#Bright Ft. #KhadijaKopa & #Jumakakere & #Karen - Ndoa Audio Produced By Mocco Genius Video Production By Mr Ligo Follow Us / brightmusictz / brightmusictz
Жүктеу.....
Пікірлер: 773
@ephraimrichard67014 жыл бұрын
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
@tumainimhesi9689
4 жыл бұрын
dogo anajua mpaka anakera
@deus86294 жыл бұрын
Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
Amiiiin👏👏
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Nipo apa
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Amina
@veelookie8430
4 жыл бұрын
☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo
@kistulavagen5096
4 жыл бұрын
Ndoa
@idrissaomba88036 ай бұрын
legindi ni legende tu, hii nyimbo wazee wamefunika
@saumuhajivuyaa66564 жыл бұрын
Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah
@rukiyahussan4190
4 жыл бұрын
Amiin 🤲
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Jamani baba napenda huyu
@mwanamisigulu2401
4 жыл бұрын
Amin
@salmahalfani6307
4 жыл бұрын
Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote
@lovenessdiva3370
4 жыл бұрын
Amen
@nalingacomedian38484 жыл бұрын
Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno
Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Allahumma amin
@aminahasan4250
4 жыл бұрын
Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha
@yvetteyvette2024 жыл бұрын
Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili
@edwardkairithia26514 жыл бұрын
Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@hassanomary24914 жыл бұрын
Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa
@mnyamwezitv3824 жыл бұрын
WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz
@mnyamwezitv382
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Nimeipend xan
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa
@Offical_neyvoice
4 жыл бұрын
Saanaaaa
@sigitinjandi60144 жыл бұрын
Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak
@esthergambi8058 Жыл бұрын
uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤
@hancybinho6654 жыл бұрын
Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko
@jacklinibrahim88059 ай бұрын
Hizi ndonyimbo jaman skuiz hamna mziki wakufindisha mabint nikuharibu tuu
@mayyadamatimbwa87444 жыл бұрын
These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!
@azizaalwan8686
4 жыл бұрын
Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.
@finah791
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ariphkimani3790
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi
@wishjuniortz77144 жыл бұрын
Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪
@shabanadnan44434 жыл бұрын
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
@omboks3 жыл бұрын
“Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@tumabhay85764 жыл бұрын
Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.
@kusinimediatz67474 жыл бұрын
Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi
@theresiandasuya18494 жыл бұрын
Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur
@maryviverlucas91824 жыл бұрын
Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae
@joselinejoseph96324 жыл бұрын
Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓
@ignatusjacob5834 жыл бұрын
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
@sulemanabdulaziz36824 жыл бұрын
nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️
@janethmwanga79634 жыл бұрын
Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.
@nestorcolonel79434 жыл бұрын
Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February
@jaxplatnumz2034 жыл бұрын
Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like
@FourTeen_Kiid3 жыл бұрын
Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤
@aminatasongoro95924 жыл бұрын
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
@brendachibura60404 жыл бұрын
Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki
@o.o.80744 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️
@sophierashdy87164 жыл бұрын
Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌
@omarykingo57444 жыл бұрын
Ubunifu wa hali ya juu
@abdicousin59914 жыл бұрын
Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma
@geelblessedone60714 жыл бұрын
Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..
@sophishebby96784 жыл бұрын
Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa
@meloaunt25934 жыл бұрын
Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere
@ashamasaza40964 жыл бұрын
Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like
@EphrembmcDamasene-kw6qq
6 ай бұрын
Vip
@drizzyromeoscraface24424 жыл бұрын
E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni
@danielburuna84094 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.
@mbarukgude53354 жыл бұрын
Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote
@4zepeople3164 жыл бұрын
Duuuuh!!!! sio poa kabsaaa, tukumbuke theory inasema "unavyofanya ndio utakavyofanyiwa". Mpaka Khadijah Kopa amekuwa na hamu ya kukojolewa na mjukuu
@legawayz60934 жыл бұрын
Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao
@adbellar338
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.
@happymsaki17204 жыл бұрын
Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli
@fatumamtepa31634 жыл бұрын
Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..
@watotowamungubyfreconicide15054 жыл бұрын
Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.
@barikimaluli58364 жыл бұрын
Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana
@happyeugen4684 жыл бұрын
Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright
@diacynthedia62954 жыл бұрын
Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa
@qasyem4 жыл бұрын
Hizi ndo nyimbo zenye ubunifu na ujumbe ...👍👍👍nimekapenda karen 🔥
@kilungodionizi18654 жыл бұрын
Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘
@vidahemmanuel80494 жыл бұрын
Nampenda sana bright yuko vizur na kareen
@jovitasaimon87444 жыл бұрын
Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja
@emmanuelluiso48724 жыл бұрын
Tuliokuja hapa kwa ajili ya Kareen tujuane kwa likes hapo chini😂
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nicr
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nice
@jacquelineminja87694 жыл бұрын
Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija
@amourmbago36404 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana ubunifu wa hali ya juu umeutumia kaka ..big up bro ...
@AMANISADIKIMLIPU
4 жыл бұрын
up kzread.info/dash/bejne/X5qOo817ZZiqfso.html
@anthonyodeba41374 жыл бұрын
The Karen girl souding like Nandy...amazing song, love from Kenya.
@anethanicet47864 жыл бұрын
Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande
@johpesa_the_money4 жыл бұрын
Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba
@jescangelangela13274 жыл бұрын
Waooooh fantastic song
@MohamedHassan-hm3gd4 жыл бұрын
Daah huyu Mzee kakere nilikuwag nasikia tu ngoma yake '"kwa mala yakwanz ndo namuona hapa
@veredianamagesa5229
4 жыл бұрын
nyimbo nzuri bright yupo vizuri pia Karen kainogesa
@elishaworkout61164 жыл бұрын
Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee
@issamiladi37114 жыл бұрын
Fans wako kitambo & sijakosea kupenda ngoma zako all the way from Ruangwa lindi tuko pa1
@sharifamkundapai6820
4 жыл бұрын
Umenikumbusha kitaa cha Ruangwa
@yea_itsmanasseh4864 жыл бұрын
Bright we mnyama sanaa💪💪
@marymichael66354 жыл бұрын
awww😍😍😍😍`niletee mjukuu nilee aje anikojolee'😁😁😁
@jacobathanas9954 жыл бұрын
daah bonge la ngoma congregation bright
@manonimayala70704 жыл бұрын
Sana msukumaaaa
@marjankhamis5634 жыл бұрын
Alaaaaaaaa!!!!! Na views, likes ziwapi banaeh!
@abouawladsanzesanze4294 жыл бұрын
Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa
@selekidau.kidau.39394 жыл бұрын
Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi
@fatmafetty41174 жыл бұрын
Nzur Sana huyu baba Jamani kumbe yupo daha niwasiku nyingi mno❤️❤️❤️
@pigapesa23664 жыл бұрын
Umewaza mbali kaka big up Sanaa.👍
@dizzohtz50254 жыл бұрын
Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo
@kenjunior34434 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana big up kwa bright
@hellenalibaliwo59654 жыл бұрын
Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺
@bongotown14954 жыл бұрын
Safi sana bright umetisha sanaaaaa
@nasrikileo72914 жыл бұрын
Mdogo wangu. Umefanya kitu kukubwa mno humu
@orestleon504 жыл бұрын
Shikamoo mzee wangu Juma kakere
@kautharmasoud88062 жыл бұрын
Jaman me nmependa alipo imba juma kakere .
@wardmilanzi6004 жыл бұрын
Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake
@esterdavid15484 жыл бұрын
Mume mwema atakuja tuuuu mama yangu vuta subira
@jastinpatrick41764 жыл бұрын
Wimbo mtambo si uchoki
@manbora204 жыл бұрын
Nimeipenda sana Ina elimisha
@eliabdi404 жыл бұрын
Mzeee kakere ameua balaaaaa 💥🔥
@lisalizzi86904 жыл бұрын
Haki l'm having Goosebumps kusikia this voice's nyimbo kama hizi ndio tume Miss kusikia Tanzania jamani.Nyimbo hii inaelimisha jamii welldone 🙌👍👏
@EphrembmcDamasene-kw6qq
6 ай бұрын
Nataka tufanye futuring mi nawewe
@paschalboniface83194 жыл бұрын
Daa bonge ngoma dogo anajua sana
@selemanseed24764 жыл бұрын
Bright,Malkia Karen vs Sir Juma Kakere,Khadija kopa..🙌
@merlinkenya75514 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🙌
@kimutattoo40674 жыл бұрын
Keep the Good Music 🎶🎶🎶🎶🎶 aLive hongEra #brightmusic
@ezekielmdavid48874 жыл бұрын
Imekaa poa sana, Tangu mazonge, unga unga mwana na sasa tunatembea na Ndoa
Пікірлер: 773
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
@tumainimhesi9689
4 жыл бұрын
dogo anajua mpaka anakera
Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
Amiiiin👏👏
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Nipo apa
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Amina
@veelookie8430
4 жыл бұрын
☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo
@kistulavagen5096
4 жыл бұрын
Ndoa
legindi ni legende tu, hii nyimbo wazee wamefunika
Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah
@rukiyahussan4190
4 жыл бұрын
Amiin 🤲
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Jamani baba napenda huyu
@mwanamisigulu2401
4 жыл бұрын
Amin
@salmahalfani6307
4 жыл бұрын
Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote
@lovenessdiva3370
4 жыл бұрын
Amen
Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno
@shakirahussein5159
3 жыл бұрын
Nalinga Comedian waooo mashaallah
@shakirahussein5159
3 жыл бұрын
Nalinga Comedian tumejuwanareo anataka kunivuanguooe
Combinaison nzuri saaaaaana produ kukua african. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆
Likes kwa wingi tumsaport bright jamaa yuko vzuri
@AMANISADIKIMLIPU
4 жыл бұрын
yuko vizuri kzread.info/dash/bejne/X5qOo817ZZiqfso.html
@juniorcx0114
4 жыл бұрын
Kabisa
Inshallah pia mm ombi langu nipata mume mwema
@sportplatform4318
4 жыл бұрын
Nipo hapa mume mwema
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Mungu atatijaaliatu wajina… tuzidishe subra.
@hannahsanga5647
4 жыл бұрын
Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Allahumma amin
@aminahasan4250
4 жыл бұрын
Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha
Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili
Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa
WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz
@mnyamwezitv382
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Nimeipend xan
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa
@Offical_neyvoice
4 жыл бұрын
Saanaaaa
Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak
uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤
Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko
Hizi ndonyimbo jaman skuiz hamna mziki wakufindisha mabint nikuharibu tuu
These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!
@azizaalwan8686
4 жыл бұрын
Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.
@finah791
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ariphkimani3790
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi
Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
“Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.
Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi
Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur
Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae
Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️
Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.
Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February
Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like
Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki
Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️
Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌
Ubunifu wa hali ya juu
Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma
Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..
Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa
Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere
Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like
@EphrembmcDamasene-kw6qq
6 ай бұрын
Vip
E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni
Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.
Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote
Duuuuh!!!! sio poa kabsaaa, tukumbuke theory inasema "unavyofanya ndio utakavyofanyiwa". Mpaka Khadijah Kopa amekuwa na hamu ya kukojolewa na mjukuu
Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao
@adbellar338
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.
Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli
Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..
Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.
Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana
Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright
Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa
Hizi ndo nyimbo zenye ubunifu na ujumbe ...👍👍👍nimekapenda karen 🔥
Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘
Nampenda sana bright yuko vizur na kareen
Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja
Tuliokuja hapa kwa ajili ya Kareen tujuane kwa likes hapo chini😂
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nicr
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nice
Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija
Nyimbo nzuri sana ubunifu wa hali ya juu umeutumia kaka ..big up bro ...
@AMANISADIKIMLIPU
4 жыл бұрын
up kzread.info/dash/bejne/X5qOo817ZZiqfso.html
The Karen girl souding like Nandy...amazing song, love from Kenya.
Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande
Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba
Waooooh fantastic song
Daah huyu Mzee kakere nilikuwag nasikia tu ngoma yake '"kwa mala yakwanz ndo namuona hapa
@veredianamagesa5229
4 жыл бұрын
nyimbo nzuri bright yupo vizuri pia Karen kainogesa
Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee
Fans wako kitambo & sijakosea kupenda ngoma zako all the way from Ruangwa lindi tuko pa1
@sharifamkundapai6820
4 жыл бұрын
Umenikumbusha kitaa cha Ruangwa
Bright we mnyama sanaa💪💪
awww😍😍😍😍`niletee mjukuu nilee aje anikojolee'😁😁😁
daah bonge la ngoma congregation bright
Sana msukumaaaa
Alaaaaaaaa!!!!! Na views, likes ziwapi banaeh!
Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa
Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi
Nzur Sana huyu baba Jamani kumbe yupo daha niwasiku nyingi mno❤️❤️❤️
Umewaza mbali kaka big up Sanaa.👍
Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo
Nyimbo nzuri sana big up kwa bright
Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺
Safi sana bright umetisha sanaaaaa
Mdogo wangu. Umefanya kitu kukubwa mno humu
Shikamoo mzee wangu Juma kakere
Jaman me nmependa alipo imba juma kakere .
Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake
Mume mwema atakuja tuuuu mama yangu vuta subira
Wimbo mtambo si uchoki
Nimeipenda sana Ina elimisha
Mzeee kakere ameua balaaaaa 💥🔥
Haki l'm having Goosebumps kusikia this voice's nyimbo kama hizi ndio tume Miss kusikia Tanzania jamani.Nyimbo hii inaelimisha jamii welldone 🙌👍👏
@EphrembmcDamasene-kw6qq
6 ай бұрын
Nataka tufanye futuring mi nawewe
Daa bonge ngoma dogo anajua sana
Bright,Malkia Karen vs Sir Juma Kakere,Khadija kopa..🙌
🔥🔥🔥🔥🙌
Keep the Good Music 🎶🎶🎶🎶🎶 aLive hongEra #brightmusic
Imekaa poa sana, Tangu mazonge, unga unga mwana na sasa tunatembea na Ndoa
@geofreyelneus622
4 жыл бұрын
EZEKIEL M DAVID kuna morogoro pia ya braght
@meriamsekei4054
4 жыл бұрын
Kaz nzurii sana 👏👏
Woow mzee wangu Mungu akubariki Sana
Kijana yuko vzr Sana 🔥🔥🔥
Daaàaaah ngoma limekaa poa sana
Nuksi mbayaaaaaaaa,umetisha bright
Love it❤❤.
Nimependa cjamuona wakunioa
Great song 👍👍👍👍👍