BODABODA WASINGEKUWA NA VIFUA VYA KUTUNZA SIRI NDOA NYINGI ZINGEVUNJIKA "PASTOR MGOGO
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 53
Kwa kweli pastor ubarikiwe sana kabisa . Una kuwa baraka kwangu saana
Nimekuelewa mtumishi barikiwa sana
Balikiwa sana mtumishi
Amen neno liendelee
halleluyah mtumishi Kwa Neema zake mungu nimejiunga na hapa Kenya uko louder and clearly
Amen, Asante baba kwa chakula cha kiroho
Napenda sana mahubili yako
Thanks pastor for your blessing
Huwa ananipa uongozi katika nyumba yangu Mungu wa mbinguni akubariki
Ahsante san mungu akutmie nguvu Kwa kutoa fundisho zuli
Asante mtumishi kwa mafunzo mazuri. Kenya.
Asante sana
Mchugaji hakika ubarikiwe. Sana uliguza moyowagu kwayale mafundisho kuhusu tufikirie peyemungu alitutowa. Mungu akubariki sana tena sana.
Mafundisho yako mtumishi waja tu mungu akubariki sana.
Nabarikiwa,na,mafundisho,yako mchungaji
Ameen
Nu kweli kabisa boda boda wanaona mengi mnoo, ila Mungu wetu tupe moyo wa kukujua wewe na kuwa na hofu na wewe 🙏
Ubarikiwe Sana mtumishi was mungu
Mafunzo mazuri sana pastor 🙏🙏🙏
Nimependa mahubiri yakoooo pastor mgogo
Pastuer Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri.
Baba Mchungaji mafunzo ya hekima haya.
Mchungaji niache yaani nilikuwa naletewa nguo mwezi wa tisa naivaa Christmas 😂😂😂😂acha kabisa jogoo wa Christmas sijui ndizi mchele acha kabisa Christmas ya kijijini ni tamu sana jamani
amen Amen papa 🙏
@hamismuhile3667
2 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe mchungaji
Amen pasta barikiwa sana
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho yako, kunakitu nimejifunza.
Barikiwa sana
Nabarikiwa sana mchungaji
Ubarikiwe sana pastor mgogo
Ndio mchungaji endelea
😂😂😂 wewe sio living stone ulikuwa wa mia tano na sita 😂😂😂😂 asante sana pastor
Mchungaji Mungu akubariki tuu
Mchunganji umetuelimisha sana. mungu akubariki sana. Niko Nyeri Kenya
Mgogo unasema ukweli mtupu
ujumbe wa uponyaji katika familia
Amen mtumishi, ubarikiwe sn
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Nawafundisha Sana watoto wng wavumilie kila nyakati zote tutakazo pitia nimebarikiwa Sana mtumishi 🙏🤲
@mrsaidi.b7478
2 жыл бұрын
.。fu fu
amen man of God
Amen
Unamafunzo manzuri kabisa past mngogo
Tx
Tufundishe Nasi Tunaokimbia kijijini Tunakuja Dar,,,Kutafutakazi,,,Tunakimbia kulima Tunakutanana Ajira Yakuokota Makopo,,,,Tunakimbia shamba
🙏🙏🙏
👏🤝
Sema baba tupone
Pastre
Inafaa serikali iwaandalie bodaboda malipo maalum kwa vile wanaokoa ndoa nyingi.
Mchungaji unaongea ukweli
Haha
Amen