BENNY INN NAIROBI KENYA 2024
Музыка
Wagalatia 1:7-8
[7]Wala si nyingine; lakini wapo watu wawataabishao na kutaka kuigeuza injili ya Kristo.
[8]Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.
Пікірлер: 220
Thanks for telling the truth ,i know some will not agree with you but me i agree 💯 with you. Duniani watu wamekubali kudanganywa that's why watu ukua wengi kwenye uongo.Ebu ona hata hpa kwa comments and likes number haizongi sana coz unanena ukweli.Naomba mungu atufungue macho ili tuache kutegemea nguvu za mwanadamu.Be blessed and continue preaching the Truth 🙏
Barikiwa mtumish wa mungu kwa kunena ukweli ...mungu awafungue macho walio na maskio na wasikie 🇰🇪
Thanks for educating the masses, Legend Munishi. Watu wengi wanaingizwa utapeli za dini juu wamekosa kuelewa biblia. Many are perishing for lack of knowledge. Shukran!
@danielmuli1838
4 ай бұрын
Amen Amen .... Mimi nakubaliana na wewe 100%Kwa 100%.watch wetu wamepotea kwa kufuatMiujiza
Napenda injili yako Mtumishi Wa Mungu, Ukisimama na Ukweli hawatakupenda kamwe.... Munishi The Gospel Legend
OOOh thank you for speaking the truth with boldness...very many men of God in Kenya now have compromised their integrity for fear of loosing followers. Its a sad thing how many will be decieved after this crusade really, Ubarikiwe sana mtumishi!!!! the word of God says "my sheep hear my voice and i know them and they follow me" John 10:27
Asante sana monishi....mimi n mkenya....president wetu atahangaika tu hadi afike mwisho....hivi sasa kenya iko kwa ukumu na si ukumu wa shetani mbali n wa mungu mwenye....kenya nzima inalia ju ya ruto....wacha aendelee kutembea dunia yote akitafuta maprophet bt God is watching
@abigaelsamuel1307
4 ай бұрын
Himself is a cultist the reason he can't see any bad thing in them
Jambo Rafiki yangu Mr Munishi,nimekua nikifuatilia nyimbo zako Tamu tangu 2004.
Pastor mnishi Asante Kwa ukweli nilikua natafuta watumishi kama wewe Niko saudia Africa tafuta mungu wengi watakuja Kwa Jina lake Yesu ni mungu atupe macho ya kiroho Napenda nyimbo zako mtumishi
Thank you for speaking up. Thank you. Benny Hinn is a prosperity gospel preacher - the worst thing to happen to the modern day church. He is in a long list of others. And unfortunately they have become the face of Christianity. Very sad.
Amen Amen mtumishi wa mungu, yesu mwenyewe walimpinga kwa ukusema ukweli,mimi najua miujiza haitafutwi, Amen mtumishi mwenye masikio na asikie, 🙏
Kama anauza kanda za kasseti kwenye mkutano yake anatakiwa kuacha mara moja kwani imeandikwa mmepewa bure toeni bure. Hallelujah
@chrismessh8880
4 ай бұрын
Gharama za kuandaa hizo kaseti je?
SAWA mchungaji Munishi. Huyu ni mhubiri mpotovu.
Ulianza katika roho leo unamalizia ktk mwili umekuwa jaji wa kuhukumu watumishi wa mungu na wanasiasa ovyo kabisa wewe nilikuwa mpenzi sana wa nyimbo zako ila sasa sizitaki hata kuzisikia nimetupa mbali sana CD zako zote
Nakushauri usipende kushuhudia watu mambo ya mtu mwingine acha Mungu ahukumu. Maana pazia limapasuka kila mtu anayo nafasi ya kwenda mbele za Mungu. Kwa ajili ya uvivu watu wanatafuta rahisi,wengi watapotea kwa kutopenda kusoma neno la Mungu na kuomba. Wewe mwinue Kristo Yesu juu naye atainua wengi kwako
@kajole8057
4 ай бұрын
Mkihubirwa kweli hamtaki na kusikia pia hamna, yesu alichukiwa na wayahudi kwa kuhubiri kweli
Ukweli mtupu. Ben Inn ni mhubiri wa uongo.
@yahcanonbenisrael650
4 ай бұрын
Give me one true preacher in Kenya. 98% ni waongo na dini ya kikristo pia ni laghai na potovu
God bless you man of God!hio iko sawa kabisa.Mathew 22:29, people should know the truth and the power of God.sio kusurutishwa
Benny Hinn ni tameli mkuu sana
Umenena kweli barikiwa
I agree with the spirit of God in you,I search you kabla Ben Hinn kuja and you spoke the truth... Amekuja ametapeli
GOD bless you man of GOD long live munishi.
Amina 🙏 Ukweli sana, Barikiwa Milele Amina🙏🙏🙏
Utapeli kabisaaa. Angalia vile anasukuma watu akiwaangusha chini huyu tapeli benn hinn😢😢
Amen mtumishi,uwo ndo ukweli kabsa,neno la MUNGU kafanyiwa biashara
Thanks pastor munishi huu ni ukweli
we need more songs Munish
🎉 Kila Mtu atatoa habari zake mwenyewe mbele ya Yehova 🎉
Read the bible , it shall give you the Light. Praise God 🙏
Nashukuru Mungu ya kwamba Benny hinn alinibariki sana hayo mengine ni yake na Mungu. Miaka hiyo yote hamukuongea kumhusu yaani mnangoja Hadi aalikwe ndo muonge I don't think that is right.. sikiza meno enda zako mengine achana nayo. I thank God for Benny
glory to God umeongea ukweli kabisa mtumishi wa Mungu Kenya ni inchi imepotea Mungu atuhurumie mambo Yale yako Kenya ni bala tupu
usitukumbushe ulikuwa mshirika wa makezi usidhani tumesahau kenya we keep record remember
@michaelwafula1625
4 ай бұрын
APOSTACY
Nakupenda sana Mtumishi. I'm from Kenya
Nakupenda Sana mtu wa Mungu...huo ni ukweli husipungika.
Ukweli,... God bless you for standing with the truth
This guy is as young as I found him,I also love your song to date ❤
Asante munishi Kwa kusimama n ukweli
The other time it was kigame now it's munishi! His meeting was very powerful.
Oo mnishi asamte Sana sana Kwa ujumbe ukweli utabaki ukweli
Asante kwa kusimama kwa ukweli....
Ni kweli juu sijawai Sikia pahali Yesu alitumia mafuta
Thank you sir for coming out to speak the truth.
Anaitwa Mungu wa ulimwengu huu kwa sasa Benny hinn
Peach your gospel sir according what God has sent you to do. Your gospel is music.am sure somebody says Munishi ni wa uongo. Let God deal with his people His own way
Barikiwa mutumishi WA Mungu
Hallo Men of God. You are right.
Wivu
Asante 😢naomba watu wafunguke macho. Wote wako wako ligi moja
Huo ni ukweli na utawaumiza wengi mioyo,ila ni roho wa mungu aliyekiamrisha uyazungumze,"aliye na sikio na alisikie neno roho anayaambia makanisa"
@benjaminchuma5468
5 ай бұрын
2Thessalonians 2:11 For this reason God sends them a powerful delusion so that they will believe the lie 12 and so that all will be condemned who have not believed the truth but have delighted in wickedness.
@emilykerubo5579
4 ай бұрын
Amina🎉
@juliusmutinda440
4 ай бұрын
Shauri yako
MCHUNGAJI ASANTE SANA KWA KUONYA KENYA!!! KENYA TUMELAANIWA.TUNAPENDA MAMBO MACHAFU NA MAMBO YA UTAPELI SANA.KWA HIVYO MCHUGAJI WACHA KATAMBE, KASONGE! KASONGE . JEHENAMU INATUNGOJEA.WE ARE UNDER CURSE! THE WRATH OF GOD ALMIGHTY IS UPON US KENYA😮😮
Amina. Barikiwa mtumishi
Barikiwa sana Pasta Munishi, jee kwani huzeeki? Nilikuona kitambo nikiwa kijana na sasa nimezeeka!!!
Mtumishi Faustini Munish Kifupi ni kwamba: Mkutano Umefanyika na Hakika Umejawa na Utukufu wa MUNGU. Jina la BWANA na Mwokozi Wetu Yesu Kristo ameinuliwa na kutukuzwa. Soma WAFILIPI 4:8.
@claudinelola3894
4 ай бұрын
Who told you that it was the glory of true GOD.Stay in your blindness.Bushiri ,Lukau and many more you will think it’s the glory of GOD.We will know who was right very soon
@saturinimushi4746
4 ай бұрын
@@claudinelola3894 Usimuweke Mchungaji Benny Hinn kwenye Group Moja na Hawa Wahuni uliowataja hapa Ingia YUTUBE Tafuta Historia ya Benny Hinn amehubiri Injili Ulimwenguni pote. Amerecorded Vipindi Mbalimbali kwenye Tv Kipindi Chake Cha This is Your Day akiwa pamoja na Watumishi wa Mungu wanaoaminika sana. Neema aliyonayo Mchungaji Benny Hinn ni kubwa sana kumpinga au kumkosoa unapaswa uwe umefanya kazi kubwa zaidi yake ya Kumtumikia Mungu kumzidi.
Ujumbe mzuri sana ndugu. Ningeomba tuwe na mazungumzo
Asante Bwana Munishi
Tumwabudu Mungu wa Haki na Kweli,Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia na vyote wilivyomo nitakuabudu milele,If Munishi talking ukweli Mungu akubariki manabii wa uongo wamo Duniani sasa.
Nakupenda... Barikiwa
Let God himself judge
Balikiwa sana mwenye masikio wamesikia.
Obey God rather than man!!!
Munishi nawaza unasema mambo haujuwi kwa Benny Hinny Uombe Mungu musama
@MinaTuzo
11 күн бұрын
Ruto alitutoa Kafara kitambo
Amina
Munish msema ukweli ❤
Amen
Ukweli mtupuu........❤
Wewe mtumishi unakibali Sana. Hauzeeki
Very true, I used to watch him they push people to fall down. God help your people.
Munish...endelea hivo hivo kupingana na watumishi wa Mungu.juzi tu ulikuwa kwa apstle James akukupea pulpit na ukapewa pesa sana na washirika wake baadaye ukaenda kusema apstle James ni mtapeli? Mbona ulikuja kwa madhabahu yake
Kwanza hakualikwa na waumini alialikwa na serikali,
nilipoona pop up ya video yako mtumishi, nilidhani wataka kumsupport benny hinn😅...., nashukuru Mungu kwa kukupa ujasili wa kunena ukweli kabisa🎉🎉
Very good Munushi
You talking the truth but remember some people cant accept
You never age brother.
Benny hinn is a conman😢
@reubenothuol1823
4 ай бұрын
He has been exposed so many times in the US
@charitygathi3306
4 ай бұрын
@reubenothuol1823 yes not a straightforward person ako na dosari????
Utapata laana
I agree with you Mr Munishi
Wewe unaimba lakini huko na shinda zako.
Nakubaliana nawewe kabisa mtumishi wa mungu watu wanaonywa na biblia wawe makini na hawa false prophets mimi sikutaka kusikiza anasema nini roho kanizungumzia
Ni Mungu tu
The truth will set you free.
Uliongea ukweli. Kusikia ndio hawasikiangi
Ndo maana nikasilimu
Amen 🙏🙏🙏
Cha kushangaa wakenya wengi wanakimbilia miujiza na hawana habari Benny hinn anajulikana ni tapeli inchi za nje, neno la mungu limewekwa kando siku hizi ni pokea, utapata na ndio watu wanafurahia upotovu huo.
Ukweli usemwe
Kweli
🙏🙏🙏🙏😢🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ukweli kabisa
Malebooooò😂😂😂😂
True indeed
Lakini aliomba msamaha juzi, God forgave him.
Ukweli bro
Maadam haya ni maoni binafsi, na hayana hata Neno la Mungu, na mnayemtuhumu hajafanya wala hajasema popote hicho mnachomsemea. Inabaki tu kuwa ni matumizi ya mdomo maadam hakuna kodi yake.
Sauti iko chini,ingawa unavyisema NI ukweli.
Rais wa Africa wanapenda wahubiri wa majini.
Naitwa. ASKOFU WILLIAM MWAMALANGA Hakika Mchungaji Faustini upo vema Mafundisho potofu ni uchawi ni sanamu ni ujambaz itatizo wakenya. Hawana msimamo wengi wao wanaamini uongo ninawaonya Benn hinn pia ni Muongo wa Mafundisho
@saturinimushi4746
4 ай бұрын
Kama Mchungaji Benny Hinn ni muongo Basi hapa Tanzania hakuna Mhubiri wa Kweli zaidi ya Askofu Zakary Kakobe na Yule wa Kaanani Church-Karagwe. Robert Tv. Wengine Wengi ni Wafanya Biashara Wanaotumia Bible kama Mtaji wa Faida Binafsi
Unapenda msitu sana
Ukweli
Ukweli kabixa ume Nena hapo jamani siku zamwisho ndio hizi baba turehemu
Plain truth na Lita umiza mbegu zake lakini ni ukweli
Ukweli mtupu
Utapeli kabisa. Uongo tupu Benny Hinn awezi kuja nichi atwambie eti kwasababu akualikua vizuri eti ata ku curse. Tangu lini abadilike awe Mungu