Bwana ni Jabali langu-Umoja wa vijana KKKT Makorora

Пікірлер: 27

  • @suzanycharles6560
    @suzanycharles65604 жыл бұрын

    Nafarijika Sana niskilizapo na nionapo video za bwana Ni jabali langu Mungu awapumzishe kw Amani wote waliotangulia mbele za haki ..ntakukumbuka daima dada Victoria kusaga😢😢

  • @kundaxensimon3767
    @kundaxensimon37672 жыл бұрын

    Back to years mpaka leo naipenda sana hii kwaya Mungu awape pumziko la milele waliotangulia mbele ya haki 🙏🏾🙏🏾🥰🥰

  • @raphaelsakafu7146
    @raphaelsakafu71464 жыл бұрын

    Hapo namuona marehemu dada sesi pia namuona dada yangu kipenzi happy pia namuona shemeji yangu chaula.

  • @bonifaceleornad4229
    @bonifaceleornad42293 жыл бұрын

    Hongereni sana. Hiz ni nyimbo zinazoishi#Mbarikiwe Sana

  • @franciss.karata9416
    @franciss.karata94165 жыл бұрын

    Enzi hazirudi, lakini chakufurahisha YESU Ni yuleyule jana, leo na hata milele

  • @frankkimoho2387

    @frankkimoho2387

    4 жыл бұрын

    ameen.mbarikiwe

  • @joelnkya8624
    @joelnkya86242 жыл бұрын

    ......muwe na hasira ila msitende dhambi, jua lisichwe uchungu bado hauja watoka..... akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe.....02/09/2021

  • @rehemabahati7616
    @rehemabahati76162 жыл бұрын

    Nime wakumbuka sana sana mungu awabariki popote mlipo

  • @yairoswai9587
    @yairoswai95875 жыл бұрын

    Hakika kwaya hii Mungu aibariki na kwa sasa iko vizuri kweli niliona tamasha lao la pasaka mwaka 2019

  • @alfamanfere7390
    @alfamanfere73907 ай бұрын

    Me kila nikijag tnga lazima ninunue hii cd 💪🏻💪🏻

  • @dicksonmachange8161
    @dicksonmachange8161 Жыл бұрын

    Mungu ni MWEMA wkt wote

  • @tangos9742
    @tangos97423 жыл бұрын

    bado naangalia 9/5/2021❤️🥰

  • @neematungaraza3478
    @neematungaraza34782 жыл бұрын

    Intro 0:00-1:14 Akasema Nao 1:14-5:36 Siku Ya Kwanza Ya Juma 5:36-10:28 Basi Uvueni 10:28-14:21 Wewe Bwana 14:21-17:55 Katika Wanadamu17:55-19:53

  • @simonfundi3609
    @simonfundi36092 жыл бұрын

    Inapendeza sana Asante

  • @tinagrace7010
    @tinagrace70107 жыл бұрын

    jamani naomba albam yao yote ya hii na ile ya kwaya kuu kkkt tanga Mungu amenihurumia kama unayo

  • @benjaminmdoe4442
    @benjaminmdoe44422 жыл бұрын

    Dah umenikumbusha mbali sana

  • @clevermngao7565
    @clevermngao75657 ай бұрын

    Miaka mingi sana nakumbuka nilikuwa naenda kusali Makorora kwa ajili ya hii kwaya!! Nilikuwa mdogo sana kipindi hicho!! Ndio Albam ilikuwa imetoka!!

  • @amaninsemwa5211
    @amaninsemwa52113 жыл бұрын

    Asante sana.

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo79534 жыл бұрын

    Inanikumbusha mbali sana, siku zangu za mwanzo ktk wokovu

  • @rehemabahati7616
    @rehemabahati76162 жыл бұрын

    Jamani arbamu ya amenitea yesu ipo mbona ciipati naombani

  • @franciss.karata9416
    @franciss.karata94162 жыл бұрын

    Basi uvueni uongo mkaseme kweli!!

  • @sindimbakokoriko3306
    @sindimbakokoriko33063 жыл бұрын

    Naombeni ule wimbo wenu wa heri mtu yule astahimiliye majaribu...Nakumbuka mbali sn mliwahi kuja Dsm msasani mwaka 1999 au 2000

  • @sellinakapama4375
    @sellinakapama43752 жыл бұрын

    Nakumbuka enzi hizo nilikuwa natoka Mikanjuni Tanga siku ya jumapili naenda Makorora kwa ajili ya kusali na kuwasikiliza hawa jamaa! Walikuwa moto Sana hii kwaya!

  • @clevermngao7565

    @clevermngao7565

    7 ай бұрын

    Selina Kapama? Mbona Mke wangu anaitwa pia Selina Kapama!!!

  • @johnmngano1911
    @johnmngano19115 жыл бұрын

    Update

  • @rosemwaijande3391

    @rosemwaijande3391

    Жыл бұрын

    Nakumbuka nilikuwa sungida ndio nimenunua kanda yao Wapo jamani nimekumbuka mengi saaana