CHAPATI LAINI ZA NAZI ZAKUCHAMBUKA KURASA
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
CHAPATI ZA NAZI
UNGA WA NGANO VIOMBE 6/750GMS
TUI LA NAZI ZITO AU JEPESI VIKOMBE 2 ¾
CHUMVI KIJIKO 1 & ½
SAMLI AU MAFUTA KIASI ½ - ¾ KIKOMBE KWA KU SUKUMA NA KUCHOMA
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas kzread.info?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
Пікірлер: 191
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLEASE FOLLOW THIS LINKkzread.info/dash/bejne/k2l70cOKhKvIc7A.html
@lailatjohn5947
5 жыл бұрын
Samahan naweza kanda saa 3 usiku nkazichoma kesho yake asubuhi,je unga auwezi haribika
@nadhlfasalmazena7444
5 жыл бұрын
@@lailatjohn5947 saa tatu yenyewe mama! Bora Hata masaa mawili au alfajir baada ya swalaa ,by saa kumi nambili waandaa ,Ila hautoharibika coz sio Khamira hiyo ,,
@kalongemwakalonge9680
4 жыл бұрын
Thxs mum 4 this! But mie nina shida na hicho kifaa chenye unatumia kupakia mafuta kwenye chapati, kinapatikana wap?!
@beautybyayy
3 жыл бұрын
We -
Chapati za kufana sana... Nairobi tupo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MashaAllah iko sawa sana
Maa shaa Allah Tabarakallah best shabati
mashallah aroma of Zanzibar
Kwisha mambo!!! Chapati zinavutia mnoooo!! You did a fantastic job here
Mashaa Allah.in shallah leo ntazipika.
"machine haina mapenzi" Aroma of Zanzibar 2019
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Yap hujawahi kusikia hivyo 💕😂
Masha Allah, zaonesha tamu
Ma shaa Allah.
MaashaAllah
Ma shaa Allah
Zavutia MashaAllah 👌
Jazakallah khayr.
Mashaallah nakupendaga buree
Perfect hun😋
Assalamu aleikum. Mashaallah kwa machoo tuu nimeziona tamuuuu 😋😋. Shukraaan mpenzii. Allah akuhifadhi
Mashallah nzuri
Chapati zavutia sana Natamani nizile sasa hivi.Mapishi mazuri .Shukran
Shukran Aroma of zanzibar.
@kalongemwakalonge9680
4 жыл бұрын
Wow
Masha Allah
Asante sana kwa kunielekeza vizuri
ni Mzuri Sana 😋😋😋
Masha allah 👍
Asante sana kwa kuniongezea ujuz wa mapshi
Maashallwah sana nzur
Maashallah
Wow Mashallah
I’m so proud that you expose your children to Swahili culture
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Always, and they love and enjoy every bit of it
Waouh 🥰🥰🥰😋😋napenda sana mapishi yako mumy napenda chapati sana 💖nitajaribu pia
Yani iko powa Sister😋😍
Wao l love them
Mashallah mwenyezi mungu aibariki mikono yako 😘
Shukran habbty 😋😋🌹
Mashallah 😋😋😋👌
Maa Shaa Allah
love ur videos❤You should make a food blog🤗
Maa Shaa Llahu
Asante my nimeelewa vizuri
Woow! I juxt fell in love with her very very clean hands!..without 4geting the chapati hah....nyc work!
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
You are funny, thank you!
Mashallah tabarakallah
Mashaallah chapatiy powa
Mashallh shapati
Shukrani sana Dada.
Asante sana Dada Aroma kwa maelezo yako urs most honestly h
@aromaofzanzibar
Жыл бұрын
Shukran
Bless you Always!! napenda sana vyakula vyote unavotuelekeza jazzakhallahu kheir...
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Thank you dear, amin
MashaAllah
Shukran 🙏
Umetisha
Masha Allah Dada asante Sana
@habibahassan4734
4 жыл бұрын
Mashaalla
Nicee
U r golden heart, ur valuable time doesn't go unnoticed, knpw that am ur number 1 fan😘😘
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Thanks dear , I appreciate your support and love too
shukrani sana
Yummy yummy 😋😋 napenda sana kufuatili video zako,, umenipa ujasiri eti maahine haina mapenzi ,🤸
Mashaallah
Asante sana kwa kunifunza jinsi mpya ya kupika chapati.Nimefurahia sana video yako.Asante tena
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Shukran
Very nice chapati recipe. Thanks for sharing, 💕💕
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Most welcome 😊
My all the time Sis!! Kazi yako only Allah knows jinsi unavyochangia katika kuzihifadhi ndoa Zetu!! Nakupendaje!😇
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Alhamdulilah, ahsante kwa mapenzi hayo dear
@zalmachano265
3 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar Wallah nakupenda bure kwa mapishi. Allah akulinde
Asante dd umetuifazia ndoa zetu kwa mapishi bora m.mungu atakulipa kwa haya
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Amin ya Rabb
Mashallah mungu akuzidishie ujuzi...asante sana
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Shukran, amin kwetu sote
Mash Allah madam. Hakuna recipe sijapenda
@aromaofzanzibar
2 жыл бұрын
Shukran
Dada uko vizuri sana
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Ahsante sana
Hizi nimezipenda sanaaa Yaan huo unga ulivyokuwa mlaini 😍😍😍😍😍😍 Ubarikiwe sana
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Ahsante sana
Napenda maelezo yako sana. Asante luv
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Ahsante sana
mashaallah nzuri sana MUNGU akuzidishie ujuzi aamin
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Shukran, amin kwetu sote
Mashallah
Wow chapos with lots of ❤💚💜💙💛
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Absolutely!
Nzuri mashallah
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Ahsante
Mashaalah tabarakaallah nitajaribu inshaallah umeniacha taka kula pia.
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Inshallah kher
Asante sana you are the best God bless you...kindly I would wish to know the temperature of coconut milk and samli
@aromaofzanzibar
3 жыл бұрын
Thank you so much, the coconut milk and samli were just room temperature. Thank you for your support
Tamu sana dada,hongera
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Ahsante
Zinavutia mnooooo. Hongera kwa kua mpishi bora.
@moniquemacharia6037
2 жыл бұрын
Puu"0ul0l7oula
Shukran
@esheharoub8242
5 жыл бұрын
Mapishi mazuri sana nipenda
MashaAllah very creative na zaonyesha kua very tasty. Ooooh na zina kurasa visitor. Very impressive we luv u dear from Mombasa Kenya
@saeednasser9870
5 жыл бұрын
Khadija Nassor mashallah dada yangu unafundisha vizurii cn hada mm najisikiy vema napend chapatii chapo nipo oman nimezipenda chapatii my love
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Thanks for the love and support, be blessed!
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Shukran,
unanihamasishaa!
Hellow una sister Canada always Love you
@aromaofzanzibar
2 жыл бұрын
Thank you for the love, la sina sister
Hakika mapishi yako nayapenda sn maashaAllah
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Shukran
Asante kwa mafunzo mazuri
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Karibu
Asante sana.
@rukiahhdbdn4798
5 жыл бұрын
Beatrice Mapembe maa shaa Allah mi sijawahi kupika chapati za nazi
InshaAllah leo itakuwa ndo chakula cha usiku😅
so lovely. the chapati pan so great. share the secret of where you get the cooking pots?
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Thank you dear, my pan is from amazon its a Korean brand called HappyCall
Nzuri na fasta
Inshallah kesho nitazipika
Kitafunwa icho me nakipenda sana hapo kwa maharage ebwanaeeee ndo hunigandui
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Kweli kabisa na recipe ya maharage inakuja soon Inshallah
But nntajaribu in shaa Allah
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Inshallah
Best chapos ever
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Thank you!
👌👍👍👍
ulikua wapi jamani yani nimemmiss vaa kula vako 😍😍😍
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Nipo mie napost kila wilki
we ni sheeda
ckuwez
❤️🙏🏾
wallah napenda sana mapishi yako
Wow nakupenda sana maman yani sijui niseme nini mapishi yako
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Ahsante nashkuru
Ati tutizame sasa ndani vipii 😁😁 Chapati tamu, umenifanya nimkumbuke mamangu, hupikaga kama hizooo 🤗🤗🤗 M/Mungu jaalia nipate mke fundi wa chapatii 😂😂😁
@asyaomar4950
5 жыл бұрын
Amin
@husseinjongo7588
5 жыл бұрын
Asya Omar niombee
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Inshallah Mu.Mungua akupe mke mwenye kheri na wewe hiyo ndio muhimu halafu mlete kwenye kurasa huu ajifunze
@husseinjongo7588
5 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar haya sisy inshaalah
@thuwaybah5679
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Wonderful recipe. Ukiyaweka mabonge pembeni yatulie usiku kucha, ni lazima uyaweke kwenye friji?
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Kama utaweka usiku kucha ni vizuri kuweka kwenye fridge
Machine haina mapenzi kabisaa tena yawatu wafivu wasio penda jiko yaani..😂😂😂shukran
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Mambo ndio hivyo
Asalamu caleymum napenda vile wewe una funza watu kupika shukran
@aromaofzanzibar
Жыл бұрын
shukran
Poa sana
Award winning
@aromaofzanzibar
5 жыл бұрын
Thank you dear
@rahmaallytnxkwaubuyu3071
5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar mashallah ni mzuri sana Shukran habibty Allah akujaazi kher Amiiin
Chapati hizi zina kazi ..lakini zaonekana zenye ladha!👍🏾
@aromaofzanzibar
4 жыл бұрын
Its worth it