Yaan majaji mnafaidi vituko hm ndani hahahaaa mbavu zang jmn!!!
@bonphacepeter85334 жыл бұрын
Likes for the lady who turned a presenter❤❤
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
Huyo wa mluzi kaniacha hoii😂😂😂😂
@jacksonmezza37214 жыл бұрын
Dully Kakaa Kimalaya Tu Apo 😂😂
@chrisg16834 жыл бұрын
Madam Rita nakupenda buree
@samwelchuvaka42144 жыл бұрын
Bongo star search coaches acheni lugha mbovu kwa washiriki hata kama mtu hawezi mpe lugha ya kuwa hawezi lakini asijisikie vibaya
@lilianshao8154
4 жыл бұрын
Sure yan wanazingua xn kauli mbovuuu
@samwelchuvaka4214
4 жыл бұрын
@@lilianshao8154 Unajua wangekua wanjifunza at least hata kwa wenzao nje kwamfano wale wa AGT, X-factor, The Voice na mashindano mengne wanavofanya ingekua poa
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
They are so boring
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
So so annoying
@hellenpascal96054 жыл бұрын
Daaah washiriki wengine are so funny!
@emmamathew88504 жыл бұрын
yan dully simpendi ana kiherehere
@NonoNono-qp3zu4 жыл бұрын
Yaan dully sykes amekaaa kitamaa tamaa ya wanawake huko kambini sijui itakuaje ni kama fisi kakabiziwa bucha
@abdulissa4180
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@evakweka2578
4 жыл бұрын
Yaani mpk anatia aibu
@neematemu3576
4 жыл бұрын
Kweli kabhisa
@preciousbenedict51424 жыл бұрын
Madame Ritha amemwangalia ile mbaya Dully 😂🗣 ,afanye kilicho mpeleka kila mwanamke anamshobokea
Dully acha kiherehere acha majaji wenzako nafasi ya kujaji Bora mgempa Benpol hiyo nafasi
@gastordominic4104 жыл бұрын
Madamme najua unapitia comments zetu Mrudishe ben pol ktk majaji anaujua music
@kaonekacavin3067
4 жыл бұрын
Gastor Dominic well said,,,,syo dully mzushi
@psalm23464 жыл бұрын
Wasukuma bhn ati muwimbo wa udhuni🤣
@janethwilson90124 жыл бұрын
Wa tanzania 🇹🇿 munachekesha sana tena sana munapo wacheka hao ambao hawawezi kuimba ndoo kuwatia moyo?lekebisheni uwepo wenu ili wajisikiye kufika mbali kbs
@satinaishibwami4 жыл бұрын
@Lady jay Dee nakupendaka sana tena sana ❤❤❤I started listening to you music when I was 8 years old , I love you ❤ all the way from United State of America ,🇿🇼🇨🇩🇺🇸
@DAVMOVIEAVITV4 жыл бұрын
Kuna wadada humu wanatakiwa wakikosa muziki niwa tangazaji wazuri sana wana jiamini yaani presenters ko wapambanie gepu wakiweza wanitafute Chanel kibao niwaoneshe njia npo kanda ya ziwa mimi
@jackjohn5663
3 жыл бұрын
Mmmh
@jackjohn5663
3 жыл бұрын
Mm nipo
@DAVMOVIEAVITV
3 жыл бұрын
@@jackjohn5663 Whatsup me 0768738506
@elizadaniel89234 жыл бұрын
Big up madam ritha, kingereza kisiwasumbue
@janeyphersuma1124 жыл бұрын
nakupenda bure idrisa kaka angu ur the best bro
@ellypendokidile11294 жыл бұрын
huyo demu mchek akipita anatingisha tingisha hh
@154musicworldwide94 жыл бұрын
GREAT SHOW!!!!!!
@aminakawawa19354 жыл бұрын
Star bongo ni baba lao mond
@judywabintitish92054 жыл бұрын
Kitete sio kitu kizuri achana na kitete 😂😂bongo sihami hat hali iwe ngumu vip
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Sasa jaji hajui kingerez jaji Wa wapi huyo, huyu misifa hajaacha kwan dully na ww jide usimuige dully misifa😂😂madam rita hanag makuu
@mehmedsalim93594 жыл бұрын
I like the one with nation song 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@m-jay28404 жыл бұрын
Characteristics device is not English and dosnt exit in any dictionary but 😂 🤣🤣🤣🤣
@nestorycosmas5717
3 жыл бұрын
😂😂😂
@veredianamagesa29533 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂. Brother k kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣, kwa 2020
@fisadikiwembe97874 жыл бұрын
😂😂😂huwezi ipata mana bongo status hamnaaa😂😂😂😂😂😂
@locksonewton25554 жыл бұрын
Dully kifaransa nakupa non 😂 nimependa sana big up bro 🙌🏾
@samcharzy46574 жыл бұрын
Eti dakika ya 17:50 "umekuja na hisia ukasahau sauti nyumbani...!!!" Idrisi fala Sana🤣🤣
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Yaani nimecheka sana
@theprogrammer33514 жыл бұрын
Mtu aliyesikia vitumbua 60 na silex 2 alike hapa
@ahmedameir25004 жыл бұрын
Kama na wewe unafikiria characteristic device nini ngonga like
@officialyadede38614 жыл бұрын
Daaah jamani sikujua kama Mwanza ilikua imefika. Duuh imenipita hiyooo
Пікірлер: 757
Kwani salama jabiri yuko wapi kama wewe ni shabik ya salama jabiri gonga like hapa
@gisellebusime6578
4 жыл бұрын
Dullah Man Dullah Man iko nakazi nyigine njomana ayupo
@gwaltugwaltu7933
4 жыл бұрын
Analea
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Dullah Man Dullah Man kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Dullah Man Dullah Man kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@officialsalmazayn2938
4 жыл бұрын
Ka Mama Kamatimbwili 😂😂😂😂😂
Walichopatia BSS season hii, Ni kumweka IDRIS kuwa HOST. Creative, Funny and Smart man. .BIG UP IDRIS👍👍👍👍
Wana rangi nzuri....soo natural wanavutia😍viuno sasa juu kama nyigu chini kontena 😲😲😲
Aliyesikia bongo status gonga like za kutosha
Walio mmiss salama kama Mimi tujuane
@minyalolameck3593
4 жыл бұрын
Tukooo
Aliye sikia bongo status kama mm sehemu ya kulike hapa
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@simonbanyase2528
4 жыл бұрын
Hemedi b abdallah hahahhhahahahahh huyu sister duu bhna et bongo status
Brother K alie muona gonga like
@happylaurent1742
4 жыл бұрын
Hahahahahahahahhaahhaahahahauaua
@abrahamanmzava6005
4 жыл бұрын
Dully mjambj
@josephlyimo1664
3 жыл бұрын
@@happylaurent1742 og
Kiukweli salama jabir ndiyo anachangamsha sana bongo star search. Imepooza sanaa
Jamani kama kuna uwezekano salama jabil aludishwe bongo starsearche imepooza 😚😙
😂🤣Mimi nimekuja kusoma comments kama tuko pamoja gonga like @bossholland hapa
@mrbensonbabatz8218
4 жыл бұрын
Mambo ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥
@lameckntahondi8073
4 жыл бұрын
Delaya Nkeshimana nkeshimana mm muha mwenzako walaye??
@issaemmanuely7207
4 жыл бұрын
mambo motomoto
@dwiny7841
4 жыл бұрын
@@lameckntahondi8073 oké karibu kigoma nitume 0 yako
@midiagirls7418
4 жыл бұрын
Delaya Nkeshimana hahahaha
dully jaman mwswahiliiiii🤣🤣🤣🤣kiherehere lakin sio.mbaya anachangamsha
Uwiii bongo status km umesikia uiii na management naomb like
braza K asante kwa kunitoa machozi
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
Haahaaaaa
😂😂😂 brother k, umekuja kupoteza muda wa wengine.
Anaemuona lady JD mpole agonge like
Dada yule anaye igiza UTANGAZAJI Aise nimempenda Sana MUSIMUACHE
Watyuu wamepinda jaman...wimbo wa taifa kwa mluzi😂😂😂
@aminasubira6591
4 жыл бұрын
Nmecheka kinyamaa😂😂
@sabrasuleiman2751
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ramadhaniisihaka295
4 жыл бұрын
Winchars Madata 😀😀😀😀😀
@wilsonvivans8352
4 жыл бұрын
Mwanza nixhidaaaaaaaa,,,,gonga like twende sawa,,,km mwanza fireee
Jamani sijawahi kupata like 20 😊 gonga like hapa nami nifurahi
Nimekuja kusoma comments...Kama unaikubali hii show gonga like tukisonga👍
Kuja na hisia ukasahau sauti nyumbani😂😂😂
NATAKA LIKES 1K HAPA kwa wanaoamini SALAMA JABIR arudishwe maana Bila Salama No BSS. GONGA LIKE
@tshirima8886
4 жыл бұрын
Jamani salam arudishwe plz...
@veroniaabdallah2477
4 жыл бұрын
YEAH! Online
Asanteni washiriki mmeniongezea muda wa kuishi, mecheka😄😄😄
Hahahaaa brother K nimekuelewa mwenzio hahahaaaaa
Jide anauwezo wa kuona kipaji cha mtu! Much love to u Anakonda jidee
@gisellebusime6578
4 жыл бұрын
Angel Mwoleka namimi namupenda sana Jide iko naona mbali sana
Poleni sana majaji mnakutana na vituko ningekuwa mm washiriki wengine ningewachapa fimbo kwa kuwapotezea muda.
Haaaaaa yani nimemiss sana SALAMA🙌
Ha haha haha haha haha hah amezimiaaaa😂😂😂😂😂😂haki hii ni COMEDY START SEARCH
Mbona hawa wat wa mwanza kiswahili chao kama cha kenya
@user-mw8cd2dm7d
4 жыл бұрын
No , wakenya nairobi wanaongea sheng na msa wanaongea tofauti
Plz judges punguzeniii kuwakataaa watu kwa kejeliii .....mkatae kwa namna yakumpaaa motishaaa na sio akitokaaa hapo ajioneee hafai kufanyaaa kitu
Waaooh brother k kanichekeshaaa
Mwanzaaaa loh mnaniua mbavu😂😂😂😂
Huyu mshiliki aliyeingia wa pili kanifurahisha Sana coz kaja na mbwembwe mnoo afu kazingua🤣🤣
@mayahhajih2636
4 жыл бұрын
Acha tu 😆
@fetlisheshenry2510
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@miriamhashim2450
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mbusirondeanka9866
4 жыл бұрын
Yaaaaniii 😂
Km umesikia dully kasema wew mbona km umejirudia gonga meza kwa like
Huyo dada mtangazaj mumsaidie jmn anasaut nzur san, mungu atawabarik
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Tausi Ngomeni kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@tausingomeni2568
4 жыл бұрын
@@Zanzibar_quiztv kuna nn huko 😂😂
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Tausi Ngomeni Ww nenda ucwaze wala nini
@tausingomeni2568
4 жыл бұрын
@@Zanzibar_quiztv tayar
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Tausi Ngomeni Umeona nn
Madam N jide Best Judge Dully chenga tu
Tatizo letu huwa hatupendi kuelezwa ukwel.....big up kwa majudge mko makin
Who realised that once dully got the word characteristics hakuiwacha tena 😁😁😁😂😂😂😂😂
@mysteriousazou7979
4 жыл бұрын
😂😂😂 je ni mimi tu nilienotice kuwa hio characteristics yenyew anaikosa kos kwnye matamshi
Huyo dada wa kwanza Diana ameimba vizurii
@lilianshao8154
4 жыл бұрын
Sure yan sem wamemkazia
@jacquelineadrian1112
4 жыл бұрын
Sana yaan nmeumia
@jennykalwani8730
4 жыл бұрын
Kwel kabisa jaman
Kama umesikia mtu amekula vitumbua 60 Like twende sawa
@lizzenock9123
4 жыл бұрын
So vtumbua 60 tu waga anakula na wali kilo mbili ata chapata 50 anakulaga
Huyooo bintii prezentaaaa yuko sawaa kabisaa tatizooo duly mushambaa Sana'a na maguoo ykee yaaa kishambaa yulee Dada plezentaaaaa munamubaniaa tyuu
Yaan majaji mnafaidi vituko hm ndani hahahaaa mbavu zang jmn!!!
Likes for the lady who turned a presenter❤❤
Huyo wa mluzi kaniacha hoii😂😂😂😂
Dully Kakaa Kimalaya Tu Apo 😂😂
Madam Rita nakupenda buree
Bongo star search coaches acheni lugha mbovu kwa washiriki hata kama mtu hawezi mpe lugha ya kuwa hawezi lakini asijisikie vibaya
@lilianshao8154
4 жыл бұрын
Sure yan wanazingua xn kauli mbovuuu
@samwelchuvaka4214
4 жыл бұрын
@@lilianshao8154 Unajua wangekua wanjifunza at least hata kwa wenzao nje kwamfano wale wa AGT, X-factor, The Voice na mashindano mengne wanavofanya ingekua poa
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
They are so boring
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
So so annoying
Daaah washiriki wengine are so funny!
yan dully simpendi ana kiherehere
Yaan dully sykes amekaaa kitamaa tamaa ya wanawake huko kambini sijui itakuaje ni kama fisi kakabiziwa bucha
@abdulissa4180
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@evakweka2578
4 жыл бұрын
Yaani mpk anatia aibu
@neematemu3576
4 жыл бұрын
Kweli kabhisa
Madame Ritha amemwangalia ile mbaya Dully 😂🗣 ,afanye kilicho mpeleka kila mwanamke anamshobokea
@simonbanyase2528
4 жыл бұрын
Precious Benedict hahahha jilo jicho angeliona basi angetulia kbx mbwembwe zingeksha
@mysteriousazou7979
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kumbe umemwona eeh
Dully acha kiherehere acha majaji wenzako nafasi ya kujaji Bora mgempa Benpol hiyo nafasi
Madamme najua unapitia comments zetu Mrudishe ben pol ktk majaji anaujua music
@kaonekacavin3067
4 жыл бұрын
Gastor Dominic well said,,,,syo dully mzushi
Wasukuma bhn ati muwimbo wa udhuni🤣
Wa tanzania 🇹🇿 munachekesha sana tena sana munapo wacheka hao ambao hawawezi kuimba ndoo kuwatia moyo?lekebisheni uwepo wenu ili wajisikiye kufika mbali kbs
@Lady jay Dee nakupendaka sana tena sana ❤❤❤I started listening to you music when I was 8 years old , I love you ❤ all the way from United State of America ,🇿🇼🇨🇩🇺🇸
Kuna wadada humu wanatakiwa wakikosa muziki niwa tangazaji wazuri sana wana jiamini yaani presenters ko wapambanie gepu wakiweza wanitafute Chanel kibao niwaoneshe njia npo kanda ya ziwa mimi
@jackjohn5663
3 жыл бұрын
Mmmh
@jackjohn5663
3 жыл бұрын
Mm nipo
@DAVMOVIEAVITV
3 жыл бұрын
@@jackjohn5663 Whatsup me 0768738506
Big up madam ritha, kingereza kisiwasumbue
nakupenda bure idrisa kaka angu ur the best bro
huyo demu mchek akipita anatingisha tingisha hh
GREAT SHOW!!!!!!
Star bongo ni baba lao mond
Kitete sio kitu kizuri achana na kitete 😂😂bongo sihami hat hali iwe ngumu vip
Sasa jaji hajui kingerez jaji Wa wapi huyo, huyu misifa hajaacha kwan dully na ww jide usimuige dully misifa😂😂madam rita hanag makuu
I like the one with nation song 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Characteristics device is not English and dosnt exit in any dictionary but 😂 🤣🤣🤣🤣
@nestorycosmas5717
3 жыл бұрын
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂. Brother k kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣, kwa 2020
😂😂😂huwezi ipata mana bongo status hamnaaa😂😂😂😂😂😂
Dully kifaransa nakupa non 😂 nimependa sana big up bro 🙌🏾
Eti dakika ya 17:50 "umekuja na hisia ukasahau sauti nyumbani...!!!" Idrisi fala Sana🤣🤣
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Yaani nimecheka sana
Mtu aliyesikia vitumbua 60 na silex 2 alike hapa
Kama na wewe unafikiria characteristic device nini ngonga like
Daaah jamani sikujua kama Mwanza ilikua imefika. Duuh imenipita hiyooo
Kinyumbani zaidi😍😍😍😍😘😘😘
Brother k you’re the best
Yaan feelings haziruhusiwi ktk bss 😂😂😂
Dulysykes okoa jahazi broo mn we ndo Legend jaribu kumpinga master J
Walio cheka ambao sio rahisi kucheka hata comedy iweje... twende pamoja 😀😆😀😆😉
bila dully Sykes, hii kitu haichekeshi,dully safi sana
22:11 yani naimba sana shida management 😂😂😂😂😂😂
@antoninahmutuku2713
4 жыл бұрын
Hahaaa that guy has really touched me,,,much love from +254
@aminanoor5637
4 жыл бұрын
daaa yaani nimecheka kisenge kwer
@mariamzito8702
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Nilichogundua watu wanaukataa uafrika wao
@KhadijaKhadija-uc2uw
4 жыл бұрын
Umeona eeh maana wanajifanya hawajuwi kiswahili
Idrisa umezingua brother 🤣🤣🤣mshikaji ni mlemavu wa macho yaani kipofu alafu unamuuliza unalionaje game🤣🤣🤣🤣daah umeyumba brother 😂😂😂
@asmaaalike1240
4 жыл бұрын
Jamn mbavu zangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joycefilbert5676
4 жыл бұрын
Hahahhahaa alafu kweli
@mudykhalid2708
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tiktoktdmdynamo3100
4 жыл бұрын
Hahahaha amefeli sio kitoto
Ni shidaaaa
Jamani tupeni majibu kwani Salama yuko japo Idrisa anachangamsha lakini huwepo wa Salama nilazima.
Nyiee naoo ni kumaaa tyuuu master jey na wenzakooo
Mie Napita Tyuuu😂😂😂Maana Kugumu Hapa😁😅
Jamaniiii huyo dada wa kupiga miruzi kumbe katokea mwanza jamaniii. Mwanza mmetutoa chambo jamaniiiii.
@rashidkajara4328
4 жыл бұрын
Nash Chyna ni byehatari
Nimependa personality jide
napenda mawowowo
😂😂😂 mwanza jaman mnabalaa
Asante Kwa kushiriki utajiona Kwa tv
Characteristics device😂😂
Kwa nini mnashindwa kumwambia Duly apunguze mdomo??! Yaani ana kiherehere sana, hamuachii nafasi hata Litta!!
@lilianshao8154
4 жыл бұрын
Anazingua San yan khaa
@mwasitiiddy7425
4 жыл бұрын
Kabisa anaboa duli atoke kam vip
@busotytvonline6568
4 жыл бұрын
Veronica Nyakire nashanga kasenge kanasiiiifa kinyama
@habibaissa6778
4 жыл бұрын
Jamani huyo ndiye DullySikes mr misifa mmesahau???? 😎😎
😂😂😂idris si kwa kchokonoa huko dully... Toka arusha mpaka mwanza mpumzishe mwenzio😂😂
Bongo status🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you guys are funny
Dully kihelehele mpaka anataka kutukana,kama umesikia tusi la dully kwa mshiriki anaeitwa Agness james namba 457 gonga like hapa
@hassanmassaga2476
4 жыл бұрын
😅😅
@magrethmtambulo2871
4 жыл бұрын
Huyo wa kupiga uluzi mm hoi as cjui saut itajulikanaje
Mwaka huu 2020 mwanza lini
has anyone seen madam lita the way z looking at dully at 30:52 ?hahahah
1.Characteristic device😂😂😂 2. Bongo status 😂😂😂 3.Milion Naini 😂😂😂 Naomba muongozo wa haya maneno
@modestusmligo4253
4 жыл бұрын
Kizazi zaidi 🤸♂️🤸♂️
@felisterpondamali3589
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
@ramadhaniisihaka295
4 жыл бұрын
Queen Bernard 😀😀😀😀😀😀
@sultanmendez1
4 жыл бұрын
😂😂😂
@aaaaaah290
4 жыл бұрын
Queen Bernard Duuuh. Uko makini kusikiliza 🤔
Alie elewa maana ya characterisric device naomba anieleweshe
😀😀😀😀daaaaa brother k kauwa kinomaa😂😂😂😂