Biblia inasema mwanamke asipofunika kichwa amelaaniwa - Sheikh Shafi

Пікірлер: 61

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson22612 ай бұрын

    Sheikh Shafi Allah amekujaaia unakipaji san cha kuzungumz wallah.❤❤❤

  • @allyjuma9299
    @allyjuma929911 ай бұрын

    Shehke alla akuhifadhi unaupiga mwingi

  • @shijagan6671
    @shijagan667111 ай бұрын

    Tuamkeni waislam

  • @miishhassn
    @miishhassn11 ай бұрын

    😂😂😂😂 Allah akulipe kher inshaallah ❤

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul11 ай бұрын

    Tuwekana sawa shehe kakosea kidogo ni WAKORINTHO WA KWANZA(1)11:5 sio wa pili jaman

  • @user-ys5hz1kz6r
    @user-ys5hz1kz6r11 ай бұрын

    Ww husen rajabu kichwa chako hakipo sawa

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje773011 ай бұрын

    Eti Kiarabu Imani za matendo

  • @MathewPagi
    @MathewPagi10 ай бұрын

    Katika kitu ambacho sijategemea nikuona viongozi was dini kushindwa kujua wanacho takiwa kufanya kama unatakakutenganisha uarabu na uislamu harafu ukaunganisha ukristo na uzungu ndipo naonani wapiga dili

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp11 ай бұрын

    Wanaume kufunika kichwa kama wanawake kwa mujibu wa neno la Mungu ni AIBU .

  • @mariosigala8760
    @mariosigala876011 ай бұрын

    Dini haina mbingu

  • @mariosigala8760
    @mariosigala876011 ай бұрын

    Mavazi hayana mibingu Yesu ndio wa mhimu

  • @mariosigala8760
    @mariosigala876011 ай бұрын

    Hadithi na Neno la MUNGU nivitu viwili tofauti

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi110 ай бұрын

    KWahiyo nyiee mungu wenu ..anajua lugha moja tu?

  • @MesaidaMatano

    @MesaidaMatano

    4 ай бұрын

    Mungu anajua lugha zote ILA ikija wakati w kuitana pamoja kwa kufanya ibada n kiarabu maana quran n kiarabu kitupu ikija kwenye dua unaeza ukaomba kwa lugha yyte ILA KWENYE SWALA N KIARABU N KUISOMA QURAN TUKUFU♥️

  • @selemanyousuf8160
    @selemanyousuf816011 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.987011 ай бұрын

    UMEPOTOKA SHEKH😂

  • @user-tr8rs4iz6s
    @user-tr8rs4iz6s11 ай бұрын

    Huna lolote

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    11 ай бұрын

    Kwan hujaerewa

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g9 ай бұрын

    Adhana mbona hata Ugeruman waislaam wapo wanapiga adhana kama kawaida huyo mzungu rufiji huyo kwa wandenge🤣🤣🤣🤣

  • @kassimukihanga9240
    @kassimukihanga924011 ай бұрын

    Www kweli unatumia nguvu zako mwisho wako upo karibu we muongo sana naomba nipate muda ukiwa tayar kudhihirisha uongo wako ww unatafuta wafiasi acha kujitapa hujui lolote unawapoteza wenzako hovyo sana

  • @janerouhassanjanerou7933

    @janerouhassanjanerou7933

    11 ай бұрын

    Pole sana

  • @ridhiwanmohamed1014

    @ridhiwanmohamed1014

    11 ай бұрын

    Hii kweli

  • @ridhiwanmohamed1014

    @ridhiwanmohamed1014

    11 ай бұрын

    Kama huyo ni muongo Chief Haina shida, Lete ushahidi wa maandiko au tuma tafsri ya hayo maandiko aliyonukuu

  • @RisasiKhamis

    @RisasiKhamis

    11 ай бұрын

    Vipofu siku zote wanataka waongoze huyo Bwana anakosowa Biblia kwa maandishi ya humu bila kutowa ushahidi wa kumkosoa shekhe

  • @buremalyatabu3517

    @buremalyatabu3517

    11 ай бұрын

    Wewe ndiyo biblia huijui kabisa!

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.987011 ай бұрын

    UISILAMU HAKUNA DINI HAPO

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    10 ай бұрын

    Unasemaje we fyatu

  • @shamsoabdallah1161

    @shamsoabdallah1161

    8 ай бұрын

    Ww dini yako ni ipi tuijue

  • @victorgasper7563
    @victorgasper756311 ай бұрын

    unajua waislam sio imani iyo ni kikundi cha wapiga ngoma

  • @MesaidaMatano

    @MesaidaMatano

    4 ай бұрын

    Allah akuongoze n akupe Kauli njema

  • @sakinamohamed5518

    @sakinamohamed5518

    3 ай бұрын

    Nyie ndio wapoga Ngoma uko kanisani wake kwa waume mbwa walio potea

  • @asteriashios1852
    @asteriashios185211 ай бұрын

    Mtu mnzima hovyo uongo ni dhambi huna jipya la kusema

  • @MesaidaMatano

    @MesaidaMatano

    4 ай бұрын

    Tupe moja l kweli

  • @kassimukihanga9240
    @kassimukihanga924011 ай бұрын

    Kwanza shekh acha uongo hakuna sehemu biblia inasema hivyo umepotoka na unawapotosha wengine acha kama kitu hukijui vizur usikisemee mm nimeisoma biblia vizur sana huu ni upotoshaji mkubwa

  • @hassanmpwepwe3826

    @hassanmpwepwe3826

    11 ай бұрын

    Wew aujaisoma bali umepita pita2

  • @kassimukihanga9240

    @kassimukihanga9240

    11 ай бұрын

    Unaposoma unaelewa nini au unasoma kwa kutamka ndy maana Kuna ufahamu ww umesoma ila huna ufahamu wa hicho unachokisoma na watu kama ww ni wengi sana wanapotosha wengi sana

  • @buremalyatabu3517

    @buremalyatabu3517

    11 ай бұрын

    50: 6 yeremia yenyeweumeisoma ukaielewa?

  • @user-yo5ez7pm8e

    @user-yo5ez7pm8e

    11 ай бұрын

    ​@@buremalyatabu3517wewe unapinga nini hata hio dini huna ukiulizwa dini Gani unayo unasema Mimi ni kristo, kaka Hilo ni jina la yesu mjinga mkubwa wee,

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    11 ай бұрын

    Ww wamfika shafii basj nenda upambane naye kwenye midahalo mapaster wenyewe wamkimbia wacha kuropokwa

Келесі