CHACHU YA FURAHA-THE LOVOS (official Gospel Video-HD)
Музыка
Wimbo huu umetungwa na Ndg. Fortune Shimanyi, ukiwa na mmoja kati ya Nyimbo 8 zilizounda Album ya ndoa iitwayo PINGU ZA MAISHA.
Toleo hili la nyimbo maalum za ndoa, zimetungwa na watunzi mbalimbali zikiwa ni maalumu kwa harusi ya Ndg. Perfecto Mtuka iliyofanyika August 2017.
Nyimbo zote zimeimbwa na The Lord's Vooce Squad-MBEYA
Audio; Triple J
Video; tanganyika productons
Пікірлер: 417
Huu wimbo ni mzurii sana na unaujumbe bomba aya jmn ambao bado wanaungalia na kuupenda 2023 like zenu apa
enyewe ntakua chachu y furaha kw mume ambaye ntapewa ,,,wale wanatazama 2024 1st may npeeni likes
Hakika nitakua chachu ya furaha ya mume wangu Mungu utakapo nijalia Amina 🙏🙏🙏🙏❤
@Ishengoma1
3 күн бұрын
Hello ulishapata mume au bado. Tafadhari nijulishe.
My favorite song proud to be Catholic member ❤❤❤❤❤
Eee mungu baba naomba unipe mume mwema ili niwe chachu yake. Najivunia kuwa R.C wanakwaya mungu a wabariki
@silvastudiopro
4 жыл бұрын
Naomba pia Mungu anipee mke mwema nikuwe chachu ya furaha kwake,.tuombeane
Acha niisikilize kila siku huenda Mungu na yeye atanifanya niwe chachu kwa mtu kupitia huu wimbo eeeee Mungu nasubiri wakati wako amen
@saranawakubalisanaitvchoro9586
3 жыл бұрын
Magazetl leo
Weweeee nakubali mnaimb vzur sana hakika katoliki tumebarikiwa kwa kila kityu najivunia kuwa mkatoliki
Proud to be a Catholic wimbo mtamu mbarikiwe sana
Siku ya ndoa yangu nitaukomesha huu wimbo!!Eeh Mungu nisaidie nifikie hii siku njema Ameen
@rojarajab9894
3 жыл бұрын
T
Amen mungu nami nifanye chachu kwa mume wangu
Najivunia kuwa mkenya nikiwa saudi Arabia.Napenda saana ninachotasama hapa na wimbo pia.Barikiweni woooote!!
Wimbo huu unastahil zaid ya 10M viwers ❤🎉chukuen maua yenuu
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Wimbo wangu pendwa niliotumia kwenye harusi yangu
Naupenda sana huu wimbo sijawai kuchoka kuusikia huu wimbo toka nilipo imbiwa kwenye ndoa yangu
Mlijitahidi sanaaa .Mungu Aendelee kuwabariki na Kuwalinda,
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Nimebarikiwa sana na huu wimbo,MUNGU amubariki mtunzi na waimbaji wote
Mungu azidi kuwainua ili mwendelee kuinjilisha jamii yake hususan vijana wasiopenda kufunga ndoa kwa hoja kwamba kwanza wayajaribu magari yao ndo wafunge ndoa...!!!!
Ongera mnanitia moyo kwa uinjilishanji wenu natamani ningejiunga nami nikate kino na mabenga nalitanji hizo kanda zenu hapa KENYA be blessed
Upendo hufumu siku zote chachu ya furaha my favorite song indeed
Am proud to be a catholic church.well done
@marcykivuyo9666
4 жыл бұрын
Also me I proudly ...... To be a Catholic.....
Naomba mungu anisaidie nipate mume bora niwe chachu kwake , wimbo huu utanihusu hatariii , hongereni sana waimbaji
@evaristisilayo2868
4 жыл бұрын
Utapata
@thomasmjola4736
4 жыл бұрын
Congratulations my brothers and sisters may God grant you more years so as to keep the fire of praise alive.
@nicksonkinyaga9976
4 жыл бұрын
0752921601
@peterkilanga6075
4 жыл бұрын
Give time to your dream s
@suzyjowzey8150
4 жыл бұрын
@@nicksonkinyaga9976 veve mwakinyaga inamba utawe yeki? 👀😂😂😂😂😂
Asante Mungu kwa kunijalia kuwa mkristo wimbo mzuriiiiiiii
Asantee Mungu kwa kunifanya Mkristu Mromani nakupenda Mungu wangu na dini yangu🙏🙏🌹
@sophysulley1431
4 жыл бұрын
Like it
Naangalia leo tarehe 15 October but still I love the dong mbarikiwe sana
Bwana nijalie upendowetu udumu daima sikuzote zamaisha yetu asante sana Kwamaneno yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwalinda na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Nakuona dadaangu kipenzi saada maganga unajitahid kucheza kihaya
Karibuni Kenya hata Siku moja mshiliki nasi.Mungu awabaliki
@peterkilian9010
2 жыл бұрын
Ongereni,sana,inapendezapia,kalibuni,mshiriki,nasi,
RC raha sana ambao hawajui kama kuna raha karibu mujionee
@tanganyika productions tunaomba mtuwekee wimbo tangazo kwa ulimwengu.
Nina siku siendi kanisani sasa naanza kwenda wimbo huu umenibariki sana, mungu awatie nguvu.
@sopy3055
2 жыл бұрын
Uwe unakwenda kanisani unakoswa baraka za Mungu na mambo mazur Kama haya yanakupita mpendwa
Mungu Awabariki na Mwanga Wa Roho Mt.uwashukie mzidi kuwa Hodari mzidi kuimalisha Neno la Mungu kupitia Uimbaji
Mungu awaabariki ktk utume wenu hiyo ni hatua nzuri sanaa (quality Video)
Niwape hongera namungu awajalie kwakuimba vizuri Mimi huku najivunia kuwa mkatoliki safi
Asante mungu kwa kunifanya kuwa mkristu wa romani katoriki
@NDIJARAYE
5 жыл бұрын
Una bahati sana kuwa Mkatoliki ndugu yangu,hongera
@vincentobare8545
5 жыл бұрын
oh god what a nice song. we kenyan catholics would love to sing just like our tanzania catholic neibours(from nyanza kenya).
@modestaabeli3389
5 жыл бұрын
Yaan wimbo mzr mpk nasikia loho mwili wote wa fulahia ongereni
@leahkisendi1965
4 жыл бұрын
Aise wameimba vizuri Sana hongerani sana
@sweryderas3909
4 жыл бұрын
Well done
Listening, listening, listening. I love the song.Thanks to the singers. You are rich of good voices.
What song, very nice, God bless you abundantly
Mungu kweli ni chachu ya furaha yangu
Sijutii kurudia hii nyimbo inanipa furaha mda wote
My favorite song!!!😍😍😍 Can't wait to play it at my wedding! God bless you guys!
@warriorprincessharmony
3 жыл бұрын
Me too
Wimbo mtamuuuuuu 🥰🥰🥰😘😘😘💞💞💞💞💞aikua raisi
Merci à Dieu.Merci à la Chorale pour sa contribution à l'évangélisation du monde. Que Dieu bénisse la Tanzanie.
Mungu azidi kuwatunza zaidi katika utume wenu wa uimbaji wimbo mzuri sana yaani napenda kuusikiliza kila wakati
Aisee!!! Mtanifanya nipasuke maana ninawamisi kupita maelezo!! Kikubwa ninawapa kongole kwa uinjilishaji wenu, ninawaombea mdumu katika umoja na upendo ktk kumtumikia Mwenyezi Mungu!!
@TanganyikaProductions
6 жыл бұрын
Renatus Matogollo James Amina
@renatusmatogollojames4958
6 жыл бұрын
Maombi yangu kwenu 1. Inapatikana madukani, na je Morogoro tunaipataje?? 2 Mko tayari kuja kuimba kwenye ndoa yangu?? Jamani ninabarikiwa sana nanyi lkn je Aneth (mama Glory) mbona simuoni??
Wimbo mzuri sana natamani siku ya harusi yangu uchezwe
@michaelmanyilizu1393
5 жыл бұрын
Wimbo mzr xana mlijtahd aiseeee
Dah kwakweli Nyimbo zenu zimetulia nachukua album yote. Nikae nayo imenigusa moyo na imenipa hamasa ya kuoa jaman
I just realized today that it's a wedding song. DUH!!! Moto sana
Nyimbo nzuri sana. Ujumbe safi. Mpangilio wa sauti, vyombo, uko kamili.
@muliikadavid4778
3 жыл бұрын
Hi wimbo ni tamu sana, sijui nifanyaje?
Huu wimbo umenigusha waimbaji na wote mlioshiriki Mungu awambariki.
@shaboigokelo9961
4 жыл бұрын
Bwana awe nanyi daima amen
@leahnyaboke1845
3 жыл бұрын
God
Hii albamu imenikosha sana nahamasika kumtafuta mwenzangu ili nufunge naye pingu za maisha ila muweke na kinonile basi
wapi mpiga tarumbeta,, nakubali .....
Nice song.. Waouh I fall in love with not only choir, but also with Tanzania girls and the language. Can someone invite me there??? I'm from Cameroon... Lol
@claverymbede3681
5 жыл бұрын
That's great... Welcome if you wont mind contacting me...
@mervinkenfack1451
5 жыл бұрын
@@claverymbede3681 waouh really!! So I'm going to plan my trip
@amanilumumba2826
Жыл бұрын
Your so welcome madame
Laima nitacheza juu wimbo kwa harusi uangu ijapokuwa prospective groom hajui Kiswahili. Ataketi tu aniangalie, acheke.
Nymbo ni nsuri🎉🎉🎉🎉 4:ll
Sijajuta kuwa sehemu ya familia ya production yenu.... its amazing, dance nzuri sana mpangilio kila kitu safi.... Kongole!!!!!!!!!
@TanganyikaProductions
6 жыл бұрын
Remigius Kawala asaaaaante sanaaaaaa kaka. Karibu
@kenedyrocky4641
6 жыл бұрын
Kwaya mt Anna old maswa
@kenedyrocky4641
6 жыл бұрын
Kwaya mt katarina wa Siena mkuu rombo
@bennjiru1121
6 жыл бұрын
Remigius Kawala naomba mnitumie nota hizi kwa b.njiru@yahoo.com
@remigiuskawala193
6 жыл бұрын
Ben Njiru natumai ombi lako limefika mahala sahihi... @Tanganyikaproduction
wimbo mtamu sana congratulation kwa mtunzi na waimbaji wote
Mungu nisaidie nami cku ikifika nifurahie hiv rahaa balaa
God bless u all, I wish I was born in tanzania
Nimejifuza sana huu wimbo nategemea kutumia huu tarehe 09/11/2019 MSIMBAZI PAROKIANI HADI UKUMBINI KARIBUNI SANA WOTE
Bwana awepamoja nanyi daima amen
Mungu azidi kuwabariki, nyimbo nzurii sanaaa nimeipenda mpaka basiiii kuanzia sauti, staili za kucheza ni kisasa zaid nikutakieni kila lakheri kwa ajili ya majitoleo yenu.
Mpiga kinanda..nimekukubali kwa pedal ulipigaa.. Big up..!!
Thanks for your job.This song is one of my favourite. The presentation is CAPTIVATING.
Nimemuona rafiki yangu Mwl. George Sekuzi. By Jonathan Ntale Zanzibar.
huu wimbo naupenda sana jaman,mbarikiwe sana
Kwa wimbo huu, Mungu tangulia na kuongoza ndoa zote.
My favorite song 2018 - 2019. Tutautumia pia kwenye harusi yangu nitakayofunga mwezi Oktoba. Dogo Shimanyi andaa na mwingine zaidi ya ule wa FUTA WASIWASI KABISA....
@morriohm213
5 жыл бұрын
Naeza pataje huo wimbo
Hongereni sana mumeimba kwa furaha kuuu
Very smart composition guys,, keep it up
Nitawaalika katika jubilee YANGU Yandoa miaka25. Mbarikiwesana
Am Catholic in baptism forever ever
@maggymnatta896
4 жыл бұрын
Victor Thomas amen
Mmwaaaaah nimejifunza god bless you forever😍😋😋
Hongereni sana ila kinanda kimechukua muda mrefu sana
HAYA BANA,NGOJA NIFUNGE NDOA MMENIWEZA HATIMAE;
Mpiga tarumbeta penda sana wew be blessed guys
Mungu awabariki sana kwa wimbo wenu mzuri ni wimbo wenye ujumbe uliokamilika
Kazi nzuri....Mungu azidi kuwabariki
iwish ck ya harus yangu huu wimbo waurudie hat mar zote. Naupenda sana mbarikiwe waimbaji
Ahaaaa mpiga tarumbeta oyeeeeee..uko vizur mbaba
I looooove this song so much. It will be sung on my wedding day Majaliwa. I promise.
@philosene4839
5 жыл бұрын
Heureux à vous mes chaires
Wimbo mzuri sana hongereni na kazi ya kuinjirisha.
hakika ata mimi nitakua chachu kazi nzuri Mungu awape nguvu tengeneza na hubili tena
What a song!!!!!! Lovely. Mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri.
@selinachipeta8295
5 жыл бұрын
Mbarikiw xan watumish
Mungu nijalie na mm ndoa siku 1 huu wimbo umekuwa baraka kwangu
Mungu ni mwema
Hii squared Inanibariki sana ....MUNGU mwenye rehema na baraka awasimamie.... amina
@beamboka5203
5 жыл бұрын
Jamani God bless us
Very good choire and well organised.
nimependa sidi yenu jamani hongerni xn,pia nomba mtume kopy niwauzie Mwanza.
@sadocknasibu1226
6 жыл бұрын
mungu awabark kutumbusha ss wanandoa
Mko vizuri asante kwa kunibariki na wimbo wenu
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji wenu
Nyimbo nzuri hongereni sana waimbaji wote.
Thanks sana sana this song really graced my wedding
Always you will be our role model, we appreciate what you are doing! May God bless you @Vice chairman of Choir from SAUT-mbeya
@charlesmndibatyo7413
6 жыл бұрын
Hongereni sana katika utumishi wenu.
@glorybandi7849
5 жыл бұрын
Jamani mnaimba vizuri mbarikiwe
RC Melody na nota zetu, wataipenda kazi Hizi Hazina fujo
Asanten kwa uijilishaji mnzur mungu awabarikiii
Wow dadaangu Josephine lucas
Hakika mnamtukuza Mungu
Aaaaaaaah brother shimanyi i see u hongereni sanaaa
Hongereni sana wakatoliki wenzangu