BELLA AFANYA MAAMUZI MAGUMU
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
Пікірлер: 328
Hao wote wazur sema uyo dogo wa njano ukifumba macho ukamsikiliza 😁👍 na ana kipaji kingine cha kukalili pia 🔥
@rabangidion660
2 жыл бұрын
Kwel kabisaaaaaaaaa
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
Sn jamaa mkali sn
huyu kayimba ki congo. ana juwa ku yimba sio rahisi mtanzania kuyimba lingala. ayimbe vizur la huyo anapita kabisa na mkubali sana 👌🏽👌🏽💪🏾🙏🏾🇧🇮
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Etiii kayimba😂😂😂😂😂😂😂
@nyembomajid1262
Жыл бұрын
ndio huyo jamaa Iko swa bila unafki bila ubaguzi bila kupe ndelea bila uonevu kuimba ki congo Kwa mtanzania sio jambo raisi hata daimond hawezi kuimba hivo huyo kijana hata kama hakupata ushindi bado yeye ni mwamba wa bss, hata wasani wote wakitanzania kuimba hivo hawawezi
Three things; 1. Judges punguzeni midadi na kelele, 2. kuwe na muda maalum ambao contestant atatumia ku perform bila kuingiliwa na Judge 3. Judges wapewe Elimu ya kutosha kuhusu rules sio kufundishana on set.
Dah inauma siku zote nikiangaliy bss huwa nachek lkn leo nusu nilie et😢😢😢
Dah iyo yakuua mbya majaj mnazingua sana
Mwenye black so blessed in this time round ya pili mwenye njano kazingua. Even Bella my broza know that.. Ukisikilza voice dakika 5 sekunde ya 20 apo... Bella analaumu... kazi hii ya lawama.. na madam Rita anamkataza usiendee.. Watanzania wameona kipaji cha yona(black) UR SO BLESSED MUCH TALENTED but judgement ENDS SAY
@Lale_music
3 жыл бұрын
Asante sana kaka Daniel one love ila ndo hivyo ilibidi nikubaliane na matokeo tuuh
Jamaa wa njano kajiongeza kajua akiimba kikongo atapenda t bella
Huyu mkongo mnyamaaa! Kumaamake! 😅🤣🤣🤣🤣
@agapesaligawesasaligawesa2781
3 жыл бұрын
Yeeeeees
Sio vizuri mumefanya BSS kipengele hicho mumezingua
@azizamohd5728
3 жыл бұрын
Yaani it doesn't make sense at all
@martinjohnlupoly4489
3 жыл бұрын
Kipaji anacho
@roi2553
3 жыл бұрын
@@azizamohd5728 sijawahi kuona sheria ya kukurupuka kama ivyo yan imetokea ghafla tu njwaaah!!!
@peloabandelwa9099
2 жыл бұрын
@@roi2553nimashindano unatengemeya Je?
Mmh sema jamaa aliyeimba ya Sauti soul Yuko na kipaji sana
@dmnyamweziofficial2250
3 жыл бұрын
Kweli
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@agapesaligawesasaligawesa2781
3 жыл бұрын
Ndio but uyo mwingine naye yuko vizuri na amelelax
Madam Rita may God give u long everlasting life ur so kind
Ndo maana ya mashindooo mwisho wa siku mshindi ni mmojaa tuu 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Jamaa wa njano yuko vizuri sana. Hata mimi ningekuwa Bella ningemchagua tu. Atuangalii kaimba style ao lugha anayotumia Bella bali alifanya vizuri kuliko mwenzake. Yeye kaimba natural ila yule kalazimisha so hakuna kosa hapo.
Aliyevaa nyeusi yupo vizuri mnooh
Huyo dogo yupo vizuriiii mnoo hata kama mziki siujui lakini huyo dogo ni nomaaa
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
asante kwakutambuwa hukweli
Uyo yohanaaaa mkaliiii ni star uyoooo star tayarii na nimbadi uyo kikongo kimewachanganya ana lolote BSS JAU
@busimeaminitu409
3 жыл бұрын
Acha ubaguzi wakabila
@koroboi
3 жыл бұрын
Amna man jamaa ansautii wewe
@koroboi
3 жыл бұрын
@@busimeaminitu409 Bella ndo kabagua
@selemanmaganga6013
3 жыл бұрын
Kweli mi mwenyewe sijapenda mtu ashapita alfu mnamtoa tena hizo nitamaa kama nafasi yake ilishajaa angekaa kimya amwachie ambae bado.
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
@@selemanmaganga6013 tena wewe ndo ungeleta kimkonochako hapa na kuja kuwalaumu majudge heti wanahacha vipaji ufaamu haya ni mashindano cha kwanza kupita mbele sio kumanisha unamshinda wa nyuma yako kuhimba wote wanajuwa ila wanazidiana bella kafanya mahamuzi sahii wote ni watanzania
Du huyu wa jamaa alieimba kikongo anajua mashndano mulemule kwa bella
@givanerpom6247
3 жыл бұрын
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html
@zablonrobert1522
3 жыл бұрын
Swala la kipaji cyo kuimba kama flan. Wewe ni wewe imba kama wewe ulivyojaaliwa na mungu lakin kwa kutumia wimbo huohuo
@ccmiaofficially2904
3 жыл бұрын
Umeona kaka eee,ana kila kitu kiukwel
@peloabandelwa9099
2 жыл бұрын
@@zablonrobert1522 mnashindwa kusema hu kweli ki vipi wajano anajuwa🤣🤣
Mtoto wa njano anajua . Nipeni nae nimsimamie
I wish majaji wengine mngekua km Bella hn lingolongo na anachagua kilicho bora!!
@givanerpom6247
3 жыл бұрын
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html
@agapesaligawesasaligawesa2781
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Yohana ndie anasauti ya mziki mtapoteza mtu sahihi Ila kaza moyo yohn kaanze kuimba waje ktk shooy 👍
Hii so nzuri kabisaaa
Yani uyo wa yellow uko vizuri sana kaka
@geofreyjoseph802
2 жыл бұрын
Tena hatari
Wote wakali na wote wako na saut qali atar daaaah ❤❤❤❤
uyo mwenye tisheti nyeusi yuko vizuri beana
Wote wanajua but in case mpeniuyo WA tishat ya yellow
Man in black deserved to win
Do voice noma cku zote me nakuombea nakubalii nakubalii be big up
@ccmiaofficially2904
3 жыл бұрын
Una namba za Abdul unisaidie n mshikaj wangu pindi Niko Temeke Maeneo ya mikoroshini
@over_dance_tz8517
3 жыл бұрын
Daaaah mshikaj sina lakn pia nami nilitaman niwe nayo. Sana asee
@khadijamillanzi8552
3 жыл бұрын
Npe zako nimtumie
@ccmiaofficially2904
3 жыл бұрын
Mwambie mie tcha wa Good Shepherd Temeke mwembe yanga
@ccmiaofficially2904
3 жыл бұрын
@@khadijamillanzi8552 ....0779 207017. 0685 998465.....Mzma lakn
mm sijapenda kichofanyika hapokwabella woteewanafaaa 😥😥😥😥
Ooow...!!! Ndio maana huwa nasema "LIFE IS NOT FAIR AT ALL".
@joyjilien5432
3 жыл бұрын
Yaani inauma sana alijikaza kwasbb ni mwanaume tu lkn ma judge 👨⚖️ waache ivyo sio vizuri
@wellbrand3415
3 жыл бұрын
@@joyjilien5432 kwani Master J alikuwa na nafasi 1 kwanini hakumpachika...? Ndio maana nasema LIFE IS NOT FAIR
@joyjilien5432
3 жыл бұрын
@@wellbrand3415 mmmm 😋 ni hatariii yaani
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
@@wellbrand3415 master jay hajafanya fair
@wellbrand3415
3 жыл бұрын
@@timothmwakakusyu4563 yaani nimesikitika kweli... Ila ndio hivyo... Ilipangwa hivyo.
Mama yangu mpaka Congo tuna suscrib
Huyo jamaa wa black alijichanganya kutoka mwanzo kuingia grp la Bella wakati madam alimkonyeza aende kwa Ommy.. kiherehere kimemponza
Wote wakosawa lakini lazima kuwe na mshindi.. Bro usife moyo ur a super star already
@nasraabdallah850
3 жыл бұрын
Tatizo iyo nelea wamisha ichoka sn unajuwa wimbo unao skika marakwamara nirahis kukufelisha ila wete wako vizur tu
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
@@nasraabdallah850 sema wote wanajuwa kungukuwa na fasi bella angechanguwa wote ila alionesha aliwakubali wote ila sasa ilibidi kati yao achanguwe mmoja
@alicembeyu6688
3 жыл бұрын
@@nasraabdallah850 kabsa my dear
Sio kwa vile una simu kubwa na bando la mwez ndio una comment unachoona,Bella na wewe Bella anaimba japo Kuna watu wanaimba,labda niseme mwenye black anaimba sema wimbo aliouimba umegusa kweny kuonesha ukal wa vocal na si vingnevyo,Ila wa njano amecheza na kila kitu,ameimba kwa hisia,ladha na saut za kuminya pia hata ndio maana muimbaj Kama Bella ameliona ilo ndio maana amechukua..Halafu wimbo si kuelewa maana tu pia nyimbo n feeling,mdundo,vinanda na lugha ilivyotumika.,.Abdul n mtundu sana msiangalie kushoot saut angalien na maujanja mengne jaman......
Di voice noma bro big up
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
Dah uyo jamaa wangemfklia vzr pengne muonekano umemponza but vocal yko vzr
dah mwaka huu kazi hii ningumu
Mmesahau Bella Yuko sahihi (challenge) I will
Daaaaaaaaaaaaj inauma sanaa nafasi inachukuliw aivi ivi daaaah
Ninatamani waje wasome comment waone watu walivyochukia yaaaan ili wamrudishe ikiwezekana.. Mtu anaimb sauti yake mwenyew tena strong voice Anafika kwenye key tone ana power ana punch anavocal... Eti mnamkata kisa mtu anaimba kama bella Nyie hamtafuti watu wapya aseeeeee Am so sad nimeumia saaana
@Lale_music
3 жыл бұрын
That's it kaka ila nahisi haikuwa time yangu although haikuwa sawa
@peloabandelwa9099
2 жыл бұрын
@@Lale_music 🤣🤣🤣🤣bado Sana kijana ulikutana na mtu mbaya Sana
@Lale_music
2 жыл бұрын
@@peloabandelwa9099 yaah mimi bado sana mzee
Kipaji hicho bella unekitoa voice kama yote
Masha Allah huyu kijana aliichukua nafasi ni kweli kabisa ilipaswa iwe yake kaimba vema mmno
Abdul🔥🔥🔥🔥🔥
Nimemuonea huruma sana uyo black dah
Bella Yuko sawa
🤩 wow
Mm sio shabiki wa mziki Ila n shabiki wa majaji kiukweli hap mr hunifurahisha saaana ulivyo tuuuu wapenda kazi yako
Black Yohana fundi sana muimbaji mzuri
Kw upande wang wote wakali ila huyo aliyevaa black ni mzuri zaidi sauti yake ina power sana. Ila nahisi majaji wanajua zaidi
Jaman mludishen yohana
Bss 2020 bambataa
Bela anaweza
Mwenye yellow anajua
Mnaongea sana.muwe mna concentrate
@dmnyamweziofficial2250
3 жыл бұрын
Wewe ndio unajua Baba hongera
Good
Namkubali yohana hamjamfanyia haki kabisa
@ccmiaofficially2904
3 жыл бұрын
Ila kumbuka mziki unajumuisha hasira udhun,ladha,maumivu,ivyo mi naona Abdul yuko poa
Mwenye yellow akiongea kama mario
@givanerpom6247
3 жыл бұрын
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html
@preciousmohmed7372
3 жыл бұрын
Cousin wake wanadai😁
Watu wajue wanatakiwa mshind apatikane 1
Nimechukia sijapenda
@bellabakera
3 жыл бұрын
Sio personal ni mashindano haya
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
@@bellabakera ndio nimashindano ila nashindwa kuwaelewa hawa
@zablonrobert1522
3 жыл бұрын
@@bellabakera mshkaj anajua sana anawazid baadhi ya watu ambao wamepitishwa na majaji wengine kwann wasinge mchukua Kura zikapelee
@zablonrobert1522
3 жыл бұрын
@@peloofficial5610 unajua wamefail pakubwa saana sijapenda yaaan wanaacha vipaji vocalist wanachukua mtu kisa anaimba kikongo sijakataaa kuwa hajui ila wangeangalia vtu vingi
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
@@zablonrobert1522 hapo unaposema kisa kikongo umedanganya kabisa hata bila hivyo mwanzo alihimba wimbo wa kings music bella akamkubalia hapo hivyo unaweza kusema heti wanachanguwa mtu kisa kuhimba wimbo wa kingongo sio kweli ndugu sema tu wengi walitaka yule wa nguo ya black achanguliwe na wakati kakutana na mwengine zaidi yake kusema hukweli wote Christian bella aliowachanguwa ni wakali hata huyo angekutana na yule dada alieimba wimbo wa marecan talents on fire angemshinda naye ila bella alichanguwa vizuri tu haya nimashindani bhana
😂😂 Bella is bonyezaring!!
@dorriskenga1747
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀
@fainajaffary4070
3 жыл бұрын
😃😃😃
Kama kiba vile ❤❤❤
Mngewachukua wote Aki life sio poa
Huu mi ufala ulokomaa wa bss yaaa wa kiwango cha lami
Mmebor afu xo vzr xjafurahia hii system yenu kwanza hata huyo wa njano mxfa mingi mpaka anabor😕😕😕Pole mwaya 😢😢😂😂
Madam ritta😂🌹❤️💕
.safi
Nimecheka jamaa anasali daah
Aka kajamaa kenye blich kana sifa sana
@fainajaffary4070
3 жыл бұрын
😄😄😄
@bertinaafonsorapaz8345
3 жыл бұрын
😅😅😅😅saaana
It's more painful bana
YEAH. PAMOJA WANAUME... MMOJA ANABAKI MWINGINE ANAENDELEA KUWAKILISHA CHAMA KILA LA KHELI.
@zainachande5095
3 жыл бұрын
Nimemuonea huruma mwenyewe anapiga njia ya msalaba lol
@ayubutimothy8666
3 жыл бұрын
@@zainachande5095 dah. Ndo safari ishakuwaaaa......
Wangefat utaratibu wa mwaka Jan mbwembwe nying hizi zinakera
@givanerpom6247
3 жыл бұрын
Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html
@annalubango9899
3 жыл бұрын
Zinakukera wewe tu Mimi nafurahia
Wote wako vizuri ila uyo wa jaune ni moto
Huyu jamaa mwenye njano ni balaaa
Imetulia hiyo
Huyoo Aliembaa kikongo hajuii
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
huwe mkweli bhana wote ni wa tz huyo wa yellow nimkali tu
It’s hurt aise akuna njia mnaweza badilisha jinsi mna select watu
Mnaacha vipaji loooh!
Ubaya ubaya😀😀
Mwooooto Issa aisee
Huu ni ukatili eseee duuuuu
Safi kijana wetu hujawahi kukosea
Madame Lita anafuata mkia😂
Yani wote wako Sawa
Daaaah
Hiv matege ya idriss mmeyaona wajumbe🤣🤣
@Kijana-wa-Tanzania
3 жыл бұрын
🤣Acha upimbi!
huyo mwamba mwenye njano ni duniaa
Seems unfair. It is an Orthodox means of picking contestants
@shamsamwantum2106
3 жыл бұрын
It's so unfair fr
Daaah
Uyu ndo mshindi wangu
Jmn sio fair khaaa
Mshindani wa Issa hahaha tiari kashajua kangushwa ishira za msalaba kibao hhhh Issa hatari
😭😭😭
Yaani me Idris na ommy wananifanya nipende bss
Daah wote wakalii ila uyo alievaaa blak mmemkatilii
duh mnatuliza jmn broo ameumia
daaah bna ts not fair huyo kaka anasauti sana c.bella sio poa😰😰yohanne iz good
Idriss kihere here
Huu mfumo mbovu sanaaa
Mnabowa sana mngewaacha wote
@peloofficial5610
3 жыл бұрын
sasa Angewahacha wote tena wewe ndo ungekuwa wa kwanza kulaumu heti bella aliacha wakali sasa mjuwe ya kwamba kupita mbele sio kumanisha unamzidi wa nyuma yako apana yy bella alisema ashaeneza sasa ikabidi atowe mmoja kati ya wale 8 aliokuwa ashawachanguwa mbele ndo akamchukuwa huyo wa black na wa yellow wapimishane sababu apendi kuacha mwenye kipaji ila ufaamu kama wote wanajuwa na nfomana alimchukuwa wa black sababu anajuwa ila wanazidiana asingemchukuwa wa yellow mgesema saaaana hapa
Wote n juu