BENNY INN NAIROBI KENYA 2024

Музыка

Wagalatia 1:7-8
[7]Wala si nyingine; lakini wapo watu wawataabishao na kutaka kuigeuza injili ya Kristo.
[8]Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.

Пікірлер: 220

  • @alfayosioka8734
    @alfayosioka87344 ай бұрын

    Thanks for telling the truth ,i know some will not agree with you but me i agree 💯 with you. Duniani watu wamekubali kudanganywa that's why watu ukua wengi kwenye uongo.Ebu ona hata hpa kwa comments and likes number haizongi sana coz unanena ukweli.Naomba mungu atufungue macho ili tuache kutegemea nguvu za mwanadamu.Be blessed and continue preaching the Truth 🙏

  • @anneanji4818
    @anneanji48184 ай бұрын

    Barikiwa mtumish wa mungu kwa kunena ukweli ...mungu awafungue macho walio na maskio na wasikie 🇰🇪

  • @chrisogonas
    @chrisogonas4 ай бұрын

    Thanks for educating the masses, Legend Munishi. Watu wengi wanaingizwa utapeli za dini juu wamekosa kuelewa biblia. Many are perishing for lack of knowledge. Shukran!

  • @danielmuli1838

    @danielmuli1838

    4 ай бұрын

    Amen Amen .... Mimi nakubaliana na wewe 100%Kwa 100%.watch wetu wamepotea kwa kufuatMiujiza

  • @cristianoprincegabrielles3951
    @cristianoprincegabrielles39514 ай бұрын

    Napenda injili yako Mtumishi Wa Mungu, Ukisimama na Ukweli hawatakupenda kamwe.... Munishi The Gospel Legend

  • @agnessanga
    @agnessanga4 ай бұрын

    OOOh thank you for speaking the truth with boldness...very many men of God in Kenya now have compromised their integrity for fear of loosing followers. Its a sad thing how many will be decieved after this crusade really, Ubarikiwe sana mtumishi!!!! the word of God says "my sheep hear my voice and i know them and they follow me" John 10:27

  • @zwenizwena7007
    @zwenizwena70074 ай бұрын

    Asante sana monishi....mimi n mkenya....president wetu atahangaika tu hadi afike mwisho....hivi sasa kenya iko kwa ukumu na si ukumu wa shetani mbali n wa mungu mwenye....kenya nzima inalia ju ya ruto....wacha aendelee kutembea dunia yote akitafuta maprophet bt God is watching

  • @abigaelsamuel1307

    @abigaelsamuel1307

    4 ай бұрын

    Himself is a cultist the reason he can't see any bad thing in them

  • @kennethkiprono4251
    @kennethkiprono42514 ай бұрын

    Jambo Rafiki yangu Mr Munishi,nimekua nikifuatilia nyimbo zako Tamu tangu 2004.

  • @ChristanahChristanah-oo8jn
    @ChristanahChristanah-oo8jn4 ай бұрын

    Pastor mnishi Asante Kwa ukweli nilikua natafuta watumishi kama wewe Niko saudia Africa tafuta mungu wengi watakuja Kwa Jina lake Yesu ni mungu atupe macho ya kiroho Napenda nyimbo zako mtumishi

  • @rosendegwa339
    @rosendegwa3394 ай бұрын

    Thank you for speaking up. Thank you. Benny Hinn is a prosperity gospel preacher - the worst thing to happen to the modern day church. He is in a long list of others. And unfortunately they have become the face of Christianity. Very sad.

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini93314 ай бұрын

    Amen Amen mtumishi wa mungu, yesu mwenyewe walimpinga kwa ukusema ukweli,mimi najua miujiza haitafutwi, Amen mtumishi mwenye masikio na asikie, 🙏

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga10654 ай бұрын

    Kama anauza kanda za kasseti kwenye mkutano yake anatakiwa kuacha mara moja kwani imeandikwa mmepewa bure toeni bure. Hallelujah

  • @chrismessh8880

    @chrismessh8880

    4 ай бұрын

    Gharama za kuandaa hizo kaseti je?

  • @bensonmatete-rz2rn
    @bensonmatete-rz2rn5 ай бұрын

    SAWA mchungaji Munishi. Huyu ni mhubiri mpotovu.

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo32923 күн бұрын

    Ulianza katika roho leo unamalizia ktk mwili umekuwa jaji wa kuhukumu watumishi wa mungu na wanasiasa ovyo kabisa wewe nilikuwa mpenzi sana wa nyimbo zako ila sasa sizitaki hata kuzisikia nimetupa mbali sana CD zako zote

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo81654 ай бұрын

    Nakushauri usipende kushuhudia watu mambo ya mtu mwingine acha Mungu ahukumu. Maana pazia limapasuka kila mtu anayo nafasi ya kwenda mbele za Mungu. Kwa ajili ya uvivu watu wanatafuta rahisi,wengi watapotea kwa kutopenda kusoma neno la Mungu na kuomba. Wewe mwinue Kristo Yesu juu naye atainua wengi kwako

  • @kajole8057

    @kajole8057

    4 ай бұрын

    Mkihubirwa kweli hamtaki na kusikia pia hamna, yesu alichukiwa na wayahudi kwa kuhubiri kweli

  • @stevemutinda2020
    @stevemutinda20205 ай бұрын

    Ukweli mtupu. Ben Inn ni mhubiri wa uongo.

  • @yahcanonbenisrael650

    @yahcanonbenisrael650

    4 ай бұрын

    Give me one true preacher in Kenya. 98% ni waongo na dini ya kikristo pia ni laghai na potovu

  • @jeffmwanzia7679
    @jeffmwanzia76794 ай бұрын

    God bless you man of God!hio iko sawa kabisa.Mathew 22:29, people should know the truth and the power of God.sio kusurutishwa

  • @christstillsaves
    @christstillsaves4 ай бұрын

    Benny Hinn ni tameli mkuu sana

  • @neemamushi2434
    @neemamushi24344 ай бұрын

    Umenena kweli barikiwa

  • @Naanyu123
    @Naanyu1234 ай бұрын

    I agree with the spirit of God in you,I search you kabla Ben Hinn kuja and you spoke the truth... Amekuja ametapeli

  • @dennisoyoo8560
    @dennisoyoo85604 ай бұрын

    GOD bless you man of GOD long live munishi.

  • @lambofgodtv8107
    @lambofgodtv81074 ай бұрын

    Amina 🙏 Ukweli sana, Barikiwa Milele Amina🙏🙏🙏

  • @jakee2041
    @jakee20414 ай бұрын

    Utapeli kabisaaa. Angalia vile anasukuma watu akiwaangusha chini huyu tapeli benn hinn😢😢

  • @user-rr8xt7rh8u
    @user-rr8xt7rh8u4 ай бұрын

    Amen mtumishi,uwo ndo ukweli kabsa,neno la MUNGU kafanyiwa biashara

  • @desmasokoth562
    @desmasokoth5625 ай бұрын

    Thanks pastor munishi huu ni ukweli

  • @angelaikunyua3934
    @angelaikunyua39344 ай бұрын

    we need more songs Munish

  • @patrickmungai389
    @patrickmungai3894 ай бұрын

    🎉 Kila Mtu atatoa habari zake mwenyewe mbele ya Yehova 🎉

  • @puritywaweru2316
    @puritywaweru23164 ай бұрын

    Read the bible , it shall give you the Light. Praise God 🙏

  • @nathangakere3592
    @nathangakere35924 ай бұрын

    Nashukuru Mungu ya kwamba Benny hinn alinibariki sana hayo mengine ni yake na Mungu. Miaka hiyo yote hamukuongea kumhusu yaani mnangoja Hadi aalikwe ndo muonge I don't think that is right.. sikiza meno enda zako mengine achana nayo. I thank God for Benny

  • @MargaretKivaro
    @MargaretKivaro4 ай бұрын

    glory to God umeongea ukweli kabisa mtumishi wa Mungu Kenya ni inchi imepotea Mungu atuhurumie mambo Yale yako Kenya ni bala tupu

  • @kingbornb3174
    @kingbornb31744 ай бұрын

    usitukumbushe ulikuwa mshirika wa makezi usidhani tumesahau kenya we keep record remember

  • @michaelwafula1625

    @michaelwafula1625

    4 ай бұрын

    APOSTACY

  • @christaloneministry1163
    @christaloneministry11634 ай бұрын

    Nakupenda sana Mtumishi. I'm from Kenya

  • @JaphethMbusya-ld4xc
    @JaphethMbusya-ld4xc4 ай бұрын

    Nakupenda Sana mtu wa Mungu...huo ni ukweli husipungika.

  • @susanwangui5061
    @susanwangui50614 ай бұрын

    Ukweli,... God bless you for standing with the truth

  • @liz0609wk
    @liz0609wk4 ай бұрын

    This guy is as young as I found him,I also love your song to date ❤

  • @lewisatambo1662
    @lewisatambo16624 ай бұрын

    Asante munishi Kwa kusimama n ukweli

  • @nashipaikoima682
    @nashipaikoima6824 ай бұрын

    The other time it was kigame now it's munishi! His meeting was very powerful.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын

    Oo mnishi asamte Sana sana Kwa ujumbe ukweli utabaki ukweli

  • @Bojak079
    @Bojak0794 ай бұрын

    Asante kwa kusimama kwa ukweli....

  • @jamesautomajorjimmy7895
    @jamesautomajorjimmy78954 ай бұрын

    Ni kweli juu sijawai Sikia pahali Yesu alitumia mafuta

  • @loiceoyieyo2055
    @loiceoyieyo20554 ай бұрын

    Thank you sir for coming out to speak the truth.

  • @user-vd8oq7it6v
    @user-vd8oq7it6v4 ай бұрын

    Anaitwa Mungu wa ulimwengu huu kwa sasa Benny hinn

  • @ephraimngiria868
    @ephraimngiria8684 ай бұрын

    Peach your gospel sir according what God has sent you to do. Your gospel is music.am sure somebody says Munishi ni wa uongo. Let God deal with his people His own way

  • @NizigiyimanzClaudia
    @NizigiyimanzClaudia4 ай бұрын

    Barikiwa mutumishi WA Mungu

  • @jacklinemuhonja1742
    @jacklinemuhonja17424 ай бұрын

    Hallo Men of God. You are right.

  • @juliusmutinda440
    @juliusmutinda4404 ай бұрын

    Wivu

  • @AnnKanini
    @AnnKanini4 ай бұрын

    Asante 😢naomba watu wafunguke macho. Wote wako wako ligi moja

  • @user-vv5pd7qq5w
    @user-vv5pd7qq5w5 ай бұрын

    Huo ni ukweli na utawaumiza wengi mioyo,ila ni roho wa mungu aliyekiamrisha uyazungumze,"aliye na sikio na alisikie neno roho anayaambia makanisa"

  • @benjaminchuma5468

    @benjaminchuma5468

    5 ай бұрын

    2Thessalonians 2:11 For this reason God sends them a powerful delusion so that they will believe the lie 12 and so that all will be condemned who have not believed the truth but have delighted in wickedness.

  • @emilykerubo5579

    @emilykerubo5579

    4 ай бұрын

    Amina🎉

  • @juliusmutinda440

    @juliusmutinda440

    4 ай бұрын

    Shauri yako

  • @charleskyale9983
    @charleskyale99834 ай бұрын

    MCHUNGAJI ASANTE SANA KWA KUONYA KENYA!!! KENYA TUMELAANIWA.TUNAPENDA MAMBO MACHAFU NA MAMBO YA UTAPELI SANA.KWA HIVYO MCHUGAJI WACHA KATAMBE, KASONGE! KASONGE . JEHENAMU INATUNGOJEA.WE ARE UNDER CURSE! THE WRATH OF GOD ALMIGHTY IS UPON US KENYA😮😮

  • @DuncanJohn-bw4wn
    @DuncanJohn-bw4wn4 ай бұрын

    Amina. Barikiwa mtumishi

  • @carolinealuoch-nj3ng
    @carolinealuoch-nj3ng4 ай бұрын

    Barikiwa sana Pasta Munishi, jee kwani huzeeki? Nilikuona kitambo nikiwa kijana na sasa nimezeeka!!!

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi47464 ай бұрын

    Mtumishi Faustini Munish Kifupi ni kwamba: Mkutano Umefanyika na Hakika Umejawa na Utukufu wa MUNGU. Jina la BWANA na Mwokozi Wetu Yesu Kristo ameinuliwa na kutukuzwa. Soma WAFILIPI 4:8.

  • @claudinelola3894

    @claudinelola3894

    4 ай бұрын

    Who told you that it was the glory of true GOD.Stay in your blindness.Bushiri ,Lukau and many more you will think it’s the glory of GOD.We will know who was right very soon

  • @saturinimushi4746

    @saturinimushi4746

    4 ай бұрын

    @@claudinelola3894 Usimuweke Mchungaji Benny Hinn kwenye Group Moja na Hawa Wahuni uliowataja hapa Ingia YUTUBE Tafuta Historia ya Benny Hinn amehubiri Injili Ulimwenguni pote. Amerecorded Vipindi Mbalimbali kwenye Tv Kipindi Chake Cha This is Your Day akiwa pamoja na Watumishi wa Mungu wanaoaminika sana. Neema aliyonayo Mchungaji Benny Hinn ni kubwa sana kumpinga au kumkosoa unapaswa uwe umefanya kazi kubwa zaidi yake ya Kumtumikia Mungu kumzidi.

  • @jomwanjestv
    @jomwanjestv4 ай бұрын

    Ujumbe mzuri sana ndugu. Ningeomba tuwe na mazungumzo

  • @erastusenockabuyeka4078
    @erastusenockabuyeka40784 ай бұрын

    Asante Bwana Munishi

  • @Daniel-yt2vn
    @Daniel-yt2vn4 ай бұрын

    Tumwabudu Mungu wa Haki na Kweli,Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia na vyote wilivyomo nitakuabudu milele,If Munishi talking ukweli Mungu akubariki manabii wa uongo wamo Duniani sasa.

  • @denniskitongamutie5332
    @denniskitongamutie53324 ай бұрын

    Nakupenda... Barikiwa

  • @MarkWekesa-cn9hz
    @MarkWekesa-cn9hz4 ай бұрын

    Let God himself judge

  • @perisgikungu7938
    @perisgikungu79384 ай бұрын

    Balikiwa sana mwenye masikio wamesikia.

  • @rodriquezuwagukunze8143
    @rodriquezuwagukunze81433 ай бұрын

    Obey God rather than man!!!

  • @patrice1974
    @patrice19744 ай бұрын

    Munishi nawaza unasema mambo haujuwi kwa Benny Hinny Uombe Mungu musama

  • @MinaTuzo

    @MinaTuzo

    11 күн бұрын

    Ruto alitutoa Kafara kitambo

  • @michaellukoobatundi1294
    @michaellukoobatundi12945 ай бұрын

    Amina

  • @oderaoderah9337
    @oderaoderah93374 ай бұрын

    Munish msema ukweli ❤

  • @bamdogomusic
    @bamdogomusic4 ай бұрын

    Amen

  • @socialdemocrat0015
    @socialdemocrat00155 ай бұрын

    Ukweli mtupuu........❤

  • @silusmaratani8081
    @silusmaratani80814 ай бұрын

    Wewe mtumishi unakibali Sana. Hauzeeki

  • @roseokongo3229
    @roseokongo32294 ай бұрын

    Very true, I used to watch him they push people to fall down. God help your people.

  • @jeremiahkariuki5685
    @jeremiahkariuki56854 ай бұрын

    Munish...endelea hivo hivo kupingana na watumishi wa Mungu.juzi tu ulikuwa kwa apstle James akukupea pulpit na ukapewa pesa sana na washirika wake baadaye ukaenda kusema apstle James ni mtapeli? Mbona ulikuja kwa madhabahu yake

  • @agathachughu
    @agathachughu4 ай бұрын

    Kwanza hakualikwa na waumini alialikwa na serikali,

  • @blessedemmanuel254
    @blessedemmanuel2544 ай бұрын

    nilipoona pop up ya video yako mtumishi, nilidhani wataka kumsupport benny hinn😅...., nashukuru Mungu kwa kukupa ujasili wa kunena ukweli kabisa🎉🎉

  • @msemakweli6364
    @msemakweli63644 ай бұрын

    Very good Munushi

  • @GilbertMichira
    @GilbertMichira4 ай бұрын

    You talking the truth but remember some people cant accept

  • @mikaro251
    @mikaro2514 ай бұрын

    You never age brother.

  • @charitygathi3306
    @charitygathi33064 ай бұрын

    Benny hinn is a conman😢

  • @reubenothuol1823

    @reubenothuol1823

    4 ай бұрын

    He has been exposed so many times in the US

  • @charitygathi3306

    @charitygathi3306

    4 ай бұрын

    @reubenothuol1823 yes not a straightforward person ako na dosari????

  • @mahijamikael3652
    @mahijamikael36524 ай бұрын

    Utapata laana

  • @DoublevisionTVKE
    @DoublevisionTVKE4 ай бұрын

    I agree with you Mr Munishi

  • @jamesmusulu8056
    @jamesmusulu80564 ай бұрын

    Wewe unaimba lakini huko na shinda zako.

  • @user-mi5iq5ew4e
    @user-mi5iq5ew4e4 ай бұрын

    Nakubaliana nawewe kabisa mtumishi wa mungu watu wanaonywa na biblia wawe makini na hawa false prophets mimi sikutaka kusikiza anasema nini roho kanizungumzia

  • @debrabor5731
    @debrabor57314 ай бұрын

    Ni Mungu tu

  • @puritywaweru2316
    @puritywaweru23164 ай бұрын

    The truth will set you free.

  • @MinaTuzo
    @MinaTuzo11 күн бұрын

    Uliongea ukweli. Kusikia ndio hawasikiangi

  • @Hassanmarai
    @Hassanmarai4 ай бұрын

    Ndo maana nikasilimu

  • @CheerfulHighway-op8tf
    @CheerfulHighway-op8tf4 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @hanifajuma6121
    @hanifajuma61214 ай бұрын

    Cha kushangaa wakenya wengi wanakimbilia miujiza na hawana habari Benny hinn anajulikana ni tapeli inchi za nje, neno la mungu limewekwa kando siku hizi ni pokea, utapata na ndio watu wanafurahia upotovu huo.

  • @wandoree
    @wandoree4 ай бұрын

    Ukweli usemwe

  • @Bojak079
    @Bojak0794 ай бұрын

    Kweli

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y4 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏😢🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jeremiahnzimu7853
    @jeremiahnzimu78534 ай бұрын

    Ukweli kabisa

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi95004 ай бұрын

    Malebooooò😂😂😂😂

  • @user-ol4my2mx1u
    @user-ol4my2mx1u4 ай бұрын

    True indeed

  • @Hot_PlateVegetarianMeals
    @Hot_PlateVegetarianMeals4 ай бұрын

    Lakini aliomba msamaha juzi, God forgave him.

  • @puritywaweru2316
    @puritywaweru23164 ай бұрын

    Ukweli bro

  • @YESU01
    @YESU014 ай бұрын

    Maadam haya ni maoni binafsi, na hayana hata Neno la Mungu, na mnayemtuhumu hajafanya wala hajasema popote hicho mnachomsemea. Inabaki tu kuwa ni matumizi ya mdomo maadam hakuna kodi yake.

  • @beatricekirigo4147
    @beatricekirigo41474 ай бұрын

    Sauti iko chini,ingawa unavyisema NI ukweli.

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka75484 ай бұрын

    Rais wa Africa wanapenda wahubiri wa majini.

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga10654 ай бұрын

    Naitwa. ASKOFU WILLIAM MWAMALANGA Hakika Mchungaji Faustini upo vema Mafundisho potofu ni uchawi ni sanamu ni ujambaz itatizo wakenya. Hawana msimamo wengi wao wanaamini uongo ninawaonya Benn hinn pia ni Muongo wa Mafundisho

  • @saturinimushi4746

    @saturinimushi4746

    4 ай бұрын

    Kama Mchungaji Benny Hinn ni muongo Basi hapa Tanzania hakuna Mhubiri wa Kweli zaidi ya Askofu Zakary Kakobe na Yule wa Kaanani Church-Karagwe. Robert Tv. Wengine Wengi ni Wafanya Biashara Wanaotumia Bible kama Mtaji wa Faida Binafsi

  • @Deggoo
    @Deggoo4 ай бұрын

    Unapenda msitu sana

  • @vincentlion7487
    @vincentlion74874 ай бұрын

    Ukweli

  • @Juliana-gq2mh
    @Juliana-gq2mh4 ай бұрын

    Ukweli kabixa ume Nena hapo jamani siku zamwisho ndio hizi baba turehemu

  • @peterobonyo9459
    @peterobonyo94594 ай бұрын

    Plain truth na Lita umiza mbegu zake lakini ni ukweli

  • @lumbuguibrahim9640
    @lumbuguibrahim96405 ай бұрын

    Ukweli mtupu

  • @user-cw8mp8hh8t
    @user-cw8mp8hh8t4 ай бұрын

    Utapeli kabisa. Uongo tupu Benny Hinn awezi kuja nichi atwambie eti kwasababu akualikua vizuri eti ata ku curse. Tangu lini abadilike awe Mungu

Келесі