BURNA BOY kweli ni African Giant! Watu 80,000 wahudhuria tamasha lake London Stadium

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 149

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @DissahPlusson-jp2qj
    @DissahPlusson-jp2qj2 күн бұрын

    Burna boy I will see you my artist, champions

  • @user-xn2ih2br7y
    @user-xn2ih2br7y3 күн бұрын

    Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥

  • @user-oe1iw6gz2m
    @user-oe1iw6gz2m3 күн бұрын

    Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂

  • @shabanimataka8418

    @shabanimataka8418

    3 күн бұрын

    Nani middle?

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi3 күн бұрын

    alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu6993 күн бұрын

    Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅

  • @EdsonyMashaka
    @EdsonyMashaka3 күн бұрын

    Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana

  • @Symoob5c

    @Symoob5c

    2 күн бұрын

    Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo103 күн бұрын

    Big up Burna boy❤

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma77642 күн бұрын

    Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    2 күн бұрын

    Ni mkubwa na amefikia huo ukubwa kwa sana tu

  • @theresekwizerimana4044
    @theresekwizerimana40443 күн бұрын

    Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu

  • @dannysengata2298
    @dannysengata22983 күн бұрын

    Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂

  • @ghettolandentertainment7701

    @ghettolandentertainment7701

    3 күн бұрын

    Kumbe na wewe ulimskia 😅😅

  • @humbleshoal

    @humbleshoal

    3 күн бұрын

    ​@@ghettolandentertainment7701 Jamani naombeni niambie ni nani

  • @ibrahimjustine3771

    @ibrahimjustine3771

    3 күн бұрын

    Mwambino chizi tuh

  • @khamso-254

    @khamso-254

    3 күн бұрын

    😂uchokozi sasa😂

  • @priscamrekoni3451

    @priscamrekoni3451

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈

  • @samuelmwatsuma4462
    @samuelmwatsuma44623 күн бұрын

    Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i3 күн бұрын

    Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22323 күн бұрын

    Noma sana

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma49323 күн бұрын

    Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture29413 күн бұрын

    Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z3 күн бұрын

    MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver65413 күн бұрын

    Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂

  • @ghettolandentertainment7701

    @ghettolandentertainment7701

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ghettolandentertainment7701

    @ghettolandentertainment7701

    3 күн бұрын

    Eti amewakamata 😂

  • @ghettolandentertainment7701

    @ghettolandentertainment7701

    3 күн бұрын

    @d255tv watu wanajaza viwanja then wasanii wetu wanashangilia TikTok challenge ya Chris brown..

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    ​@d255tvuyo bundala nae si choko kama machoko wengine hahahaha Comasava

  • @collinndabi1914

    @collinndabi1914

    2 күн бұрын

    @d255tv bundala kangata na kupuliza hapo hapo

  • @user-qe7ym7yw9j
    @user-qe7ym7yw9j3 күн бұрын

    Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤

  • @mustaphakhamisikhamisi

    @mustaphakhamisikhamisi

    3 күн бұрын

    Mungu kahusika tena 😢😢😢?

  • @mustaphakhamisikhamisi

    @mustaphakhamisikhamisi

    3 күн бұрын

    وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالًا مَّعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْتَلُنَّ يَوْمَ الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ )

  • @GreysonMdee-wm8tn

    @GreysonMdee-wm8tn

    3 күн бұрын

    Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru62903 күн бұрын

    Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,

  • @philipotieno9996
    @philipotieno99962 күн бұрын

    Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 күн бұрын

    Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja

  • @HakisaniTv
    @HakisaniTv3 күн бұрын

    Burna Boy ni NAMBA 1

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture29413 күн бұрын

    Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f3 күн бұрын

    Atambe pande zake pande zetu atambi

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech3 күн бұрын

    Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga52093 күн бұрын

    Diamond, analia na nyerere, 🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    3 күн бұрын

    Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    ​@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    3 күн бұрын

    @@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    3 күн бұрын

    @@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    @@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment77013 күн бұрын

    Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂

  • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

    @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

    3 күн бұрын

    Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo

  • @Asamtz360

    @Asamtz360

    3 күн бұрын

    Chris kacheza on the low ya burna kaitafute

  • @NemesMasawe

    @NemesMasawe

    3 күн бұрын

    On the low na Anamuombaa cokabo

  • @wabackali2494

    @wabackali2494

    3 күн бұрын

    3:35 ​@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor54763 күн бұрын

    Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii

  • @abedarakaza9017

    @abedarakaza9017

    3 күн бұрын

    ​@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    @@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa

  • @wekezauchumi7440

    @wekezauchumi7440

    2 күн бұрын

    ​@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam24912 күн бұрын

    Hatar

  • @MOREDI2024
    @MOREDI20243 күн бұрын

    Yeye anapewa ngapi?

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi72642 күн бұрын

    Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura95233 күн бұрын

    Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu

  • @user-rw4qn6zh6n

    @user-rw4qn6zh6n

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @NELEWARDYMWASILE-dn1ll

    @NELEWARDYMWASILE-dn1ll

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @marleshjimmy1972

    @marleshjimmy1972

    3 күн бұрын

    Umemaliza vizuri 😅😅

  • @wekezauchumi7440
    @wekezauchumi74402 күн бұрын

    Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha

  • @asawoasawo517
    @asawoasawo5173 күн бұрын

    Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay65663 күн бұрын

    Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    3 күн бұрын

    Yule ni kumasava

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari3423 күн бұрын

    MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe

  • @Symoob5c

    @Symoob5c

    2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani99053 күн бұрын

    Mpen Salam Mr mwambino

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga3 күн бұрын

    Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana

  • @MohammedBwanga

    @MohammedBwanga

    3 күн бұрын

    @@albertkadyanji9722 kabisa

  • @shongatv1224

    @shongatv1224

    3 күн бұрын

    Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman ​@@albertkadyanji9722

  • @user-qu1hc9wl6j
    @user-qu1hc9wl6j3 күн бұрын

    Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk3 күн бұрын

    Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment77013 күн бұрын

    Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc2 күн бұрын

    Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv13 күн бұрын

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @donizzo9570
    @donizzo95703 күн бұрын

    Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau3 күн бұрын

    Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu

  • @rehemajuma6008
    @rehemajuma60083 күн бұрын

    Hahaaa ety kawakomesha

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver65413 күн бұрын

    😂😂😂

  • @mdedsm5522
    @mdedsm55223 күн бұрын

    Diddy made it😂

  • @salimhassan3369
    @salimhassan33693 күн бұрын

    Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅

  • @neltone
    @neltone3 күн бұрын

    Tanzania tuko vzr mfn n huy burna

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99762 күн бұрын

    Shida wanapanga muda mapema mond angejaza

  • @selemanirashidi-sc3pp
    @selemanirashidi-sc3pp3 күн бұрын

    Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa13203 күн бұрын

    Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua

  • @samiusiraj4587
    @samiusiraj45873 күн бұрын

    Anaitwa barn shona domo,ndy

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii12763 күн бұрын

    Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo84993 күн бұрын

    Lakini kama naona ni mchana apo

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    2 күн бұрын

    Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi3 күн бұрын

    SNS hamlali

  • @vibetz9991
    @vibetz99913 күн бұрын

    Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant

  • @princedrama7
    @princedrama73 күн бұрын

    kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂

  • @luisojr3480

    @luisojr3480

    3 күн бұрын

    Uchokozi😂

  • @BakariAlly-dm1vf
    @BakariAlly-dm1vf3 күн бұрын

    Mond au😂

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa13463 күн бұрын

    Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo

  • @chinguilechinguile1501

    @chinguilechinguile1501

    3 күн бұрын

    Minimal 24000000000

  • @EtieniRama
    @EtieniRama3 күн бұрын

    alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein76783 күн бұрын

    Komasava 😂🤣🤣

  • @MichaelAlimasi-jz1wi
    @MichaelAlimasi-jz1wi3 күн бұрын

    Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz

  • @rashidingole1588
    @rashidingole15883 күн бұрын

    Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi3 күн бұрын

    Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Wewe choko punguza domo ilo unaongea kama shoga

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage483 күн бұрын

    Diamond anakomesha kivp sasa

  • @mrenobishoo1118
    @mrenobishoo11183 күн бұрын

    Wameingia kwenye mfumo !!!!

  • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

    @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

    3 күн бұрын

    Ndo nini?

  • @MamboSuper
    @MamboSuper3 күн бұрын

    Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava

  • @beingothman
    @beingothman3 күн бұрын

    Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....

  • @collinndabi1914
    @collinndabi19143 күн бұрын

    Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework

  • @mohamednabahan9031

    @mohamednabahan9031

    3 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 mamamake

  • @bmtv111
    @bmtv1113 күн бұрын

    Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani. Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)

  • @zaidyabed

    @zaidyabed

    3 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @LouisianaRiri

    @LouisianaRiri

    3 күн бұрын

    Kwani amekatazwa kuimba English?

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi2363 күн бұрын

    Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂

  • @collinndabi1914
    @collinndabi19143 күн бұрын

    Show za mchana na kelele kibao

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya68732 күн бұрын

    Hata Diamond namuona huku

  • @KENYATRENDYTOPICS
    @KENYATRENDYTOPICS3 күн бұрын

    But Diamond is bigger than Him

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 күн бұрын

    Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri

  • @sponsor7882
    @sponsor78823 күн бұрын

    mwambino rudi tandale tu

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @MikidadiKimilike
    @MikidadiKimilike2 күн бұрын

    Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv13 күн бұрын

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @user-rx8kk9rp1r
    @user-rx8kk9rp1r3 күн бұрын

    Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @Oficialkb
    @Oficialkb3 күн бұрын

    Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂

Келесі