CHEKECHE || Finland kujiunga na NATO ni pigo kwa Urusi? Ni ushindi kwa Marekani?

Aprili 4 mwaka hu Finland ilijiunga rasmi na Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO) na kuzua mjadala mpya kuhusu hali ya amani kwenye ukanda huo huku rais wa Urusi Vladmir Putin akionya Finland isikubali ardhi yake kutumika kuweka kambi za jeshi za NATO.
Je, hatua ya Finland kuingia NATO itamaliza mgogoro wa Ukraine na Urusi?
Je, hatua hii inachochewa na Marekani? Moses Mohamed akiwa na Ibrahim Rahbi na John Kenene wanaangalia hili katika CHEKECHE.

Пікірлер: 74

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Жыл бұрын

    Kupigana na Urusi ni sawa na kupigana na nguvu ya mungu muumba mbingu na ardhi. SIO Finland tu Hata dunia nzima tujiunge na NATO bado hatutoboi labda tutoboe matundu ya choooooooo.

  • @harerimanamoses9878

    @harerimanamoses9878

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Putin Yuko pekee yake anapigana na nchi nyingi kweli Putin ni kidume kabadilisha mchezo

  • @jumalihumako-uf3yb

    @jumalihumako-uf3yb

    Жыл бұрын

    Acha kuwa mwongo putin hana ubavu wa kupigana na nato

  • @msangodiesel3132

    @msangodiesel3132

    Жыл бұрын

    @@jumalihumako-uf3yb subili mechi utajua usiweke ushabiki

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Жыл бұрын

    Aaa kama NATO ni tishio imeshindwaje mpaka leo kumaliza mzozo wa Ukraine? sasa NATO inakimbilia vita na China wakati imegharamika DOLLAR nyingi .kwani NATO nini ni Ulaya na marekani. Ambazo tayar zimeshashindwa ukraine

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    hahahahahahahahah mzee umetoa maoni kwa chuki saana!!!

  • @beatricecharles1110
    @beatricecharles1110 Жыл бұрын

    Nato ni ya marekani na ipo kusimamia maslahi ya marekani tu na SI vinginevyo.

  • @HamisiGatuso
    @HamisiGatusoАй бұрын

    Rab upo sawa unajua sana

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Жыл бұрын

    Jarani mwovu dawa yake ni kipigo

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Жыл бұрын

    Mtupe na faida za NATO Toka kuwepo

  • @MohamedHasan-kt4lw
    @MohamedHasan-kt4lw Жыл бұрын

    Lakini kw nn NATO ingali hai ilhali madhumuni ya kuundwa NATO ni sababu usssr, so far usoviet ulianguka, mbona NATO nayo wasiivunje NATO

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97584 ай бұрын

    Marekani anatumia akili sio nguvu tulieni muone shoo shoo mrusi kaingia chakikeee mwenye akili anaenda taratibuuu kumbuka vita ya pili ya Dunia kama sio marekani angepigwa na hitlaa mtafunga midomo yenuu💪💪

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    Rahbi umeongea kitu point sana hii serikali mpya iliyoingia itatuletea balaa

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Marekani namuona Sasa anapoteza ushawishi wake maana hata raisi wa ufaransa amesema Sasa ulaya tufate misimamo yetu na tuwe huru katka maamuzi yetu bila ya kuegemea upande wowote bila ya kueka utegemezi kwa marekani.... Mwisho wa kunukuu... Hutuba hii imewauma Sana wamarekani

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Жыл бұрын

    Kabla ya yote Kwanza yatupasa kujuwa kwamba katika NATO na marekani na washirika wao wote hakuna hata mmoja anaweza kufikia nusu ya nguvu za kijeshi za urusi hiyo ni behind the seen. Wajinga hawataelewa hapa ila hiyo ndio sababu ya kuuangana nchi zaidi ya 30 na bado wameshindwa kumuondowa mrusi ugenini na ndio mwanzo anaongeza maeneo mengine nje ya ile mikoa 4. Na pia tambueni urusi ana washirika wenye nguvu kuliko hao manyangau na bado haoni umuhimu wa kuwatumia kwa maana yeye anajiweza kikamilifu kabisa manyangau ni majambazi hayawezi kumzidi putin mwenye mali?

  • @johnmichaellukindo21

    @johnmichaellukindo21

    Жыл бұрын

    Naona unaongea kimihemko kuisifiae urusi! Lakini Nato ina nguvu sana, mrusi haingii hata nusu

  • @josephkostans9128

    @josephkostans9128

    Жыл бұрын

    @@johnmichaellukindo21 pole maana wewe ndio mwenye mihemko usiejuwa kitu. Urusi kavamia Ukraine na kuchukuwa zaidi ya mikoa 4 sasa kama nato ana nguvu hatubishi anazo sasa afanye jambo moja TU amnyanganye mrusi ile mikoa 4 tu itatosha kuonyesha yeye ni mwenye nguvu basi hakuna sababu ya kuandikia mate peni ipo. Acha ujinga marekani anaiogopa urusi kuliko jambo lolote duniani na kama angekuwa anamuweza mrusi sahz mngeongea mengine kuhusu Putin yuko wapi gadafi? Yukowap sadam na wengine wengi wa aliyowaweza sasa mashabik ndio mnambwela ila yeye mwenyewe anajuwa urusi ni kiatu saizi nyingine yeye hawez kuvaa ndio maana anataka dunia nzima imsaidia apigane na Putin na keshafeli Russia ndio mkombozi wa kweli wa dunia hii

  • @swalacopper5792

    @swalacopper5792

    Жыл бұрын

    @@johnmichaellukindo21 WW UNAESIFIA NATO HUNA AKIRI NATO IMEUWA WAAFRIKA WANGAPI NA BADO INATULETEA USHOGA BADO MNAISIFIA

  • @PauloFataki-ue8mo

    @PauloFataki-ue8mo

    Жыл бұрын

    Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi

  • @PauloFataki-ue8mo

    @PauloFataki-ue8mo

    Жыл бұрын

    Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Жыл бұрын

    Hawa wachambuzi hawajui kuwa vita ni siraha ,vita sio ardhi tu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Жыл бұрын

    Safi sana tunapenda uchambuzi kama huu

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    Nawafuatilia nikiwa hapa Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮👁️👁️

  • @IsmailBagayabakwe-bb1pl
    @IsmailBagayabakwe-bb1pl Жыл бұрын

    Urusi alisha shindwa vita akubali tu aende kujipanga tena vizuri

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    majid mjengwa ningefurahi sana angekuwepo pia tusikie maoni yke.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Amna vita ya dunia wana malizana wenyew

  • @evaristmihingo8885
    @evaristmihingo8885 Жыл бұрын

    Rais wa ufarasa kafwata nini China?

  • @user-el3me9vj4i
    @user-el3me9vj4i3 ай бұрын

    Ni uchokozi kweli

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Жыл бұрын

    Mnaongea hoja nzito aisee.

  • @Alislamre
    @Alislamre Жыл бұрын

    Ikija kinyume nawashambuliaa wakuu😂😂😂.

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Жыл бұрын

    Putin alisha sema **Finland sio tisho kwa Urusi** unajua kwanini? Finland amekubaliana na Putin kuto ingiza jeshi la NATO na kuweka silaha za Nyuklia. Hayo ni makubaliano, sasa ikitokea Finland kavunja, basi Finland itapotezwa ktk ramani ya dunia

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    hahahahahahahah unakumbaka vita ya 1939 kati ya Urusi na Finland?

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 Жыл бұрын

    Groly russia

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Жыл бұрын

    Adui anapigika

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Жыл бұрын

    Ivi mpaka sasa Urusi hapigani na NATO. ?

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Жыл бұрын

    Kifungu cha tano hata siku moja **Hakiwezi kufanya kazi** . Iyo ni danganya toto, Urusi anaweza kuishambulia Finland na NATO wakaishia kupiga kelele

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Putin anapigana na mamluki wa kimagharibi Hilo jeshi la ukraine halipo Tena lishapotezwa mda2

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Жыл бұрын

    Huyo mchambuzi mwenye kanzu hajui anachoongea anaongea bila kufanya uchambuzi wa ndani

  • @jamessiame5169

    @jamessiame5169

    Жыл бұрын

    Na wewe kachambuwe tukuone

  • @kassim1262

    @kassim1262

    Жыл бұрын

    Ss unaonaje naww ukaomba kutafuta media ukatutolea uchambuzi wko ulioufanyia kazi

  • @evaristmihingo8885
    @evaristmihingo8885 Жыл бұрын

    Hamna chochote

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Жыл бұрын

    Nyie hamna kitu nivibaraka tu

  • @jamessiame5169

    @jamessiame5169

    Жыл бұрын

    Je wewe

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn97794 ай бұрын

    Neto au nato?

  • @muichorekishagani1751
    @muichorekishagani1751 Жыл бұрын

    ahsante Chekeche umetuletea wataalam ambao wanajadili na kutupa elimu kwa utulivu na uchambuzi mzuri sana.

  • @erickmshoboth4705
    @erickmshoboth4705 Жыл бұрын

    Kanene we ni chawa tuu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Apo nguvu imezid

  • @yassinphonyogo2347
    @yassinphonyogo2347 Жыл бұрын

    raby we ni kibaraka wa mabeberu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Zelencyk kapata nguv

  • @jumamasele5793
    @jumamasele5793 Жыл бұрын

    Kenene hua anaidharau sana urusi

  • @PauloFataki-ue8mo

    @PauloFataki-ue8mo

    Жыл бұрын

    Sio anaizarau Urusi ni underdog sana kwa Mmarekani watu wanafanya reseach mjomba ndo wanakuja ubaoni Wakiwa na fact zote sio unashabikia tu kama simba na Yanga Marekani tunachukua ndio kwa ushenzi wake lakini jamaa yuko vizuri kila idara ndo maana anadharau kwa Urusi na Uchina anafanya anachojisikia na anajua hakuna atakae mgusa

  • @PauloFataki-ue8mo

    @PauloFataki-ue8mo

    Жыл бұрын

    Mfano mtu anatangaza kabisa hazarani kwamba nasaidia siraha na feza kwa ukrain ambayo inapigana na taifa hatari la Urusi ilitakiwa Urusi moja kwa moja apige Marekani maana apo kashajiingiza kwenye vita mazima sasa mbona hujaribu anaogopa nini? Kama yeye ni mwamba? Pili Uchina walipiga biti kuvamia msafara wa Nansi pelos spika wa bunge mstaafu wa Marekani kwenye ziara yake kule taiwan unakumbuka Marekani alichojibu na mbona spika alienda na akarudi salama waliogopa nini kumvamia? Ile ndo Marekani supa power jamaa ana kila kitu

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Жыл бұрын

    Neto au Nato bwana moses?

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Жыл бұрын

    Nyambafu nyinyi america kwisha story mashoga tu

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    hahahahahahah maoni ya chuki saaaana

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Жыл бұрын

    huyo jamaa mbona mnampenda sana nyie azam tv kana kwamba hamna mchambuzi wengine jamaa toka mwanzo haongei facts kabisa anaegemea upande hamsomi comment

  • @mikarasaka74

    @mikarasaka74

    Жыл бұрын

    Tatizo wewe ndo ahumuelewi kwa sababu upo upande umoja yeye iko wazi kabisa

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 Жыл бұрын

    Safi filand kwa kujiunga na nato

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Жыл бұрын

    God bless Russia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Urus ni wakawaida kama mayai

  • @richardseverino788

    @richardseverino788

    Жыл бұрын

    Hujui kitu kabisa wewe,Mmarekani mbona haendi kukabiliana nae? Russia is not somebody to mess with....yupo vitani na bado kasamehe deni lote zaidi ya dollar bilion 20 kwa nchi za Africa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Ukraine strong

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Putin akamatwe

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    Жыл бұрын

    😅😅😅Putin akamatwe sio indeed hakuna ushindi juu ya damu za watu wasio na hatia,,,nakuunga mkono

  • @fadhilamsagati1337

    @fadhilamsagati1337

    Жыл бұрын

    hawamkamati wanaogomba wanajua kitakacho wakuta wanakijua lamda waje wamkamate samia

  • @josephkostans9128

    @josephkostans9128

    Жыл бұрын

    Inawezekana kumkamata Putin kabisa ila wakumkamata bado hajazaliwa na sina uhakika kama mimba yake ishaanza kutungwa. Putin is nonstopable

  • @richardseverino788

    @richardseverino788

    Жыл бұрын

    Kamkamate wewe,USA anaogooa....vp Bush na Obama, Blair,kwa nn wasikamatwe???jiulize kwanza

Келесі