Bwana ni Jabali langu-Umoja wa vijana KKKT Makorora
Жүктеу.....
Пікірлер: 27
@suzanycharles65604 жыл бұрын
Nafarijika Sana niskilizapo na nionapo video za bwana Ni jabali langu Mungu awapumzishe kw Amani wote waliotangulia mbele za haki ..ntakukumbuka daima dada Victoria kusaga😢😢
@kundaxensimon37672 жыл бұрын
Back to years mpaka leo naipenda sana hii kwaya Mungu awape pumziko la milele waliotangulia mbele ya haki 🙏🏾🙏🏾🥰🥰
@raphaelsakafu71464 жыл бұрын
Hapo namuona marehemu dada sesi pia namuona dada yangu kipenzi happy pia namuona shemeji yangu chaula.
@bonifaceleornad42293 жыл бұрын
Hongereni sana. Hiz ni nyimbo zinazoishi#Mbarikiwe Sana
@franciss.karata94165 жыл бұрын
Enzi hazirudi, lakini chakufurahisha YESU Ni yuleyule jana, leo na hata milele
@frankkimoho2387
4 жыл бұрын
ameen.mbarikiwe
@joelnkya86242 жыл бұрын
......muwe na hasira ila msitende dhambi, jua lisichwe uchungu bado hauja watoka..... akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe.....02/09/2021
@rehemabahati76162 жыл бұрын
Nime wakumbuka sana sana mungu awabariki popote mlipo
@yairoswai95875 жыл бұрын
Hakika kwaya hii Mungu aibariki na kwa sasa iko vizuri kweli niliona tamasha lao la pasaka mwaka 2019
@alfamanfere73907 ай бұрын
Me kila nikijag tnga lazima ninunue hii cd 💪🏻💪🏻
@dicksonmachange8161 Жыл бұрын
Mungu ni MWEMA wkt wote
@tangos97423 жыл бұрын
bado naangalia 9/5/2021❤️🥰
@neematungaraza34782 жыл бұрын
Intro 0:00-1:14 Akasema Nao 1:14-5:36 Siku Ya Kwanza Ya Juma 5:36-10:28 Basi Uvueni 10:28-14:21 Wewe Bwana 14:21-17:55 Katika Wanadamu17:55-19:53
@simonfundi36092 жыл бұрын
Inapendeza sana Asante
@tinagrace70107 жыл бұрын
jamani naomba albam yao yote ya hii na ile ya kwaya kuu kkkt tanga Mungu amenihurumia kama unayo
@benjaminmdoe44422 жыл бұрын
Dah umenikumbusha mbali sana
@clevermngao75657 ай бұрын
Miaka mingi sana nakumbuka nilikuwa naenda kusali Makorora kwa ajili ya hii kwaya!! Nilikuwa mdogo sana kipindi hicho!! Ndio Albam ilikuwa imetoka!!
@amaninsemwa52113 жыл бұрын
Asante sana.
@boscomfundo79534 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali sana, siku zangu za mwanzo ktk wokovu
@rehemabahati76162 жыл бұрын
Jamani arbamu ya amenitea yesu ipo mbona ciipati naombani
@franciss.karata94162 жыл бұрын
Basi uvueni uongo mkaseme kweli!!
@sindimbakokoriko33063 жыл бұрын
Naombeni ule wimbo wenu wa heri mtu yule astahimiliye majaribu...Nakumbuka mbali sn mliwahi kuja Dsm msasani mwaka 1999 au 2000
@sellinakapama43752 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa natoka Mikanjuni Tanga siku ya jumapili naenda Makorora kwa ajili ya kusali na kuwasikiliza hawa jamaa! Walikuwa moto Sana hii kwaya!
@clevermngao7565
7 ай бұрын
Selina Kapama? Mbona Mke wangu anaitwa pia Selina Kapama!!!
@johnmngano19115 жыл бұрын
Update
@rosemwaijande3391
Жыл бұрын
Nakumbuka nilikuwa sungida ndio nimenunua kanda yao Wapo jamani nimekumbuka mengi saaana
Пікірлер: 27
Nafarijika Sana niskilizapo na nionapo video za bwana Ni jabali langu Mungu awapumzishe kw Amani wote waliotangulia mbele za haki ..ntakukumbuka daima dada Victoria kusaga😢😢
Back to years mpaka leo naipenda sana hii kwaya Mungu awape pumziko la milele waliotangulia mbele ya haki 🙏🏾🙏🏾🥰🥰
Hapo namuona marehemu dada sesi pia namuona dada yangu kipenzi happy pia namuona shemeji yangu chaula.
Hongereni sana. Hiz ni nyimbo zinazoishi#Mbarikiwe Sana
Enzi hazirudi, lakini chakufurahisha YESU Ni yuleyule jana, leo na hata milele
@frankkimoho2387
4 жыл бұрын
ameen.mbarikiwe
......muwe na hasira ila msitende dhambi, jua lisichwe uchungu bado hauja watoka..... akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe.....02/09/2021
Nime wakumbuka sana sana mungu awabariki popote mlipo
Hakika kwaya hii Mungu aibariki na kwa sasa iko vizuri kweli niliona tamasha lao la pasaka mwaka 2019
Me kila nikijag tnga lazima ninunue hii cd 💪🏻💪🏻
Mungu ni MWEMA wkt wote
bado naangalia 9/5/2021❤️🥰
Intro 0:00-1:14 Akasema Nao 1:14-5:36 Siku Ya Kwanza Ya Juma 5:36-10:28 Basi Uvueni 10:28-14:21 Wewe Bwana 14:21-17:55 Katika Wanadamu17:55-19:53
Inapendeza sana Asante
jamani naomba albam yao yote ya hii na ile ya kwaya kuu kkkt tanga Mungu amenihurumia kama unayo
Dah umenikumbusha mbali sana
Miaka mingi sana nakumbuka nilikuwa naenda kusali Makorora kwa ajili ya hii kwaya!! Nilikuwa mdogo sana kipindi hicho!! Ndio Albam ilikuwa imetoka!!
Asante sana.
Inanikumbusha mbali sana, siku zangu za mwanzo ktk wokovu
Jamani arbamu ya amenitea yesu ipo mbona ciipati naombani
Basi uvueni uongo mkaseme kweli!!
Naombeni ule wimbo wenu wa heri mtu yule astahimiliye majaribu...Nakumbuka mbali sn mliwahi kuja Dsm msasani mwaka 1999 au 2000
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa natoka Mikanjuni Tanga siku ya jumapili naenda Makorora kwa ajili ya kusali na kuwasikiliza hawa jamaa! Walikuwa moto Sana hii kwaya!
@clevermngao7565
7 ай бұрын
Selina Kapama? Mbona Mke wangu anaitwa pia Selina Kapama!!!
Update
@rosemwaijande3391
Жыл бұрын
Nakumbuka nilikuwa sungida ndio nimenunua kanda yao Wapo jamani nimekumbuka mengi saaana