BELLA AFANYA MAAMUZI MAGUMU

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch

Пікірлер: 328

  • @joelmwanje2008
    @joelmwanje20083 жыл бұрын

    Hao wote wazur sema uyo dogo wa njano ukifumba macho ukamsikiliza 😁👍 na ana kipaji kingine cha kukalili pia 🔥

  • @rabangidion660

    @rabangidion660

    2 жыл бұрын

    Kwel kabisaaaaaaaaa

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    Sn jamaa mkali sn

  • @uwimanauwimana7692
    @uwimanauwimana76923 жыл бұрын

    huyu kayimba ki congo. ana juwa ku yimba sio rahisi mtanzania kuyimba lingala. ayimbe vizur la huyo anapita kabisa na mkubali sana 👌🏽👌🏽💪🏾🙏🏾🇧🇮

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Etiii kayimba😂😂😂😂😂😂😂

  • @nyembomajid1262

    @nyembomajid1262

    Жыл бұрын

    ndio huyo jamaa Iko swa bila unafki bila ubaguzi bila kupe ndelea bila uonevu kuimba ki congo Kwa mtanzania sio jambo raisi hata daimond hawezi kuimba hivo huyo kijana hata kama hakupata ushindi bado yeye ni mwamba wa bss, hata wasani wote wakitanzania kuimba hivo hawawezi

  • @franknkya3947
    @franknkya39473 жыл бұрын

    Three things; 1. Judges punguzeni midadi na kelele, 2. kuwe na muda maalum ambao contestant atatumia ku perform bila kuingiliwa na Judge 3. Judges wapewe Elimu ya kutosha kuhusu rules sio kufundishana on set.

  • @iptisamfakizubeir7664
    @iptisamfakizubeir76643 жыл бұрын

    Dah inauma siku zote nikiangaliy bss huwa nachek lkn leo nusu nilie et😢😢😢

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74253 жыл бұрын

    Dah iyo yakuua mbya majaj mnazingua sana

  • @danielmarcochal4611
    @danielmarcochal46113 жыл бұрын

    Mwenye black so blessed in this time round ya pili mwenye njano kazingua. Even Bella my broza know that.. Ukisikilza voice dakika 5 sekunde ya 20 apo... Bella analaumu... kazi hii ya lawama.. na madam Rita anamkataza usiendee.. Watanzania wameona kipaji cha yona(black) UR SO BLESSED MUCH TALENTED but judgement ENDS SAY

  • @Lale_music

    @Lale_music

    3 жыл бұрын

    Asante sana kaka Daniel one love ila ndo hivyo ilibidi nikubaliane na matokeo tuuh

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi92623 жыл бұрын

    Jamaa wa njano kajiongeza kajua akiimba kikongo atapenda t bella

  • @kenny5672
    @kenny56723 жыл бұрын

    Huyu mkongo mnyamaaa! Kumaamake! 😅🤣🤣🤣🤣

  • @agapesaligawesasaligawesa2781

    @agapesaligawesasaligawesa2781

    3 жыл бұрын

    Yeeeeees

  • @roi2553
    @roi25533 жыл бұрын

    Sio vizuri mumefanya BSS kipengele hicho mumezingua

  • @azizamohd5728

    @azizamohd5728

    3 жыл бұрын

    Yaani it doesn't make sense at all

  • @martinjohnlupoly4489

    @martinjohnlupoly4489

    3 жыл бұрын

    Kipaji anacho

  • @roi2553

    @roi2553

    3 жыл бұрын

    @@azizamohd5728 sijawahi kuona sheria ya kukurupuka kama ivyo yan imetokea ghafla tu njwaaah!!!

  • @peloabandelwa9099

    @peloabandelwa9099

    2 жыл бұрын

    @@roi2553nimashindano unatengemeya Je?

  • @pierreoriva4131
    @pierreoriva41313 жыл бұрын

    Mmh sema jamaa aliyeimba ya Sauti soul Yuko na kipaji sana

  • @dmnyamweziofficial2250

    @dmnyamweziofficial2250

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @agapesaligawesasaligawesa2781

    @agapesaligawesasaligawesa2781

    3 жыл бұрын

    Ndio but uyo mwingine naye yuko vizuri na amelelax

  • @samwelmombo3290
    @samwelmombo32903 жыл бұрын

    Madam Rita may God give u long everlasting life ur so kind

  • @chidistar1944
    @chidistar19443 жыл бұрын

    Ndo maana ya mashindooo mwisho wa siku mshindi ni mmojaa tuu 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

  • @GodfreyByamungu
    @GodfreyByamungu2 жыл бұрын

    Jamaa wa njano yuko vizuri sana. Hata mimi ningekuwa Bella ningemchagua tu. Atuangalii kaimba style ao lugha anayotumia Bella bali alifanya vizuri kuliko mwenzake. Yeye kaimba natural ila yule kalazimisha so hakuna kosa hapo.

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81383 жыл бұрын

    Aliyevaa nyeusi yupo vizuri mnooh

  • @yasinimwengwa5726
    @yasinimwengwa57263 жыл бұрын

    Huyo dogo yupo vizuriiii mnoo hata kama mziki siujui lakini huyo dogo ni nomaaa

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    asante kwakutambuwa hukweli

  • @koroboi
    @koroboi3 жыл бұрын

    Uyo yohanaaaa mkaliiii ni star uyoooo star tayarii na nimbadi uyo kikongo kimewachanganya ana lolote BSS JAU

  • @busimeaminitu409

    @busimeaminitu409

    3 жыл бұрын

    Acha ubaguzi wakabila

  • @koroboi

    @koroboi

    3 жыл бұрын

    Amna man jamaa ansautii wewe

  • @koroboi

    @koroboi

    3 жыл бұрын

    @@busimeaminitu409 Bella ndo kabagua

  • @selemanmaganga6013

    @selemanmaganga6013

    3 жыл бұрын

    Kweli mi mwenyewe sijapenda mtu ashapita alfu mnamtoa tena hizo nitamaa kama nafasi yake ilishajaa angekaa kimya amwachie ambae bado.

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    @@selemanmaganga6013 tena wewe ndo ungeleta kimkonochako hapa na kuja kuwalaumu majudge heti wanahacha vipaji ufaamu haya ni mashindano cha kwanza kupita mbele sio kumanisha unamshinda wa nyuma yako kuhimba wote wanajuwa ila wanazidiana bella kafanya mahamuzi sahii wote ni watanzania

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz18123 жыл бұрын

    Du huyu wa jamaa alieimba kikongo anajua mashndano mulemule kwa bella

  • @givanerpom6247

    @givanerpom6247

    3 жыл бұрын

    Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html

  • @zablonrobert1522

    @zablonrobert1522

    3 жыл бұрын

    Swala la kipaji cyo kuimba kama flan. Wewe ni wewe imba kama wewe ulivyojaaliwa na mungu lakin kwa kutumia wimbo huohuo

  • @ccmiaofficially2904

    @ccmiaofficially2904

    3 жыл бұрын

    Umeona kaka eee,ana kila kitu kiukwel

  • @peloabandelwa9099

    @peloabandelwa9099

    2 жыл бұрын

    @@zablonrobert1522 mnashindwa kusema hu kweli ki vipi wajano anajuwa🤣🤣

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila77643 жыл бұрын

    Mtoto wa njano anajua . Nipeni nae nimsimamie

  • @bahajajuma5947
    @bahajajuma59473 жыл бұрын

    I wish majaji wengine mngekua km Bella hn lingolongo na anachagua kilicho bora!!

  • @givanerpom6247

    @givanerpom6247

    3 жыл бұрын

    Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html

  • @agapesaligawesasaligawesa2781

    @agapesaligawesasaligawesa2781

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @rosekyara8220
    @rosekyara82203 жыл бұрын

    Yohana ndie anasauti ya mziki mtapoteza mtu sahihi Ila kaza moyo yohn kaanze kuimba waje ktk shooy 👍

  • @neemasawe7016
    @neemasawe70163 жыл бұрын

    Hii so nzuri kabisaaa

  • @your-future-is-your-life-007
    @your-future-is-your-life-0073 жыл бұрын

    Yani uyo wa yellow uko vizuri sana kaka

  • @geofreyjoseph802

    @geofreyjoseph802

    2 жыл бұрын

    Tena hatari

  • @DayanaNelson-gv6cv
    @DayanaNelson-gv6cv5 ай бұрын

    Wote wakali na wote wako na saut qali atar daaaah ❤❤❤❤

  • @mundelemuzuri9623
    @mundelemuzuri96233 жыл бұрын

    uyo mwenye tisheti nyeusi yuko vizuri beana

  • @ayshaayshaabdulrahman6143
    @ayshaayshaabdulrahman61433 жыл бұрын

    Wote wanajua but in case mpeniuyo WA tishat ya yellow

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview133 жыл бұрын

    Man in black deserved to win

  • @over_dance_tz8517
    @over_dance_tz85173 жыл бұрын

    Do voice noma cku zote me nakuombea nakubalii nakubalii be big up

  • @ccmiaofficially2904

    @ccmiaofficially2904

    3 жыл бұрын

    Una namba za Abdul unisaidie n mshikaj wangu pindi Niko Temeke Maeneo ya mikoroshini

  • @over_dance_tz8517

    @over_dance_tz8517

    3 жыл бұрын

    Daaaah mshikaj sina lakn pia nami nilitaman niwe nayo. Sana asee

  • @khadijamillanzi8552

    @khadijamillanzi8552

    3 жыл бұрын

    Npe zako nimtumie

  • @ccmiaofficially2904

    @ccmiaofficially2904

    3 жыл бұрын

    Mwambie mie tcha wa Good Shepherd Temeke mwembe yanga

  • @ccmiaofficially2904

    @ccmiaofficially2904

    3 жыл бұрын

    @@khadijamillanzi8552 ....0779 207017. 0685 998465.....Mzma lakn

  • @sabrinaally8216
    @sabrinaally82163 жыл бұрын

    mm sijapenda kichofanyika hapokwabella woteewanafaaa 😥😥😥😥

  • @wellbrand3415
    @wellbrand34153 жыл бұрын

    Ooow...!!! Ndio maana huwa nasema "LIFE IS NOT FAIR AT ALL".

  • @joyjilien5432

    @joyjilien5432

    3 жыл бұрын

    Yaani inauma sana alijikaza kwasbb ni mwanaume tu lkn ma judge 👨‍⚖️ waache ivyo sio vizuri

  • @wellbrand3415

    @wellbrand3415

    3 жыл бұрын

    @@joyjilien5432 kwani Master J alikuwa na nafasi 1 kwanini hakumpachika...? Ndio maana nasema LIFE IS NOT FAIR

  • @joyjilien5432

    @joyjilien5432

    3 жыл бұрын

    @@wellbrand3415 mmmm 😋 ni hatariii yaani

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    @@wellbrand3415 master jay hajafanya fair

  • @wellbrand3415

    @wellbrand3415

    3 жыл бұрын

    @@timothmwakakusyu4563 yaani nimesikitika kweli... Ila ndio hivyo... Ilipangwa hivyo.

  • @jellycastro9037
    @jellycastro90373 жыл бұрын

    Mama yangu mpaka Congo tuna suscrib

  • @universenurity776
    @universenurity7763 жыл бұрын

    Huyo jamaa wa black alijichanganya kutoka mwanzo kuingia grp la Bella wakati madam alimkonyeza aende kwa Ommy.. kiherehere kimemponza

  • @alicembeyu6688
    @alicembeyu66883 жыл бұрын

    Wote wakosawa lakini lazima kuwe na mshindi.. Bro usife moyo ur a super star already

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    3 жыл бұрын

    Tatizo iyo nelea wamisha ichoka sn unajuwa wimbo unao skika marakwamara nirahis kukufelisha ila wete wako vizur tu

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    @@nasraabdallah850 sema wote wanajuwa kungukuwa na fasi bella angechanguwa wote ila alionesha aliwakubali wote ila sasa ilibidi kati yao achanguwe mmoja

  • @alicembeyu6688

    @alicembeyu6688

    3 жыл бұрын

    @@nasraabdallah850 kabsa my dear

  • @ccmiaofficially2904
    @ccmiaofficially29043 жыл бұрын

    Sio kwa vile una simu kubwa na bando la mwez ndio una comment unachoona,Bella na wewe Bella anaimba japo Kuna watu wanaimba,labda niseme mwenye black anaimba sema wimbo aliouimba umegusa kweny kuonesha ukal wa vocal na si vingnevyo,Ila wa njano amecheza na kila kitu,ameimba kwa hisia,ladha na saut za kuminya pia hata ndio maana muimbaj Kama Bella ameliona ilo ndio maana amechukua..Halafu wimbo si kuelewa maana tu pia nyimbo n feeling,mdundo,vinanda na lugha ilivyotumika.,.Abdul n mtundu sana msiangalie kushoot saut angalien na maujanja mengne jaman......

  • @over_dance_tz8517
    @over_dance_tz85173 жыл бұрын

    Di voice noma bro big up

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic67083 жыл бұрын

    Mucheki jiva ana ngoma kali sana

  • @wasasyjr8657
    @wasasyjr86573 жыл бұрын

    Dah uyo jamaa wangemfklia vzr pengne muonekano umemponza but vocal yko vzr

  • @peloofficial5610
    @peloofficial56103 жыл бұрын

    dah mwaka huu kazi hii ningumu

  • @husseinstriker4211
    @husseinstriker42113 жыл бұрын

    Mmesahau Bella Yuko sahihi (challenge) I will

  • @evahkajala3807
    @evahkajala38073 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaaaj inauma sanaa nafasi inachukuliw aivi ivi daaaah

  • @zablonrobert1522
    @zablonrobert15223 жыл бұрын

    Ninatamani waje wasome comment waone watu walivyochukia yaaaan ili wamrudishe ikiwezekana.. Mtu anaimb sauti yake mwenyew tena strong voice Anafika kwenye key tone ana power ana punch anavocal... Eti mnamkata kisa mtu anaimba kama bella Nyie hamtafuti watu wapya aseeeeee Am so sad nimeumia saaana

  • @Lale_music

    @Lale_music

    3 жыл бұрын

    That's it kaka ila nahisi haikuwa time yangu although haikuwa sawa

  • @peloabandelwa9099

    @peloabandelwa9099

    2 жыл бұрын

    @@Lale_music 🤣🤣🤣🤣bado Sana kijana ulikutana na mtu mbaya Sana

  • @Lale_music

    @Lale_music

    2 жыл бұрын

    @@peloabandelwa9099 yaah mimi bado sana mzee

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal68903 жыл бұрын

    Kipaji hicho bella unekitoa voice kama yote

  • @msms8812
    @msms88123 жыл бұрын

    Masha Allah huyu kijana aliichukua nafasi ni kweli kabisa ilipaswa iwe yake kaimba vema mmno

  • @abdulyiddy358
    @abdulyiddy3583 жыл бұрын

    Abdul🔥🔥🔥🔥🔥

  • @winfridaminaa6765
    @winfridaminaa67653 жыл бұрын

    Nimemuonea huruma sana uyo black dah

  • @naomysombi7999
    @naomysombi79993 жыл бұрын

    Bella Yuko sawa

  • @LadouceurTony
    @LadouceurTony3 жыл бұрын

    🤩 wow

  • @bizimanasaid7678
    @bizimanasaid76783 жыл бұрын

    Mm sio shabiki wa mziki Ila n shabiki wa majaji kiukweli hap mr hunifurahisha saaana ulivyo tuuuu wapenda kazi yako

  • @ibra6269
    @ibra62693 жыл бұрын

    Black Yohana fundi sana muimbaji mzuri

  • @sefoo8084
    @sefoo80843 жыл бұрын

    Kw upande wang wote wakali ila huyo aliyevaa black ni mzuri zaidi sauti yake ina power sana. Ila nahisi majaji wanajua zaidi

  • @hanifasadicki1428
    @hanifasadicki14283 жыл бұрын

    Jaman mludishen yohana

  • @adamsnchimbi9478
    @adamsnchimbi94783 жыл бұрын

    Bss 2020 bambataa

  • @Djtigerbaby
    @Djtigerbaby2 жыл бұрын

    Bela anaweza

  • @braveson4683
    @braveson46833 жыл бұрын

    Mwenye yellow anajua

  • @fongaamike2768
    @fongaamike27683 жыл бұрын

    Mnaongea sana.muwe mna concentrate

  • @dmnyamweziofficial2250

    @dmnyamweziofficial2250

    3 жыл бұрын

    Wewe ndio unajua Baba hongera

  • @annastaziasospeta9181
    @annastaziasospeta91813 жыл бұрын

    Good

  • @mjubamuuni5083
    @mjubamuuni50833 жыл бұрын

    Namkubali yohana hamjamfanyia haki kabisa

  • @ccmiaofficially2904

    @ccmiaofficially2904

    3 жыл бұрын

    Ila kumbuka mziki unajumuisha hasira udhun,ladha,maumivu,ivyo mi naona Abdul yuko poa

  • @sashadiva1111
    @sashadiva11113 жыл бұрын

    Mwenye yellow akiongea kama mario

  • @givanerpom6247

    @givanerpom6247

    3 жыл бұрын

    Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html

  • @preciousmohmed7372

    @preciousmohmed7372

    3 жыл бұрын

    Cousin wake wanadai😁

  • @joycejohn7754
    @joycejohn77543 жыл бұрын

    Watu wajue wanatakiwa mshind apatikane 1

  • @zablonrobert1522
    @zablonrobert15223 жыл бұрын

    Nimechukia sijapenda

  • @bellabakera

    @bellabakera

    3 жыл бұрын

    Sio personal ni mashindano haya

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    @@bellabakera ndio nimashindano ila nashindwa kuwaelewa hawa

  • @zablonrobert1522

    @zablonrobert1522

    3 жыл бұрын

    @@bellabakera mshkaj anajua sana anawazid baadhi ya watu ambao wamepitishwa na majaji wengine kwann wasinge mchukua Kura zikapelee

  • @zablonrobert1522

    @zablonrobert1522

    3 жыл бұрын

    @@peloofficial5610 unajua wamefail pakubwa saana sijapenda yaaan wanaacha vipaji vocalist wanachukua mtu kisa anaimba kikongo sijakataaa kuwa hajui ila wangeangalia vtu vingi

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    @@zablonrobert1522 hapo unaposema kisa kikongo umedanganya kabisa hata bila hivyo mwanzo alihimba wimbo wa kings music bella akamkubalia hapo hivyo unaweza kusema heti wanachanguwa mtu kisa kuhimba wimbo wa kingongo sio kweli ndugu sema tu wengi walitaka yule wa nguo ya black achanguliwe na wakati kakutana na mwengine zaidi yake kusema hukweli wote Christian bella aliowachanguwa ni wakali hata huyo angekutana na yule dada alieimba wimbo wa marecan talents on fire angemshinda naye ila bella alichanguwa vizuri tu haya nimashindani bhana

  • @msafirihemed3877
    @msafirihemed38773 жыл бұрын

    😂😂 Bella is bonyezaring!!

  • @dorriskenga1747

    @dorriskenga1747

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀

  • @fainajaffary4070

    @fainajaffary4070

    3 жыл бұрын

    😃😃😃

  • @DayanaNelson-gv6cv
    @DayanaNelson-gv6cv5 ай бұрын

    Kama kiba vile ❤❤❤

  • @Minsirerickjuniorofficial1272
    @Minsirerickjuniorofficial12723 жыл бұрын

    Mngewachukua wote Aki life sio poa

  • @amirlehao8945
    @amirlehao89453 жыл бұрын

    Huu mi ufala ulokomaa wa bss yaaa wa kiwango cha lami

  • @juniorsmart2483
    @juniorsmart24833 жыл бұрын

    Mmebor afu xo vzr xjafurahia hii system yenu kwanza hata huyo wa njano mxfa mingi mpaka anabor😕😕😕Pole mwaya 😢😢😂😂

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku20712 жыл бұрын

    Madam ritta😂🌹❤️💕

  • @jasminabdul7569
    @jasminabdul75692 жыл бұрын

    .safi

  • @khatibissa3560
    @khatibissa35603 жыл бұрын

    Nimecheka jamaa anasali daah

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein66253 жыл бұрын

    Aka kajamaa kenye blich kana sifa sana

  • @fainajaffary4070

    @fainajaffary4070

    3 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @bertinaafonsorapaz8345

    @bertinaafonsorapaz8345

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅saaana

  • @tausindekwa7314
    @tausindekwa73143 жыл бұрын

    It's more painful bana

  • @ayubutimothy8666
    @ayubutimothy86663 жыл бұрын

    YEAH. PAMOJA WANAUME... MMOJA ANABAKI MWINGINE ANAENDELEA KUWAKILISHA CHAMA KILA LA KHELI.

  • @zainachande5095

    @zainachande5095

    3 жыл бұрын

    Nimemuonea huruma mwenyewe anapiga njia ya msalaba lol

  • @ayubutimothy8666

    @ayubutimothy8666

    3 жыл бұрын

    @@zainachande5095 dah. Ndo safari ishakuwaaaa......

  • @irenenyolobi1906
    @irenenyolobi19063 жыл бұрын

    Wangefat utaratibu wa mwaka Jan mbwembwe nying hizi zinakera

  • @givanerpom6247

    @givanerpom6247

    3 жыл бұрын

    Mshindi atabiliwa huyu hapa Usisahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/iZx-2cpreMa0Zrg.html

  • @annalubango9899

    @annalubango9899

    3 жыл бұрын

    Zinakukera wewe tu Mimi nafurahia

  • @mugishalahay6050
    @mugishalahay60503 жыл бұрын

    Wote wako vizuri ila uyo wa jaune ni moto

  • @fredernest7572
    @fredernest75723 жыл бұрын

    Huyu jamaa mwenye njano ni balaaa

  • @nyuzmastory6538
    @nyuzmastory65383 жыл бұрын

    Imetulia hiyo

  • @josephsanga474
    @josephsanga4743 жыл бұрын

    Huyoo Aliembaa kikongo hajuii

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    huwe mkweli bhana wote ni wa tz huyo wa yellow nimkali tu

  • @monnahthepresenter1978
    @monnahthepresenter19783 жыл бұрын

    It’s hurt aise akuna njia mnaweza badilisha jinsi mna select watu

  • @janethsemboni9874
    @janethsemboni98743 жыл бұрын

    Mnaacha vipaji loooh!

  • @tourzmbaruk4319
    @tourzmbaruk43193 жыл бұрын

    Ubaya ubaya😀😀

  • @manuelchogo1234
    @manuelchogo12342 жыл бұрын

    Mwooooto Issa aisee

  • @eliasmassasa8726
    @eliasmassasa87263 жыл бұрын

    Huu ni ukatili eseee duuuuu

  • @rutagasto
    @rutagasto3 жыл бұрын

    Safi kijana wetu hujawahi kukosea

  • @deelissa2746
    @deelissa27463 жыл бұрын

    Madame Lita anafuata mkia😂

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii61573 жыл бұрын

    Yani wote wako Sawa

  • @timasalehe3805
    @timasalehe38053 жыл бұрын

    Daaaah

  • @gabrielshio9562
    @gabrielshio95623 жыл бұрын

    Hiv matege ya idriss mmeyaona wajumbe🤣🤣

  • @Kijana-wa-Tanzania

    @Kijana-wa-Tanzania

    3 жыл бұрын

    🤣Acha upimbi!

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina99803 жыл бұрын

    huyo mwamba mwenye njano ni duniaa

  • @jamaljonathan4321
    @jamaljonathan43213 жыл бұрын

    Seems unfair. It is an Orthodox means of picking contestants

  • @shamsamwantum2106

    @shamsamwantum2106

    3 жыл бұрын

    It's so unfair fr

  • @leticiajacob9745
    @leticiajacob97453 жыл бұрын

    Daaah

  • @dianamwanjala4114
    @dianamwanjala41143 жыл бұрын

    Uyu ndo mshindi wangu

  • @wordsmith_Benn
    @wordsmith_Benn3 жыл бұрын

    Jmn sio fair khaaa

  • @manuelchogo1234
    @manuelchogo12342 жыл бұрын

    Mshindani wa Issa hahaha tiari kashajua kangushwa ishira za msalaba kibao hhhh Issa hatari

  • @daimavlog
    @daimavlog3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @efesopesahkinge6379
    @efesopesahkinge63793 жыл бұрын

    Yaani me Idris na ommy wananifanya nipende bss

  • @florasimon6402
    @florasimon64023 жыл бұрын

    Daah wote wakalii ila uyo alievaaa blak mmemkatilii

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan77693 жыл бұрын

    duh mnatuliza jmn broo ameumia

  • @gloryjohnson5878
    @gloryjohnson58783 жыл бұрын

    daaah bna ts not fair huyo kaka anasauti sana c.bella sio poa😰😰yohanne iz good

  • @Jvystunner
    @Jvystunner3 жыл бұрын

    Idriss kihere here

  • @johnrogath1066
    @johnrogath10663 жыл бұрын

    Huu mfumo mbovu sanaaa

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni47473 жыл бұрын

    Mnabowa sana mngewaacha wote

  • @peloofficial5610

    @peloofficial5610

    3 жыл бұрын

    sasa Angewahacha wote tena wewe ndo ungekuwa wa kwanza kulaumu heti bella aliacha wakali sasa mjuwe ya kwamba kupita mbele sio kumanisha unamzidi wa nyuma yako apana yy bella alisema ashaeneza sasa ikabidi atowe mmoja kati ya wale 8 aliokuwa ashawachanguwa mbele ndo akamchukuwa huyo wa black na wa yellow wapimishane sababu apendi kuacha mwenye kipaji ila ufaamu kama wote wanajuwa na nfomana alimchukuwa wa black sababu anajuwa ila wanazidiana asingemchukuwa wa yellow mgesema saaaana hapa

  • @calvinb68
    @calvinb683 жыл бұрын

    Wote n juu

Келесі