CHACHU YA FURAHA-THE LOVOS (official Gospel Video-HD)

Музыка

Wimbo huu umetungwa na Ndg. Fortune Shimanyi, ukiwa na mmoja kati ya Nyimbo 8 zilizounda Album ya ndoa iitwayo PINGU ZA MAISHA.
Toleo hili la nyimbo maalum za ndoa, zimetungwa na watunzi mbalimbali zikiwa ni maalumu kwa harusi ya Ndg. Perfecto Mtuka iliyofanyika August 2017.
Nyimbo zote zimeimbwa na The Lord's Vooce Squad-MBEYA
Audio; Triple J
Video; tanganyika productons

Пікірлер: 417

  • @AnthonyNdinah
    @AnthonyNdinah Жыл бұрын

    Huu wimbo ni mzurii sana na unaujumbe bomba aya jmn ambao bado wanaungalia na kuupenda 2023 like zenu apa

  • @Nanjiii-jc8ic
    @Nanjiii-jc8ic2 ай бұрын

    enyewe ntakua chachu y furaha kw mume ambaye ntapewa ,,,wale wanatazama 2024 1st may npeeni likes

  • @user-wl1ft2io5p
    @user-wl1ft2io5p6 ай бұрын

    Hakika nitakua chachu ya furaha ya mume wangu Mungu utakapo nijalia Amina 🙏🙏🙏🙏❤

  • @Ishengoma1

    @Ishengoma1

    3 күн бұрын

    Hello ulishapata mume au bado. Tafadhari nijulishe.

  • @amanilumumba2826
    @amanilumumba2826 Жыл бұрын

    My favorite song proud to be Catholic member ❤❤❤❤❤

  • @annadotto2429
    @annadotto24294 жыл бұрын

    Eee mungu baba naomba unipe mume mwema ili niwe chachu yake. Najivunia kuwa R.C wanakwaya mungu a wabariki

  • @silvastudiopro

    @silvastudiopro

    4 жыл бұрын

    Naomba pia Mungu anipee mke mwema nikuwe chachu ya furaha kwake,.tuombeane

  • @rosesimon4630
    @rosesimon46303 жыл бұрын

    Acha niisikilize kila siku huenda Mungu na yeye atanifanya niwe chachu kwa mtu kupitia huu wimbo eeeee Mungu nasubiri wakati wako amen

  • @saranawakubalisanaitvchoro9586

    @saranawakubalisanaitvchoro9586

    3 жыл бұрын

    Magazetl leo

  • @scolasulley6103
    @scolasulley61033 жыл бұрын

    Weweeee nakubali mnaimb vzur sana hakika katoliki tumebarikiwa kwa kila kityu najivunia kuwa mkatoliki

  • @angelasimiyu
    @angelasimiyu9 ай бұрын

    Proud to be a Catholic wimbo mtamu mbarikiwe sana

  • @felisterloya4018
    @felisterloya40184 жыл бұрын

    Siku ya ndoa yangu nitaukomesha huu wimbo!!Eeh Mungu nisaidie nifikie hii siku njema Ameen

  • @rojarajab9894

    @rojarajab9894

    3 жыл бұрын

    T

  • @sarakambi7948
    @sarakambi79484 жыл бұрын

    Amen mungu nami nifanye chachu kwa mume wangu

  • @paulineitenyo1170
    @paulineitenyo11705 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mkenya nikiwa saudi Arabia.Napenda saana ninachotasama hapa na wimbo pia.Barikiweni woooote!!

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 Жыл бұрын

    Wimbo huu unastahil zaid ya 10M viwers ❤🎉chukuen maua yenuu

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa99323 жыл бұрын

    Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @magrethlucas5505
    @magrethlucas55057 ай бұрын

    Wimbo wangu pendwa niliotumia kwenye harusi yangu

  • @ALPHONCEKIHWILI-ku8cg
    @ALPHONCEKIHWILI-ku8cg24 күн бұрын

    Naupenda sana huu wimbo sijawai kuchoka kuusikia huu wimbo toka nilipo imbiwa kwenye ndoa yangu

  • @fabianshigela9315
    @fabianshigela9315 Жыл бұрын

    Mlijitahidi sanaaa .Mungu Aendelee kuwabariki na Kuwalinda,

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa99323 жыл бұрын

    Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu

  • @mosesngwegwe7233
    @mosesngwegwe72335 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana na huu wimbo,MUNGU amubariki mtunzi na waimbaji wote

  • @bonifacemaginga6559
    @bonifacemaginga65594 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwainua ili mwendelee kuinjilisha jamii yake hususan vijana wasiopenda kufunga ndoa kwa hoja kwamba kwanza wayajaribu magari yao ndo wafunge ndoa...!!!!

  • @bensonkavisi4089
    @bensonkavisi40896 жыл бұрын

    Ongera mnanitia moyo kwa uinjilishanji wenu natamani ningejiunga nami nikate kino na mabenga nalitanji hizo kanda zenu hapa KENYA be blessed

  • @user-rx7tr8qq6e
    @user-rx7tr8qq6e5 ай бұрын

    Upendo hufumu siku zote chachu ya furaha my favorite song indeed

  • @paulmbosa7540
    @paulmbosa75404 жыл бұрын

    Am proud to be a catholic church.well done

  • @marcykivuyo9666

    @marcykivuyo9666

    4 жыл бұрын

    Also me I proudly ...... To be a Catholic.....

  • @berthamasanja6390
    @berthamasanja63905 жыл бұрын

    Naomba mungu anisaidie nipate mume bora niwe chachu kwake , wimbo huu utanihusu hatariii , hongereni sana waimbaji

  • @evaristisilayo2868

    @evaristisilayo2868

    4 жыл бұрын

    Utapata

  • @thomasmjola4736

    @thomasmjola4736

    4 жыл бұрын

    Congratulations my brothers and sisters may God grant you more years so as to keep the fire of praise alive.

  • @nicksonkinyaga9976

    @nicksonkinyaga9976

    4 жыл бұрын

    0752921601

  • @peterkilanga6075

    @peterkilanga6075

    4 жыл бұрын

    Give time to your dream s

  • @suzyjowzey8150

    @suzyjowzey8150

    4 жыл бұрын

    @@nicksonkinyaga9976 veve mwakinyaga inamba utawe yeki? 👀😂😂😂😂😂

  • @felistamatembo2526
    @felistamatembo25264 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa kunijalia kuwa mkristo wimbo mzuriiiiiiii

  • @peterkilanga6075
    @peterkilanga60754 жыл бұрын

    Asantee Mungu kwa kunifanya Mkristu Mromani nakupenda Mungu wangu na dini yangu🙏🙏🌹

  • @sophysulley1431

    @sophysulley1431

    4 жыл бұрын

    Like it

  • @florahkazimoto7246
    @florahkazimoto72463 жыл бұрын

    Naangalia leo tarehe 15 October but still I love the dong mbarikiwe sana

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa5845 жыл бұрын

    Bwana nijalie upendowetu udumu daima sikuzote zamaisha yetu asante sana Kwamaneno yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwalinda na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina

  • @lucyalbert6161
    @lucyalbert61616 жыл бұрын

    Nakuona dadaangu kipenzi saada maganga unajitahid kucheza kihaya

  • @gilbertmwancha2777
    @gilbertmwancha27773 жыл бұрын

    Karibuni Kenya hata Siku moja mshiliki nasi.Mungu awabaliki

  • @peterkilian9010

    @peterkilian9010

    2 жыл бұрын

    Ongereni,sana,inapendezapia,kalibuni,mshiriki,nasi,

  • @johnkelvinmwajombe-nv4wc
    @johnkelvinmwajombe-nv4wcАй бұрын

    RC raha sana ambao hawajui kama kuna raha karibu mujionee

  • @ezrashauri414
    @ezrashauri4148 ай бұрын

    @tanganyika productions tunaomba mtuwekee wimbo tangazo kwa ulimwengu.

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili48066 жыл бұрын

    Nina siku siendi kanisani sasa naanza kwenda wimbo huu umenibariki sana, mungu awatie nguvu.

  • @sopy3055

    @sopy3055

    2 жыл бұрын

    Uwe unakwenda kanisani unakoswa baraka za Mungu na mambo mazur Kama haya yanakupita mpendwa

  • @godfreyntibakula5697
    @godfreyntibakula56973 жыл бұрын

    Mungu Awabariki na Mwanga Wa Roho Mt.uwashukie mzidi kuwa Hodari mzidi kuimalisha Neno la Mungu kupitia Uimbaji

  • @timotheohoza785
    @timotheohoza7856 жыл бұрын

    Mungu awaabariki ktk utume wenu hiyo ni hatua nzuri sanaa (quality Video)

  • @odranslayo3298
    @odranslayo32984 жыл бұрын

    Niwape hongera namungu awajalie kwakuimba vizuri Mimi huku najivunia kuwa mkatoliki safi

  • @zachariaissa.morogorotz2974
    @zachariaissa.morogorotz29745 жыл бұрын

    Asante mungu kwa kunifanya kuwa mkristu wa romani katoriki

  • @NDIJARAYE

    @NDIJARAYE

    5 жыл бұрын

    Una bahati sana kuwa Mkatoliki ndugu yangu,hongera

  • @vincentobare8545

    @vincentobare8545

    5 жыл бұрын

    oh god what a nice song. we kenyan catholics would love to sing just like our tanzania catholic neibours(from nyanza kenya).

  • @modestaabeli3389

    @modestaabeli3389

    5 жыл бұрын

    Yaan wimbo mzr mpk nasikia loho mwili wote wa fulahia ongereni

  • @leahkisendi1965

    @leahkisendi1965

    4 жыл бұрын

    Aise wameimba vizuri Sana hongerani sana

  • @sweryderas3909

    @sweryderas3909

    4 жыл бұрын

    Well done

  • @dominicmayaka7240
    @dominicmayaka72403 жыл бұрын

    Listening, listening, listening. I love the song.Thanks to the singers. You are rich of good voices.

  • @modtechcybercafe6510
    @modtechcybercafe65106 жыл бұрын

    What song, very nice, God bless you abundantly

  • @user-fm3tn8iw6d
    @user-fm3tn8iw6d5 ай бұрын

    Mungu kweli ni chachu ya furaha yangu

  • @inoismmdamba8549
    @inoismmdamba85493 жыл бұрын

    Sijutii kurudia hii nyimbo inanipa furaha mda wote

  • @monicankachia914
    @monicankachia9145 жыл бұрын

    My favorite song!!!😍😍😍 Can't wait to play it at my wedding! God bless you guys!

  • @warriorprincessharmony

    @warriorprincessharmony

    3 жыл бұрын

    Me too

  • @user-lq9bv1td4v
    @user-lq9bv1td4v Жыл бұрын

    Wimbo mtamuuuuuu 🥰🥰🥰😘😘😘💞💞💞💞💞aikua raisi

  • @josephkabi8273
    @josephkabi82733 жыл бұрын

    Merci à Dieu.Merci à la Chorale pour sa contribution à l'évangélisation du monde. Que Dieu bénisse la Tanzanie.

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele83622 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwatunza zaidi katika utume wenu wa uimbaji wimbo mzuri sana yaani napenda kuusikiliza kila wakati

  • @renatusmatogollojames4958
    @renatusmatogollojames49586 жыл бұрын

    Aisee!!! Mtanifanya nipasuke maana ninawamisi kupita maelezo!! Kikubwa ninawapa kongole kwa uinjilishaji wenu, ninawaombea mdumu katika umoja na upendo ktk kumtumikia Mwenyezi Mungu!!

  • @TanganyikaProductions

    @TanganyikaProductions

    6 жыл бұрын

    Renatus Matogollo James Amina

  • @renatusmatogollojames4958

    @renatusmatogollojames4958

    6 жыл бұрын

    Maombi yangu kwenu 1. Inapatikana madukani, na je Morogoro tunaipataje?? 2 Mko tayari kuja kuimba kwenye ndoa yangu?? Jamani ninabarikiwa sana nanyi lkn je Aneth (mama Glory) mbona simuoni??

  • @damiangabriel8721
    @damiangabriel87215 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana natamani siku ya harusi yangu uchezwe

  • @michaelmanyilizu1393

    @michaelmanyilizu1393

    5 жыл бұрын

    Wimbo mzr xana mlijtahd aiseeee

  • @justusaganyilatvonline1417
    @justusaganyilatvonline14174 жыл бұрын

    Dah kwakweli Nyimbo zenu zimetulia nachukua album yote. Nikae nayo imenigusa moyo na imenipa hamasa ya kuoa jaman

  • @JaKompyuta
    @JaKompyuta2 жыл бұрын

    I just realized today that it's a wedding song. DUH!!! Moto sana

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru99774 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana. Ujumbe safi. Mpangilio wa sauti, vyombo, uko kamili.

  • @muliikadavid4778

    @muliikadavid4778

    3 жыл бұрын

    Hi wimbo ni tamu sana, sijui nifanyaje?

  • @jastinnyatano4049
    @jastinnyatano40496 жыл бұрын

    Huu wimbo umenigusha waimbaji na wote mlioshiriki Mungu awambariki.

  • @shaboigokelo9961

    @shaboigokelo9961

    4 жыл бұрын

    Bwana awe nanyi daima amen

  • @leahnyaboke1845

    @leahnyaboke1845

    3 жыл бұрын

    God

  • @wangestephen9467
    @wangestephen94675 жыл бұрын

    Hii albamu imenikosha sana nahamasika kumtafuta mwenzangu ili nufunge naye pingu za maisha ila muweke na kinonile basi

  • @fredysichinga5465
    @fredysichinga54655 жыл бұрын

    wapi mpiga tarumbeta,, nakubali .....

  • @mervinkenfack1451
    @mervinkenfack14515 жыл бұрын

    Nice song.. Waouh I fall in love with not only choir, but also with Tanzania girls and the language. Can someone invite me there??? I'm from Cameroon... Lol

  • @claverymbede3681

    @claverymbede3681

    5 жыл бұрын

    That's great... Welcome if you wont mind contacting me...

  • @mervinkenfack1451

    @mervinkenfack1451

    5 жыл бұрын

    @@claverymbede3681 waouh really!! So I'm going to plan my trip

  • @amanilumumba2826

    @amanilumumba2826

    Жыл бұрын

    Your so welcome madame

  • @warriorprincessharmony
    @warriorprincessharmony3 жыл бұрын

    Laima nitacheza juu wimbo kwa harusi uangu ijapokuwa prospective groom hajui Kiswahili. Ataketi tu aniangalie, acheke.

  • @haikaelshishira2061
    @haikaelshishira206110 ай бұрын

    Nymbo ni nsuri🎉🎉🎉🎉 4:ll

  • @remigiuskawala193
    @remigiuskawala1936 жыл бұрын

    Sijajuta kuwa sehemu ya familia ya production yenu.... its amazing, dance nzuri sana mpangilio kila kitu safi.... Kongole!!!!!!!!!

  • @TanganyikaProductions

    @TanganyikaProductions

    6 жыл бұрын

    Remigius Kawala asaaaaante sanaaaaaa kaka. Karibu

  • @kenedyrocky4641

    @kenedyrocky4641

    6 жыл бұрын

    Kwaya mt Anna old maswa

  • @kenedyrocky4641

    @kenedyrocky4641

    6 жыл бұрын

    Kwaya mt katarina wa Siena mkuu rombo

  • @bennjiru1121

    @bennjiru1121

    6 жыл бұрын

    Remigius Kawala naomba mnitumie nota hizi kwa b.njiru@yahoo.com

  • @remigiuskawala193

    @remigiuskawala193

    6 жыл бұрын

    Ben Njiru natumai ombi lako limefika mahala sahihi... @Tanganyikaproduction

  • @thomasmaliga1892
    @thomasmaliga18923 жыл бұрын

    wimbo mtamu sana congratulation kwa mtunzi na waimbaji wote

  • @alolafweda6107
    @alolafweda61074 жыл бұрын

    Mungu nisaidie nami cku ikifika nifurahie hiv rahaa balaa

  • @henrymutuva6939
    @henrymutuva69393 жыл бұрын

    God bless u all, I wish I was born in tanzania

  • @josephmwita607
    @josephmwita6074 жыл бұрын

    Nimejifuza sana huu wimbo nategemea kutumia huu tarehe 09/11/2019 MSIMBAZI PAROKIANI HADI UKUMBINI KARIBUNI SANA WOTE

  • @shaboigokelo9961
    @shaboigokelo99614 жыл бұрын

    Bwana awepamoja nanyi daima amen

  • @gerodimkulu8062
    @gerodimkulu80626 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwabariki, nyimbo nzurii sanaaa nimeipenda mpaka basiiii kuanzia sauti, staili za kucheza ni kisasa zaid nikutakieni kila lakheri kwa ajili ya majitoleo yenu.

  • @PoliethShayo
    @PoliethShayo4 жыл бұрын

    Mpiga kinanda..nimekukubali kwa pedal ulipigaa.. Big up..!!

  • @josephmuriithi6067
    @josephmuriithi60673 жыл бұрын

    Thanks for your job.This song is one of my favourite. The presentation is CAPTIVATING.

  • @khatibhaji4139
    @khatibhaji41395 жыл бұрын

    Nimemuona rafiki yangu Mwl. George Sekuzi. By Jonathan Ntale Zanzibar.

  • @paulseni1829
    @paulseni18294 жыл бұрын

    huu wimbo naupenda sana jaman,mbarikiwe sana

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru99774 жыл бұрын

    Kwa wimbo huu, Mungu tangulia na kuongoza ndoa zote.

  • @francislumeya7020
    @francislumeya70205 жыл бұрын

    My favorite song 2018 - 2019. Tutautumia pia kwenye harusi yangu nitakayofunga mwezi Oktoba. Dogo Shimanyi andaa na mwingine zaidi ya ule wa FUTA WASIWASI KABISA....

  • @morriohm213

    @morriohm213

    5 жыл бұрын

    Naeza pataje huo wimbo

  • @raymondmsigwa7735
    @raymondmsigwa77355 жыл бұрын

    Hongereni sana mumeimba kwa furaha kuuu

  • @bonifacekikombo1182
    @bonifacekikombo11822 жыл бұрын

    Very smart composition guys,, keep it up

  • @machagodfrey7518
    @machagodfrey75183 жыл бұрын

    Nitawaalika katika jubilee YANGU Yandoa miaka25. Mbarikiwesana

  • @victorthomas818
    @victorthomas8184 жыл бұрын

    Am Catholic in baptism forever ever

  • @maggymnatta896

    @maggymnatta896

    4 жыл бұрын

    Victor Thomas amen

  • @sadamudy8760
    @sadamudy87606 жыл бұрын

    Mmwaaaaah nimejifunza god bless you forever😍😋😋

  • @robertseni8980
    @robertseni89804 жыл бұрын

    Hongereni sana ila kinanda kimechukua muda mrefu sana

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu20125 жыл бұрын

    HAYA BANA,NGOJA NIFUNGE NDOA MMENIWEZA HATIMAE;

  • @seciliachiduo7970
    @seciliachiduo79704 жыл бұрын

    Mpiga tarumbeta penda sana wew be blessed guys

  • @anthonywillbrord5188
    @anthonywillbrord51885 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana kwa wimbo wenu mzuri ni wimbo wenye ujumbe uliokamilika

  • @delphinalazaro9659
    @delphinalazaro96596 жыл бұрын

    Kazi nzuri....Mungu azidi kuwabariki

  • @salomejeremiah3257
    @salomejeremiah32575 жыл бұрын

    iwish ck ya harus yangu huu wimbo waurudie hat mar zote. Naupenda sana mbarikiwe waimbaji

  • @vilmahaule949
    @vilmahaule9493 жыл бұрын

    Ahaaaa mpiga tarumbeta oyeeeeee..uko vizur mbaba

  • @icetechub420
    @icetechub4205 жыл бұрын

    I looooove this song so much. It will be sung on my wedding day Majaliwa. I promise.

  • @philosene4839

    @philosene4839

    5 жыл бұрын

    Heureux à vous mes chaires

  • @user-fd5yv4ps1p
    @user-fd5yv4ps1p Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana hongereni na kazi ya kuinjirisha.

  • @rweyongezasadoth6591
    @rweyongezasadoth65915 жыл бұрын

    hakika ata mimi nitakua chachu kazi nzuri Mungu awape nguvu tengeneza na hubili tena

  • @CounselMayabi
    @CounselMayabi5 жыл бұрын

    What a song!!!!!! Lovely. Mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri.

  • @selinachipeta8295

    @selinachipeta8295

    5 жыл бұрын

    Mbarikiw xan watumish

  • @beatricealbert1781
    @beatricealbert17813 жыл бұрын

    Mungu nijalie na mm ndoa siku 1 huu wimbo umekuwa baraka kwangu

  • @reymondwillxon9375
    @reymondwillxon93753 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @nicolausnyengo3991
    @nicolausnyengo39916 жыл бұрын

    Hii squared Inanibariki sana ....MUNGU mwenye rehema na baraka awasimamie.... amina

  • @beamboka5203

    @beamboka5203

    5 жыл бұрын

    Jamani God bless us

  • @johnkimilu5448
    @johnkimilu54483 жыл бұрын

    Very good choire and well organised.

  • @emmaghati5463
    @emmaghati54636 жыл бұрын

    nimependa sidi yenu jamani hongerni xn,pia nomba mtume kopy niwauzie Mwanza.

  • @sadocknasibu1226

    @sadocknasibu1226

    6 жыл бұрын

    mungu awabark kutumbusha ss wanandoa

  • @evambukwa1765
    @evambukwa17652 жыл бұрын

    Mko vizuri asante kwa kunibariki na wimbo wenu

  • @fransiscafabian
    @fransiscafabian2 ай бұрын

    Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji wenu

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru99775 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri hongereni sana waimbaji wote.

  • @dianalimo532
    @dianalimo532 Жыл бұрын

    Thanks sana sana this song really graced my wedding

  • @zakayoingwagwi8298
    @zakayoingwagwi82986 жыл бұрын

    Always you will be our role model, we appreciate what you are doing! May God bless you @Vice chairman of Choir from SAUT-mbeya

  • @charlesmndibatyo7413

    @charlesmndibatyo7413

    6 жыл бұрын

    Hongereni sana katika utumishi wenu.

  • @glorybandi7849

    @glorybandi7849

    5 жыл бұрын

    Jamani mnaimba vizuri mbarikiwe

  • @michaelkauzen8004
    @michaelkauzen80046 жыл бұрын

    RC Melody na nota zetu, wataipenda kazi Hizi Hazina fujo

  • @emmakaristy9279
    @emmakaristy92795 жыл бұрын

    Asanten kwa uijilishaji mnzur mungu awabarikiii

  • @lucyalbert6161
    @lucyalbert61616 жыл бұрын

    Wow dadaangu Josephine lucas

  • @mathiasjohn6271
    @mathiasjohn62713 жыл бұрын

    Hakika mnamtukuza Mungu

  • @salomemalakimsigwa1501
    @salomemalakimsigwa15016 жыл бұрын

    Aaaaaaaah brother shimanyi i see u hongereni sanaaa

  • @user-zu3wp3wx8u
    @user-zu3wp3wx8u8 ай бұрын

    Hongereni sana wakatoliki wenzangu

Келесі