Jamani tuliokuja kumuangalia Martha baada ya kupata taarifa za kifo chake tujuane. Hila nimeumia sana mdogo wangu R.IP Mama
@peterbody690
4 жыл бұрын
Inauma
@marthabruno7961
4 жыл бұрын
Bado siamini kwakweli kumbe nani naweza kuzima muda wowote kifo kwanini lkn pumzka kwa aman tunakupenda na tunakuombea .
@annagervas6958
4 жыл бұрын
Hata siamini juzi na Jana ndo nlikua bize kumuangakia duh
@samrufingo5336
4 жыл бұрын
Tupo
@emadasmar5714
4 жыл бұрын
Uyu dada nilianza kumfatilia tu juzy wallah yaani nimeingia baridi
@gracevalentine42344 жыл бұрын
Jaman wanaoangalia video baada yakuckia msiba wa boss Martha like zenu hapa
@credo7837
4 жыл бұрын
Hiv mnakula like
@benbranco3688
4 жыл бұрын
jaman? unauma sana Dada yetu kutoeka kazi ya mungu aina makosa
@herculesthepower15444 жыл бұрын
Sikukujua hadi leo ktk mitandao wanakuongelea ndiyo nikaona niingie KZread huyu Martha ktk Cheka tuu ndiyo nani? Ulikuwa upo vizuri Innalilahyi wahinllilay rajoun kwake tunatoka na kwake tutarejea. Mwenyezi Mungu akusamehe na akupe pepo. Amin
@wenseslauspeter68244 жыл бұрын
Duuhh jmn kifo hana adabu jamani,kwa kweli ndo leo nakuona baada ya kuona trending ya kifo chako social madia,kumbe uliomba kura 2020 uwakilishe jimbo la uswahilini,R I P martha Mungu akupe pumziko la milele.
@hechihechie55584 жыл бұрын
pole sana mama Martha kwa kuondokewa na huyu mtoto!!jamani inaumaaaaa!!nikimwangalia nasikia huzuni kubwa kwa mamake!! Mungu akufariji tuu!
@gloriousn64254 жыл бұрын
Kweli dunia tunapita 😭😭😭🙏
@getrudeesarode3974 жыл бұрын
Bwana ametoa nae ametwaajina lake na lihimidiwe sijaamin Matha kweli😭😭
@vailethmnosa31832 жыл бұрын
May your soul continues to rest in peace Boss Martha,we miss you so much 😭
@NonoNono-qp3zu4 жыл бұрын
Jaman martha hii video mm huwa naingalia kila siku naipendaga, ghafra naona watu wameandika R.I.P Jamani jamani😭😭 Pumzika kwa amani nilikuwa nakupendaga
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪...may she R.I.P...she was so beautiful, more love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pendonana28224 жыл бұрын
Aahaaaaahahaha nacheka huku machozi yananitokaa jamanii eeee Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu
@bethadickson52423 жыл бұрын
JAMAN 2020 ALOSEMA ANATAKA AINGIE BUNGENI HAYUPO 😭😭😭😭😭 R.I.P DEAR
@georginakerubo12984 жыл бұрын
Dunia tunapita kweli...kila mtu na siku yake....safiri salama Martha
@wabumbuli27104 жыл бұрын
naombeni kura 2020 niingie zangu bungeni mie nakijora .duh inasikitisha kweli yan rip dadaa njia ni moja
@scolalaurence5774 жыл бұрын
😭😭😭😭R.I.P martha,hakika cc tu mavumbi na mavumbini tutarejea 😭😭inauma bint mdogo sana .Allah wape moyo wa ustaamirivu wazazi wake na familia kwa ujumla🤲😭😭.
@bennjuguna19815 жыл бұрын
Ehh uko vizuri, karibu churchchill show Kenya unao uwezo
@allymngwaya9855
4 жыл бұрын
She's dead on this day of 11th September 2019.
@humphreynduye62394 жыл бұрын
Duuuu hapo ndo tutajua kua hmna mwenye kuijua kesho yake kama umeskia aliomba kura elfu 2020 ,,,,mpe like yake apumzke kwa amanii,,,,,,
@gladysngamimakau70993 жыл бұрын
Kura za 2020 zimekupata ushapumzika RIP queen
@josephtvshow74674 жыл бұрын
Dunia mapito sote tunapita Rest in peace Boosmartha we will miss.
@mariarjb164 жыл бұрын
We will miss her 😭😭😭 Rest In Peace sis we love you but God loves you more ❤️😭😭😭😭😭😭😭
@zalbak27384 жыл бұрын
Yaan hii ndo video nilokua naiangalia sanaaa n nilikuw na wish one day nikutane n ww live. Hivi kweli umekufa Martha😢😢😢R.I.P
@witnessjohn4682
4 жыл бұрын
Atamm nimeumia apumzike kwaamani
@ddmtv36033 жыл бұрын
I feel to cry and you continue to make know dunian tunapita tusijosahau sana jaman
@mayamohamad7104 жыл бұрын
😥😥😫poleni jmn Tanzania Na wana family
@izackjonas24184 жыл бұрын
Ndo namuona Leo.baada ya kusikia kafa
@maryamathman8917
4 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi ndio mara ya kwanza mm pia kumuona na hilo jina pia
@phelgonalusaka6885
4 жыл бұрын
Mie pia
@veronicasamwel9311
4 жыл бұрын
R,I,p,pumzka,kwa,aman
@suzyjohnas42593 жыл бұрын
Pumnzika kwa amani mama ungekuwepo ningekupa kura yangu uingie bungeni🙏
@mamalaozphilemon.88004 жыл бұрын
jamn amakwel kifo kiboko yaan naangalia akiwa ashakufa duuh rip😔😔
@mimsbaibemimskim95564 жыл бұрын
rest in peace poleni kwa familia am sorry watching yu when yu have gone ndo nmekujua from kenya.
@latifahmakwegah43554 жыл бұрын
Ndonaangalia Leo baada ya kusikia kafa pumzika kwa amani mama
@evartweve82054 жыл бұрын
Martha tulikupenda mom lakini mungu kakupenda zaidi mamaaa.
@jonesgeorge31524 жыл бұрын
Dah ndoto zake nikupigiwa kura 2020. Inauma Sana'a,
@stumay-wx9rp5 жыл бұрын
😘😘😘😘😘😘😘Nakukubali viby mno
@adrophinamwanguse1510Ай бұрын
Nilipenda lakini mungu alipenda zaidi mungu aendelee kumuweka mahali pema
@clariceaugustin11212 жыл бұрын
I miss you today martha, Continue RIP
@moonashariff93094 жыл бұрын
Innah lillah wainnah illah rajiuna , mpnz ulikuwa very smart pia ulikuwa wajitahid kweli kuchekesha ulikuwa konk fire
@TheSamugz084 жыл бұрын
huyu binti alikuwa mrembo tena sana......na talanta yake ya kuchekesha watu ilikuwa juu sana it is such a loss
@rahmamohmood68764 жыл бұрын
R. I. P Dada yetu 😭😭😭dunia mapito twajipigia maesabu ya 2020 Na hatujui kama tutafika.. Ewe mungu mwanadam silolote
@nairatyomary88694 жыл бұрын
R.l.P dah kwer duniani tunapita
@mudysabuni7619
4 жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema Dada angu mbele yako nyuma yetu
@magertkapesa79252 жыл бұрын
Nakupenda sana dada masa ~♥~♥
@agnessgabriel17072 жыл бұрын
Really I miss her😭
@victoriadavid92114 жыл бұрын
Duh R I P my so sad😭😭
@Nickojunior5 жыл бұрын
Sikujua kama Tanzania tuna wanaake wa stand up comedy ❤️ Leo ndo nimegundua
@fatmamshangama9824
2 жыл бұрын
😭😭😭ndio kaishakufa jamn
@happyjully23705 жыл бұрын
Martha on the stage 😘😘😘😘
@aminasarah20494 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Martha, ila Nmekujua leo na Yote uliongea ni ya kweli,
Пікірлер: 319
Jamani tuliokuja kumuangalia Martha baada ya kupata taarifa za kifo chake tujuane. Hila nimeumia sana mdogo wangu R.IP Mama
@peterbody690
4 жыл бұрын
Inauma
@marthabruno7961
4 жыл бұрын
Bado siamini kwakweli kumbe nani naweza kuzima muda wowote kifo kwanini lkn pumzka kwa aman tunakupenda na tunakuombea .
@annagervas6958
4 жыл бұрын
Hata siamini juzi na Jana ndo nlikua bize kumuangakia duh
@samrufingo5336
4 жыл бұрын
Tupo
@emadasmar5714
4 жыл бұрын
Uyu dada nilianza kumfatilia tu juzy wallah yaani nimeingia baridi
Jaman wanaoangalia video baada yakuckia msiba wa boss Martha like zenu hapa
@credo7837
4 жыл бұрын
Hiv mnakula like
@benbranco3688
4 жыл бұрын
jaman? unauma sana Dada yetu kutoeka kazi ya mungu aina makosa
Sikukujua hadi leo ktk mitandao wanakuongelea ndiyo nikaona niingie KZread huyu Martha ktk Cheka tuu ndiyo nani? Ulikuwa upo vizuri Innalilahyi wahinllilay rajoun kwake tunatoka na kwake tutarejea. Mwenyezi Mungu akusamehe na akupe pepo. Amin
Duuhh jmn kifo hana adabu jamani,kwa kweli ndo leo nakuona baada ya kuona trending ya kifo chako social madia,kumbe uliomba kura 2020 uwakilishe jimbo la uswahilini,R I P martha Mungu akupe pumziko la milele.
pole sana mama Martha kwa kuondokewa na huyu mtoto!!jamani inaumaaaaa!!nikimwangalia nasikia huzuni kubwa kwa mamake!! Mungu akufariji tuu!
Kweli dunia tunapita 😭😭😭🙏
Bwana ametoa nae ametwaajina lake na lihimidiwe sijaamin Matha kweli😭😭
May your soul continues to rest in peace Boss Martha,we miss you so much 😭
Jaman martha hii video mm huwa naingalia kila siku naipendaga, ghafra naona watu wameandika R.I.P Jamani jamani😭😭 Pumzika kwa amani nilikuwa nakupendaga
Maskin😭😭😭nimeumia hpo ktk 2020 mungu mkubwa😭nenda salama Martha mbele yko nyuma yetu hakuna aijuae kesho🙏
@salmaalimusa547
4 жыл бұрын
Kabisaa mumy kifo nifumbo
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪...may she R.I.P...she was so beautiful, more love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aahaaaaahahaha nacheka huku machozi yananitokaa jamanii eeee Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu
JAMAN 2020 ALOSEMA ANATAKA AINGIE BUNGENI HAYUPO 😭😭😭😭😭 R.I.P DEAR
Dunia tunapita kweli...kila mtu na siku yake....safiri salama Martha
naombeni kura 2020 niingie zangu bungeni mie nakijora .duh inasikitisha kweli yan rip dadaa njia ni moja
😭😭😭😭R.I.P martha,hakika cc tu mavumbi na mavumbini tutarejea 😭😭inauma bint mdogo sana .Allah wape moyo wa ustaamirivu wazazi wake na familia kwa ujumla🤲😭😭.
Ehh uko vizuri, karibu churchchill show Kenya unao uwezo
@allymngwaya9855
4 жыл бұрын
She's dead on this day of 11th September 2019.
Duuuu hapo ndo tutajua kua hmna mwenye kuijua kesho yake kama umeskia aliomba kura elfu 2020 ,,,,mpe like yake apumzke kwa amanii,,,,,,
Kura za 2020 zimekupata ushapumzika RIP queen
Dunia mapito sote tunapita Rest in peace Boosmartha we will miss.
We will miss her 😭😭😭 Rest In Peace sis we love you but God loves you more ❤️😭😭😭😭😭😭😭
Yaan hii ndo video nilokua naiangalia sanaaa n nilikuw na wish one day nikutane n ww live. Hivi kweli umekufa Martha😢😢😢R.I.P
@witnessjohn4682
4 жыл бұрын
Atamm nimeumia apumzike kwaamani
I feel to cry and you continue to make know dunian tunapita tusijosahau sana jaman
😥😥😫poleni jmn Tanzania Na wana family
Ndo namuona Leo.baada ya kusikia kafa
@maryamathman8917
4 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi ndio mara ya kwanza mm pia kumuona na hilo jina pia
@phelgonalusaka6885
4 жыл бұрын
Mie pia
@veronicasamwel9311
4 жыл бұрын
R,I,p,pumzka,kwa,aman
Pumnzika kwa amani mama ungekuwepo ningekupa kura yangu uingie bungeni🙏
jamn amakwel kifo kiboko yaan naangalia akiwa ashakufa duuh rip😔😔
rest in peace poleni kwa familia am sorry watching yu when yu have gone ndo nmekujua from kenya.
Ndonaangalia Leo baada ya kusikia kafa pumzika kwa amani mama
Martha tulikupenda mom lakini mungu kakupenda zaidi mamaaa.
Dah ndoto zake nikupigiwa kura 2020. Inauma Sana'a,
😘😘😘😘😘😘😘Nakukubali viby mno
Nilipenda lakini mungu alipenda zaidi mungu aendelee kumuweka mahali pema
I miss you today martha, Continue RIP
Innah lillah wainnah illah rajiuna , mpnz ulikuwa very smart pia ulikuwa wajitahid kweli kuchekesha ulikuwa konk fire
huyu binti alikuwa mrembo tena sana......na talanta yake ya kuchekesha watu ilikuwa juu sana it is such a loss
R. I. P Dada yetu 😭😭😭dunia mapito twajipigia maesabu ya 2020 Na hatujui kama tutafika.. Ewe mungu mwanadam silolote
R.l.P dah kwer duniani tunapita
@mudysabuni7619
4 жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema Dada angu mbele yako nyuma yetu
Nakupenda sana dada masa ~♥~♥
Really I miss her😭
Duh R I P my so sad😭😭
Sikujua kama Tanzania tuna wanaake wa stand up comedy ❤️ Leo ndo nimegundua
@fatmamshangama9824
2 жыл бұрын
😭😭😭ndio kaishakufa jamn
Martha on the stage 😘😘😘😘
Pumzika kwa Amani Martha, ila Nmekujua leo na Yote uliongea ni ya kweli,
😃😃😃😃😃😃😃umenishita tabia matha😃😃😃😃😃😃😃😃eti hamna vijola bungeni 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Jaman jaman Martha daaahh!!! ndo kwanza ulikuwa unatoboa yan daahh!!! RIP mdogo Wang Martha mbele yako nyuma yetu
May your soul continues to us😭 kumbe kale kq msemo ka mlokomaa mpo🤣🤣🤣😭
Mungu akulaze pema peponi
Mm pia bungee huwa siangalii 😢😢😢😢😢RIP boss martha
Rest easy sis......nimekufahamu vizur Leo tu
rip Martha jamn sijui nilie mim poleni familia ya martha
Hakika sote ni Allah na kwake tutarejea. RIP Boss Martha.
Such a beautiful soul
Likes zake plz... She's one in a million
Daah continue to Rest In Peace😭😭
R.i.p mathaa dah!!!!!!kwl binadamu ss Ni mavumi tu
Jaman Mungu muweke matha mahali panapomstahil kama kunabunge huko mpe choleo atimize lengo
Oooh boss Martha I will love you forever
Rip matha jaman hiv kwann sikukujua mapema kazi zako zilikuwa nzuri sana pumzika kwa amani mamy
Tutakumis sana upumuzike kwamani
Martha nakupenda shost
jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii R.I.P marthaaaaaaaaa.........ulikuwaaa mzuriiiiiiiiiiii kweliiiiii marthaaaaa....R.I P.😭😭😭
Dah 2020 jmn unachaguliwa wap jmn marthar mbel yt nyuma yet rest in peace nimekumb Leo hii clip ad roh inauma
R.I.p Martha pumzikaa kwa aman daa inaumaaa
Kweli dunia mapito 😭😭😭😭
Kama hajafa masikini 😭😭😭tufanye mema ndugu zangu
Jamani naomba mnipe tarifa kafa lini huyu mdada
R.I.P Boss Martha..mungu yu pa1 nawe
Beautiful beautiful soul continue resting in peace
😭😭😭😭😭😭 2021 bado comedian yako ipo machon kwetu
Pumzika kwa Amani Boss Martha
Ulitaka kura 2020..aki rip martha
😢was my favorite
rest in peace Martha 😔 too sad
Umeenda ingali Bado 2nakuhitaj mama
😭😭😭😭naumia jmnir pumzik kwaaamani 😭
Sichoki kukuangalia Martha pumzika kwa amani dadaangu
mungu ailaze roho yako pema peponi
Duuu raha ya milele umpe Bwana
Dah, umenichekexha mpk co poa
Kazi safi
Daah!! pumzika Kwa amani mpnz mi nimekujua baada ya kusikia kifo chako R I P
@uriaamani7968
4 жыл бұрын
Mage Andrew
Tunao rud kuangalia. tena huyu Dada 2020
Matha wee 😂😂😂😂🙌
Kila sku naangalia sichoki yaan dah rest in paradise boss Martha
Khadija kopa brought me here😂😂😂😂😂
Who is here 2021
Mi namfahamu Ebitoke tu kumbe kuna msanii Boss Martha.
😂😂😂😂😂😂Matha umeuaaaaa ndg yang
@aishajuma712
4 жыл бұрын
R I P Martha
I miss ya my baby mama mungu akulinde
Miss you dear boss Martha
Almost 4 years now
Nimecheka
May she continue resting in peace
Ulimwengu umeuacha dunia inakumisi
Huy dada najikuta nampend t
@kisajohn5273
5 жыл бұрын
nakupnda bule
Kwr kizuri akidumu 💔
We still remember you.. martha may your soul continue to rest in peace
mekupenda bure😘
@kulthuwmameir6850
4 жыл бұрын
Daah! hii comment niliiandika kipindi yupo hai😭
Matha umenichkesh daftar LA mpiga kula mnafungia miguu y kuku