Bunge la Kisii kupokea jina la anayependekezwa
Gavana wa kaunti ya Kisii, Simba Arati, anakabiliwa na kibarua kigumu cha kumtangaza anayependekeza kuchukua nafasi ya Robert Monda ambaye alitimuliwa kwenye wadhifa wa naibu gavana wiki ikiyopita. Inasemekana kuwa gavana arati ameelekeza macho yake kwa aliyekuwa mbunge wa Nyaribari Chache Richard Tong'i na aliyekuwa katibu katika wizara ya afya Susan Mochache miongoni mwa watu wengine wanaotajwa kuwa na tajriba ya kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Monda
Пікірлер: 16
Susan mochache....a respectable woman..
Susan mochache will be the best
Wachana na wanasiasa, tuletee Susan Mochache. Period. Huyo tongi angojee kula ya ubunge alishindwa. Infact we don't need rejected politicians
a woman can do well in that position
Susan tosha
Susan mochache
Susan Mochache sawa kabisa.
Mochache sounds better
Susan the best
Susan mochache tosha
Sunguzia
Mochacha tosha
Rachael Otundo
Ps Susan Mochache can do better than men
tongi has nothing...to deliver..
Susan mochache