Brothers Atatû Monanaga Naniî Kîmwîrî Ngîgîa Ihû Na Ndiamenyire Rîarî Rîaû Gatagatî Kao

Ойын-сауық

Brothers Atatû Monanaga Naniî Kîmwîrî Ngîgîa Ihû Na Ndiamenyire Rîarî Rîaû Gatagatî Kao
#countydigitaltv #rejectfinancebill #love #trendingvideo

Пікірлер: 16

  • @countydigitaltv
    @countydigitaltv16 күн бұрын

    To talk to our guest, reach her via her number Ruth Nanjala Namboso 0113670942

  • @lucydaudi
    @lucydaudi15 күн бұрын

    Pole sana dada nilifitie hayo bt mungu ata kusaidi sana na ukae maisha poa

  • @VeronicaDunbar
    @VeronicaDunbar16 күн бұрын

    Dunia haina haki kwa wamama majemeni. Baba akiwacha watoto (deadbeat dad), hakuna anaeshughulika kuhakikisha ako responsible na watoto wake. Mostly nnchi za kiafrika. Lakini ole wake awe ni mwanamke, serekali itamfunga haraka sana na atajibu maswali mengi, hata kwa society, family etc Na hata kufungwa. Hii ni bias, na maoneo kuliko female gender.

  • @user-bn7hq3gx8o
    @user-bn7hq3gx8o16 күн бұрын

    Uyu mutumia ma ena stress itahana ,NGAI aromuririkana , na inyui arume aria muciarithagia ciana ciene mugacoka mukamatiganiria, siku yenu inakuja .

  • @user-bn7hq3gx8o
    @user-bn7hq3gx8o16 күн бұрын

    Ndio maana siweji acha watoto wangu, pole sana mummy.

  • @VeronicaDunbar

    @VeronicaDunbar

    16 күн бұрын

    Guests wengine, wanakuja kusema story yao, lakini nikama wamelazimishwa. Host anajaribu kuwasukuma waendelee kutoa story, lakini guest anakwama na kukita kita *Kii. Sijui km hosts wako trained kujaribu njia fulani, ndio guests wawe na mteremko mzuri wa story au la.

  • @VeronicaDunbar

    @VeronicaDunbar

    16 күн бұрын

    Senior secondary kweli ni class 8? Au inaitwa Junior Secondary au nini?

  • @VeronicaDunbar

    @VeronicaDunbar

    16 күн бұрын

    Tafathali Waria msitese wasichana wa kazi Kenya. Tafathali. Na mfahamu, hio ni sheria ya nnchi na hata sheria ya Mungu. Msione ati mnawafanyia hesani. Hio ni haki yao km vilevile haki yenu kama binaadam. Wahindi walikua wamezoea. Lakini Uganda, Idi akawafunza adabu. Wengine 'MA slave pusher mentality' ni Waarabu. Haswa zaidi, huko kwao uarabuni. Komeni muepukane na Kiboko ya Mwenyezi Mungu. STOP.

  • @countydigitaltv

    @countydigitaltv

    16 күн бұрын

    True, wakome kabisa

  • @user-bn7hq3gx8o
    @user-bn7hq3gx8o16 күн бұрын

    Woiye kama anaeza pata mtu wakuachia watoto, akuje gulf na atalea watoto wake vizuri sana.

  • @VeronicaDunbar

    @VeronicaDunbar

    16 күн бұрын

    Siumesema huezi achia mtu watoto wako? Na sasa uko Gulf aje? Kwani ulienda na watoto wako?

  • @user-bn7hq3gx8o

    @user-bn7hq3gx8o

    15 күн бұрын

    @@VeronicaDunbar mimi sikuachia mwanaume watoto wangu .

  • @user-bn7hq3gx8o

    @user-bn7hq3gx8o

    15 күн бұрын

    @@VeronicaDunbar kama hukunielewa, nlimaanisha siwezi achia mwanaume watoto, huyu mschana kama mama yake hangemuacha kwa huyo mwanaume, hangepitia yenye alipitia, so usilete makasiriko kwa coment yangu, .

  • @VeronicaDunbar
    @VeronicaDunbar16 күн бұрын

    Give us her names properly. Host, please yaandike, ndio apate msaada na kazi. Host umefaidika, but guest has only lost. Sababu hakupeana particulars zake vizuri, ndio aweze kusaidika. Host, kua fair upendeke na, ndio upate more viewers na subscribers. Please pin her names, ph# ndio afaidike. PLEASE.

  • @countydigitaltv

    @countydigitaltv

    16 күн бұрын

    Number is already pinned at comment section

  • @countydigitaltv

    @countydigitaltv

    16 күн бұрын

    Ruth Nanjala Namboso 0113670942

Келесі