TIBA NA USHAURI 0766189074
@furahahappy6004
3 жыл бұрын
I like
@alexseif7466
3 жыл бұрын
Wowow cutey glr wema
@alicesamson6316
3 жыл бұрын
@@alexseif7466 tnx
Zuchu aliyekudanganya kwamba umependeza na hiyo style ya nywele Mungu anamuona. My free Advise nawaomba Muvae KOFIA au fungeni kitambaa kichwani maana nywele zinaweza ingia kwenye chakula. Hygiene first priority (healthy hazard)
Zuchu jamani Asa hiyo singuo ya kulalia hiyo jamani 😂😂😂😂😂😂😂 haya me kipindi cha madam wema nakipenda sn nawapenda wote❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@hajrafarid8942
3 жыл бұрын
Amesema mwenyewe, it's slumber attire. Meaning nguo ya kulalia
@itsangela7886
3 жыл бұрын
😂😂😂
@mohamedabdull7326
3 жыл бұрын
Mm mwnyewe nimeona iloo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmafetty4117
3 жыл бұрын
@@mohamedabdull7326 yani😂😂😂😂🙌
@nassirsuleiman7156
3 жыл бұрын
@@fatmafetty4117 🤣🤣🤣🤣
Next time diamond platnumz please wema from America love y'all my tanzania people 🔥❤🩸
@Namjua
3 жыл бұрын
no
Katika mapendekezo yangu naomba👏siku aje diamond umuoji😁 kama ubakubaliana na mm comment apa👇
@eliethseleman1876
3 жыл бұрын
Oyoooo
@victoriaclaud2662
3 жыл бұрын
Nic
@abbyck2858
Жыл бұрын
Kwel kabs yan hiy sik mmmmmmmhhhhhhh
@Lastontano
Жыл бұрын
❤❤
@rahimaaaaa5682
9 ай бұрын
😂😂
Wow! Am just watching Wema Sepetu talking and I must say English suits her. She's a great communicator
How Wema talks positive positively about everyone is something to admire💞
@bijaysaid1829
Жыл бұрын
Unlike Zuchu
*TUNAOMTAKA DAIMOND LIKE HAPAAA... WEMA TULETEE DAIMOND.!!! It's me Samiry please bring here Daimond platnum.!!!* 😁😁😁😁
Sisi pia tunaelewa kingereza vizuri tuu lakini pls tumia kiswahil saana kuliko lugha ya kigeni wema pls do it ‼️
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
Mwenzako anafanya ivyo iliatoboe nchi zingine maana wanalipia appl yke so waelewe pia sio wote wanaongea kiswahili
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty point 👌
@ellazizwheeler8331
3 жыл бұрын
Someni na nyie
Sio zuchu peke yake ata wema 2020 AME shine!!!!
Zuchu is one of my best musician i love because she got a great voice which takes attention of soo many people 🌹♥️ otherwise both lady looks wow and awesome 💙🌹 lovee you soo much
Wema mrudie Diamond couple yenu ilipendwa sana
@sarahmndoli5154
3 жыл бұрын
U
Nguo ya zuchu alovaa wazetu wanazilalia huku Mimi sizipendi balaa🙌😁😁ila amependeza 😍
@hajrafarid8942
3 жыл бұрын
She admitted herself, it's slumber attires.
@hadijasalum6373
3 жыл бұрын
Mwnyw huwa najiuliza hv hz nguo vp?
@kimarohuba7441
3 жыл бұрын
@@hadijasalum6373 😁😁madam ameninulia wallah sivai ananiulizaga ananambia nzuri namjibu sizitaki zipo kabatin zimejaa akanibadilishia nguo zingine🙌😂 nawaza in shaa Allah nikirud tz ntavalia ndani tena usiku nikiwa na mume Wangu sio kuvaa nitoke nje hapana
@kimarohuba7441
3 жыл бұрын
@@hajrafarid8942 oky dia
@damarismumbi6250
3 жыл бұрын
@@kimarohuba7441 yeah ni pajamas 🙈but I still love her music👌
Nawapenda bure jmn from🇧🇮🇧🇮
I love this two ladies u r just amaizing
Wema kumbuka mafans wako wengi ni waswahili wanaofatilia maisha magic bong....zen ukitumia english san unakuwa unazingua
@hala-bh4zm
3 жыл бұрын
kwani hauelewi kingereza
@Muganyizi
3 жыл бұрын
@@hala-bh4zm acha kukalili ndg yangu. Kwo watz wote wanajua kingereza? Au kisa wew unajua cha "to eat food na good morn" acha ujinga
@mizemize8894
3 жыл бұрын
@@Muganyizi 😄
@mizemize8894
3 жыл бұрын
True talk dear Kuna wengine kimombo awakijui
@florencekaranja8736
3 жыл бұрын
Lakini pia sio watu wote wanajua kiswahili pia so ni vizuri kutumia zote kiswahili na kingereza
Mm kama manager wa wema nimeona wengi mnamtaka diamond PLATNUMZ 🦁
@benardmurage5125
3 жыл бұрын
Ushasema kaka, @Diamond Platinumz
Jaman haka ka zuchu changu nakapenda bure tu🥰🥰🥰😘
Cook with @diamond Platnumz please
@benardmurage5125
3 жыл бұрын
Nakusupport sana, simba akuje sasa
@anethmembetz2950
2 жыл бұрын
Wema nataman ufike mbali aisee mungu akulinde
Kama unatakaaaa kutrend na turudi tena kuangalia hiki kipindi muiteee diamond aiseee
@kyoganalogwa169
3 жыл бұрын
Muwage mnaogea kishwahili bac mnajiona wazungu sana sasa mmeweka kipindi chanini sasa
Huyu ni yule zuchu wa super woman jmn waooo nice my chuchu beee
Diamond
My favorite people 🙂🥰🥰🥰🥰zuu na wema 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
MashaAllah Wema unjua snaa Allah akuzidishie!
Huyu zuchu mdogo wangu unanitia aibu kwenye kuvaa hujui kuvaa hujui kuvaa hujui usiige mavazi ya kikahaba ww
Next time Wema Alika rose muhando upike naye plz
We need Diamond dada 😭🙃😂 yani wede LIVE tuna ma questions Sana
Wow chonjo Sana, zuchu 🔥🔥🔥🔥🔥💕💕💕💕💕
First time to hear zuchu’s voice talking . It’s different in song
@leeldavid3712
3 жыл бұрын
Equalization of voices,when it comes to sing 🤣🤣🤣..without that hapo hakuna sauti 👌🏾👌🏾
@juscassekisughu4632
3 жыл бұрын
I like it
Cook with mama dangotee ❤️❤️❤️
Cook with Diamond platnumz please 🙏🏽💯
@beritadaudi8999
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@yusternyirenda7231
Жыл бұрын
Diamond hajui kupika chakula cha jikoni anajua kupika wanawake tu kitandani sasa akimuita hapo atapika nini? labda achemshe maji ya kunywa
@babitasaidah5369
Жыл бұрын
@@yusternyirenda7231😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wema ntarudia kuangaria kipitindi cako ukiturete exi wako diamond
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
Wewe unafkiri Diamond kupatikana ni easy???? Wapo watu wako wasafi wana miaka hawamuoni Mondi
@anastaciamuema
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@opk3943
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe 😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@Swahili14
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe 😂😂😂😏
Wema mwite diamond platinumz
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Atamlipa nini.diamond ni brand
@tiamo726
3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 hahaha funny you never underestimate watu....wema and dai r running tz in different in avenue...wema pia ni brand ..do you think dai doesn't know his stars feature in wema show don't deceive urself u sound mshamba
@tiamo726
3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 understand entertqiment mbonq dai Allendale kwa sho ya kadoti....daimond na wema kitu kimoja they hav in common is they promot tz different
amennn...zuchu will reach further
Jamani dad wew izo nyere muwe muna zifunga mukiwa jikoni iyo sio fasi ya urembo ivo tu
We need simbaa apo
Zuchu is my best Tanzanian woman singer I love her so much By the way wema can u invite diamond kwenye mapishi we want to see him cook
@ramawamana771
3 жыл бұрын
Auna akil
We need diamond
@zurisana8068
3 жыл бұрын
I dont think he can cook 😅
@Yktvkaash15
3 жыл бұрын
@@zurisana8068 ofc he can😂😂or wema will cook I just want see them telling us a story🌚🙌🏾
@aishamkuki5649
3 жыл бұрын
TIBA YA GOITA BILA UPASUAJI PIGA 0766189074 KUPATA USHAURI NA TIBA KAMA WEWE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (SIKU ZAKO HAZINA MPANGILIO MZURI) JE UNASUMBULIWA NA VIUNGO NA MIFUPA NA UNAPATA SHIDA YA KUTEMBEA NA KUINAMA TUPIGIE KWA HIZO NO 0766189074, PATA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA KIRUTUBISHO VYA ASILI KABISA UTI IMEKUWA TATIZO KUBWA KWA WANAWAKE KARIBU UPATE TIBA NA USHAURI 0766189074
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
@@zurisana8068 But I think he can eat. Kila palipo na mpishi pana mlaji bora
@khalidsulait9575
3 жыл бұрын
@Diamond Platnumz tukusubir lini?
Wema sepetu waooooooh respect 💐💐🇨🇩🇨🇩💯
Zuchu ananikumbusha nyumbani, we ate nice foods to a point when Eid came my mom would ask us, "sasa tuapika nini?" our option was pilau ALWAYS and my thoughts were we are cooking for our guests what we love and we loooooooveeee pilau!!
Cook with ibraah🤗
Ohhh my zuchu is like me
Wema our lovely beautiful gol🥰
QUEEN'S ! 🥰❤️❤️❤️❤️
Nawapenda mno jmn hawa viumbe from AUE😘🇦🇪
Cook with Diamond platnumz please😒🙏🙏
@lisahsamwel3508
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 umewaza kama mimi
@shadianshimirimana2420
3 жыл бұрын
Umenichekesha ,😆😆😆😆
@fatumaabdullahi3896
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
me too,i also want to see diamond cooking with wema sepetu
From Kenya😍😍😍love Please wema next time cook with Simba diamond platnumx
So sweet I love both of you😍
Kwa mwakani Ni mwaka wa lavalava nawambien guys huo Ni utabili wangu
@TIRAVISIONTV
3 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@liberathaclemence5880
3 жыл бұрын
HATA MIMI NAKUBALI
Yaan watu baadala ya kusikiliza kinachozungumzwa wanabaki kuangalia mtoko wa dada Zuchu🤗
@anethmembetz2950
2 жыл бұрын
Hahahahha
Kimwi hicho ni kizuri sana mniamini mimi at the ende of day,huo uportable ni deal
Wemaaaaa wanipa adhabu wallahi plzzzzzzz daadaaa tuwekee full aki plz this punishmnt is too harsh😭😭😭😭😭😭😭😭
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
Nunua app yake
Aki siku moja tu platinumz akue mgeni wako wah
@sheegalsonie4646
3 жыл бұрын
Nangoja pia ila
Kumbe izo nguo za kulalia tunaweza kuvaa popote sikuizii eeh 😂
@aminamuz9071
3 жыл бұрын
exactly 🤣
@souvenirweber7169
3 жыл бұрын
@@aminamuz9071 imebidi nitoe macho heeee kweli ni shot pajama
@user-pj8ed9kn6g
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nusramunini9650
3 жыл бұрын
@@souvenirweber7169 huo ni ushamba pajama ya kulalia lakini hapa 🤐🤐🤐 kutoka KENYA nawapenda
Zuchu umenza nawewe Tabia zaku iga wazu kuva mangu haya erewi kutuonesha matako yako😁😀
@zuriathdasilver810
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jofreymartin5801
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stivenmtimba663
3 жыл бұрын
Ana Manisha akivaa hivyo atarudi utotoni lkini umri umeenda ndugu miaka 30 sijui ulikuwa unaficha kwa Nini hauoni munalingana na madam wema
@damaryjohn6985
3 жыл бұрын
Hahahahaaaa
Please try kupika with Naseeb abdul aka diamond platnumz someday , we've been longing for that moment too long
Tunamtaka simbaaaaaa diamond platnum our legend our hero our national representer in music
Wakenya tuko wapi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ,,,ZUCHUS' FUNS❤❤❤
@rosewetuoriango6870
3 жыл бұрын
Nipo mkenya mwambie wema anita pia
@benardmurage5125
3 жыл бұрын
Noooo.....Diamond Platinumz aletwe kwani iko nn?
Kwa ushauli tu, muwe mnavaa kofia kichwani wakt wa kuandaa chakula. Ona km zuchu hizo nywele zinaweza kuingia kwenye chakula.
@allyfatma7359
3 жыл бұрын
Wazo zuri na ni Moja wapo ya Sheria za jiko.
@rosemarymsafiri2340
3 жыл бұрын
Ni kwel dia👌
@marylucas7382
3 жыл бұрын
Kweli kabisa Kam zuchura izi nywele zinechambuka hazifai jikon izo Za stegin
Diamond please
Ukimuita @diamondplatnumz uta fika #01 on trending 😂
Wema...you will always be my star hata iwejeeee..NAKUPENDAGA MIAKA YOTEEE.asante kwa kua staa asiekua na nyodo
Nampenda zuchu jaman mm mpemba mwenzie
@asaaomar4315
3 жыл бұрын
Namm pia nimpemba mwenzio nipende
@user-pj8ed9kn6g
3 жыл бұрын
@@asaaomar4315 🤣🤣Nami pia ya Khabib
@umakramzahor4836
3 жыл бұрын
@@asaaomar4315 HAHAHAH anasema ww sio super star 🌟
@aboduhaji7508
3 жыл бұрын
Hhh khayraty ww mpemba wa wapi
@aboduhaji7508
3 жыл бұрын
Lylla ww sio mbumbwini 😁😁
😂😂😂😂 Wazungu wamekutana meza moja...kazi ipo coz me ni class 7
@veronicawambura4992
3 жыл бұрын
😂😂😂
@sarapaulo4718
3 жыл бұрын
Hapa tena
Diamond next Wema angekuwepo Kanumba Basi tungemtaka 🔥🔥🔥🔥🇺🇸🇺🇸💯💥💯
We need diamond please wema I love you I'm live in america we support you much we just wanna say we need diamond 💕
@beauclaireangelique1452
3 жыл бұрын
@@ashamussa7393 I'm serious tho
My goodness Wema, you look so cute mama
Ka zuchu jamn 😍😍na ka wema wenyewe mnavutiaaa😚😚
Nawapenda sana ilove zuchu😢😢😢
Nakupenda sana zuchu .hila leo hiyo sijaisoma
Nice Miss Wema love you so much
And you doing the great job too
Zuchu is a Beatiful
Wooow 💗💗
We a you are soo eloquent!
We want diamond plz
Jamani I love your hair na hiyo orange 🍊 jumpsuit 🤩🤩🤩🤩🤩🤩 umependeza Mamii 😘😘😘😘
Wow...hata mm napenda iftar ya pilau ramadan japo kila ijumaa
So cute
Nilipeza wema since 2018 sai I'm like 😳😳😳is this Wema? anyway you made it Wema 🤣🤣🤣
Seriously you guys, we need English subtitles😭 like Africa is so diverse and not everyone speaks Swahili? You are limiting your fan base to just Swahili when other people from other countries enjoy this content too🥺
@kitomondo
3 жыл бұрын
Learn Swahili.
@tayanaliss9713
3 жыл бұрын
@@kitomondo in the meantime as I learn, do I use your ears to understand?
@kitomondo
3 жыл бұрын
@@tayanaliss9713 Nope, your brain and audio-visual study materials like the video you are talking about can be used to learn swahili. Instead of asking Swahili speakers to deliver their contents in English. Do you go to Chinese people and ask them to speak English? Online? Please Mayn! Let us be!
@tayanaliss9713
3 жыл бұрын
@@kitomondo Before you respond to something that doesn’t even concern you, next time kindly take time and read a comment before you embarrass yourself on the internet. I asked for “Subtitles” and not English content. Outline the difference abeg. Don’t come here and sound like a retired English lecturer. Chinese provide subtitles in their productions because they believe that even if they are the world’s largest population, there are still non Chinese speakers out there. It’s called LOGIC
@kitomondo
3 жыл бұрын
@@tayanaliss9713There you go again. I can pull a million clips on KZread that do not have English subtitles. Stop glorifying that Language. Swahili is widely spoken in East and Central Africa, so let it expand. I can pull millions of Chinese clips without subtitles. So don't act like they all have subtitles.
She has a baby voice😍
Nc wema
Simba jmn wema we miss him plz
Diamonds
Am not Tanzanian, but please u should cook with Tommy flavor.
Hata sisi Ramadhan pilau tunapika kwenye MAKUMI TUU nmeipenda hiyooooooo
Mmekaa kama ndugu nakupendeni 🥰
Balaaa💥💥
I lov this show am gonna talk to Simba kiwe pale wasafi Tv
Wa Allayekoum salaam wa rahematoullah tallah wa barakatouhou sister
Jamani daimond ana ro ya paka akumbuki ule Wimbo wake wa mbagala domo km dekio la daladala watu walikuwa wanamwita domo sasa ivi anashidwa kumsapoti wema daah kweli Dunia niwatu na watu wenyewe ndo sisi Daimondi angetakiwa yeye ndo awe wa kwanza pale tu wema alipo muomba ampe sapoti laki ndo kwanza ana abaree kweli Maskini akipata matako ulia bwata Wema Mungu akubariki na moyo wako wakipekee
*QUEEN ZUCHU* 😍💎
Can someone be kind enough to post names of the dishes she mentioned the first time she cooked n today? English names plz.sounds like something i would love to try n find a recipe n make.Thanks 🇰🇪🇨🇦
Rangi ya zuchu imebadilika
@theresaelizabethelijah117
3 жыл бұрын
Ameanza kujichubua nayeye kwavile aliambiwa si mrembo
@miriammutemi7764
3 жыл бұрын
Wooi Kama urembo ni weupe sisi weusi Kwisha🤣🤣🤣
I lovyou Wema and Zuchu
Wema we ni mrembo sana
love all wema and zuu baby
My first time seeing zuchu cooking 😂😂😂
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
She is from Zanzibar. Zanzibar is the coastal part of Tanzania. We coastarians are blessed in cooking.