CCT Katavi waja na maono haya kuelekea CCT DAY

Kuelekea CCT DAY 26th MEI 2024, Uongozi wa CCT Mkoa wa Katavi chini ya Mwenyekiti wao Baba Askofu Ephraim Ntibakuze wamekubaliana kuathimisha ibada ya pamoja (CCT DAY) mda kuanzia saa nane mchana katika kanisa kuu la Anglikana Katavi.
Zaburi 133:1

Пікірлер

    Келесі