BORITI -Upperhills AYS-Kenya
2Wafalme 6:5 “Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boriti, chuma cha shoka kikaanguka majini; akalia, akasema, Ole wangu! Bwana wangu, kwani kiliazimiwa kile.”
Moja ya jambo baya kabisa kuliko yote Duniani ni pamoja na kukata tamaa, Mtu awaye yote hata awe na uwezo vipi, awe na pesa vipi, awe na akili vipi, awe na imani, vipi, awe na uzoefu vipi, awe na nguvu vipi na awe na karama na vipawa kiasi gani, au awe na elimu kubwa kwa kiwango chochote kile, ikitokea tu mtu huyu amekata tamaa, kwa vyovyote vile hakuna atakachoweza kukifanya, Kwa ufupi naweza kusema miongoni mwa mambo mabaya sana Duniani ni Pamoja na kukata tamaa.
For more information and deeper meanings listen to this song carefully and you will be carefully blessed.
MADE IN CHERUBS
@Oluh Saye
#Sheikh Sheriff Creations
#Blueflicks
Пікірлер: 71
Hatuhitaji machozi, maombi ndio suluhisho.
Hakuna asilo weza Mungu.....sihitaji machozi🙌
muende mbali🙏
Amen Amen 🙏
A good song that usually encourages me in hard times
Kabooom .....up up up my good people ....God is behind this 🙏💯
Good peace,, Hilder nakucheki
Amen
I can see Nicola. Lovely spiritual song
Phidy❤, great song
Amazing........
Maombi ndio suluhu. Amen, Mbarikiwe.
Ero 3rd sub from ngane
Sweet message
Wooow🔥🔥🔥🔥🔥
Great work
Nice one♥️ Blessings
AMEN. JEFF JUST GODS STRENTH
My favorite choir, Mbarikiwe
It's now the third week since I started looking for this video. God bless you guys for the wonderful message and good music.