Bright Ft. Khadija Kopa & Juma kakere & Karen - Ndoa (Official Music Video)

Музыка

#Bright Ft. #KhadijaKopa & #Jumakakere & #Karen - Ndoa
Audio Produced By Mocco Genius
Video Production By Mr Ligo
Follow Us
/ brightmusictz
/ brightmusictz

Пікірлер: 773

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard67014 жыл бұрын

    Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa

  • @tumainimhesi9689

    @tumainimhesi9689

    4 жыл бұрын

    dogo anajua mpaka anakera

  • @deus8629
    @deus86294 жыл бұрын

    Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    4 жыл бұрын

    Amiiiin👏👏

  • @najmaalbajun4686

    @najmaalbajun4686

    4 жыл бұрын

    Nipo apa

  • @najmaalbajun4686

    @najmaalbajun4686

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @veelookie8430

    @veelookie8430

    4 жыл бұрын

    ☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo

  • @kistulavagen5096

    @kistulavagen5096

    4 жыл бұрын

    Ndoa

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba88036 ай бұрын

    legindi ni legende tu, hii nyimbo wazee wamefunika

  • @saumuhajivuyaa6656
    @saumuhajivuyaa66564 жыл бұрын

    Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah

  • @rukiyahussan4190

    @rukiyahussan4190

    4 жыл бұрын

    Amiin 🤲

  • @fatmakiruwasha2378

    @fatmakiruwasha2378

    4 жыл бұрын

    Jamani baba napenda huyu

  • @mwanamisigulu2401

    @mwanamisigulu2401

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    4 жыл бұрын

    Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote

  • @lovenessdiva3370

    @lovenessdiva3370

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @nalingacomedian3848
    @nalingacomedian38484 жыл бұрын

    Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno

  • @shakirahussein5159

    @shakirahussein5159

    3 жыл бұрын

    Nalinga Comedian waooo mashaallah

  • @shakirahussein5159

    @shakirahussein5159

    3 жыл бұрын

    Nalinga Comedian tumejuwanareo anataka kunivuanguooe

  • @AbiTech96
    @AbiTech9610 ай бұрын

    Combinaison nzuri saaaaaana produ kukua african. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆

  • @manyweretv5177
    @manyweretv51774 жыл бұрын

    Likes kwa wingi tumsaport bright jamaa yuko vzuri

  • @AMANISADIKIMLIPU

    @AMANISADIKIMLIPU

    4 жыл бұрын

    yuko vizuri kzread.info/dash/bejne/X5qOo817ZZiqfso.html

  • @juniorcx0114

    @juniorcx0114

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @aminaali446
    @aminaali4464 жыл бұрын

    Inshallah pia mm ombi langu nipata mume mwema

  • @sportplatform4318

    @sportplatform4318

    4 жыл бұрын

    Nipo hapa mume mwema

  • @aminajuma1435

    @aminajuma1435

    4 жыл бұрын

    Mungu atatijaaliatu wajina… tuzidishe subra.

  • @hannahsanga5647

    @hannahsanga5647

    4 жыл бұрын

    Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa

  • @salumkatembo4441

    @salumkatembo4441

    4 жыл бұрын

    Allahumma amin

  • @aminahasan4250

    @aminahasan4250

    4 жыл бұрын

    Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha

  • @yvetteyvette202
    @yvetteyvette2024 жыл бұрын

    Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili

  • @edwardkairithia2651
    @edwardkairithia26514 жыл бұрын

    Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hassanomary2491
    @hassanomary24914 жыл бұрын

    Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa

  • @mnyamwezitv382
    @mnyamwezitv3824 жыл бұрын

    WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz

  • @mnyamwezitv382

    @mnyamwezitv382

    4 жыл бұрын

    @@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido

  • @salumkatembo4441

    @salumkatembo4441

    4 жыл бұрын

    Nimeipend xan

  • @salumkatembo4441

    @salumkatembo4441

    4 жыл бұрын

    @@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa

  • @Offical_neyvoice

    @Offical_neyvoice

    4 жыл бұрын

    Saanaaaa

  • @sigitinjandi6014
    @sigitinjandi60144 жыл бұрын

    Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak

  • @esthergambi8058
    @esthergambi8058 Жыл бұрын

    uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤

  • @hancybinho665
    @hancybinho6654 жыл бұрын

    Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko

  • @jacklinibrahim8805
    @jacklinibrahim88059 ай бұрын

    Hizi ndonyimbo jaman skuiz hamna mziki wakufindisha mabint nikuharibu tuu

  • @mayyadamatimbwa8744
    @mayyadamatimbwa87444 жыл бұрын

    These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!

  • @azizaalwan8686

    @azizaalwan8686

    4 жыл бұрын

    Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.

  • @finah791

    @finah791

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ariphkimani3790

    @ariphkimani3790

    4 жыл бұрын

    Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi

  • @wishjuniortz7714
    @wishjuniortz77144 жыл бұрын

    Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪

  • @shabanadnan4443
    @shabanadnan44434 жыл бұрын

    Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua

  • @omboks
    @omboks3 жыл бұрын

    “Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tumabhay8576
    @tumabhay85764 жыл бұрын

    Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.

  • @kusinimediatz6747
    @kusinimediatz67474 жыл бұрын

    Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi

  • @theresiandasuya1849
    @theresiandasuya18494 жыл бұрын

    Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur

  • @maryviverlucas9182
    @maryviverlucas91824 жыл бұрын

    Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae

  • @joselinejoseph9632
    @joselinejoseph96324 жыл бұрын

    Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓

  • @ignatusjacob583
    @ignatusjacob5834 жыл бұрын

    Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!

  • @sulemanabdulaziz3682
    @sulemanabdulaziz36824 жыл бұрын

    nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️

  • @janethmwanga7963
    @janethmwanga79634 жыл бұрын

    Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.

  • @nestorcolonel7943
    @nestorcolonel79434 жыл бұрын

    Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February

  • @jaxplatnumz203
    @jaxplatnumz2034 жыл бұрын

    Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like

  • @FourTeen_Kiid
    @FourTeen_Kiid3 жыл бұрын

    Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤

  • @aminatasongoro9592
    @aminatasongoro95924 жыл бұрын

    Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu

  • @brendachibura6040
    @brendachibura60404 жыл бұрын

    Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki

  • @o.o.8074
    @o.o.80744 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️

  • @sophierashdy8716
    @sophierashdy87164 жыл бұрын

    Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌

  • @omarykingo5744
    @omarykingo57444 жыл бұрын

    Ubunifu wa hali ya juu

  • @abdicousin5991
    @abdicousin59914 жыл бұрын

    Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma

  • @geelblessedone6071
    @geelblessedone60714 жыл бұрын

    Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..

  • @sophishebby9678
    @sophishebby96784 жыл бұрын

    Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa

  • @meloaunt2593
    @meloaunt25934 жыл бұрын

    Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere

  • @ashamasaza4096
    @ashamasaza40964 жыл бұрын

    Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like

  • @EphrembmcDamasene-kw6qq

    @EphrembmcDamasene-kw6qq

    6 ай бұрын

    Vip

  • @drizzyromeoscraface2442
    @drizzyromeoscraface24424 жыл бұрын

    E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni

  • @danielburuna8409
    @danielburuna84094 жыл бұрын

    Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.

  • @mbarukgude5335
    @mbarukgude53354 жыл бұрын

    Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote

  • @4zepeople316
    @4zepeople3164 жыл бұрын

    Duuuuh!!!! sio poa kabsaaa, tukumbuke theory inasema "unavyofanya ndio utakavyofanyiwa". Mpaka Khadijah Kopa amekuwa na hamu ya kukojolewa na mjukuu

  • @legawayz6093
    @legawayz60934 жыл бұрын

    Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao

  • @adbellar338

    @adbellar338

    4 жыл бұрын

    Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli

  • @fatumamtepa3163
    @fatumamtepa31634 жыл бұрын

    Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..

  • @watotowamungubyfreconicide1505
    @watotowamungubyfreconicide15054 жыл бұрын

    Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.

  • @barikimaluli5836
    @barikimaluli58364 жыл бұрын

    Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana

  • @happyeugen468
    @happyeugen4684 жыл бұрын

    Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright

  • @diacynthedia6295
    @diacynthedia62954 жыл бұрын

    Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa

  • @qasyem
    @qasyem4 жыл бұрын

    Hizi ndo nyimbo zenye ubunifu na ujumbe ...👍👍👍nimekapenda karen 🔥

  • @kilungodionizi1865
    @kilungodionizi18654 жыл бұрын

    Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘

  • @vidahemmanuel8049
    @vidahemmanuel80494 жыл бұрын

    Nampenda sana bright yuko vizur na kareen

  • @jovitasaimon8744
    @jovitasaimon87444 жыл бұрын

    Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja

  • @emmanuelluiso4872
    @emmanuelluiso48724 жыл бұрын

    Tuliokuja hapa kwa ajili ya Kareen tujuane kwa likes hapo chini😂

  • @thabitmansourmikidadi9205

    @thabitmansourmikidadi9205

    4 жыл бұрын

    Nicr

  • @thabitmansourmikidadi9205

    @thabitmansourmikidadi9205

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @jacquelineminja8769
    @jacquelineminja87694 жыл бұрын

    Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija

  • @amourmbago3640
    @amourmbago36404 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana ubunifu wa hali ya juu umeutumia kaka ..big up bro ...

  • @AMANISADIKIMLIPU

    @AMANISADIKIMLIPU

    4 жыл бұрын

    up kzread.info/dash/bejne/X5qOo817ZZiqfso.html

  • @anthonyodeba4137
    @anthonyodeba41374 жыл бұрын

    The Karen girl souding like Nandy...amazing song, love from Kenya.

  • @anethanicet4786
    @anethanicet47864 жыл бұрын

    Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande

  • @johpesa_the_money
    @johpesa_the_money4 жыл бұрын

    Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba

  • @jescangelangela1327
    @jescangelangela13274 жыл бұрын

    Waooooh fantastic song

  • @MohamedHassan-hm3gd
    @MohamedHassan-hm3gd4 жыл бұрын

    Daah huyu Mzee kakere nilikuwag nasikia tu ngoma yake '"kwa mala yakwanz ndo namuona hapa

  • @veredianamagesa5229

    @veredianamagesa5229

    4 жыл бұрын

    nyimbo nzuri bright yupo vizuri pia Karen kainogesa

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout61164 жыл бұрын

    Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee

  • @issamiladi3711
    @issamiladi37114 жыл бұрын

    Fans wako kitambo & sijakosea kupenda ngoma zako all the way from Ruangwa lindi tuko pa1

  • @sharifamkundapai6820

    @sharifamkundapai6820

    4 жыл бұрын

    Umenikumbusha kitaa cha Ruangwa

  • @yea_itsmanasseh486
    @yea_itsmanasseh4864 жыл бұрын

    Bright we mnyama sanaa💪💪

  • @marymichael6635
    @marymichael66354 жыл бұрын

    awww😍😍😍😍`niletee mjukuu nilee aje anikojolee'😁😁😁

  • @jacobathanas995
    @jacobathanas9954 жыл бұрын

    daah bonge la ngoma congregation bright

  • @manonimayala7070
    @manonimayala70704 жыл бұрын

    Sana msukumaaaa

  • @marjankhamis563
    @marjankhamis5634 жыл бұрын

    Alaaaaaaaa!!!!! Na views, likes ziwapi banaeh!

  • @abouawladsanzesanze429
    @abouawladsanzesanze4294 жыл бұрын

    Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa

  • @selekidau.kidau.3939
    @selekidau.kidau.39394 жыл бұрын

    Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty41174 жыл бұрын

    Nzur Sana huyu baba Jamani kumbe yupo daha niwasiku nyingi mno❤️❤️❤️

  • @pigapesa2366
    @pigapesa23664 жыл бұрын

    Umewaza mbali kaka big up Sanaa.👍

  • @dizzohtz5025
    @dizzohtz50254 жыл бұрын

    Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo

  • @kenjunior3443
    @kenjunior34434 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana big up kwa bright

  • @hellenalibaliwo5965
    @hellenalibaliwo59654 жыл бұрын

    Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺

  • @bongotown1495
    @bongotown14954 жыл бұрын

    Safi sana bright umetisha sanaaaaa

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo72914 жыл бұрын

    Mdogo wangu. Umefanya kitu kukubwa mno humu

  • @orestleon50
    @orestleon504 жыл бұрын

    Shikamoo mzee wangu Juma kakere

  • @kautharmasoud8806
    @kautharmasoud88062 жыл бұрын

    Jaman me nmependa alipo imba juma kakere .

  • @wardmilanzi600
    @wardmilanzi6004 жыл бұрын

    Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake

  • @esterdavid1548
    @esterdavid15484 жыл бұрын

    Mume mwema atakuja tuuuu mama yangu vuta subira

  • @jastinpatrick4176
    @jastinpatrick41764 жыл бұрын

    Wimbo mtambo si uchoki

  • @manbora20
    @manbora204 жыл бұрын

    Nimeipenda sana Ina elimisha

  • @eliabdi40
    @eliabdi404 жыл бұрын

    Mzeee kakere ameua balaaaaa 💥🔥

  • @lisalizzi8690
    @lisalizzi86904 жыл бұрын

    Haki l'm having Goosebumps kusikia this voice's nyimbo kama hizi ndio tume Miss kusikia Tanzania jamani.Nyimbo hii inaelimisha jamii welldone 🙌👍👏

  • @EphrembmcDamasene-kw6qq

    @EphrembmcDamasene-kw6qq

    6 ай бұрын

    Nataka tufanye futuring mi nawewe

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface83194 жыл бұрын

    Daa bonge ngoma dogo anajua sana

  • @selemanseed2476
    @selemanseed24764 жыл бұрын

    Bright,Malkia Karen vs Sir Juma Kakere,Khadija kopa..🙌

  • @merlinkenya7551
    @merlinkenya75514 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🙌

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo40674 жыл бұрын

    Keep the Good Music 🎶🎶🎶🎶🎶 aLive hongEra #brightmusic

  • @ezekielmdavid4887
    @ezekielmdavid48874 жыл бұрын

    Imekaa poa sana, Tangu mazonge, unga unga mwana na sasa tunatembea na Ndoa

  • @geofreyelneus622

    @geofreyelneus622

    4 жыл бұрын

    EZEKIEL M DAVID kuna morogoro pia ya braght

  • @meriamsekei4054

    @meriamsekei4054

    4 жыл бұрын

    Kaz nzurii sana 👏👏

  • @totoozebingwatshumani4642
    @totoozebingwatshumani46424 жыл бұрын

    Woow mzee wangu Mungu akubariki Sana

  • @rebeccjackson1520
    @rebeccjackson15204 жыл бұрын

    Kijana yuko vzr Sana 🔥🔥🔥

  • @abdallahally194
    @abdallahally1944 жыл бұрын

    Daaàaaah ngoma limekaa poa sana

  • @rafikimswazi6930
    @rafikimswazi69304 жыл бұрын

    Nuksi mbayaaaaaaaa,umetisha bright

  • @user-zw1vz7or8v
    @user-zw1vz7or8v4 ай бұрын

    Love it❤❤.

  • @gloryrashid7833
    @gloryrashid78334 жыл бұрын

    Nimependa cjamuona wakunioa

  • @scovianangami
    @scovianangami8 ай бұрын

    Great song 👍👍👍👍👍

Келесі