BWANA WEWE NI MWEMA- Boaz Danken ft Eliya Mwantondo
Музыка
#GloryandHonortoJESUS
BWANA WEWE NI MWEMA Means ooh Lord your GOOD
Karibu Tutangaze wema wa BWANA WETU YESU PAMOJA, HALLELUYAH
Ninaamini Kuna uponyaji na Kuinuliwa sana katika Kumtaja YESU na Kazi alizozifanya Duniani kwajili Yetu
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama na wanaoendelea kusimama kwa Sadaka zao za fedha na Maombi kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hizi Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
Music Arranged & Directed by Apostle Sephone Sospeter
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Shalom V. Mbuke
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Amani Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati
Пікірлер: 350
Kama umebarikiwa na huu Wimbo gonga like hapa
Kwakweli Mungu ni mwema,,,,,Baba zidi kubarikiwa kwa huduma njema kwa watanzania
To the worthwhile person seeing this, your dream is not dead. Don’t allow the past and current pains and hurts stop and define you. You’re more than a conqueror. Rise up and put yourself together. Keep pushing your future depends on it. I wish you all the best in life ❤.
@emmanelson8509
Жыл бұрын
🇰🇪
@gladysbusisa8411
Жыл бұрын
Ameeeen
@dianakombo5178
Жыл бұрын
Ameen 🙏🙏🙏🙏❤️❤️
@Dee_Handa
8 ай бұрын
Thank you, I needed this 😩
Wewe ni kizazi cha kusifu na kuabudu Mungu alituletea wewe kaka. Asante kwa wimbo mzuri . Naombeni Like Zenu kutoka South Africa Hapa.
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Mungu azidi kukupaka mafuta ya rohoni mtumishi.
worship in its fullest. Mungu awazidishie jameni!!!
Bwana Yesu asifiwe, Mtumishi Boaz, Wakati tukiendelea na utumishi huu wa kumtumikia Yesu Kristo Bwana wetu; muenende (Waebrania 12:15 "mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu") Maana imeandikwa (Ktk 1Timotheo 2:9 "Wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kuwasitiri" - Mavazi ya binti zetu hapo yanapaswa kutoshika miili yao. WALAWI 19: 27 Msinyoe denge... 1WAKORINTHO 6:20 Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu. MAANA BAADA YA UTUMISHI HUU SISI WENYEWE TUSIJEKUWA WATU WA KUKATALIWA.
Wewe ni mwema
Wema wa Mungu ni kubwa mno kwangu.. Hakika sikustahili kukupata mimi niliyemwenye dhambi kiasi hiki. Lakini Mungu kanihurumia kanionyesha Wema wake.. Ahsante na ubarikiwe mtumishi wa Mungu @boazdanken_worship_minister
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Bwana wewe ni mwema kwangu siku zote.
Mungu ni mwema sana kwetu tuzidi kushuka
Hallelluyah hakika Mungu ni mwema sana
Bwana wewe ni mwema ni wimbo umenisaidia sana hata siwezi kuomba nasikiliza wimbo
This song is still fresh in 2023. Give a like if you feel the same here
Mungu ni mwema kabisa
Nyimbo kama hizi zinanifanya niutafakari ukuu wa Mungu kwa kina zaidi, nagundua fika kabisa Mungu wetu ni mwema vile haangalii wingi wa makosa yetu majira na nyakati zote juu yetu
Maadui hawana nafasi. Maana MUNGu nimwema Sana moyo wangu umeingiwa na furaha
YESU aendelee kukutumia usirudi nyuma vyimbo zako zinatubariki
Ahsante Mungu wangu wewe ni mwema
Bwana ni mwema hakika
Bwana ni mwema Sana katika maisha yangu,,, na ni kwa wema wake nko Hai,,, siangamii
Nakuombea Viwango na pia Nakupenda Sana Naamini MUNGU pekee ndio Msaada wako.....
Mungu akubariki Sana mtumushi wake,azidi kukutumia apendavyo
Hakika Mungu ni mwema mno,,barikiwa mtumishi Mungu azidi kukutumia
Wewe ni mwema Baba,wema wako unaonekaka majira yote.
Kweli bwana amejawaa msamaha ni kweli hatustahili Ila bwana ametustahilisha ....... Baba ubarikiwe Sanaa Sanaa sanaa
Ubarikiwe kwa wimbo huu umenibariki Sana. Samwel Niko Tanga
Wema wa Bwana ndio unaotuhifadhi na kutupa heshima, mtumishi Mungu akutunze tuu
Wewe ni mwema Sana Baba yangu
Upako huu🔥🔥🔥
Powerful
Barikiwa San kaka kazi nzuri utukufu kwa Mungu
Wewe n mwema bwana🤞🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Haleluya njooni tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu
@wilsonagutu8435
Жыл бұрын
Glory to God
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo asante sana
Nakupenda mno kaka Boaz namtukuza mungu kwa ajili YAKO...ubarikiwe mno na mungu azidi kukuinua viwango hata viwango
He is a good God. l am the girl that He has shown mercy
Nini kingenibadilisha Mimi, aaiii Kama sio Damu ya Msalaba! This a one song that I sing along with understanding...Jesus be glorified!
Tunabarikiwa sana sana sana Bwana wewe nimwema
Wema WA MUNGU hauchunguziki dam za wanyama hazikuweza Ila Dam ya Yesu. Ilishinda🙏🙏🙏🙏🙏🛐🛐🛐🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 MUNGU Azidi kuku paka mafuta
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
In deed He's too good for He doesn't treat us as our sins deserve. Yu mwema Mungu wetu
Naamini alie ndani yako nimkubwa mnoo Huduma yako niuponyaji kwa wengine nabarikiwa sana na nyimbo zako Mungu akupege hekima utuwema upole unyenyekevu naazidigi kukuinua leo kesho na hata milele. Amen kangi nunu akanikifwani
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Barikiwa sana mtumishi wa Kristo,natamani nami kuwa napata taarifa ili niwe nashiriki ibada hii
Umejawa msamaha Yesu 🙌🙌🙌🙌 Good music good video everything so good upako ni mkubwa mnomno
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
🇰🇪Kenya Loves you sir: Boaz
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
Bwana wewe ni Mwema😭😭😭🤲🤲🤲Bwana wewe ni Mwema uwiii😭😭😭🤲🤲
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo Please share kwa wengi ukiweza
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu.... Kazi ya Baraka sana na mafuta mengi
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo asante sana Kaka
Bwana wewe ni mwema🔥🔥
Kila nikiona wimbo umehusika nafurahia moyoni na kusema utukufu ni wake MUNGU wetu aliye juu. Barikiwa sana.
@boazdanken
Жыл бұрын
Glory and Honor to Jesus please share to many
powerful
Nyimbo zako zina utukufu, zinasisimua
Wimbo ulioBora sana Dunia mzima Kwa kweli,naurudia maranjingi Wito mkuu mtume.
I believe in the blood of Jesus...can change my sister ..we don't know which world is working in ...I believe thru his mercies my sister will change in Jesus name
Bwana Wewe ni Mwema wewe ni Mwema👑
Hallelujah Bwana ni Mwema
Oooh hallelujah hallelujah Glory to God Mubarikiwe watumishi wa Mungu Kazii nzurii Mungu AZIDI kuongezekaa katika huduma yenuu... 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Nakuru Kenya tumeupokea wimbo vyema🇰🇪
Ooh lord
kila siku kila saa wewe ni mwema maishani mwanfu yesu 🙏 🙏 🙏
Yesu ni mwema sana Mbarikiwe sana brothers #Boaz ft Eliya
Hakika Mungu Ni Mwemaa
Bwana Wewe ni Mwema, in n out of season 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Glory to God, what a prophetic song
Mungu awabariki mnooo kwa huduma hii njema ni ombi langu Mungu awapeleke viwango avitakavyo
@philemonojuondo7874
Жыл бұрын
Wow finally,, this song I just love ,God you are good
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Amen🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Utukufu kwa Mungu
Yupo mmoja anayependa kelele 🔥🔥🔥🔥
Ukashuka ukaacha enzi Mbinguni kuja kunibadilisha maana wewe ni mwema........ ooooh
Hakika ni kwa huruma za Mungu ninaishi Leo. Mungu akuzidishie zaid mtumishi wa Mungu
Hallelujah wewe Yesu ni mwema.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Wema wa Mungu ni waajabu haufananishwi hata theluthi ya mwanadamu
GOD is Good ALL the Time and ALL the Time GOD is Good and that is His nature, blessed be the name of the LORD 🇰🇪🇰🇪
Ni mwema kila wakati .
Hallelujah hallelujah God bless you
2024❤❤❤❤❤❤ watching 👀
Ooooh halleluya Glory to The greater might God 🙌🙌🙌🙌
Bwana Wewe ni mwema🙏🙏
🙏🙏 wewe ni mwema kwangu
Halleluyah bwana wewe ni mwema
Bwanaaaaa weweee nimwemaaaa wewe Nimwemaaaa 🙏
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Boaz God is taking you into another level of His own Glory....... endelea kunyenyekea mbele za Bwanaa nakuona katika viwango vya juu Saana... Much love 🇰🇪🇰🇪
Ni kwa huruma zake Ata sasa tunaishi Kwa nguvu ya Damu ya Yesu iliyo mwagika msalaban
I can't get enough of this song 🔥🔥🔥thank you servants of God.🇰🇪🇰🇪
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
🇹🇿 Mungu wetu ni mwema Sana Sana kila siku kila saa
Tena sana anapend kelele zawatakatifu wake mme barikiwa sana watakatifu wa mungu
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
Wewe mwema bwana.....
🎻🎻🎷🪘❤️💃 Bwana wewe ni Mwema, Wewe ni Mwema,Wewe ni Mwema💃❤️🪗🪗🥁🪘
Wow may GOD BLESS your work my brother
Hakika BWANA ni mwema Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Boaz
Mungu ni mwema na mwenye huruma sana ....Nampenda mnoo❤😭🤗
Ni kwa wema wako tu hatuangamii Bwana wewe ni Mwema 😭😭😭🙌🙌🙌
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa weng
BWANA wewe ni Mwema DAMU yako yatosha.
Ukaamua kuja mwenyewe, ukaacha enzi MBINGUNI.
Singing ni "kwa wema wako hatuangamii"i remember lamentation 3:22
Yupo anaye penda kerere NI MUNGU wetu
Be blessed servant of God for the annointed voice song i wish i could part of yur ministry
Nakutamani sana kaka angu
Great song. Be blessed
Nice & annointed Song... I'm happy to see my young brother Shaloom Mbukue on the drum again! God bless you and liftup ur ministry 😇🙏🇹🇿
Roho Mtakatifu aendelee kukupaka mafuta mtumishi
Kwa hakika Bwana ni mwema anafanya makubwa
Mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi kwa viwango vya Juu zaidi
@boazdanken
Жыл бұрын
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza